Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 2
Vložit
- čas přidán 1. 04. 2023
- Kutoka kuzungusha BIL. 2 kwenye BIASHARA yake, hadi MADENI ya Mil. 700 'Nilifikiria kujiua' - PART 1
• Kutoka kuzungusha BIL....
Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Hii interview imenipa Mtazamo tofaut sana kuhusu maisha. Kuvumilia, kufanya utafiti kabla sijafanya maamuzi, kusamehe na kutoamini mtu kirahisi
Hii interview ingeweza kuoneshwa na kuuzwa kws big media ili watu wajifunze katisha sana. Big up Swai🔥🔥🔥
Achilia mbali huu mkasa, Huyu jamaa ni story teller mzuri sana
Mi nimemuelewa lakin.
For real..is a storyteller
Nimejifunza vitu vingi sana sana Kwa huyu bro asante sana bro sky Kwa hii interview yakibabe sisi wengine tumeptia vituvingi mabiashara yanaanguka na unaenda kuweka pesa kwenye kirimo unapigwa na mafriko unarudi mtaan una kitu unaanza na Moja now Tupo Asia tuna savaiv Mungu nimwema mzee..
One love from Iraq Bagdad 🇮🇶🌍✌️
😳 Iraq mzee umeweza
@@hajjiomary2383 mbona kawaida tu wa Africa tupo wengi
Kuna Moshe gani uko tuje
@@hajjiomary2383 🤣🤣🤣 daaaaaaaaaaahhhh nakweli Mzee umeweza Baghdad Iraq wewe ni hatariii
@@issansengiyumva5888 Iraq mbona fresh tu tatizo watu waoga
Interview kama Hizi ndio zinazotakiwa kwa Sisi Vijana watafutaji Big Up Swai utafika mbali sana kwa Ujasiri ulionao
Sio zile za kina dada ambao hawana maadili hata makaka nao wapo wanahojiwa adabu hawana.
For the first time In life I just watched a whole hour interview session🔥🙌 Big up SNS
Uko sahihi Mr Swai; SNS is gonna be the future of the modern media in Tanzania 🇹🇿.
Yaani naipenda style yao; just the best.
Bro Fred maji au juice would be great 😃 watu wanakaukiwa sauti
This is great approach,nadhani wadau wataiona nakuifanyia kazi ndomana tunaonaga maki katika mikutano au semina kumbee
Mungu amfanyie wepesi bro, kayapitia makubwa mno. Utasimama tena. Jina la kipindi- GREAT COME BACK.
Dah Mwenyezi Mungu azidi kukupigania na usiamuache Mungu utamiliki zaidi na zaidi
Mafunzo ni mengi Sana kwenye hii interview Sky. Social media is very powerful in business, Kukata tamaa ni mwiko katika maisha
Bro amefungua siri nyingi sana kwenye biashara mwenye kusikia na asikia! Be blessed bro🙏🏿
Yaani umenikumbusha kitu,niliporudisha furaha yangu nimeanza kuamka tena kidogokidogo,hongera Kaka umenigusa sana
Kakangu Swai wewe ni fighter sana..hongera na pole na changamoto za biashara...kabla hujanunua na kuuza anza na Mungu
Mungu pia kuna mda anakupa mtihan kukupima iman yako km ni wengne angeshajiua.
Mimi nilikimbiya pressure za deni moja tu nikaja south Africa nikafanikiwa kulipa big up sana kwa mama yangu kwa kunitia moyo
Mimi mpaka Leo napambana 😪😪😪
Dah madeni yasikie tu kwa watu 🥹
Best interview ever jamaa is very smart Mungu atamfanyia wepesi.
My home boys nipo hapa South Africa nimeangalia hii video yani duh swai big up sana nipo kwenye changa moto nabiashara kama hii ya magari sema nimejisikia furaha sana kuona hii yani duh I'm so happy for this
Walah namkubali sana magari mtaani kwa mara ya kwanza nimeangalia interview nzima amenobadilisha mindset kaongea facts sana
BIASHARA zote ni nzuri na zinalipa ukiwa unasimuliwa
Kabisa
Ukweli usio pingika
Kweli
😂😂😂
Watu tunalia kweli umenena vyema
Kazi nzuri mno.
