Video není dostupné.
Omlouváme se.

Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 04. 2023
  • Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 2
    • Kutoka kuzungusha BIL....
    Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 250

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +25

    Kwakweli hawa ndio watu wakusikiliza story za maisha yao ili tulifunze kutoka kwao Hongera kaka wewe ni shujaa😍😍❤️

  • @ereswidamoshi7404
    @ereswidamoshi7404 Před 2 měsíci +2

    Watu sahihi mwanzoni mwa biashara ni kweli kabisaaa I can testify

  • @vicentgideon4971
    @vicentgideon4971 Před rokem +10

    Swa I remember the day you wanted me to work in your office , you are a true hustler I have seen your struggle there at Mlimani City , I think In Business Failure and Mistakes are the better lessons you will ever had, keep up the spirit Swai Sawaingaaaaa✨

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +18

    Mbona sijasikia akimshukuru Mwenyezi Mungu alimsaidia kuinuka. Mtaji wa kwanza ni Mungu Vijana wenzangu naomba msisahau. Nidhamu ya Fedha na Kuepuka Matumizi ya Vilevi ndiyo Kinga Pekee ya kufanya Pesa idumu.
    🇹🇿🇹🇿

  • @alimadai6437
    @alimadai6437 Před rokem +15

    Jina la kipindi: Motivation section, hii ni kali bro Bundala

  • @sultanjames9395
    @sultanjames9395 Před rokem +10

    This guy is a genius, gari sio ngumu sana ni wenge tu ukiwa nalo. Mwenyewe nimejifunza gari kwa kusoma tu vitabu vya VETA then nikaingia kwenye chuma nikatembea, by that time nilikuwa dogo sana ndio niko form 1 enzi hizo.

  • @henrymassawe699
    @henrymassawe699 Před rokem +35

    I feel you bro, being there done that!! I went crazy and almost killed myself, too. I lost so much many money and almost went completely bankrupt. Entrepreneurship is not easy, and it is not for everyone!! but a winner never quits, and quiter never wins

  • @T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs

    Umeongea point sana kaka. Muombe Mungu akukutanishe na watu sahihi kwenye biashara yako❤️🫶

  • @jennifermmanyema6693
    @jennifermmanyema6693 Před rokem +6

    Yaan Mimi nilifel mama lishe na nikakata tamaa kumbe kuna wengine Wana mabilioneer na hawakat tamaa duhhj honger Sana Kaka na pole Sana Kwa changamoto ulizokutana nazo

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 Před rokem +4

    Uyu Jamaa Alizipaishaga Sana Crown Athlete alifanya nikaipenda crown alikua anaipamba sana alikua anazpost kali sana

  • @noelsimonmushi
    @noelsimonmushi Před 16 dny +1

    Big up home boy

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Před rokem +24

    Vipindi hivi muhimu sanaaa. Tumechoka na hawa mastaa wasio halisi. Na hawana Cha kutufunza

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Před rokem +6

    Hii series aisee iendelee kali sana tunapata inside za watu walio fikka somewhere tunapata moyo

  • @modernfarming5938
    @modernfarming5938 Před rokem +24

    Hii kipindi tuiite “Experience behind the successful Business People”

    • @emanuelsolomoni7003
      @emanuelsolomoni7003 Před rokem +2

      Jina refu sana - lets pull more creative on it. Mfano unaweze ita " stories behind titans" or " The Road to success" kama hayo yanakuwa mafupi na yako creative.

  • @anithanithaa2651
    @anithanithaa2651 Před rokem +8

    Huyu Kaka Nampenda saaaan Nmeanz kumfuatlia Tang anaanz Hustle zake ❤

  • @Bongolife255
    @Bongolife255 Před rokem +6

    Mungu akubariki Fredrick Bundala

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 Před rokem +3

    One of my best interview

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 Před rokem +5

    Learning story to a buisness man......truly ur that buisness need more thinkers than any others

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 Před rokem +5

    Very interesting 👍🏽 💯 Pole sana, ndiyo Maisha, na ndiyo ukuaji. Wishing you all the best🙏🏾 Utafika tuu!

  • @ubaoni57
    @ubaoni57 Před rokem +3

    "Rising From Adversity. Tales of Triumph And Inspiration"

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Před rokem +7

    Nimeipenda Sana hii interview jamaa yuko social sana.

