Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 2

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 04. 2023
  • Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 1
    • Kutoka kuzungusha BIL....
    Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 456

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 Před rokem +42

    Hii interview imenipa Mtazamo tofaut sana kuhusu maisha. Kuvumilia, kufanya utafiti kabla sijafanya maamuzi, kusamehe na kutoamini mtu kirahisi

  • @tinomasangia5511
    @tinomasangia5511 Před rokem +23

    Hii interview ingeweza kuoneshwa na kuuzwa kws big media ili watu wajifunze katisha sana. Big up Swai🔥🔥🔥

  • @deusraphael2954
    @deusraphael2954 Před rokem +31

    Achilia mbali huu mkasa, Huyu jamaa ni story teller mzuri sana

  • @frankjohachim5405
    @frankjohachim5405 Před rokem +60

    Nimejifunza vitu vingi sana sana Kwa huyu bro asante sana bro sky Kwa hii interview yakibabe sisi wengine tumeptia vituvingi mabiashara yanaanguka na unaenda kuweka pesa kwenye kirimo unapigwa na mafriko unarudi mtaan una kitu unaanza na Moja now Tupo Asia tuna savaiv Mungu nimwema mzee..
    One love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️

  • @mitv90
    @mitv90 Před rokem +37

    Interview kama Hizi ndio zinazotakiwa kwa Sisi Vijana watafutaji Big Up Swai utafika mbali sana kwa Ujasiri ulionao

    • @Chrisblaze-beats
      @Chrisblaze-beats Před 7 měsíci +2

      Sio zile za kina dada ambao hawana maadili hata makaka nao wapo wanahojiwa adabu hawana.

  • @simonjunior7413
    @simonjunior7413 Před rokem +32

    For the first time In life I just watched a whole hour interview session🔥🙌 Big up SNS

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před rokem +13

    Uko sahihi Mr Swai; SNS is gonna be the future of the modern media in Tanzania 🇹🇿.
    Yaani naipenda style yao; just the best.

  • @ubaoni57
    @ubaoni57 Před rokem +35

    Bro Fred maji au juice would be great 😃 watu wanakaukiwa sauti

    • @TheNdaki
      @TheNdaki Před 7 měsíci +2

      This is great approach,nadhani wadau wataiona nakuifanyia kazi ndomana tunaonaga maki katika mikutano au semina kumbee

  • @halfanijuma7646
    @halfanijuma7646 Před rokem +19

    Mungu amfanyie wepesi bro, kayapitia makubwa mno. Utasimama tena. Jina la kipindi- GREAT COME BACK.

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před rokem +11

    Dah Mwenyezi Mungu azidi kukupigania na usiamuache Mungu utamiliki zaidi na zaidi

  • @mwaulambo
    @mwaulambo Před rokem +23

    Mafunzo ni mengi Sana kwenye hii interview Sky. Social media is very powerful in business, Kukata tamaa ni mwiko katika maisha

  • @dnx_Gr
    @dnx_Gr Před rokem +18

    Bro amefungua siri nyingi sana kwenye biashara mwenye kusikia na asikia! Be blessed bro🙏🏿

  • @DianaShayo-io1pz
    @DianaShayo-io1pz Před rokem +10

    Yaani umenikumbusha kitu,niliporudisha furaha yangu nimeanza kuamka tena kidogokidogo,hongera Kaka umenigusa sana

  • @juliethswai4263
    @juliethswai4263 Před rokem +6

    Kakangu Swai wewe ni fighter sana..hongera na pole na changamoto za biashara...kabla hujanunua na kuuza anza na Mungu

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b Před 4 měsíci +1

      Mungu pia kuna mda anakupa mtihan kukupima iman yako km ni wengne angeshajiua.

  • @radhidimasambiro4620
    @radhidimasambiro4620 Před rokem +32

    Mimi nilikimbiya pressure za deni moja tu nikaja south Africa nikafanikiwa kulipa big up sana kwa mama yangu kwa kunitia moyo

  • @mercyjulian2493
    @mercyjulian2493 Před rokem +5

    Best interview ever jamaa is very smart Mungu atamfanyia wepesi.

