BOSS MCHAWI AWEKA WAZI KUJIUNGA NA FREEMASON

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2024

Komentáře • 49

  • @Salma-uz4gl
    @Salma-uz4gl Před dnem

    Mungu akusimamie boss mchawi unaweza sano🎉🎉🎉🎉

  • @timilaistevensteven8469
    @timilaistevensteven8469 Před 8 dny +6

    Wanazingua sana hao wanakaa week nzima wanatoa ep inadak kumi na moja11 washaa anza kufanya watakavyo hawaskiliz mashabik

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před 9 dny +6

    Namkubali sana huyu mwamba unajuwa sana❤🎉

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu Před 8 dny +6

    Uwongo unajua nn fremanson msanii mzima usijue frimanson ww?ila ulivo unavotowa filam unakua sirias sana haifananii nakuvaa urembo kaka,na pia usanii usikufanye ukabadilika iman,hapo ni 2 kuwa mchawi kwel au kuwa shoga maana mwanaume havai urembo huo kaka unaturejesha nyuma kuamin kazi zako.wakat tunakupenda sana.

  • @Mushalotelevisionkiswahili

    Host amezama kwa maswali yasiyo muhimu kuliko kutufanya watazamaji tumfahamu boss mchawi

  • @FundiAyo
    @FundiAyo Před 8 dny +7

    Mbona haumulizi maswali ya umuhimu mulize boss mchawi season2 inakuja lini

  • @Shauringowah
    @Shauringowah Před 7 hodinami

    So boss mchawi bado yaendelea ama ndoivo

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises Před 17 hodinami

    mimi naisi jamaa anausika na freem😮

  • @timilaistevensteven8469
    @timilaistevensteven8469 Před 8 dny +1

    Na huwez sema hujui freemason ni nin halafu umeigiza uhusika wa freemason hapo ni uongo lazima uigize kitu ambacho una Idea nacho saw tu na kuigiza mapenz lazima uwe unajua mapenz ni kitu gan!!

  • @daulatbosmau6769
    @daulatbosmau6769 Před 4 dny

    boss mchawe upewe mau yako kwa kweli ww na AR ❤❤

  • @robertcheruiyot318
    @robertcheruiyot318 Před 3 dny

    Nakuona Na shoga baba 🪓🪓

  • @abdulkaoneka7368
    @abdulkaoneka7368 Před dnem

    Huyo freemason 😁😁

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před 8 dny +1

    Penye ukweli uongo hujificha ila mwenye macho haambiwi tazama

  • @Berenaldo77
    @Berenaldo77 Před 3 dny

    HUYU MWAMBA NI BONGE LA MSANII OYAAAEEEEE UNAPITA _"+MULEMULE+"😂😂😂❤❤

  • @IBRAHIMMAKWETAMOPAO
    @IBRAHIMMAKWETAMOPAO Před 8 dny +1

    yaaan uyu jamaaa anatisha ata apo me naweza kumuogopa

  • @GathonieJian
    @GathonieJian Před 3 dny

    Sikwer unavyovaivo nisahihi ukiwa ushaingia kwashetani huwezivaivo kama haujaingia hautakubaritu uripenda😢😢😢

  • @anointedfrederick
    @anointedfrederick Před 3 dny

    Dah! huyu jamaa anatisha

  • @AdijasaideSaide
    @AdijasaideSaide Před 9 hodinami

    Salama

  • @zakariawilliam-3816
    @zakariawilliam-3816 Před 6 dny

    Boss mchawi hongera Sana brother 😂

  • @sharkzprince37
    @sharkzprince37 Před 6 dny

    Mie n mkenya napenda kufwatilia filamu zao lakini wanachelewa sana kwanza kazi za RK

  • @JASTINMTEWA-vn9pl
    @JASTINMTEWA-vn9pl Před 9 dny +1

    Aseme 😂😂😂😂
    Dada unajiamini sana

  • @brishkim
    @brishkim Před 3 dny

    Nikimpata huyu live nitakimbia mbio 😂😂

  • @user-vq8cl4vr1v
    @user-vq8cl4vr1v Před 4 dny

    jamaaa kweli anajua kuigiza sana

  • @user-to1it9hk2z
    @user-to1it9hk2z Před 9 dny

    Mwanaume umevaa Urembo....Ina maana wataka upendeze .....????!!!!

  • @Arlindo144s2
    @Arlindo144s2 Před 8 dny

    Uyo kijana ni chawi wa fremasson

  • @FatmaMohammad-vd3jb
    @FatmaMohammad-vd3jb Před 5 dny

    Binadamu ukibarikiwa na mungu tuu ushakua frimason mna shida nyie 😅😅

  • @MichellJohn-zk1hp
    @MichellJohn-zk1hp Před 9 dny

    Kuna Jambo...sio bure....nimeogopa aisee.....alafu vile kazi ya wrong house inasonga tofauti kabisa na vile boss mchawi ilikuwa......ningesema mengi ila ndio hivyo sina lawyer😂😂😂😂

  • @SandyDee-xc6ok
    @SandyDee-xc6ok Před 4 dny

    Mm ata nilimuona naogopa jamani😢

  • @user-ii1ym5fe7j
    @user-ii1ym5fe7j Před 9 dny

    Wote tusha hona zingin zinatuka ni nzur t na awachelew

  • @Mushalotelevisionkiswahili

    Nalichukia sana hili jamaa

    • @jajaQueeny
      @jajaQueeny Před 19 hodinami

      Kwanin jamani 😂😂😂

  • @JescaCollins
    @JescaCollins Před 4 dny

    Weee asitudanganye

  • @EmilykuvunaKonzi
    @EmilykuvunaKonzi Před 8 dny

    Nyinyi mwapenda kuekelea watu ujinga 😏

  • @jorambranchofmud6299
    @jorambranchofmud6299 Před 7 dny

    Hapana huwezi vaa hizo vitu na utudanganye wewe si Freemason

  • @presenttv1127
    @presenttv1127 Před 8 dny

    Me huwa navutiwa na urembo wa huyo reporter

  • @user-ii1ym5fe7j
    @user-ii1ym5fe7j Před 9 dny

    Apan mnachelewesh t na inaponza saaana maana tusha hanza kukata tamaa

  • @BenMahende
    @BenMahende Před 8 dny

    Hawasemagi, mnatulia mb za bure

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 Před 9 dny

    hat mimi nikikutana nakukimbia unatisha bhana we

  • @EverMassawe-o9c
    @EverMassawe-o9c Před 9 dny

    Namuogopa ata nikimkuta live...😂😂

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Před 8 dny +1

    Huyu jamaa kama shoga stail zake mbona

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 Před 9 dny

    hizo pete asilimia kubwa wachawi

  • @ABELZAILE
    @ABELZAILE Před 8 dny

    hoyo jama anatisha