  • @eveandrew7096
    @eveandrew7096 Před rokem +1

    I see myself in this story.. laini lakini naamini sana katika kupambana. Kuanguka sio kufa, kusimama tena kupo maana MUNGU yuko upande wetu.. So inspiring.

  • @amajattoys9309
    @amajattoys9309 Před rokem +4

    iite BUSINESS HOUR, Business Platform, Shule Huru

  • @yusuphkapilimka
    @yusuphkapilimka Před rokem +13

    Jina la kipindi "RISK TAKERS" , Big shout out SNS team✊

  • @anualyjonas1262
    @anualyjonas1262 Před rokem +11

    No easy life just struggle, believe through God 🙏 exactly successful

  • @pnstudiostz.
    @pnstudiostz. Před rokem +29

    Broo pole sana! Mm mwenye uliniajiri na nilipoona mambo hayaendi niliondoka japo naamini utanyanyuka tena hata zaidi ya mwanzo coz nakujua unapambana sana na unataman kila mtu aliyeko kwenye mzunguko wako nae apate, najua vijana wengi wamliman city pale wanasemaga Swai akiwa na pesa na sisi tunazo pia maana hukuwai kumtupa mtu akija ofsn kwako na shida ndo maana hata Omary aliharibu lakini hukumtimua ukaendelea kumpa nafasi na sio Ommy tu wapo wenge ambao kikawaida ungeweza kuwazuia hata kutumia ofisi yako lkn hukuwai kufanya hivyo! Una roho ya kipekee broo, Mungu yu pamoja nawe Keep Pushing

    • @norbertjoseph1
      @norbertjoseph1 Před rokem +1

      Proxy mkaliiii umetisha

    • @thelyrics9628
      @thelyrics9628 Před rokem +8

      Kama analea watu kindugu kwenye biashara ategemee kuendelea kufeli

    • @shabanigenya4708
      @shabanigenya4708 Před rokem +3

      @@thelyrics9628 anaweza asifeli ila hawezi kufanikiwa tena.

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před rokem +3

      Hii roho ndo inamrudisha nyuma, mfanyabiashara hutakiwi kuwa hivi

    • @hamzambasha6647
      @hamzambasha6647 Před rokem +3

      Hela haitaki Roho nzuri

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před rokem +2

    The true definition of the channel "simulizi na sauti"

  • @batungwanayojonathan3009

    Napenda sanaa

  • @ibrahimgreyson7829
    @ibrahimgreyson7829 Před rokem +5

    Broo nakuelewa sana weww mtupowa sana

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před 8 měsíci

    Hii itanifundisha sana. Nataka nijifunze kwa huyu jamaaa 🏆🏆🏆

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před rokem +3

    Nimependa sana yani aya mambo ndio tunayataka

  • @praygodmethod3597
    @praygodmethod3597 Před rokem +4

    Ntakipenda sana hiki kipindi na kiwe kilasiku

  • @Nathaminiafyayako
    @Nathaminiafyayako Před rokem +4

    Network marketing inatengeneza watu bora sana wakati anajieleza nilijiuliza Hii spirit aliitoa wapi alipotaja network marketing nimemuelewa sababu ya kupambana kwake

  • @willykaovela5485
    @willykaovela5485 Před rokem +2

    Jorney of hustler...@Fred Tittle

  • @LeticiaKimwaga-kh3zp
    @LeticiaKimwaga-kh3zp Před rokem +11

    Hongera sana sky kwa vipnd km hivi, vina tujenga mno. Salute mwana tech(musoma)

  • @bandorajr
    @bandorajr Před rokem +6

    Inspired before Expired

  • @salimlubuva9860
    @salimlubuva9860 Před rokem +2

    NJIA nafkiri ndo jina zuri kwa hii part ya hawa wafanyabiasha. Kwakweli ni nzuri mno😊😊

  • @vincosmeticsmarvin
    @vincosmeticsmarvin Před rokem +6

    From Dubai ,,,, safi Sana kipindi kizuri mno

  • @user-lt3fx1tl4z
    @user-lt3fx1tl4z Před 5 měsíci

    God bless you brother

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před rokem +75

    Jamaa was a serial failure kuna mambo alikua hajifunzi na kuendelea na makosa yale yale, lawama zingine ni zake mfano, kuamini watu kirahisi, umetuma hela Chunya, umewapa watu magari ya biashara waendeshe kiholela wakapata ajali mara mbili zote, umempa mtu pesa South Africa akafungwa, umempa mtu mizigo Dubai atume kwa jina lake kafariki. Mtu kufariki au kufungwa hakufanyi mizigo yako isifike unless nao biasahra zao zilikua magumashi. Leo Salam akifariki mizigo ya silent ocean itafika tu. Mo alipotekwa biashara za Mo Dewji ziliendelea kama kawa. Haya mambo inabidi yawe documented officially na yawe insured. Una spirit ya upambanaji ila unaendesha mambo kienyeji, I hope umejifunza na utabadirika, kila la kheri.