  • @liubenny8561
    @liubenny8561 Před 11 měsíci +4

    My home boys nipo hapa South Africa nimeangalia hii video yani duh swai big up sana nipo kwenye changa moto nabiashara kama hii ya magari sema nimejisikia furaha sana kuona hii yani duh I'm so happy for this

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 Před rokem +16

    Walah namkubali sana magari mtaani kwa mara ya kwanza nimeangalia interview nzima amenobadilisha mindset kaongea facts sana

  • @abdullahhamed2197
    @abdullahhamed2197 Před rokem +48

    BIASHARA zote ni nzuri na zinalipa ukiwa unasimuliwa

  • @allyayoub5060
    @allyayoub5060 Před rokem +4

    Kazi nzuri mno.
    Big up sana crew ya sns na Mr. Swai
    Life is all about learning. Tuendelee kujifunza

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +32

    Kijana muwazi na mkweli..,hawa ndio wanaume sasa. Sky is not the limit young man.

  • @Kasyetaderrick
    @Kasyetaderrick Před 7 měsíci +2

    I dont know why i missed this interview..One of the best real life expirience..Mengi sana nimejifunza..Shoutout for SNS..Mnafanya kazi nzuri sana aseee..Be blessed all

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +10

    Dah jamaa inaonekana anaroho nzuri sana, ila kapambana sana toka student to 2bil inazunguka 🙌🏾

  • @ApipaTV
    @ApipaTV Před rokem +8

    Hongera Bro Sky
    Kazi nzuri sana bro
    Unatufungulia Dunia, infos za tech kama crypto, habari, interview za kutu-energize
    You are really special

  • @samuelsolomonmaji
    @samuelsolomonmaji Před rokem +5

    SNS Huwa mnanikosha sana, keep it up the good content

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před rokem +5

    Best interview ever, sky mtafute na yule mr kuku kama atakua mkweli ana kupanda na kushuka sana yule jamaa

  • @alexpeter5423
    @alexpeter5423 Před rokem +11

    Best best ever interview ,Big lesson.

  • @rehemaelibariki9222
    @rehemaelibariki9222 Před rokem +7

    Endelea kumtegemea Mwenyezi Mungu, Utasimama tena.

  • @barickprogrammer
    @barickprogrammer Před rokem +4

    Kitu kikubwa sana bro sky unafanya, pia swai ni mtu kazi kweli, kiukweli madeni yanaua jumla, SnS ni dude kubwa, nilichokipenda unaruhusu hata kutaja watu au company bila hiyana✅✅✅✅🤛🤛🤛 nimepata kitu kikubwa leo🙏🙏🙏🙏

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly Před 4 měsíci +1

    Nmeangalia hii interview wallah ww kaka unajiamin sna kitu ambacho weng wanashindwa hongera sna Allah akunyanyue tna pole kwa changamoto za Dunia........

  • @jeremiahchriss9346
    @jeremiahchriss9346 Před rokem +11

    Ukiacha mambo kadhaa yaliyomyumbisha mwamba, Huyo dogo aliegongesha gari anawakilisha chanzo cha anguko la wajasiriamali wengi, mara nyingi tunadondoshwa na watu tunaowajali, moyo huwa mzito kumweka kando mtu unaemthamini hata kama anakupa hasara. Tuendelee kupambana bila kusahau kuwawekea mipaka wafanyakazi wetu.

  • @user-cd5qc1kk7q
    @user-cd5qc1kk7q Před 7 měsíci +3

    THIS IS ONE OF THE BEST INTERVIEW FOR YOUNG BUSINESS MEN HAVE TO LEARN.....PONGEZI SANA SWAI, MUNGU AKUBARIKI SANA NA ENDELEA KUMWAMINI MUNGU WETU.... STICK TO YOUR PRINCIPLES

  • @tranqyiltranqyil7822
    @tranqyiltranqyil7822 Před rokem +16

    Japo sijaishi sana kwenye hii dunia ila moja ya point kubwa alioongea brother hapa ni "KITU CHOCHOTE KINACHOKUPA MATOKEO HASI(NEGATIVITY) ACHANA NACHO KABISA HATA KAMA NI NGUMU VIPI PAMBANA KIACHE KWA AJILI YA FAIDA YA NAFSI YAKO.Katika kila kona ya maisha hii nadhani inaokoa sana amani ya moyo

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před rokem +17

    Ndio raha ya kufanya biashara huku kichwani uko vizuri, huyu ni Mchumi, big up sana for sharing your ups and downs, a lot of lessons 👏🏽 👏🏽 👏🏽

