Ana miaka 18, yupo kidato cha 5, anamiliki duka kubwa la nguo, hiki ndicho wazazi wake walimfanyia

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 01. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.com/store/apps/de...
  • Zábava

Komentáře • 100

  • @mialanomanqobo6639
    @mialanomanqobo6639 Před 5 měsíci +11

    She is smart lady
    Even her smoothly speaking
    Wazazi wanaweza kua na mali halafu watoto wasiwe na akili ya kuziendeleza
    Wakawa wakula bata tu

  • @user-cz1jl8rc4u
    @user-cz1jl8rc4u Před 5 měsíci +12

    Nilicho gundua watanzania tunapenda kulaumu kuliko kujifunza huyu mtoto ndio amepewa mtaji na familia ila tumejiuliza kwa umri wake amewezaje kua na mawazo ya kukuza biashara yake ikafika hapo ili cha kujifunza tunacho ila mnalaumu tu eti sky umetuleteya nini

  • @mrkitaa7938
    @mrkitaa7938 Před 5 měsíci +9

    Hii interview NZURI SANA, NIMEKUWA INSPIRED NA WAZAZI WA HUYU BINTI, WAMEMTENGENEZEA MSINGII MZURI SANA.
    KUMBE UKIFANIKIWA INAWEZA IKAWA CHACHU KUBWA SANA YA MAFANIKIO YA WATOTO WAKO. LET'S KEEP FIGHT.

  • @dennismongi8970
    @dennismongi8970 Před 5 měsíci +21

    Sio kila baba tajiri lazima mtoto awe tajiri,akili ya mtu jamani,kuna watoto wangapi wa matajiri wameishia kula unga tu.

    • @Usertatu11683
      @Usertatu11683 Před 5 měsíci +1

      Duka kafunguliwa hapo tungependa kujua Amezalisha Nini baada ya kufunguliwa Hilo duka
      .Tunataka kujua matunda

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 5 měsíci +1

      MALEZI BORA
      NA KUMUEKA
      MUUMBA MBELE
      HUKINGA KIZAZ CHAKO
      NA KUTUMIA MADAW UNGA

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 5 měsíci

      ​@@Usertatu11683pambana uje kujua ya wanao...
      Masikini mnakuaga na nongwa sana

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 5 měsíci +5

    Mwanzo mzur sana Mungu awabariki wazazi wake wamemwandalia msingi mzuri anzia elim mpaka hapo kwenye biashara tukiweka pemben uzuri na ubora wa family yake uyu mrembo amebarikiwa akili na maono piya kwaiyo hatar angetoka family ya kawaida bado ningemuona mbali

  • @ZarinatKarim
    @ZarinatKarim Před 5 měsíci +8

    Thank you so much for your lovely comments ❤️

    • @momocolman
      @momocolman Před 5 měsíci

      Big up sis

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 Před 4 měsíci

      Congratulations
      Achana na hao waliocomment negative,,ni uwezo tu wa kufikiria mambo

    • @thobiethalibutu1465
      @thobiethalibutu1465 Před 4 měsíci

      Cheers to you baby girl. I wish you much better ,I love you
      Keep moving ❤

  • @ongezamaarifa2526
    @ongezamaarifa2526 Před 5 měsíci +3

    Safi sana, beauty with brains, kama mzazi nimepata kitu

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 5 měsíci +12

    Warda wangu ukue mama tupange maisha km hv,,,,eeh mwenyez Mungu nikuzie bint yngu awe wa kujitambua piah🤲🤲🤲

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 Před 5 měsíci

      Mimi si wa kishua Ila kumbe mwanangu kumpikisha maandazi kabla hajamaliza kusoma

  • @prophetichealer100
    @prophetichealer100 Před 5 měsíci +2

    Proud of you baby girl ..keep going

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g Před 5 měsíci +6

    Wakishua ao sky misingi wamepewa na wazee wao

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před 5 měsíci +34

    Kusema ukweli sky umetuletea mambo ya washuwa tu hapa ni mtu kakuta mali yeye anaendeleza tatufa Hustler alafu tuletee hapa huyu dada kwao Kuna mpungu wakutosha tu