    • @eveliynejoseph7944
      @eveliynejoseph7944 Před rokem +4

      Suree

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 Před rokem +7

      Dah!! Umenikumbusha makosa yangu.

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc Před rokem +2

      @@saleheinnocent7636 Ni kujifunza na kusonga mbele mkuu.

    • @nabrycedawood6860
      @nabrycedawood6860 Před rokem +4

      Watu kama nyinyi siwqpendagi ww unabiashara gani ????

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc Před rokem +6

      @@nabrycedawood6860 Ninazo na nimefanikiwa sana tu believe that. Kutojifunza tokana na makosa ni ujinga wako huwezi mpa mtu hiyo lawama.

  • @DonSompo
    @DonSompo Před rokem +8

    Ningependa uweke podcast ya hii brother Sky maana hizi stories ni listenable hata ukiwa busy.

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv Před rokem +1

    Kuna vitu alikosea..japo bahati huwa hairudi mara mbili ila mungu anaweza msaidia tena..japo alowakuta kwenye biashara wanamcheka..kuna vitu alizidisha mazoea..ila uzuri kasoma so atatoboa tu tena..Kuanguka ndio kujifunza kwenyewe

  • @willykaovela5485
    @willykaovela5485 Před rokem +2

    The jorney of hustler(safar ya mwangaikaji)

  • @101_Didas
    @101_Didas Před rokem +5

    Ni Uongo kwa tunaomjua huyu jamaa ila ni Motivation sana kwa wasio mjua.. Piga kazi Swai Bilion mbili za mdomoni zibadilishe kuwa za benki

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před rokem +2

      Tatizo ni wa Tz tunaleta kujuana sana sio lazima uzione anazo ili umuue au ? Pata somo lake pita kule mbio

    • @reenyaysher7639
      @reenyaysher7639 Před rokem

      😂😂

    • @chiconinde8135
      @chiconinde8135 Před rokem +1

      Hata kama simjui lakini i can smell something. Anyway, siyo mbaya kwasababu sometimes tunajifunza hata kwa story za kutunga.

    • @muttae2
      @muttae2 Před rokem

      Kujifunza gari mwenyewe hapo hapo... kwa tulosoma CUBA sijui... Pia kuuza gari ndani ya masaa 2, sasa bank na mikataba na kusafiri mmmh😢😅

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Před rokem

      ​@@mayaally2512 yap

  • @newbwejuu4302
    @newbwejuu4302 Před rokem +4

    Ups and down with sns

  • @selanyikatv
    @selanyikatv Před rokem +11

    Broo anabonga ukweli mtupu mm nilikuwa nafanya bishara ndogondogo tu nilipoteza million 6 bord ya sirari nilikuwa nakosa usingiz naamka saa3 usiku saiyo yenyewe nimelala saa1 au saa2 naamka saa3 uck sinapakwenda usingiz umekat mawaz kibao nikakonda nikawa km kijiti aloo tuachen TUNALIA ila kwaungu san

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Před rokem +12

    Mheshimu sana mfanyabiashara maana akili alionayo haiwezi kumfikia mwajiriwa,alooo tunaumiza sana vichwa na ikitokea pesa inaonekana ndio apo furaha huongezeka na tunapata moyo wa kuzidisha mapambano zaid

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory7198 Před rokem +2

    Business success stories.

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před rokem +2

    Magari mtaani, keep it up bro

  • @restitutamayunga1431
    @restitutamayunga1431 Před 5 měsíci

    Pole sana ila kwa ujasiri na kusamehe yote yatakwisha ww ni jasiri big up

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 Před rokem +3

    Jina la kipindi INSPIRE TANZANIA

  • @zakiakusaja8603
    @zakiakusaja8603 Před rokem +4

    Kipindi nimekipenda😊😊

  • @shabanigenya4708
    @shabanigenya4708 Před rokem +3

    Hapo kwenye madini hapo lazima ziishe. Kudhamini mgodi sio kitu rahisi kabisa.