  • @stephanifesto7354
    @stephanifesto7354 Před rokem +3

    Swai, you are a man and a half. Roho nzuri nayo inakufanya ubarikiwe zaidi

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před rokem +5

    Kusamehe kwako kaka ALLAH atakuinua zaidi ya ulivyokuwa una roho nzuri bro

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 Před rokem +12

    Alichokisema swai nikweli hauzagi gar za kishamba na za hovyo, nilikuwa namkubali sana kipind anaanza hiyo biashara ila ilibid nimkimbia kwa hasira maana nilikuwa kwenye kujtafuta alafu mm nilikuwa nahitaji tugar twa 4+, ila kiukweli ndo mana nmefatilia mahojiano yote sababu nikir swai nimemfaham ameanzia chini sana....tumejifunza meeeng sana kupitia hili sana sana hongera kwake, ELIMU ALIYOTOA NI YAKULIPIA ILA TUMEIPATA BURE. NA KUNA KIPANDE AMEONGEA NAKICHUKUA NAKIPOST STATUS NIKIKUBWA SANA NA NNAJUA WATU WANGU WATAKISAMBAZA SANA, KIPO DAKIKA YA 38, kuhusu wanaokupga vita,

  • @reubenpaulomabula6098
    @reubenpaulomabula6098 Před rokem +4

    Nimejifunza mengi sana Asante sana brother

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Před rokem +2

    Swai nimesikiliza story yako mwanangu, nakupongeza kwa kumsamehe huyo mzee mlinzi na kijana, Mungu anasema samehe na wewe umesamehe.Mungu akuinue.

  • @bryanmussa2508
    @bryanmussa2508 Před rokem +6

    Much respect my brother sky interview Fulani ivi ya kibabe inajenga na kuelimisha, by the way kipindi hiki tukiite HARAKATI ZANGU ambacho kitakua kinagusa wajasiriamali wote wakubwa na wadogo ili tuweze kujifunza kutoka kwao yaani movement zao mwanzo mwisho

  • @beatricealexander8094
    @beatricealexander8094 Před rokem +1

    Asante kwa hii interview imenitia moyo sana namshukuru Mungu nimeanza kuwalipa wateja wangu.

  • @francissilayo.3457
    @francissilayo.3457 Před rokem +2

    Much respect bro it's really a touching life story
    Zaidi nimefurahishwa na moyo wako wa kusamehe hasa huyo mlinzi kidogo chozi linitoke kwa jinsi ulivyomsamehe

  • @JofuJoel-wy7sc
    @JofuJoel-wy7sc Před rokem +4

    swai wewe nimfano wa vijana wengi sana namimi nimepitia mengi magumu nabado napitia magumu japo kilamtu hanapitia magumu kufatana na kitu unachotafutia riziki mungu hakulinde sana

  • @godfreymwanache668
    @godfreymwanache668 Před rokem +4

    Mfano mzuri sana brother, we shoul stand up and accept the chellenges

  • @hamesmido2975
    @hamesmido2975 Před rokem +11

    You have such a good heart bro 💜 even the way you talk

  • @gloriagosbert2236
    @gloriagosbert2236 Před rokem +2

    Interview ipo very educative…. Muhoji na Mr Kuku tafadhali

  • @danielarapmoi3041
    @danielarapmoi3041 Před rokem +6

    nimependa sana kuskiza changa moto za bishara ili nijifunze SNS KAZI NZURI SANAA 🙏🙏🙏 tuletee wengi ili tujifunze sisi wenye nia kufanya biashara

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 Před rokem +3

    I can see the next Tanzanian billionaire.. big up bro.. ntakuja kununua gari kwako

  • @princemallya4085
    @princemallya4085 Před rokem +14

    Interview bora ya mwaka

  • @ireneshao7950
    @ireneshao7950 Před rokem +5

    Huyu ni tajiri mkubwa sana...ila aombe sana Mungu nakukata roho za hasara,nuksi mikosi na mabala Yesu amuinue zaid

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před rokem +6

    Stori nzuri sana inafanana Na mapito yangu kabisaaaa. MUNGU mwema sana tusikate tamaaa nimejifunza kitu kikubwa

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Před rokem +8

    Well said Young Guy. Ukiwa nacho na Kusaidia Wengine wenye Uhitaji inampendeza Mungu. Stay Blessed.

  • @eveliynejoseph7944
    @eveliynejoseph7944 Před rokem +3

    Namshukuru Mungu yaan Nina kiubahir fulan,yaan mm tu kiwepes nikutumie ela yangu kirahs nikupe ela tufanye biashara

  • @judithawadhi3510
    @judithawadhi3510 Před rokem +4

    Big up sana Swai.Hongera kwa kupambana na mapito.Aisee umenielemisha sana

  • @watundumaonlinetv8373
    @watundumaonlinetv8373 Před rokem +3

    I got some points.jamaa ameongea vzurii Sanaa💪🏿💪🏿

  • @deuskaganda7277
    @deuskaganda7277 Před rokem +13

    Very educative interview. Always, turn a challenge into an opportunity.