Big up sana crew ya sns na Mr. Swai
Life is all about learning. Tuendelee kujifunza
Kijana muwazi na mkweli..,hawa ndio wanaume sasa. Sky is not the limit young man.
I dont know why i missed this interview..One of the best real life expirience..Mengi sana nimejifunza..Shoutout for SNS..Mnafanya kazi nzuri sana aseee..Be blessed all
Dah jamaa inaonekana anaroho nzuri sana, ila kapambana sana toka student to 2bil inazunguka 🙌🏾
Hongera Bro Sky
Kazi nzuri sana bro
Unatufungulia Dunia, infos za tech kama crypto, habari, interview za kutu-energize
You are really special
SNS Huwa mnanikosha sana, keep it up the good content
Best interview ever, sky mtafute na yule mr kuku kama atakua mkweli ana kupanda na kushuka sana yule jamaa
Best best ever interview ,Big lesson.
Endelea kumtegemea Mwenyezi Mungu, Utasimama tena.
Kitu kikubwa sana bro sky unafanya, pia swai ni mtu kazi kweli, kiukweli madeni yanaua jumla, SnS ni dude kubwa, nilichokipenda unaruhusu hata kutaja watu au company bila hiyana✅✅✅✅🤛🤛🤛 nimepata kitu kikubwa leo🙏🙏🙏🙏
Nmeangalia hii interview wallah ww kaka unajiamin sna kitu ambacho weng wanashindwa hongera sna Allah akunyanyue tna pole kwa changamoto za Dunia........
Ukiacha mambo kadhaa yaliyomyumbisha mwamba, Huyo dogo aliegongesha gari anawakilisha chanzo cha anguko la wajasiriamali wengi, mara nyingi tunadondoshwa na watu tunaowajali, moyo huwa mzito kumweka kando mtu unaemthamini hata kama anakupa hasara. Tuendelee kupambana bila kusahau kuwawekea mipaka wafanyakazi wetu.
THIS IS ONE OF THE BEST INTERVIEW FOR YOUNG BUSINESS MEN HAVE TO LEARN.....PONGEZI SANA SWAI, MUNGU AKUBARIKI SANA NA ENDELEA KUMWAMINI MUNGU WETU.... STICK TO YOUR PRINCIPLES
Pl
Japo sijaishi sana kwenye hii dunia ila moja ya point kubwa alioongea brother hapa ni "KITU CHOCHOTE KINACHOKUPA MATOKEO HASI(NEGATIVITY) ACHANA NACHO KABISA HATA KAMA NI NGUMU VIPI PAMBANA KIACHE KWA AJILI YA FAIDA YA NAFSI YAKO.Katika kila kona ya maisha hii nadhani inaokoa sana amani ya moyo
Ndio raha ya kufanya biashara huku kichwani uko vizuri, huyu ni Mchumi, big up sana for sharing your ups and downs, a lot of lessons 👏🏽 👏🏽 👏🏽
Swai, you are a man and a half. Roho nzuri nayo inakufanya ubarikiwe zaidi
Kusamehe kwako kaka ALLAH atakuinua zaidi ya ulivyokuwa una roho nzuri bro
Alichokisema swai nikweli hauzagi gar za kishamba na za hovyo, nilikuwa namkubali sana kipind anaanza hiyo biashara ila ilibid nimkimbia kwa hasira maana nilikuwa kwenye kujtafuta alafu mm nilikuwa nahitaji tugar twa 4+, ila kiukweli ndo mana nmefatilia mahojiano yote sababu nikir swai nimemfaham ameanzia chini sana....tumejifunza meeeng sana kupitia hili sana sana hongera kwake, ELIMU ALIYOTOA NI YAKULIPIA ILA TUMEIPATA BURE. NA KUNA KIPANDE AMEONGEA NAKICHUKUA NAKIPOST STATUS NIKIKUBWA SANA NA NNAJUA WATU WANGU WATAKISAMBAZA SANA, KIPO DAKIKA YA 38, kuhusu wanaokupga vita,
Nimejifunza mengi sana Asante sana brother
Swai nimesikiliza story yako mwanangu, nakupongeza kwa kumsamehe huyo mzee mlinzi na kijana, Mungu anasema samehe na wewe umesamehe.Mungu akuinue.