  • @khalifaalmugheiry9232
    @khalifaalmugheiry9232 Před rokem +4

    Unaweza kuita kipindi cha Changamoto za vijana kwenye biashara zao.

  • @user-os5zp4kd2b
    @user-os5zp4kd2b Před 9 měsíci

    respect

  • @godfreymuroba7973
    @godfreymuroba7973 Před rokem +1

    Magari mtaani

  • @Chiccoh
    @Chiccoh Před rokem +2

    Same story here 😥

  • @barakabaliza639
    @barakabaliza639 Před rokem +2

    Uyo mwamba namjua muuza magari pare opposite na mlimani city yupo poa sanaa

  • @mwisukulu1
    @mwisukulu1 Před rokem +2

    Swai (magari mtaani)

  • @sholemiano2603
    @sholemiano2603 Před rokem +1

    things we need to hear loud

  • @nkamangi4707
    @nkamangi4707 Před rokem +10

    Interesting brother nilipigwa Chunya business ya Madini 😅Mungu saidia nina ajira sweden nusu nife nilikuwa mlevi one year😅😅

    • @joharimapunda7678
      @joharimapunda7678 Před rokem +1

      Pole mimi nipo chunya makongolosi mda huu pole brother

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 Před rokem

      Sisi tumetoa mashine zetu leo wiki moja.zilikuwa inyunye mvomero. Rudio halikui.mara mwamba umejifinya.mambo nimengi.

    • @nkamangi4707
      @nkamangi4707 Před rokem +1

      @@hamadsheni8997 daa

    • @nkamangi4707
      @nkamangi4707 Před rokem

      @@joharimapunda7678 kila la kheri jamani makongolosi huko huko adi machine bado zipo shambani nahisi zimeshaoza

    • @nkamangi4707
      @nkamangi4707 Před rokem

      @@hamadsheni8997 aisee

  • @bukuruyassini
    @bukuruyassini Před 7 měsíci

    👍

  • @vincosmeticsmarvin
    @vincosmeticsmarvin Před rokem +2

    Me namuelewa Sana uyu jamaa,,, biashara ni pasua kichwa

  • @JAMALIJUMA-tt1kq
    @JAMALIJUMA-tt1kq Před rokem +3

    #Nyuma Ya Mafanikio" itakaa poa tu

  • @eliyauhaula5224
    @eliyauhaula5224 Před rokem +3

    Mm na download kabisa nisikilize vzr

  • @cyrilkimath1146
    @cyrilkimath1146 Před rokem +1

    Tuiite from hero to zero boss

  • @harmonize_tz774
    @harmonize_tz774 Před rokem +1

    Gari kumi kwa siku mara gari Ishrini na tano kwa Week yawezeka hata hyo hasara ilikuwa milion 50

  • @justnjustn6168
    @justnjustn6168 Před rokem +3

    Watu wakiwa na stress wanaenda Dubai kutuliza kichwa wew""

  • @awilali5998
    @awilali5998 Před rokem +2

    Ite LOST AND FOUND

  • @benjaminjulius6439
    @benjaminjulius6439 Před rokem +3

    TUITE, THE DREAM TO REALITY STORY.😅

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Před rokem +1

    Hiki kipindi kiitwe, Maisha halisi au maisha ya mtaani

  • @samcobbar3885
    @samcobbar3885 Před rokem +3

    Namkubali sana jamaa,magari mtaani💪💪

  • @godykilian
    @godykilian Před rokem +2

    Huyu jamaa namjua nje ndani tumesoma wote tume hustle wote dsm pia jamaa ni muimbaji mzuri kbs, tumepigwa wote na Qnet tumeshindia mihogo pale magomeni usalama na tumekaa wote geto yeye akiwa mwenyeji wangu

    • @user-rb2mu4iw1j
      @user-rb2mu4iw1j Před 5 měsíci

      Kuna mpuuzi kasema anaongea uongo hebu ww tuambie

    • @godykilian
      @godykilian Před 5 měsíci

      @@user-rb2mu4iw1j hpn ni kweli amewahi kupitia mafanikio makubwa ila kiasi cha mtaji alichowahi kufikia siwezi kujua kwa uhakika

