Uwongo unajua nn fremanson msanii mzima usijue frimanson ww?ila ulivo unavotowa filam unakua sirias sana haifananii nakuvaa urembo kaka,na pia usanii usikufanye ukabadilika iman,hapo ni 2 kuwa mchawi kwel au kuwa shoga maana mwanaume havai urembo huo kaka unaturejesha nyuma kuamin kazi zako.wakat tunakupenda sana.
Na huwez sema hujui freemason ni nin halafu umeigiza uhusika wa freemason hapo ni uongo lazima uigize kitu ambacho una Idea nacho saw tu na kuigiza mapenz lazima uwe unajua mapenz ni kitu gan!!
Kuna Jambo...sio bure....nimeogopa aisee.....alafu vile kazi ya wrong house inasonga tofauti kabisa na vile boss mchawi ilikuwa......ningesema mengi ila ndio hivyo sina lawyer😂😂😂😂
Mungu akusimamie boss mchawi unaweza sano🎉🎉🎉🎉
Wanazingua sana hao wanakaa week nzima wanatoa ep inadak kumi na moja11 washaa anza kufanya watakavyo hawaskiliz mashabik
Namkubali sana huyu mwamba unajuwa sana❤🎉
Uwongo unajua nn fremanson msanii mzima usijue frimanson ww?ila ulivo unavotowa filam unakua sirias sana haifananii nakuvaa urembo kaka,na pia usanii usikufanye ukabadilika iman,hapo ni 2 kuwa mchawi kwel au kuwa shoga maana mwanaume havai urembo huo kaka unaturejesha nyuma kuamin kazi zako.wakat tunakupenda sana.
Host amezama kwa maswali yasiyo muhimu kuliko kutufanya watazamaji tumfahamu boss mchawi
Mbona haumulizi maswali ya umuhimu mulize boss mchawi season2 inakuja lini
Hahaaaha au vip😂
So boss mchawi bado yaendelea ama ndoivo
mimi naisi jamaa anausika na freem😮
Na huwez sema hujui freemason ni nin halafu umeigiza uhusika wa freemason hapo ni uongo lazima uigize kitu ambacho una Idea nacho saw tu na kuigiza mapenz lazima uwe unajua mapenz ni kitu gan!!
boss mchawe upewe mau yako kwa kweli ww na AR ❤❤
Nakuona Na shoga baba 🪓🪓
Huyo freemason 😁😁
Penye ukweli uongo hujificha ila mwenye macho haambiwi tazama
HUYU MWAMBA NI BONGE LA MSANII OYAAAEEEEE UNAPITA _"+MULEMULE+"😂😂😂❤❤
yaaan uyu jamaaa anatisha ata apo me naweza kumuogopa
Sikwer unavyovaivo nisahihi ukiwa ushaingia kwashetani huwezivaivo kama haujaingia hautakubaritu uripenda😢😢😢
Dah! huyu jamaa anatisha
Salama
Boss mchawi hongera Sana brother 😂
Mie n mkenya napenda kufwatilia filamu zao lakini wanachelewa sana kwanza kazi za RK
Aseme 😂😂😂😂
Dada unajiamini sana
Nikimpata huyu live nitakimbia mbio 😂😂
jamaaa kweli anajua kuigiza sana
Mwanaume umevaa Urembo....Ina maana wataka upendeze .....????!!!!
Uyo kijana ni chawi wa fremasson
Binadamu ukibarikiwa na mungu tuu ushakua frimason mna shida nyie 😅😅
Kuna Jambo...sio bure....nimeogopa aisee.....alafu vile kazi ya wrong house inasonga tofauti kabisa na vile boss mchawi ilikuwa......ningesema mengi ila ndio hivyo sina lawyer😂😂😂😂
Mm ata nilimuona naogopa jamani😢
Wote tusha hona zingin zinatuka ni nzur t na awachelew
Nalichukia sana hili jamaa
Kwanin jamani 😂😂😂
Weee asitudanganye
Nyinyi mwapenda kuekelea watu ujinga 😏
Hapana huwezi vaa hizo vitu na utudanganye wewe si Freemason
Me huwa navutiwa na urembo wa huyo reporter
Apan mnachelewesh t na inaponza saaana maana tusha hanza kukata tamaa
Hawasemagi, mnatulia mb za bure
hat mimi nikikutana nakukimbia unatisha bhana we
Namuogopa ata nikimkuta live...😂😂
Huyu jamaa kama shoga stail zake mbona
Na venye nimetafuta hii comment
hizo pete asilimia kubwa wachawi
hoyo jama anatisha