Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: Chef Kile afunguka alivyoacha kazi na kuwa Mjasiriamali wa chakula, atoa siri za mafanikio

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 04. 2023
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 34

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem +9

    Kuna broo wangu mmoja aliuza nyumba akanunua gari ana scania 10 ukimwambia kujenga anakwambia mbeleni anamiaka 50 ndoto zake kubwa Leo Dada umekuelewa anafanana na broo love Dada kamgisha

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před rokem +1

    daaaaah somo zuri sana sana la kuelimisha MUNGU awabaeiki saana saaaana

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 Před 10 měsíci

    Host yuko vizuri,anachokoza mada vizuri na anauliza maswali direct

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo Před rokem +1

    Du mtangazaji una macho mazuri maswari 👍🇹🇿

  • @zainabayubu1070
    @zainabayubu1070 Před 3 měsíci

    ❤ kipindi

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 Před rokem +1

    Kile akili kubwaaaaaz

  • @hopesengo6972
    @hopesengo6972 Před rokem

    Madini Sana Chef Kile 🙏🙏

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Asante sana

  • @agripinamatinya3436
    @agripinamatinya3436 Před rokem

    Nice bro..!madini sana

  • @oasis_schools
    @oasis_schools Před 8 měsíci

    Chef Kile na Irene nitawatafuta. Kile una madini.

  • @romanuskunzugala2096
    @romanuskunzugala2096 Před rokem

    Good point ndyo iyo kama kitu kipo ndani yako utaweza tuu kama hakipo ni hakipo

  • @chai_r
    @chai_r Před rokem +1

    In the end this was off topi, thought the interview was entrepreneurship and not relationship matches. Strange.

  • @rodgersgregory7198
    @rodgersgregory7198 Před rokem +1

    Irene: Maswali mazuri sana umeuliza

  • @tulizomusafiri310
    @tulizomusafiri310 Před 2 měsíci

    dADA KWANINI HUWEKI HATA NAMBA YA SMU?

  • @josephatjosephat7448
    @josephatjosephat7448 Před rokem +2

    uwekezaji kwanza

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem

    Aje tena amenigusa sana hasa suala la kuacha kazi hadi kujiajiri safi nilipitiachicho kipindi

  • @filberthendry2651
    @filberthendry2651 Před rokem +1

    Unasoma vitabu vitabu gani Kaka nilitaka na mimi nivisome kwa sababu na m ni mpish

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před rokem

    Biashara nzuri sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    👊👍

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před rokem

    Nakupenda kile

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před rokem

    huyo jamaa aalokwen tena ana mambgo mazur saan saana

  • @EagleCrown-pb9qv
    @EagleCrown-pb9qv Před rokem +1

    Work smart not hard 🤔

  • @allymihigo5293
    @allymihigo5293 Před rokem

    Bro uko vzr sanaaaa

  • @prudencemushi6948
    @prudencemushi6948 Před rokem

    Sns namba 1

  • @omaraliali1268
    @omaraliali1268 Před rokem

    Dada vipi mbona unalazimisha kwenda kwenye mambo ya mapezi wakati jamaa ana darasa kubwa na sio wewe tu wandishi wengi munafanya hivyo

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před rokem +1

    Kiukweli nimemsikiliza huyu mzee hana hoja nzito ambazo zinaweza kukuxpire katika maisha,ety anakwambia mfanya kazi alieajiriwa anaweza kukopa then akajenge what😮

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před rokem

      Pagumu apo

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab Před rokem

      @@BigZhumbe Sana bora angeniambia afanye tathmini ya biashara fulani kisha akakope ili afanye biashara alioitathmini hapo inaingia akilini ila akakope ajenge mkopo unaisha nyumba haijaisha na hela hana kitaalamu itaitwa aje hiyo

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem

    Kamugisha wewe,Acha tu dah
    Nakuelewaga sana

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před rokem +2

    SNS hamna vitu vya maana zaid ya habar za kina giggy money na rushyner wa manara leten vitu vya maana🤣 vya maana vikiletwa sasa comment 15 24hr ago viewers 50😂alaf za kina mwijaku koment 200 dakika 20 viwers kibaoo, watanzania nin mnachotaka embu kuweni wawazi mnataka nin 🤣🤣🤣