UTAPENDA MAISHA YA MCHUNGAJI HANANJA, JUMBA LA KIFAHARI, NIMECHIMBA DHAHABU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 01. 2023

Komentáře • 126

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +13

    Nakupenda sana mchungaji hananja una mafunzo mazuri sana mungu akubariki kwa nguvu zote

  • @haroldtarimo8399
    @haroldtarimo8399 Před rokem +6

    Huyu mchungaji Mungu kampa karama ya kipekee
    Mungu wetu mwema akubariki sana

  • @TheMakala21
    @TheMakala21 Před rokem +3

    Napenda sana kumsikiliza huyu mzee! i get everything from him; I lough, I learn e.t.c

  • @reginameitavan4032
    @reginameitavan4032 Před rokem +4

    Amina Mchungaji,barikiwa sana kwa maneno yenye hekima

  • @jackmeshack
    @jackmeshack Před rokem +1

    Mchungaji ananibariki lakini huyu dada hafai kwa jamii ya wakristo hana adabu kbisa unavaaje ivo nyumban kwa mchungaji shukru Mungu ni mzee.

  • @geofreymasija7170
    @geofreymasija7170 Před rokem +8

    mchungaji Mwenyezi Mungu akutie nguvu vijana wako tunajifunza kutoka kwako

  • @user-yp3he9qg1s
    @user-yp3he9qg1s Před 4 měsíci

    Mungu akuzidishie umri baba Mimi ni muislam Ila nakuelewa sana mchungaji Hananja

  • @wiseman845
    @wiseman845 Před rokem +3

    Mwandishi ulitakiwa kumsalimia sio kumwambia heshima yako, chenga Sana ndg mwandishi.

  • @eliyamanandi1133
    @eliyamanandi1133 Před rokem +1

    Amen. Munge akubariki Mchungaji na huduma yako.

  • @upendo82
    @upendo82 Před rokem +3

    Ishi sana Pastor! Karibu tena KCMC

  • @elisaezra
    @elisaezra Před rokem +2

    Ubarikiwe Baba Mchungaji 🙏

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 Před 6 měsíci

    Napenda maisha ya Maaskofu wetu wana elimu ya kushiba na wala hawatafuti ufahari kwenye mitandao❤❤❤

  • @upendomsuya8961
    @upendomsuya8961 Před rokem +1

    Mungu akubariki sana kwa Massage nzito kwa Vijana 😍🙏

  • @faithmarcho-yf3sb
    @faithmarcho-yf3sb Před rokem +3

    Ur words always medicine to my heart more annoiting pastor😅

  • @GraceHyera-pb4lk
    @GraceHyera-pb4lk Před měsícem

    Mchungaji huko vzr sana unasema kweli kabisa

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru Před rokem +2

    Mchungaji mungu akubaliki Sanaa waafrka tungekuwa wote tumeelewa kuwa kutafuta pesa na kusali sio kuwaza maombi tu eti mungu atafanya miujiza hapo ndio tulipokwama walioendea wote wanawaza kutafuta tu.

    • @festonwilly
      @festonwilly Před rokem +1

      Asante mchungaji kwa wote wenye kupokea mafunzo yako wainuliwe wote wanao yasikiliza kutuinuwa kufanya kazi ktk kuomba Amina mchungaji

  • @ziyadanyandwi2908
    @ziyadanyandwi2908 Před rokem +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @negredorapha7591
    @negredorapha7591 Před rokem

    Appriciet..Mzee dini mambo mengi wakt zimeletwa...😄😄 Nakubaliiii unawachana...sana Kuishi mara moja tyu...tunao 😄

  • @user-pk5re8hj9o
    @user-pk5re8hj9o Před 7 měsíci +1

    Ubarikiwe sana baba Hananja

  • @nasambulilian380
    @nasambulilian380 Před rokem

    Hongera sana na kupata veema sana ni kiwa saudi Arebia 💓🇸🇦

  • @gracealexander1450
    @gracealexander1450 Před rokem +1

    AMEEEN AMEEEN MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WAMUNGU AMEEEN AMEEEN