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 Před rokem +1

    Alicho kipang mung kwako hakuna anye weza kukunyungana.
    Asante kwa story

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q Před 5 měsíci

    👍❤️❤️❤️❤️

  • @rogathengowo1099
    @rogathengowo1099 Před rokem +2

    😂😂😂😂😂nimecheka sana aisee Mungu akupe haja ya moyo wako aiseee 😂😂😂😂

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Před rokem +1

      Nikafikiri ni mm nimecheka kumbe Kuna mwehu mwngne hapa

  • @dollythesheepdolly7372
    @dollythesheepdolly7372 Před rokem +2

    Content kama content!

  • @chiefkwanza495
    @chiefkwanza495 Před rokem +1

    untold story

  • @justnicked93
    @justnicked93 Před rokem +1

    Nilimuuzia murano yangu

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem +22

    Ngoja tujifunze hapa sisi tulio fell kidg tunahis kukata tamaaa😢

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 Před rokem

      Kujifunza nijambo jema sana

    • @abiboseleman1649
      @abiboseleman1649 Před rokem

      Kujifunza nijambo jema sana

    • @mtaostephen3660
      @mtaostephen3660 Před rokem

      Kabisa aiseee

    • @nishrize9309
      @nishrize9309 Před rokem +3

      We Acha mupenz nimefel pes nilio yitumikia myaka miine irinitok kwamud mudog nikauz jumb yangu nilimeza vidong iri nijimalize sahiy nakaa kama nimechanganyikiw wacha nisikiz huy kaka wenda nikasimama ten aki God anikumbuke

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před rokem

      ​@@abiboseleman1649 Muhim saan

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Před rokem +1

    😍😍😍😍😍😍😍😍Ok

  • @mastaplan
    @mastaplan Před rokem

    Kipinde kiitwe (BE YOU)

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před rokem +4

    Huyu mwamba anaonyesha anapiga maji balaa

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 Před rokem +1

    Business s' struggle s

  • @rsautoservice984
    @rsautoservice984 Před rokem +3

    Sns ni channel ninayo ifatilia kila siku kunapo post kitu..lakini wengi wapenda maojiano ya biashara maana wengi wao ni vijana plz ..

    • @immaomarwa5122
      @immaomarwa5122 Před rokem +1

      Tupo wengi sana mb zangu zinaenda kwenue hii channel kihalali kabsa

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 Před rokem +2

    Session yetu ni 1 OR 1 ..br sky

  • @thomthegotti
    @thomthegotti Před rokem +4

    Hii session iite "Beyond the curtain"

  • @mdta8161
    @mdta8161 Před rokem +2

    Haya ndiyo mambo tunayataka maana hapa tunajifunza

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem +1

    Jina la pindi pachika hustle zangu

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary5121 Před 8 měsíci

    Nimejifunza jambo zuri sanaaaa

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Před rokem +2

    Maangaiko makali ya level ya juu, jua kali

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před rokem

    Kaka nimekukubali Sana una moyo Mzuri

  • @EllyMarua-ge8rf
    @EllyMarua-ge8rf Před 9 měsíci

    km ameweza kujua mapungufu yako utaludi kwenye line

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před rokem

    Akiwa anaongea unaona rahisi 🤣jaribu wew

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 Před rokem +1

    Nikupongeze sana Brother, Tuletee @SirjeffDenis

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před rokem +1

    Kiukweli mimi ni muhamchaga, uha ni dam lakini akili yakichaga.nilijifunza kwa kuishi moshi 2014.wachaga msinikane nimesilimu kabila

  • @edsu3092
    @edsu3092 Před rokem

    Zero to hero

  • @hijahkyomo106
    @hijahkyomo106 Před rokem

    revelation ❤

  • @eddyjunior2881
    @eddyjunior2881 Před rokem +1

    Duuuuuh 😱😱

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před rokem +2

    mbona anaongea kama mlevi? halafu kabla hujaanza interview na mgeni mpe kanuni za kukaa studio, aweke simu silent na aache kugonga meza yenye microphone kama kichaa

    • @heavenmakundi7480
      @heavenmakundi7480 Před rokem +1

      Kwani wewe hapo shida yako ni nini,😅😅watu mna makasiriko ya ajabu,we fucus na anachoongea,mengine yaache😅