Much respect my brother sky interview Fulani ivi ya kibabe inajenga na kuelimisha, by the way kipindi hiki tukiite HARAKATI ZANGU ambacho kitakua kinagusa wajasiriamali wote wakubwa na wadogo ili tuweze kujifunza kutoka kwao yaani movement zao mwanzo mwisho
Asante kwa hii interview imenitia moyo sana namshukuru Mungu nimeanza kuwalipa wateja wangu.
Much respect bro it's really a touching life story
Zaidi nimefurahishwa na moyo wako wa kusamehe hasa huyo mlinzi kidogo chozi linitoke kwa jinsi ulivyomsamehe
swai wewe nimfano wa vijana wengi sana namimi nimepitia mengi magumu nabado napitia magumu japo kilamtu hanapitia magumu kufatana na kitu unachotafutia riziki mungu hakulinde sana
Mfano mzuri sana brother, we shoul stand up and accept the chellenges
You have such a good heart bro 💜 even the way you talk
Interview ipo very educative…. Muhoji na Mr Kuku tafadhali
nimependa sana kuskiza changa moto za bishara ili nijifunze SNS KAZI NZURI SANAA 🙏🙏🙏 tuletee wengi ili tujifunze sisi wenye nia kufanya biashara
I can see the next Tanzanian billionaire.. big up bro.. ntakuja kununua gari kwako
Interview bora ya mwaka
Huyu ni tajiri mkubwa sana...ila aombe sana Mungu nakukata roho za hasara,nuksi mikosi na mabala Yesu amuinue zaid
Stori nzuri sana inafanana Na mapito yangu kabisaaaa. MUNGU mwema sana tusikate tamaaa nimejifunza kitu kikubwa
Kweli ndugu yangu
Well said Young Guy. Ukiwa nacho na Kusaidia Wengine wenye Uhitaji inampendeza Mungu. Stay Blessed.
Namshukuru Mungu yaan Nina kiubahir fulan,yaan mm tu kiwepes nikutumie ela yangu kirahs nikupe ela tufanye biashara
Big up sana Swai.Hongera kwa kupambana na mapito.Aisee umenielemisha sana
I got some points.jamaa ameongea vzurii Sanaa💪🏿💪🏿
Very educative interview. Always, turn a challenge into an opportunity.
Namkubali sana mwamba MAGARI mtaani anajua sana
Big up sana Swai very inspiring
"A story behind every hustlers" jina la kipindi muhite hivyp
Mwamba uliniuzia rav4 kill time 2018, nadhani unanikumbuka, mbuya hapa, nakukubali sana,umenyooka
kila mfanyabiashara anapaswa kuangalia hii interview. God bless you Sky. God bless you Swai. Swai you are a giant na huna kiburi. watu wengi hawako tayari kufichua walipofeli ili wengine wajifunze. kuna watu wajinga watakudharau kwa sababu ya kufunguka hivi. umesema siri zako kama sadaka. Mungu akubariki. kama wewe umeweza na mie naweza
The best interview ever Asante sana Sky
Safi sana,nimependa zaidi alipoona waganga na washilikina wasingemtoa kwenye changamoto zake za kibiashara safi sana.
Asant broh kwa kutupa somo sisi tulio huku chini tunajitafta
Mmetisha sana sana wakuu!! Sky na Jose mmeua, hii interview ni kiboko sana.. nitaisikiliza wiki nzima. Part 1 nimeisikiliza mara 5 hadi sasa
This is true life story
Interview nzuri sana Allah atakuraisishia usijali Bro
kuhudumia mgodi si mchezo mume wangu aliingizwa kingi kuhudumia mgodi akajikuta afika milioni 200 na bado hajapata kitu nikamwambia mzee achana nahii mambo bahati nzuri akanisikiliza 😢😢🥲
Asante Sana Kaka swai Mungu azidi kukupigania.
Mungu wangu ame ni jibu ku pitiya iyi interview na Furaha Ndio kila kitu ❤na nda pambana tu hadi mwisho,changamoto ni rafiki ya mafanyikio,big up kwa SKy na Asante sana kwako mupambanaji kwa ku ni tiya moyo na ku nipa nguvu
👍
Hizi ndio motivation sasa...
