Mchungaji mungu akubaliki Sanaa waafrka tungekuwa wote tumeelewa kuwa kutafuta pesa na kusali sio kuwaza maombi tu eti mungu atafanya miujiza hapo ndio tulipokwama walioendea wote wanawaza kutafuta tu.
Unafufua tumaini jipya kwa kila anayekuckiliza, usiache kusema hadi Mungu atakapochukua pumzi yke. Mungu akupe miaka zaidi neno lake lizidi kutamalaki.
Kwanini hizi media hazina maadili,unajua wasifu wa mtu unaenda kumtembela lakini wewe unaenda kinyume na madili, Huyu ni mchungaji mwenye mafunzo ya kimungu kijamii basi na wewe Kaa mkao wa kuelimisha kimavazi na hata madili Yako
Yani nyie watangazaji au wandishi wakutafuta habari sjui mkoje! Sasa nyumba nayo ni kitu chakushangaa mpaka kuhoji mtu kafanyaje? Ndo maana huwa nawaambia kila sku! Nyie watanzania bado sana! Mtu unashangaa nyumba! Shangaa mtu kujenga meli, kununua ndege! Kitu kama nyumba au gari mbona vya kawaida sana hivyo!
Nakupenda sana mchungaji hananja una mafunzo mazuri sana mungu akubariki kwa nguvu zote
Huyu mchungaji Mungu kampa karama ya kipekee
Mungu wetu mwema akubariki sana
Napenda sana kumsikiliza huyu mzee! i get everything from him; I lough, I learn e.t.c
Amina Mchungaji,barikiwa sana kwa maneno yenye hekima
Mchungaji ananibariki lakini huyu dada hafai kwa jamii ya wakristo hana adabu kbisa unavaaje ivo nyumban kwa mchungaji shukru Mungu ni mzee.
mchungaji Mwenyezi Mungu akutie nguvu vijana wako tunajifunza kutoka kwako
Mungu akuzidishie umri baba Mimi ni muislam Ila nakuelewa sana mchungaji Hananja
Mwandishi ulitakiwa kumsalimia sio kumwambia heshima yako, chenga Sana ndg mwandishi.
Amen. Munge akubariki Mchungaji na huduma yako.
Ishi sana Pastor! Karibu tena KCMC
Amen. Asante sana
Ubarikiwe Baba Mchungaji 🙏
Napenda maisha ya Maaskofu wetu wana elimu ya kushiba na wala hawatafuti ufahari kwenye mitandao❤❤❤
Mungu akubariki sana kwa Massage nzito kwa Vijana 😍🙏
Ur words always medicine to my heart more annoiting pastor😅
Mchungaji huko vzr sana unasema kweli kabisa
Mchungaji mungu akubaliki Sanaa waafrka tungekuwa wote tumeelewa kuwa kutafuta pesa na kusali sio kuwaza maombi tu eti mungu atafanya miujiza hapo ndio tulipokwama walioendea wote wanawaza kutafuta tu.
Asante mchungaji kwa wote wenye kupokea mafunzo yako wainuliwe wote wanao yasikiliza kutuinuwa kufanya kazi ktk kuomba Amina mchungaji
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Appriciet..Mzee dini mambo mengi wakt zimeletwa...😄😄 Nakubaliiii unawachana...sana Kuishi mara moja tyu...tunao 😄
Ubarikiwe sana baba Hananja
Hongera sana na kupata veema sana ni kiwa saudi Arebia 💓🇸🇦
AMEEEN AMEEEN MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WAMUNGU AMEEEN AMEEEN
have long laifu babaaaa🙌🙌
Mungu akubariki , akuongezee maisha marefu
muwe mnava vizuri mkienda kwa watumishi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mwenzako anatumia sadaka na hazina Kodi Wala tozo
Unafufua tumaini jipya kwa kila anayekuckiliza, usiache kusema hadi Mungu atakapochukua pumzi yke. Mungu akupe miaka zaidi neno lake lizidi kutamalaki.
Mze baba nakuelewa sana. Karibu tena Namanga border.
Huyu mchungaji anazungumza kweli kabisa, nimempenda.
