Video není dostupné.
Omlouváme se.
Fix You: Unamtongozaje Mwanamke ikiwa una domo zege? Kwanini wanaume wanawaogopa wanawake wazuri
Vložit
- čas přidán 16. 12. 2022
- Kwenye episode hii ya #FixYou, Irene Kamugisha anazungumza na Chef Kile kuhusu suala zima la kutongoza na kutongozwa, uzuri wa mwanamke na unavyowatisha wanaume wengi
Kwa mtazamo wangu mm mwanamke mzuri Sana ningumu kuolewa kwasababu hawanaga msimamo, pia Hawana heshima.
Daaaah hii Mada ya leo ya haya maongezi kali sana sana,na ina madini mengi mno,kwahyo tunaiomba hii iendelee part 2-3,iwe na muendelezo
Irene you are so good girl!! I am happy to see a woman in the amazing SNS Team.
I wish Sky summons you on those emergency meetings they normally do to discuss breaking news. ❤️ 💙
Asante sana Dada,kwa kumrudisha huyu mwamba.
Mwanamke mzuri ni yule unaempenda.
Wanaume wengi wasio juwa kutongoza wengi wao wamekulia miaka ya 2008 kuja 2022 na smart phone au simu janja kupitia mitandao ya kijamii ndio imewasaidia na ndio mana hawawezi kuongea na mwanamke ana kwa ana, lakini wanaume wengi waliokulia kabla kuja kwa smart phone wengi walikuwa sio waoga kwenye kutongoza. Rekebisheni kauli semeni baadhi msijumuishe watu.
huo ni uongo
Uko sahii mmi nimekuelewa sana walekebishe kauli yao ya kujimlisha watu ote
@@masolavachui1728 na hii ndio Tania ya baadhi ya watu wengi huchukuwa au hunukuu tafiti kutoka sehemu fulani ambazo hata wao wenyewe hawajawai kudhisibitisha Bali nadharia tuu Kisha kujumlisha watu wote, utasikia wanawake au wanaume wakitanzania Wana Tabia hii au Tabia fulani...
Sasa 2008 huyo Ni mwana mume au mtoto Jamani? Mana hapo unazungumzia mtoto wa 14 years ujue?
@@mourinebey_kenya7027 hapo naongelea kuanzia ubri 18 kuja juu kuanzia miaka hiyo 2008 mpaka sasa ni MTU wa miaka 30 wengi wao wa kizazi cha smart phone 📱hawajuwi kutongoza bila simu mitandao ya kijamii.
Irine ngoja nikupe siri kidogo. Utafiti unaonyesha kuwa wanaume ambao wanachelewa sana kuelezea hisia zake kwa mwanamke ndio wenye uwezo mkubwa wa kudumu kwenye mahusiano na wanakuwa na upendo wa dhati kwa wenzi wao..
Source?
confedence inapotea pale unapoanza kujichua ndo maan wanaogopa wanawake kwasababu tyr wamepata njia nyngn ya kujihudumia
Ukiona kijana hawezi kutongoza basi tambua ana PGA nyeto 😂
Da lrene hebu muulize hivi hilo swala la heshima inakuwaje kwa mtu asiyekuhudumia kbss,
Mwanaume Kutongaza ni Nature huwezi epuka
noma sana
Mimi kwa kweli wazaz wangu wame haribu confedence yangu tangu utotoni ndomana siwez kuwapenda
Muone mwanasaikolojia akusaidie kukupa ushauri nasaha. Umweleze shida unayopitia ili ajue namna ya kukushauri.
Wazazi wapende tu
Ahahahaha umenifanya nicheke san huna akili we jamaa😂😂😂
Jamaa kaongea vzr sana
Hizo kufunda muangalia kwa mwangalizo wa 21st century...kwa Millennials maisha yao sio hayo ya kusema tu "Heshimu Mwanaume"...it's a two-way traffic Bro 😊
Sure thing
Wewe Irene umetoka nje ya topic kabisa. Ungemuambia afundishe namna ya kutongoza kabisa
Binafsi sijamuelewa uyo mwana apo kimaelezo yake naona kama anajin'gata n'gata tu
😀😍😍
Huy jamaa kaongea facts
Hii interview imenipa conference ya kumwambia "Irine" kuwa nimemuelewa. Akimaliza kumfanyisha huyo jamaa interview naomba asome hii message yangu tafadhali.
Conference
Confidence sio conference😎
@therealomisa kulu kijana waovyo sana😀😀😀😀nimecheka kweli
nikimuoga faster nawoch
Mwambie akatafute Pesa
kumbe kille unadimpoz😃
Bro ume ingusa sababu ya kuwachika kwa madem wazuri ana wenye kipato.
Namkubal kille
Huyu jamaa ana sauti kama ya Mbosso
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍
Upande wa pete ni pambo tu kama pete nyingine akuna kitabu chochote cha dini kilichoandika ndoa isifungwe bila ya pete
Domo Zege wapi …kijana tafuta pesa bana 😂
📌
Wa kwanza kabisa czcams.com/video/US7koHvbAic/video.html