MAPYA YAIBUKA WANAOFANYA SURGERY MATATANI ZAIDI KWA KIFO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 06. 2024

Komentáře • 20

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv Před 5 dny +7

    Dada letu tuna kupenda sana ndugu zako waislamu kwahilo vazi maashaalllahu

  • @user-jh7ru2sl6p
    @user-jh7ru2sl6p Před 5 dny +6

    Unapendeza sasa sasa mtangazaji wetu stara inakufanya uwe mrembo sana

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před dnem

    Sikuhizi mtangazaji unapendeza.👏

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c Před 5 dny +3

    Tatizo lipo kwa Watanzania wakike ,Kila kitu kinachoingia tunakupokea kwa Miko 2 bila kujua na kujali afya, pia tuangalie upande w2 wanao tuletea hizi huduma wao wanazitumia au Watanzania ni Kama jalala?!

  • @user-tw7qm5mw4b
    @user-tw7qm5mw4b Před 3 dny

    Wanamkosoa sana mwenyezi Mungu wafege tu kwakweli na hao madaktari jamani wapatage hofu ya mwenyezi Mungu wamekua kama Mungu watu ewe mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema maana daa watu wana force mpaka dhambi

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před 5 dny +2

    Dk umeongea point kwawenye akili tumekupata vizuri ,,,kwamba ukishafanya surgery huo ni mwanzo tu bado utahitajika kwenda tu khitilafu Inajitokeza kila kukicha 😂😂😂 wanataka kumkosoa mungu

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 4 dny +2

    Umevaa vizur sio kila siku upo kama chizi

    • @RynoFiree
      @RynoFiree Před 4 dny +1

      Tumia lugha nzuri 😮😮

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Před 5 dny +1

    Sio kujificha dada utaftaji ni mgumu hivyo unaona ukashinde kituoni ushinde njaa na watoto au ukatafute ule na watoto😢

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před 5 dny

    Hatari sana hii

  • @Marjeby
    @Marjeby Před 2 dny

    Nyie Mbengo online tv narudia tena kangalieni sana haka katangazaji kana waacha muda sio mwingi cz soko letu kubwa nowadays linataka presenter wa aina yake so wangalieni wakubwa

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 4 dny +2

    Bora wakifanyiwa wote wafe

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w Před 5 dny

    Wangejua familia zilizofiwa na wale vijana maumivu zinayoyapitia

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Před 4 dny

    Bure ukipata kuonana nadocta labda ulale apo apo

  • @naifathassan2607
    @naifathassan2607 Před 2 dny

    Jamani mnanitisha me nishalipia kufanya tummy tuck

    • @mshambaused3840
      @mshambaused3840 Před 2 dny +1

      😂😂😂Nenda achana na ushauri wadokt

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 Před dnem

      Kuna wakati nilianza kuwekeza hela nikapata ushauri wa doctors mmmh!! Nikala hela yangu.haya mambo kuna wakati inatisha ukifikiria kwenda theatre bila kuumwa.mmmmh!!!

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Před 36 minutami

      Ushaur mzr😂😂😂​@@mshambaused3840