KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO
Vložit
- čas přidán 4. 01. 2024
- Usisahau ku"SUBSCRIBE" CZcams channel yetu kwa videos nyinginezo
KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO
#zamaraditv #mambonimengi - Zábava
Wasanii kwa maisha ya kugezana, nimelipenda hili zoezi la wasanii kuanza kuonesha nyumba walizojenga, bora muanze kugezana manbo ya maana. Waja mna maneno 'kaongea uongo jamani', hata kama wewe utasemaje hizi taa kaka yangu kanipa. Kaka yake mwenyewe kasema amembariki. Alivyosema ni sawa tu. Ni aina ya mtu alivyo, hata alivyokuwa anawataja wengine ktk maelezo ya nyumba yake sio sawa, unafikiri ana shida nao. Nyumba iwe ya kheri na familia yake, na Mungu amsaidie.
Waha wengi wakichoka maisha kigoma wanakimbilia morogoro😂😂😂
Kaka yuko vizuri
😂😂😂😂Et anavyocheza ndo broo anachukia. Na mm ndo napendaga nimuone anavyoingia ofisin akicheza, hata kipind nisiposkiliza ila nimuone mwijaku anacheza 🤣🤣.
Inamaana mkiziitaji hizo taa kaka yke atawauzia apo pia keshakuwa chawa wa brother ake
Jaman kuhusu taa msishangae huyu jamaaa kila angle yupo kazin sema nyny hamuelewi, iyo taa zmetoka china bas iyo china ndio uyo kaka yke😂😂😂😂
Anatangazaaa bisha yake watu waajuwee kuwa morogoro kunadukaa zuri la taa ni nzuri sana
Huyu ndio kasema ukweli sasa😂😂😂
Kasema taa amenunua china moja laki7😂😂
Nawe Kaka Umezingua Bola Ukae Kimia Mambo Mengine
Kumbe taa zimetoka kwa broo 😂😂😂
😂sasa Mwijaku kwann atudanganyee woi
Kaka ni handsome hebu tueleze unafanya kaz wap?😊
na kafanana nae kila kitu mpaka simama yake kutotulia
Siyo kila kitu uyu anakoremeo
Taa za China mwana anaongea mnoo kumbe taa za msamvu
Wemeshanza kujichanganya. Mara taa zitoke china mara zitoke morogoro.....suala la muda tu
Bro handsome MaashaAllah
Kbs yupo vzr😝
Saleh mimi nataka taa ya mzee wa ngenga nimeilewa na feni humo humo 😂
hata mimi nimepanda lile feni pamoja nataa
Mm pia ni nzuri mno
Na mziki pia mwenyewe nimelipenda
Kaka nae yaleyale tupigieni picha tuwape bei ya hizo taaa
Kaka yake Yuko sahihi Hana Kona kona
Nakuona Nuba Batton hongereni
Wow! Brother handsome ❤
hata mimi handsome
Very handsome
Am more hansome than him try me you will know what i meant
Ka ka ushaharibu mwenyewe kajigamba kanunua pesa si kidogo atachambwa ndugu yako
Huyo atakae mchamba stakua fala km ww, we mjumba unatisha ule alfu ufungue domo lako!!!??😂😂
wadogo zangu hao mtaa wa uhuru
Izo Etage hamtiye njia ya watu wenye matatizo ya migu, siku weye mwenye nyumba utakuwa na shida ya migu, utapanda aje? Utahama awo utaishia cini. 😂😂, swimming ya ju 😂😂 tia njia ata kilema aweze kupanda. Nyumba utayikimbia we mwenyewe.
yule Mwemba (Mwijaku) kaongea uongo alipoulizwa kuhusu taa,kumbe karibia zote amepewa bure na Brother wake.
Sasa hata kama kapewaa Bure lakin brother kanunua ndioo maanaa Katia Hisabu nyote
@@rizikiabdalla2501 Uongo kiisilamu nimbaya kuliko zinaa
@@rizikiabdalla2501ulimsikia lkn alivyosema kachagua china taa gani anunue akanunua badae kapewa huyu kanunua yy elewa maneno yao 😂😂😂
Hawa jamaa wasikuumize kichwa
Uongo upi? Maana hata huyo alompa kasema zimetoka china na bei ni laki7 kama alivyosema mwijaku
Kaka taa za 30,000 zpi tn taa mwijaku kanunua china moja 700k ww tn unasema umemubark tn ambazo zpo out of time?😂
Bro kuna taa kampatia mdogo wake za laki saba,kuna za laki nane,na nyingine ndogo ndogo za elfu 30,
Na wala hajasema out of time Bali kasema ni taa za kisasa ambazo zimekaa muda mrefu dukani kwake sababu watu wameshindwa kununua kutokana na gharama za hzo taa kuwa kubwa