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 Před 5 měsíci

      tatizo nini?kuna watoto wanazaliwa kwenye pesa na wanaishia kutumia pesa zote na kubaki na jina mjini tu, kwani hatu waoni watoto wa vigogo walivyo choka wamebaki na majina tu ya wazazi. Hili nalo na kujifunza, kwa matajili na masikini. acha kuwa na roho mbaya, toa maua ya mtu anapo fanya vizuri. Kuwa inspired sio lazima uwe inspired na mtu alite toka kwenye umasikini tu. kama sio somo lako litakufunza kukufungua macho wewe ukiwa tajiri na umezaa watoto je uta waandaa vipi ili ukiondoka kazi yako uliyo ianza iendelee. wajukuu zako wasitabikie. tatizo la weusi mna jipanga nyie tu hamppangi vizazi vyenu.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 5 měsíci +1

      KILA KITU
      NI MWANZO MZURI SANA

    • @ZarinatKarim
      @ZarinatKarim Před 5 měsíci +6

      Nimepata bahati ya ku sapotiwa na wazazi wangu and I’m grateful , the real hard work inakuja kuendeleza biashara na kuifanya isimame
      Unaweza ukaipambania mtaji ukaanza biashara lakini usiwe unajua jinsi ya kufanya biashara indelee na ikue
      Consistency is everything
      That’s where the real hustle lies

    • @francisnyalali
      @francisnyalali Před 5 měsíci +6

      Sio kila mtu anatumia hela ya washua vizuri🤣kuna watu wanatoka familia za kishua na wanaishia kuwa mavuta bangi na mateja! Usi kremu maisha

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 5 měsíci +4

      Pambana na wewe watoto wako wawe washua.... kuanzia 0 sio sifa

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u Před 5 měsíci +1

    Big up kipenz na Mungu aendelee kukusimia zaid ❤😊

  • @dennismongi8970
    @dennismongi8970 Před 5 měsíci +10

    Acheni comment za kitoto,kuna wazazi wangapi hapa duniani wanapesa za kutosha angalia watoto wao walivyo hali mbaya,kwa hiyo mwacheni dada yetu ana roho ya uthubutu na maono

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 5 měsíci

      Ndugu nlichojifunza humu kwenye mitandao asilimia kubwa ni watu wenye very tiny visions ndio maana kuna comments unauliza Hivi Huyu mtu anafikra kweli.

    • @anastaziamehadi9143
      @anastaziamehadi9143 Před 5 měsíci

      This is very good. As mom it has inspired me. Sio kwamba Nina hela nyingi, lkn kumbe tunaweza kuendeleza ndoto za watt wetu tangu wadogo. Huyu atakuja kuwa mjaririamali mkubwa. Ana uwezo mkubwa sana wa kuniamini. Kuna uwezekano mkubwa sana kuwa kiongozo mkubwa sana miaka inayo.

  • @user-du4yg5cj3v
    @user-du4yg5cj3v Před 5 měsíci +1

    Asant kwa Kipindi kizur tunapata kusoma sana kaka tumo kukufatilia

  • @VanessarXavery-iu3rd
    @VanessarXavery-iu3rd Před 5 měsíci +2

    Congrats ❤

  • @gaudenceassenga1900
    @gaudenceassenga1900 Před 5 měsíci +1

    Very good

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 Před 5 měsíci +2

    Safi sana binti mdogo akili kubwa, keep it up!🥳👌

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 Před 5 měsíci

      Zaina nataka nikuoe nime kupenda.