  • @simonseyongwe
    @simonseyongwe Před rokem +4

    Namkubali sana mwamba MAGARI mtaani anajua sana

  • @denisndaki167
    @denisndaki167 Před rokem +9

    Big up sana Swai very inspiring

  • @RATELFX
    @RATELFX Před rokem +14

    "A story behind every hustlers" jina la kipindi muhite hivyp

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem +5

    Mwamba uliniuzia rav4 kill time 2018, nadhani unanikumbuka, mbuya hapa, nakukubali sana,umenyooka

  • @shau78
    @shau78 Před rokem +6

    kila mfanyabiashara anapaswa kuangalia hii interview. God bless you Sky. God bless you Swai. Swai you are a giant na huna kiburi. watu wengi hawako tayari kufichua walipofeli ili wengine wajifunze. kuna watu wajinga watakudharau kwa sababu ya kufunguka hivi. umesema siri zako kama sadaka. Mungu akubariki. kama wewe umeweza na mie naweza

  • @ChristopherYamawasa-tn1kv

    The best interview ever Asante sana Sky

  • @adeliphinusgabone7431
    @adeliphinusgabone7431 Před rokem +8

    Safi sana,nimependa zaidi alipoona waganga na washilikina wasingemtoa kwenye changamoto zake za kibiashara safi sana.

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem +10

    Asant broh kwa kutupa somo sisi tulio huku chini tunajitafta

  • @jochachallengetv7061
    @jochachallengetv7061 Před rokem +7

    Mmetisha sana sana wakuu!! Sky na Jose mmeua, hii interview ni kiboko sana.. nitaisikiliza wiki nzima. Part 1 nimeisikiliza mara 5 hadi sasa

  • @NusrahBizimana-ry6iq
    @NusrahBizimana-ry6iq Před rokem +2

    Interview nzuri sana Allah atakuraisishia usijali Bro

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 Před 2 měsíci

    kuhudumia mgodi si mchezo mume wangu aliingizwa kingi kuhudumia mgodi akajikuta afika milioni 200 na bado hajapata kitu nikamwambia mzee achana nahii mambo bahati nzuri akanisikiliza 😢😢🥲

  • @meryglory2012
    @meryglory2012 Před rokem +3

    Asante Sana Kaka swai Mungu azidi kukupigania.

  • @mugoliciroyi5088
    @mugoliciroyi5088 Před rokem +8

    Mungu wangu ame ni jibu ku pitiya iyi interview na Furaha Ndio kila kitu ❤na nda pambana tu hadi mwisho,changamoto ni rafiki ya mafanyikio,big up kwa SKy na Asante sana kwako mupambanaji kwa ku ni tiya moyo na ku nipa nguvu

  • @winepreneur7329
    @winepreneur7329 Před rokem +8

    Hizi ndio motivation sasa...

  • @mariamkanyata6328
    @mariamkanyata6328 Před rokem +11

    Great story

  • @saidaachi8178
    @saidaachi8178 Před rokem +11

    Katika maisha yangu nafeli mara nyingi kwa kuamini watu

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Před rokem +1

      Mim pia imenikuta sana hiyo lakini nashangaa kwanini Huwa narudia kufanya haya makosa????

  • @mamavyombo4801
    @mamavyombo4801 Před rokem

    Thank you SnS❤ Shukran sana kaka @SWAI umeibua faraja kwa wengi kupitia hii interview..

  • @hashdede
    @hashdede Před rokem +19

    You have a big heart bro, congratulations

  • @niccoelias3889
    @niccoelias3889 Před rokem +8

    Big up for this interview

  • @salhaabdulrahman6323
    @salhaabdulrahman6323 Před rokem +5

    One of the best interview 🙌

  • @gsmartcreation5655
    @gsmartcreation5655 Před rokem +10

    Psychology na body language vinaweza kusema mtu akiwa anaongea ukweli na hata anapo danyanya. Nice interview, jamaa ni mpambanaji ila kuna namba ukifikisha huwezi ongea kama unaziota. Watu wenye pesa hawasemi , na wakisema unaweza usiwaelewe.