  • @aureusnchimbi7243
    @aureusnchimbi7243 Před rokem +2

    have long laifu babaaaa🙌🙌

  • @peterbalyagati7834
    @peterbalyagati7834 Před rokem

    Mungu akubariki , akuongezee maisha marefu

  • @BensonBen-ce5wd
    @BensonBen-ce5wd Před měsícem

    muwe mnava vizuri mkienda kwa watumishi

  • @tajirimichael6242
    @tajirimichael6242 Před rokem +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Před rokem +1

    Mwenzako anatumia sadaka na hazina Kodi Wala tozo

  • @nemeskulaya3962
    @nemeskulaya3962 Před rokem

    Unafufua tumaini jipya kwa kila anayekuckiliza, usiache kusema hadi Mungu atakapochukua pumzi yke. Mungu akupe miaka zaidi neno lake lizidi kutamalaki.

  • @damiangarang1900
    @damiangarang1900 Před rokem +1

    Mze baba nakuelewa sana. Karibu tena Namanga border.

  • @dominicrobert266
    @dominicrobert266 Před rokem +1

    Huyu mchungaji anazungumza kweli kabisa, nimempenda.

  • @yagwishaheke2524
    @yagwishaheke2524 Před rokem +1

    Nakuombea Hakika Mungu akupe mwisho mwemaaa Hakika

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 Před rokem +2

    Mtangazaji ningekuwa mm ningekufukuza unaenda kumuhoji mchungaji umevaa mapaja nje

  • @lilianchuwa4324
    @lilianchuwa4324 Před rokem +1

    Safi sana mchungaji

  • @halfankipande9903
    @halfankipande9903 Před rokem

    Duuuh' mch' mungu azidixhe kwako"

  • @aishahaisha4941
    @aishahaisha4941 Před rokem

    Aki ww Mzee love you for free non stop talker i say barikiwa

  • @nasambulilian380
    @nasambulilian380 Před rokem

    Amen 🙏🙏🙏God bless you somuch Amen

  • @zambanirockfirefightingsupplys
    @zambanirockfirefightingsupplys Před 7 měsíci +1

    Huyu ni pastor na nusu

  • @martndeus6326
    @martndeus6326 Před rokem

    Asante mchungaji mungu akusimamie

  • @meshackmathias2198
    @meshackmathias2198 Před rokem

    Ubalikiwe sana Baba

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před rokem

    Ubarikiwe kwa kweli

  • @ChristopherSeti
    @ChristopherSeti Před 2 měsíci

    Noma sana

  • @mwajumakitoro8582
    @mwajumakitoro8582 Před rokem

    Mtangazaji upo vizuri kwa sauti na maswali yenye uweledi tatizo mpangilio wa mavazi hapa nivae nini pale nivaeje

    • @user-tz1pj6wx1m
      @user-tz1pj6wx1m Před 7 měsíci

      Kabisa,hata mimi nimemnanga,kila vazi lina sehemu yake

  • @seyugajii1978
    @seyugajii1978 Před rokem +2

    kama vijana wezangu munamuelewa huyuu mjungaji links zeen jaman 👋👋

  • @husseinally4932
    @husseinally4932 Před 6 měsíci

    Nyinyi waandishi wa habari munakwenda kwa mchungaji Kisha unavaa kama unakwenda Kwa msanii wa bongo vleva

  • @fredrickkaaya
    @fredrickkaaya Před rokem

    Nimekuelewa mkuu sana

  • @jumakassim1690
    @jumakassim1690 Před rokem +1

    Ila nimejifunza jambo hakika sito choka kupambana

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    Mchungaji yuko vzr

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před rokem +1

    Maombi yanafungua njia
    Maombi yanahamasisha
    Maombi ni kama chumvi kwenye chakula