Great story
Katika maisha yangu nafeli mara nyingi kwa kuamini watu
Mim pia imenikuta sana hiyo lakini nashangaa kwanini Huwa narudia kufanya haya makosa????
Thank you SnS❤ Shukran sana kaka @SWAI umeibua faraja kwa wengi kupitia hii interview..
You have a big heart bro, congratulations
Big up for this interview
One of the best interview 🙌
Psychology na body language vinaweza kusema mtu akiwa anaongea ukweli na hata anapo danyanya. Nice interview, jamaa ni mpambanaji ila kuna namba ukifikisha huwezi ongea kama unaziota. Watu wenye pesa hawasemi , na wakisema unaweza usiwaelewe.
Smart
Point yako kwamb jamaa muongo
Chunya sio simple kama wengi wanavyodhani Walapesa yake si nyepesi kama mnavosimuliana UKWELI ni chunya pesa mingi watu wako nazo si zakawaida ukijidanganya we umejichanga vpesa zako miaka kadhaaa udanganywe ukaanze biashara ya madini chunya umekwisha Kwa nza utapokelewa na matapeli pili hakuna la maaana utafanya
CHUNYA IS MY HOME
KIBAONI
Kweli inanipa ujasiri kutokukata tamaa , shukran brother kwa lesson nzuri yako yamaisha
My best interview in this channel 🙏
Best interview inafundisha sana
Daaah Asante sana swai.! najiona ni mimi kabisaa, mapito uliyo yapitia hata mimi nimepitia yani nimeanza upya kabisa. Nilikuwa na Duka Kubwa zuri sana la nguo ila nimeanguka mno sasaiv nipo oman najikusanya upya. Kikubwa ni mwiko kukata tamaa🙏
Safi sana. You have a right attitude towards life and business. Posperity is yours. Thanks alot. You have inspred me. Am not gona give up too.
Nice motivation,
Wa kwanza Mimi nimeguswa mungu akubariki kaka huyu ni mfanyabiashara kweli najua ulikua namengi ya kutueleza ni vile muda haukutosha ila mungu akubariki umepanda Mbeya njema mungu atakulipa mema
Nimejifunza kitu kikubwa sana,ubarikiwe sana. Asanteni sana SnS
Jamaa nimekubali sana yuko real kabisa
Bro nimekukubali sana, una moyo mzuri.
Hii interview imenigusa Sana nlidhan nipo pekeyangu biashara unatakiwa upambane Sana na ukubali changamoto na majina mengi utaitwa ila muhimu kumuomba mungu tu uchawi hauwezi kushinda nguvu ya mungu.. Muhimu kuomba kupata wateja sahihi bas maana wengine huwa Sio wateja.. Wanakuja kwa lengo la kukutia katika matatizo..
Hii cession mpya nzuri na ina mafunzo mengi. kuteleza sio kuanguka, na kukosea sio kifo, kupitia makosa unaweza kujifunza.
Daah yani nilikuwa 1 million, nimeingia asala nimeanza 1 nisawa nazani nipogo Sana ila hapa nimekomazwa
Pole Sana Kaka binadam hatujui kuna kuanguka nimejifunza kitu kikubwa Sana kutoka kwako
Keep going thank you I'm also there but God is good naomba muite SkyWith buSnessTYcoon
Hizi stor nzuri zinatufunza maisha safi sana kaka nimejifunza kitu
Ni kweli bro watu wa chini lazima akuseme vibaya bro
Husipo kubali kutatua matatizo yako.
Hakika iyo Khali Ni ngumu bro.
Lakini ukumbuke wekeza na taasisi za Govt.
Umebadisha maisha baada ya kujifunza kwa vitendo.
Nimeangalia mwanzo mwisho daaah inasikitisha pia inafraish daaah pole sn broo
Mm nina maden ya design hii mamb ya advance sio poa aisee sema hii mara ya pili sina stress nafanya kazi nalipa kidogo kidgo maana wateja hawNa huruma kabisa
Jamaa nimemkubali yupo vzr
Umetema sana madini Swai,...aseee Elimu hii ni kubwa...
👏👏👏👏👏👏👏SALUTI saaana