    • @zainabkazige7388
      @zainabkazige7388 Před 5 měsíci

      @@gibbs1320 😂😂😂😂lete mahari kwetu

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 Před 5 měsíci +2

    MashaAllah
    ❤❤❤
    AKA BACHUCHU Mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 Před 5 měsíci +4

    Niko hapa kujifunza

  • @amospagala6347
    @amospagala6347 Před 5 měsíci +2

    Hizi interview zinanunuliwa sky asingemtafuta huyu hana content yyt, hela imetembea

  • @ruwaydaali5144
    @ruwaydaali5144 Před 4 měsíci

    Welldone

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 5 měsíci

    Naic❤

  • @omarsalum4052
    @omarsalum4052 Před 3 měsíci

    Hongera sana sky hongera pia binti
    Upo vzuri sana but you have to learn so that you can improve on speaking unaongea kwa ufupi sana huongei kitu kwa upana zaidi

  • @songweairport7602
    @songweairport7602 Před 5 měsíci

    NC

  • @RealG-ie7sv
    @RealG-ie7sv Před 5 měsíci

    Kama Ni Chakula Wanasema WITH NO SEASONING, Hakuna Depth / Substance Still Has A Lot More To Learn Kukalia Hichi Kiti Bro, But Nice Stuff Supporting The Younger Genration, Hii Ilifaa Iwe Interview Ya Kawaida Sio Hustlers Diary.. To Be In The Hustlers Diary You Need To Have Couple Pages On Yo Hustle Diary Too.

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 Před 5 měsíci +2

      She is young, that’s already a hustle, juggling between school and business is tough,biashara ni ngumu nyie jamani, haijalishi mtu ana pesa kiasi gani. Pesa sio kila kitu kwa Businesss bali running a business ni ngumu.Business is not easy, but amestruggle mpk kucreate a profit na kuendelea kukua kibiashara mpaka hapo alipofika. So I believe this is a right title and platform for her

  • @GideonKelvin-cm5pp
    @GideonKelvin-cm5pp Před 5 měsíci

    Toa huyu usituletee, sio hustler. Kwnz tutaach fatlia ujnga wenu huu, sas watt wakxhua c weng, ebu mtuit na sis weny isa kweny makampun makubw tulzowekew na wazaz wet, mbn hamtuit

  • @mybedroom9984
    @mybedroom9984 Před 5 měsíci

    Tatizo watu wanakalili kua kufanikiwa ni mpaka kuhustle, hata kusimamia kazi ikasimama ni zaidi ya utajiri.

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation Před 5 měsíci

    Hajui kiswahilie

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 Před 5 měsíci +3

    Hii ni mali safi, huko Ukerewe wanaitaga "Beauty&Brain". Sky tutunzie hii mali

    • @jacforti3091
      @jacforti3091 Před 5 měsíci +1

      Ukerewe wanajua uchawi mambo ya elimu sio mambo yao

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q Před 5 měsíci +1

    Sky umetuzingua sana tena sana,Huyo kakuta utajiri hana cha kutwambia tuletee Muhustler

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u Před 5 měsíci +3

    Wabongo kwa roho mbaya na wivu salute 🫡 kaekezewa na wazaz wake na ww wekeza kwa watoto wako na wanajifanya wamekasirishwa na hii interview ndo wale wasihudumia watot wao

  • @estermuganda9298
    @estermuganda9298 Před 5 měsíci

    Sasa kwani wa kishua hawastahili au nini mbona sijaelewa baadhi ya comments kama za makasiriko hivi.muhimu tujifunze kama wazazi kuwafunza watoto maisha wajielewe haijalishi ni maskini au tajiri.

  • @willymaulidi3991
    @willymaulidi3991 Před 5 měsíci

    Mimi hiyo ahinipi shida .Niko USA. Kampuni minayo fanyiya kazi .BOSS wangu alisha nunua uwanja wapili anaandaa kampuni ya pili kwa niaba ya mtoto wake wapili tena mwanamke.hona sasa baba anakutegemea wewe ale hapo vipi?

  • @user-jp7ix6fc6y
    @user-jp7ix6fc6y Před 5 měsíci

    Hee kumbe huyu ana udongo wa kizungu hapo alipo ana miaka 18 kwel sky jamani 😅 ah sawa me namuombea dua

  • @victoriajoachim7271
    @victoriajoachim7271 Před 5 měsíci +2

    Mbona mtoto wangu ana miaka 18 yuko form six huo umri si sawa tu.