  • @lameckbuya7569
    @lameckbuya7569 Před 7 měsíci +1

    Chunya sio simple kama wengi wanavyodhani Walapesa yake si nyepesi kama mnavosimuliana UKWELI ni chunya pesa mingi watu wako nazo si zakawaida ukijidanganya we umejichanga vpesa zako miaka kadhaaa udanganywe ukaanze biashara ya madini chunya umekwisha Kwa nza utapokelewa na matapeli pili hakuna la maaana utafanya
    CHUNYA IS MY HOME
    KIBAONI

  • @yusufsuleiman7886
    @yusufsuleiman7886 Před 6 měsíci

    Kweli inanipa ujasiri kutokukata tamaa , shukran brother kwa lesson nzuri yako yamaisha

  • @khamisomary7428
    @khamisomary7428 Před rokem +5

    My best interview in this channel 🙏

  • @vincentnkana4921
    @vincentnkana4921 Před rokem +5

    Best interview inafundisha sana

  • @user-th6ud3yw7n
    @user-th6ud3yw7n Před 4 měsíci

    Daaah Asante sana swai.! najiona ni mimi kabisaa, mapito uliyo yapitia hata mimi nimepitia yani nimeanza upya kabisa. Nilikuwa na Duka Kubwa zuri sana la nguo ila nimeanguka mno sasaiv nipo oman najikusanya upya. Kikubwa ni mwiko kukata tamaa🙏

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před 4 měsíci

    Safi sana. You have a right attitude towards life and business. Posperity is yours. Thanks alot. You have inspred me. Am not gona give up too.

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Před rokem +4

    Nice motivation,

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Před rokem +2

    Wa kwanza Mimi nimeguswa mungu akubariki kaka huyu ni mfanyabiashara kweli najua ulikua namengi ya kutueleza ni vile muda haukutosha ila mungu akubariki umepanda Mbeya njema mungu atakulipa mema

  • @jescajmunuo1525
    @jescajmunuo1525 Před 4 měsíci

    Nimejifunza kitu kikubwa sana,ubarikiwe sana. Asanteni sana SnS

  • @musason1680
    @musason1680 Před rokem +3

    Jamaa nimekubali sana yuko real kabisa

  • @francomkandawile8572
    @francomkandawile8572 Před rokem +2

    Bro nimekukubali sana, una moyo mzuri.

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 Před 10 měsíci

    Hii interview imenigusa Sana nlidhan nipo pekeyangu biashara unatakiwa upambane Sana na ukubali changamoto na majina mengi utaitwa ila muhimu kumuomba mungu tu uchawi hauwezi kushinda nguvu ya mungu.. Muhimu kuomba kupata wateja sahihi bas maana wengine huwa Sio wateja.. Wanakuja kwa lengo la kukutia katika matatizo..

  • @mwanajumaomahundumla6504

    Hii cession mpya nzuri na ina mafunzo mengi. kuteleza sio kuanguka, na kukosea sio kifo, kupitia makosa unaweza kujifunza.

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před rokem +4

    Daah yani nilikuwa 1 million, nimeingia asala nimeanza 1 nisawa nazani nipogo Sana ila hapa nimekomazwa

  • @jennifermmanyema6693
    @jennifermmanyema6693 Před rokem +3

    Pole Sana Kaka binadam hatujui kuna kuanguka nimejifunza kitu kikubwa Sana kutoka kwako

  • @oryannasky8214
    @oryannasky8214 Před rokem +2

    Keep going thank you I'm also there but God is good naomba muite SkyWith buSnessTYcoon

  • @user-vg2uc3hw1v
    @user-vg2uc3hw1v Před 2 měsíci

    Hizi stor nzuri zinatufunza maisha safi sana kaka nimejifunza kitu

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Před rokem +1

    Ni kweli bro watu wa chini lazima akuseme vibaya bro
    Husipo kubali kutatua matatizo yako.
    Hakika iyo Khali Ni ngumu bro.
    Lakini ukumbuke wekeza na taasisi za Govt.
    Umebadisha maisha baada ya kujifunza kwa vitendo.

  • @roseneilally5713
    @roseneilally5713 Před rokem +3

    Nimeangalia mwanzo mwisho daaah inasikitisha pia inafraish daaah pole sn broo

  • @mucci_AI
    @mucci_AI Před rokem +8

    Mm nina maden ya design hii mamb ya advance sio poa aisee sema hii mara ya pili sina stress nafanya kazi nalipa kidogo kidgo maana wateja hawNa huruma kabisa

  • @salehabdallah2737
    @salehabdallah2737 Před 3 měsíci +1

    Jamaa nimemkubali yupo vzr

  • @mshangapeter6566
    @mshangapeter6566 Před rokem +1

    Umetema sana madini Swai,...aseee Elimu hii ni kubwa...

  • @joxeesety2616
    @joxeesety2616 Před rokem +8

    👏👏👏👏👏👏👏SALUTI saaana