  • @user-tz1pj6wx1m
    @user-tz1pj6wx1m Před 7 měsíci

    Unaenda kwa mchungaji umevaa suruali tena ya kubana,baba mwenyewe kavaa kiheshima

  • @jonasmalungu3922
    @jonasmalungu3922 Před rokem +3

    Unavaa nguo za kihun kwa mchungaj

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Před rokem

    Kweli kabisa 😀😀😀

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před rokem +1

    🤝💪

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před rokem

    Mzee sijamaliza interview Ila nimekwelewa sana

  • @user-mr9sl6rf9e
    @user-mr9sl6rf9e Před 5 měsíci

    Jamani nimepata kitu mimi kama kijana

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev Před 6 měsíci

    Safi sana

  • @oscarmkumbo7451
    @oscarmkumbo7451 Před rokem

    Amen

  • @aliethmgode389
    @aliethmgode389 Před rokem

    Mungu akubariki sana Mchungaji

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Před rokem +3

    Heshima yako vipi?sema shikamoo

  • @user-tz1pj6wx1m
    @user-tz1pj6wx1m Před 7 měsíci

    Vaa nguo za heshima maana unaenda kuntembelea mweshimiwa

  • @justiceshelukindo
    @justiceshelukindo Před rokem

    Fact

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    Ubarikiwe Hananja

    • @ephraimnkemwa9862
      @ephraimnkemwa9862 Před rokem

      Mchungaji hananja umetishaa meseji yk imetufikia binafsi nakukubali mnooooo

    • @catherinemhagama7505
      @catherinemhagama7505 Před rokem

      Mwandishi unapokwenda kwa mtu Kama huyo nenda nguo za heshima. Mch. Ana matunzo Sana hasa kwa vijana

  • @georgejacson
    @georgejacson Před rokem

    Mungu Yu mwema

  • @daudykasherente8667
    @daudykasherente8667 Před rokem +1

    Mchungaji bana

  • @lucymwakitalima8033
    @lucymwakitalima8033 Před rokem +3

    Kweli Dunia imeharibika unaenda najinsi ya michango kwa mtumishi

    • @freddynyamwala3440
      @freddynyamwala3440 Před rokem

      Kwa kweli zingatia basi dada mwandxh mavazi ck nyingne pole lkn.

  • @tajirimichael6242
    @tajirimichael6242 Před rokem +1

    Kuwa mtu wa maana unajitengeneza

  • @switbertchambulikazi3372

    Iwe na nasafa kisaha pozi siyo ndiyo....sgr

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    🙏

  • @Abdulhaqamin-vy5kn
    @Abdulhaqamin-vy5kn Před 6 měsíci

    Mimi hapa muslamu lakini namkubali huyu jamaa.. anaongea ukweli..ndugu zangu tumsikilize..yuko real

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Před rokem

    🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @user-ur3pw2rw8r
    @user-ur3pw2rw8r Před 6 měsíci

    Uhakika mzee

  • @benedictaustard5583
    @benedictaustard5583 Před rokem

    Mchungaji mwenye busara sana huyu!

  • @baghabaghaingwengwe1750

    Hii media ni bure kabisa unaenda kufanya interview na mchungaji umevaa suruwali imetoboka magotini yaani hujui kujifananisha na mazingira

  • @williammockey800
    @williammockey800 Před rokem +1

    😃😃😃

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Před rokem

    Sichoki kumsikiliza Hananja anamafundisha mazuli

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Před rokem +4

    Heshima yako ndio salamu gani?

    • @bryanlimbi326
      @bryanlimbi326 Před rokem

      Punguza ushauri , kila mtu ana mambo yake ..

    • @bryanlimbi326
      @bryanlimbi326 Před rokem

      Punguza ushauri , kila mtu ana mambo yake ..