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 Před 5 měsíci

      Una zungumzia yule mtoto tuliye zaa wote Victoria ?! Mhhh mtoto wetu kafikisha miaka 18 kumbe jamani...

  • @user-ib7ow2zq6r
    @user-ib7ow2zq6r Před 3 měsíci

    Uyo kwao mpunga upo tuleteee mtu aliyefight kwa akili yake

  • @ZainabJolie
    @ZainabJolie Před 5 měsíci

    Angeongea kiswahili ingependeza zaidi🙃

  • @dontilapaschal2278
    @dontilapaschal2278 Před 5 měsíci

    Wakishua huyu😮

  • @Usertatu11683
    @Usertatu11683 Před 5 měsíci +3

    Mnatuletea wakishua
    Sasa huyo kapambana vp.
    Kwanza anasoma shule tu analipa milion saba na kitu.wengine kusoma secondary tumepitisha daftari tukachangiwa Ada elfu arobaini.
    Kujakupatikana miezi mitatu wenzako walishasoma wewe ndio unaenda.
    Labda mtangazaji utuambie amekuja kutangaza biashara yake,.
    Labda hapo tumejifunza ukitokea familia ya kishua kutoboa ni rahisi

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 5 měsíci

      Pambana wanao wawe wa kishua pia.. halafu watoboe kirahisi.

    • @pendothomas7258
      @pendothomas7258 Před 5 měsíci

      Huelewi hata umeongea nini. Mungu akusaidie 😢

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 Před 4 měsíci

      Acha izo ww,,,ila mwisho wa siku wafanyabiashara wote wanahitaj wateja ili kupata pesa

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před 5 měsíci

    Mtu anasoma feza si wakishua jamani huyo

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy Před 5 měsíci

    Uyo kapewa pesa bn

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Před 4 měsíci

    Hamna cha kujifunza hapa!

  • @redemptajerry5446
    @redemptajerry5446 Před 5 měsíci +2

    nauliza kama naweza kupata kwa wholesale

    • @redemptajerry5446
      @redemptajerry5446 Před 5 měsíci

      naomba tuwasiliane mimi ni mama nauza nguo pia. nimependa nguo zako sana

  • @DoreenMwanga-ne1dt
    @DoreenMwanga-ne1dt Před 5 měsíci +1

    Upuuzi huu😮 mtu amefunguliwa tayari tuletee watu waliojitafuta wenyewe sio my mom my mom🙁

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 Před 5 měsíci +1

      Mungu aje akusaidie na ww mwanao aweze kuja kukusifia kama ivo, apo ndo utaona raha ya kua mama ni nini. Lakini hutokuja kusikia iyo raha kama hujamtengenezea mtoto wako msingi mzuri😊

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 5 měsíci

      Mpuuuzi ni wewe dada....
      Pambana na wewe wanao waseme my mom my mom.

    • @pendothomas7258
      @pendothomas7258 Před 5 měsíci

      Nenda wewe uliyejitafuta ukatoe story yako 😂😂

  • @OnaTimestv
    @OnaTimestv Před 5 měsíci

    Ameshaandaliwa maisha apo anatangaza duka tu wakishua huyo hajui Njaaa huyo.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 5 měsíci

      😅😅

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 Před 5 měsíci

      Wazazi wake wamemuandalia msingi mzuri ili hiyo njaa asipate kuijua maishani mwake. Sio mpk kila mtu ateseke bana

  • @niyongendakosamuel858
    @niyongendakosamuel858 Před 5 měsíci +1

    Watoto wengine ndomana wanafanikiwa ungezaliwa kwenye familia zetu daaaaaaah unanza kujipambania at the same time unapambania familia wakati capital yenye hujapata unabahati sanaaaaaa aise unakua ulishafanyiwa savings na wazazi aiseeeeee

  • @ijsound5149
    @ijsound5149 Před 5 měsíci +3

    Unatuletea watu washaandaliwa maisha na wazee wao washua sky acha uduanzi bhana hamn cha kujifunz hapa