B mmmm h1423
Nakuombea Hakika Mungu akupe mwisho mwemaaa Hakika
Mtangazaji ningekuwa mm ningekufukuza unaenda kumuhoji mchungaji umevaa mapaja nje
Safi sana mchungaji
Duuuh' mch' mungu azidixhe kwako"
Aki ww Mzee love you for free non stop talker i say barikiwa
Amen 🙏🙏🙏God bless you somuch Amen
Huyu ni pastor na nusu
Asante mchungaji mungu akusimamie
Ubalikiwe sana Baba
Ubarikiwe kwa kweli
Noma sana
Mtangazaji upo vizuri kwa sauti na maswali yenye uweledi tatizo mpangilio wa mavazi hapa nivae nini pale nivaeje
Kabisa,hata mimi nimemnanga,kila vazi lina sehemu yake
kama vijana wezangu munamuelewa huyuu mjungaji links zeen jaman 👋👋
Ok
Nyinyi waandishi wa habari munakwenda kwa mchungaji Kisha unavaa kama unakwenda Kwa msanii wa bongo vleva
Nimekuelewa mkuu sana
Ila nimejifunza jambo hakika sito choka kupambana
Mchungaji yuko vzr
Maombi yanafungua njia
Maombi yanahamasisha
Maombi ni kama chumvi kwenye chakula
Unaenda kwa mchungaji umevaa suruali tena ya kubana,baba mwenyewe kavaa kiheshima
Unavaa nguo za kihun kwa mchungaj
Afu kichafuchafu iki kidada
Kweli kabisa 😀😀😀
🤝💪
Mzee sijamaliza interview Ila nimekwelewa sana
Jamani nimepata kitu mimi kama kijana
Safi sana
Amen
Mungu akubariki sana Mchungaji
Heshima yako vipi?sema shikamoo
Hajui ata kuamkia huyu adabu yake ipo chini
Vaa nguo za heshima maana unaenda kuntembelea mweshimiwa
Fact
Ubarikiwe Hananja
Mchungaji hananja umetishaa meseji yk imetufikia binafsi nakukubali mnooooo
Mwandishi unapokwenda kwa mtu Kama huyo nenda nguo za heshima. Mch. Ana matunzo Sana hasa kwa vijana
Mungu Yu mwema
MunguKuzidishie miaka
Mchungaji bana
Kweli Dunia imeharibika unaenda najinsi ya michango kwa mtumishi
Kwa kweli zingatia basi dada mwandxh mavazi ck nyingne pole lkn.
Kuwa mtu wa maana unajitengeneza
Iwe na nasafa kisaha pozi siyo ndiyo....sgr
🙏
Mimi hapa muslamu lakini namkubali huyu jamaa.. anaongea ukweli..ndugu zangu tumsikilize..yuko real
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Uhakika mzee
Mchungaji mwenye busara sana huyu!
Hii media ni bure kabisa unaenda kufanya interview na mchungaji umevaa suruwali imetoboka magotini yaani hujui kujifananisha na mazingira
😃😃😃
Sichoki kumsikiliza Hananja anamafundisha mazuli
Heshima yako ndio salamu gani?
Punguza ushauri , kila mtu ana mambo yake ..
Punguza ushauri , kila mtu ana mambo yake ..
Kwahyo nasisi tuwe na nyumba Kama ya hananja? Kuwen na intro nzuri
Aliipata kwa njia gani???
DARASA HURU
Mwishoni imenibidi nicheke sio kwa ubaya
Computer 🖥️
Kobe Ana nyumba yake
😂😂😂😂we kaz yako nikuacha
Et eshima yako ndo nn baba yako ndo unavyo msalimia uko kwenu
Mbavu zangu matufali umeniiba kweli
Unaongea pumba. Kwamba mchungaji kumiliki mjengo na Kijana kumiliki mjengo kipi cha ajabu??
Tunge kuwa na wazee kama hawa 10 tusinge kata tamaa
Mimi muimbaji plomo mnaenseshaje
yan nyie kila nyumba ni jumba la kifahari
Nyumba ya kujengewa ni saw na mtumba wa mnadani
Yaani kweli napenda mafunzo yako pastor!!!
@pendo uyo ni tom boy
ninashida yakwenda kanisani kwamchungaji uyo maana namkubali sana ila sujui kanisalake liko wapi naomba mnielekeze
🤣🤣🤣🤣Nakwer tukitoka kanisani kawe kwenye usafiri mtiyani🙏
😅😅😅😅😅😅
Uyu mzee anaongea pont kubwa mno yakimaisha nakiroho na anafundisha nakukutia moyo SISI vijana
Kwanini hizi media hazina maadili,unajua wasifu wa mtu unaenda kumtembela lakini wewe unaenda kinyume na madili, Huyu ni mchungaji mwenye mafunzo ya kimungu kijamii basi na wewe Kaa mkao wa kuelimisha kimavazi na hata madili Yako
Barikiwa sana mchungaji, Kazi yako nzuri ni UWAZI NA UKWELI . Injili ni neno Hai
Ninakukubali Mchungaji!
🎉
,
Huyu dada hajielewi anaishi kwankuiga haendani na mazingira
Mchungaji uko vizuri sana ila mwanahabari unauliza mawsali ambayo majibu yake unayo.kuhusu nyumba na gari kwa umri huo unahoji nini hapo?
Hana la maana,mzee kama huyu alitaka apange,kwanza alikua mtumishi wa umma kabla ya uchungaji
Mwanahabari hajiekewi
Mchungaji unaongea harakaharaka
SI Kila aitwaye mchungaji ndiye
🤣🤣🤣🤣🤣
Yani nyie watangazaji au wandishi wakutafuta habari sjui mkoje! Sasa nyumba nayo ni kitu chakushangaa mpaka kuhoji mtu kafanyaje? Ndo maana huwa nawaambia kila sku! Nyie watanzania bado sana! Mtu unashangaa nyumba! Shangaa mtu kujenga meli, kununua ndege! Kitu kama nyumba au gari mbona vya kawaida sana hivyo!
Sasa wewe si uendelee na uzungu wako utuache watanzania na yetu.. kinakuuma nini !?
Dish lako limeyumba?
Mzeeee huwa unanipa nguvu ya kupambana Sana
We ndo hujapata kitu ila wengine tume input madini
Kama huwapi kazi shetani anawapa kaz daaah umejua kunichekesha sana mchungaji hahahaha
all in all anaongea too much🙃
🤣🤣🤣🤣🤣