Huu ndio uwekezaji MBOSSO ameamua kuufanya! Ni balaa, pesa anayo ila hataki kujionesha - Part 4
Vložit
- čas přidán 31. 01. 2024
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Apo nimeamini kwer mboso anakipaji Sana Cha mziki na wasafi ni chuo Cha mziki na Sanaa,,nandomana Daimond anampenda Sana mboso kumbe..kwamana anakipaji Saaaana..
Nanilichogundua mbosso anahofu ya mungu,,,anataka akiacha mziki afanye ibada ndo mim nilivyomuelewa
Discipline ambayo Hawa wasanii wa WCB wanafunzwa ni ya Hali ya juu zaidi
Selemani unatisha San boss
True STORY NINJA MBOSSO MSHEDEDE" ata mimi pia WAKATI naanza kusikia na kuona VIDEO ya AMEPOTEA! ulinichanganya kidogo NINJA" mimi nipo huku SOUTH AFRICA and Still nipo SOUTH AFRICA" SO baada ya kuona Ile VIDEO ya AMEPOTEA nilistuka sanaaa na pia MSG ilinigusa Couse KIPINDI hiko pia na mimi natafutwa na FAMILY yangu" kwenye CM sipatikani na ukizingatia na MAISHA yetu ya huku SOUTH AFRICA kila SIKU MATATIZO" SO WIMBO ulivyo kuwa unaendelea nakuja kuona VITU TOFAUTI kabisaaa! Hila HOME BOY wangu unajuwa sanaaa mpaka UNAKELAAA😂😂😂
Mbosso nakuelewa sana kipaji kikubwa mno uelewa mzuri halafu nimefatilia mazungumzo yote nimegundua Diamond ndio master mind wa mafanikio ki mziki yani anajua ukitoa ngoma aina hii next inafaa uje vipi ndio watu wakuelewe.
Nime enjoy sana kwenye hii interview hongera SNS hongera Mbosso hongera Wasafi🎉
Unajua kwa wa sani wa bongo wenye adabu na eshima mbosso ni number 1 love from south africa 🇿🇦
Ingelikuwa harmo pale angeliaza kigereza kiiingi 🤣🤣 Mbosso respect 💪
Jamani tokea mlipomsikia mbosso je mmejifunza nini? Naomba mniambie
Mboso Mr Selemani Huna baya nipeni like za kutosha .
MashaAllah Allah akujalia kila la kheri mdogo wangu Mbosso
Ila mbosso anastori Sana Sana na nimempenda bure mboso..mboso kumbe
WCB hela ipo💲.....sio makondeni njaa 😭😭😭
Dakika ya Tisa imenifurahisha sana ...una watoto wangapi😂😂anacheka badala kujibu
Huyu kijana sio tu muimbaji lakini anakitu cha kusaidia vijana wengi kiushauri.
Nakubari sana Khan unaongea vizuri sana 😍😍😍
Huyu lazima awe na hela nyingi maana ni mpambanaji sana na ana nidhamu sana kwa kila kitu.
Nakubari brother mbosso
Big appreciation for mbosso khaaaan interview kali sana hiii