KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 01. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" CZcams channel yetu kwa videos nyinginezo
    KAKA YAKE MWIJAKU AKIELEZA ALIVYOMCHANGIA TAA MWIJAKU/SIPENDI TABIA YA KUCHEZA NA KUVUA NGUO
    #zamaraditv #mambonimengi
  • Zábava

Komentáře • 48

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l Před 6 měsíci +4

    Wasanii kwa maisha ya kugezana, nimelipenda hili zoezi la wasanii kuanza kuonesha nyumba walizojenga, bora muanze kugezana manbo ya maana. Waja mna maneno 'kaongea uongo jamani', hata kama wewe utasemaje hizi taa kaka yangu kanipa. Kaka yake mwenyewe kasema amembariki. Alivyosema ni sawa tu. Ni aina ya mtu alivyo, hata alivyokuwa anawataja wengine ktk maelezo ya nyumba yake sio sawa, unafikiri ana shida nao. Nyumba iwe ya kheri na familia yake, na Mungu amsaidie.

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Před 7 měsíci +4

    Waha wengi wakichoka maisha kigoma wanakimbilia morogoro😂😂😂

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 7 měsíci +3

    Kaka yuko vizuri

  • @Fx_expertmoneymaker001
    @Fx_expertmoneymaker001 Před 6 měsíci +1

    😂😂😂😂Et anavyocheza ndo broo anachukia. Na mm ndo napendaga nimuone anavyoingia ofisin akicheza, hata kipind nisiposkiliza ila nimuone mwijaku anacheza 🤣🤣.

  • @user-nz4lx1hr2w
    @user-nz4lx1hr2w Před 7 měsíci +1

    Inamaana mkiziitaji hizo taa kaka yke atawauzia apo pia keshakuwa chawa wa brother ake

  • @user-nz4lx1hr2w
    @user-nz4lx1hr2w Před 7 měsíci +3

    Jaman kuhusu taa msishangae huyu jamaaa kila angle yupo kazin sema nyny hamuelewi, iyo taa zmetoka china bas iyo china ndio uyo kaka yke😂😂😂😂

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před 7 měsíci

      Anatangazaaa bisha yake watu waajuwee kuwa morogoro kunadukaa zuri la taa ni nzuri sana

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 Před 7 měsíci +2

    Huyu ndio kasema ukweli sasa😂😂😂

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 7 měsíci +1

    Kasema taa amenunua china moja laki7😂😂

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 6 měsíci

    Nawe Kaka Umezingua Bola Ukae Kimia Mambo Mengine

  • @user-fi9gm2et5r
    @user-fi9gm2et5r Před 7 měsíci

    Kumbe taa zimetoka kwa broo 😂😂😂

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 Před 7 měsíci

    😂sasa Mwijaku kwann atudanganyee woi

  • @zuwenaabdallah7748
    @zuwenaabdallah7748 Před 6 měsíci

    Kaka ni handsome hebu tueleze unafanya kaz wap?😊

  • @Aiisha901
    @Aiisha901 Před 7 měsíci +3

    na kafanana nae kila kitu mpaka simama yake kutotulia

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před 7 měsíci +2

    Taa za China mwana anaongea mnoo kumbe taa za msamvu

  • @samiramohamed5925
    @samiramohamed5925 Před 7 měsíci

    Bro handsome MaashaAllah

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 7 měsíci +4

    Saleh mimi nataka taa ya mzee wa ngenga nimeilewa na feni humo humo 😂

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 Před 6 měsíci

    Kaka nae yaleyale tupigieni picha tuwape bei ya hizo taaa

  • @alexjosephmambo6990
    @alexjosephmambo6990 Před 7 měsíci +1

    Kaka yake Yuko sahihi Hana Kona kona

  • @MariaSengo-cn5bx
    @MariaSengo-cn5bx Před 7 měsíci

    Nakuona Nuba Batton hongereni

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 Před 7 měsíci

    Wow! Brother handsome ❤

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 Před 7 měsíci +2

    Ka ka ushaharibu mwenyewe kajigamba kanunua pesa si kidogo atachambwa ndugu yako

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 Před 7 měsíci

      Huyo atakae mchamba stakua fala km ww, we mjumba unatisha ule alfu ufungue domo lako!!!??😂😂

  • @kizegakizega8073
    @kizegakizega8073 Před 7 měsíci

    wadogo zangu hao mtaa wa uhuru

  • @kadibebe7128
    @kadibebe7128 Před 7 měsíci +1

    Izo Etage hamtiye njia ya watu wenye matatizo ya migu, siku weye mwenye nyumba utakuwa na shida ya migu, utapanda aje? Utahama awo utaishia cini. 😂😂, swimming ya ju 😂😂 tia njia ata kilema aweze kupanda. Nyumba utayikimbia we mwenyewe.

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy Před 7 měsíci +7

    yule Mwemba (Mwijaku) kaongea uongo alipoulizwa kuhusu taa,kumbe karibia zote amepewa bure na Brother wake.

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před 7 měsíci +1

      Sasa hata kama kapewaa Bure lakin brother kanunua ndioo maanaa Katia Hisabu nyote

    • @fahadfahmy
      @fahadfahmy Před 7 měsíci

      @@rizikiabdalla2501 Uongo kiisilamu nimbaya kuliko zinaa

    • @Official83640
      @Official83640 Před 7 měsíci +1

      ​@@rizikiabdalla2501ulimsikia lkn alivyosema kachagua china taa gani anunue akanunua badae kapewa huyu kanunua yy elewa maneno yao 😂😂😂

    • @user-qz2sk3is9c
      @user-qz2sk3is9c Před 7 měsíci +1

      Hawa jamaa wasikuumize kichwa

    • @halimaamani8958
      @halimaamani8958 Před 6 měsíci +1

      Uongo upi? Maana hata huyo alompa kasema zimetoka china na bei ni laki7 kama alivyosema mwijaku

  • @andrewmachage9102
    @andrewmachage9102 Před 7 měsíci +1

    Kaka taa za 30,000 zpi tn taa mwijaku kanunua china moja 700k ww tn unasema umemubark tn ambazo zpo out of time?😂

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 Před 7 měsíci

      Bro kuna taa kampatia mdogo wake za laki saba,kuna za laki nane,na nyingine ndogo ndogo za elfu 30,

    • @halimaamani8958
      @halimaamani8958 Před 6 měsíci

      Na wala hajasema out of time Bali kasema ni taa za kisasa ambazo zimekaa muda mrefu dukani kwake sababu watu wameshindwa kununua kutokana na gharama za hzo taa kuwa kubwa