  • @matendoandrewmgeni1135
    @matendoandrewmgeni1135 Před rokem +1

    Kwahyo nasisi tuwe na nyumba Kama ya hananja? Kuwen na intro nzuri

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před rokem

    DARASA HURU

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Před rokem

    Mwishoni imenibidi nicheke sio kwa ubaya

  • @yagwishaheke2524
    @yagwishaheke2524 Před rokem

    Computer 🖥️

  • @ramadhaniseifuledi513

    Kobe Ana nyumba yake

  • @jumakassim1690
    @jumakassim1690 Před rokem

    😂😂😂😂we kaz yako nikuacha

  • @malkiagaspa4534
    @malkiagaspa4534 Před rokem

    Et eshima yako ndo nn baba yako ndo unavyo msalimia uko kwenu

  • @alfonsimwalongo9164
    @alfonsimwalongo9164 Před rokem

    Mbavu zangu matufali umeniiba kweli

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před rokem

    Unaongea pumba. Kwamba mchungaji kumiliki mjengo na Kijana kumiliki mjengo kipi cha ajabu??

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 Před rokem

    Tunge kuwa na wazee kama hawa 10 tusinge kata tamaa

  • @alexshabani2830
    @alexshabani2830 Před rokem

    Mimi muimbaji plomo mnaenseshaje

  • @patrickpgm6369
    @patrickpgm6369 Před rokem

    yan nyie kila nyumba ni jumba la kifahari

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 Před 6 měsíci

      Nyumba ya kujengewa ni saw na mtumba wa mnadani

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 Před rokem

    Yaani kweli napenda mafunzo yako pastor!!!

  • @imanidemai5863
    @imanidemai5863 Před rokem

    @pendo uyo ni tom boy

    • @salhamohamedi6167
      @salhamohamedi6167 Před rokem

      ninashida yakwenda kanisani kwamchungaji uyo maana namkubali sana ila sujui kanisalake liko wapi naomba mnielekeze

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣Nakwer tukitoka kanisani kawe kwenye usafiri mtiyani🙏

  • @jumahalifa6436
    @jumahalifa6436 Před rokem

    Uyu mzee anaongea pont kubwa mno yakimaisha nakiroho na anafundisha nakukutia moyo SISI vijana

  • @kivatirokitojo657
    @kivatirokitojo657 Před rokem +15

    Kwanini hizi media hazina maadili,unajua wasifu wa mtu unaenda kumtembela lakini wewe unaenda kinyume na madili, Huyu ni mchungaji mwenye mafunzo ya kimungu kijamii basi na wewe Kaa mkao wa kuelimisha kimavazi na hata madili Yako

  • @reginaldtarimo-kf1ye
    @reginaldtarimo-kf1ye Před rokem

    Mchungaji uko vizuri sana ila mwanahabari unauliza mawsali ambayo majibu yake unayo.kuhusu nyumba na gari kwa umri huo unahoji nini hapo?

    • @user-tz1pj6wx1m
      @user-tz1pj6wx1m Před 7 měsíci

      Hana la maana,mzee kama huyu alitaka apange,kwanza alikua mtumishi wa umma kabla ya uchungaji

    • @user-tz1pj6wx1m
      @user-tz1pj6wx1m Před 7 měsíci

      Mwanahabari hajiekewi

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před rokem

    Mchungaji unaongea harakaharaka

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 Před rokem +3

    Yani nyie watangazaji au wandishi wakutafuta habari sjui mkoje! Sasa nyumba nayo ni kitu chakushangaa mpaka kuhoji mtu kafanyaje? Ndo maana huwa nawaambia kila sku! Nyie watanzania bado sana! Mtu unashangaa nyumba! Shangaa mtu kujenga meli, kununua ndege! Kitu kama nyumba au gari mbona vya kawaida sana hivyo!

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Před rokem

    Kama huwapi kazi shetani anawapa kaz daaah umejua kunichekesha sana mchungaji hahahaha

  • @emanuelkisanga3429
    @emanuelkisanga3429 Před rokem

    all in all anaongea too much🙃

  • @piliibrahim4057
    @piliibrahim4057 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