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 Před 5 měsíci

      Kabisaaaa

    • @rexstudio4303
      @rexstudio4303 Před 5 měsíci +2

      Wewe ndo ujifunze kuwekeza kwa mtoto wako😅, sio mzazi unauwezo alafu kizazi chako kinakua maskini, ndo familia nyingi za hapa nyumbani

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 5 měsíci

      Cha kujifunza pambana na wewe wanao wawe wakishua, uwafungulie wanao biashara au waje wafanye kazi kwenye kampuni yako.
      Lakini kwako hazikutoshi, huwezi kuona hilo

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 5 měsíci +8

    Umeniuzi bhana mtangazaji tuletee watu ambao kweli wanatafuta wenyewe

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 5 měsíci

      Anzisha channel yako na wewe ulete wa kwako...... umasikini sio sifa

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 5 měsíci

      @@rebbywealth9869 hunaakili wewe kila MTU akiwa na Chanel yake kuna MTU ataangalia Kama MTU amefanya makosa asiambiwe ??? Asiambiwe .mfano hata selikali ikikosolewa na kutoa maoni Kwa wananchi .selikali itajibu wananchi wanzishe selikali yao??.hunaakili kabisa wewe Sisi tunAcoment kulingana na kichwa cha habari kilivyo na kuangalia habari NI tofauti na kichwa cha habari.ss siyo mbumbumbu Kama wewe lazma MTU aambiwe kweli .Kama hataki ukweli aache au afunge channel yake

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 5 měsíci

      @@rebbywealth9869 kwani yeye angesema mtoto WA miaka 18 amefungiliwa Duka na wazazi wake Sisi tungeongea???

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před 5 měsíci

      Jifunze apo ili umuandalie mtt mambo mazriii . Mnapenda umasikini tu🤌

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 5 měsíci

      @@mwanaidimussa huna akili wewe Mimi nimekwambia hivo kuwa napenda umasikini Nani amekwambia Mimi masikini???tutaongea kichwa cha habari alichokiwwka nitofauti na maana halisi

  • @OnaTimestv
    @OnaTimestv Před 5 měsíci

    Maelekezo yapo home tayar kitonga tu

  • @mwanaidimussa
    @mwanaidimussa Před 5 měsíci

    Kwan kunawatoto wangapi wakishuaa wajingaaa hawajui ata kuendesha miradi ya wazazi wao !! Wapo wapo tu wanatumia pesaa hovyooo !!!!!! Jifunzeni na kwamatajiriiiiii ili watoto wenu muwafanyieee hayooooooo piaaaaa mnajua kuchamba tu …. Fyuuuuuuu

  • @user-bb2lz9fx4e
    @user-bb2lz9fx4e Před 5 měsíci +1

    Ni kweli tafuta watu low class

    • @pendothomas7258
      @pendothomas7258 Před 5 měsíci

      Kwakuwa na wewe ni low class😢

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před 5 měsíci

      Kunawatto wengi wakishua hawana ata uwezo wakuendesha walichopewa na wazaz wao … jifunze kotekote wew fyuuuu

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 5 měsíci +2

    Yani unaleta mtu ambaye kafunguliwa duka

  • @user-jf3zz7ql1y
    @user-jf3zz7ql1y Před 5 měsíci +1

    kama huyo ana miaka 18 basi mim nina minne😂

    • @giztony2009
      @giztony2009 Před 5 měsíci

      Kifua kimejaa kama mbena vyuma

    • @SnuglyLingerie1
      @SnuglyLingerie1 Před 5 měsíci

      @@giztony2009 be respectful! She is a child. Hujafa, hujaumbika . Mungu alinde kizazi chako cha leo na cha baadae

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před 5 měsíci

      Kichwa chako kimejaa kamasi

  • @mrkitaa7938
    @mrkitaa7938 Před 5 měsíci +5

    Hii interview NZURI SANA, NIMEKUWA INSPIRED NA WAZAZI WA HUYU BINTI, WAMEMTENGENEZEA MSINGII MZURI SANA.
    KUMBE UKIFANIKIWA INAWEZA IKAWA CHACHU KUBWA SANA YA MAFANIKIO YA WATOTO WAKO. LET'S KEEP FIGHT.