Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: Unamtongozaje Mwanamke ikiwa una domo zege? Kwanini wanaume wanawaogopa wanawake wazuri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 12. 2022
  • Kwenye episode hii ya #FixYou, Irene Kamugisha anazungumza na Chef Kile kuhusu suala zima la kutongoza na kutongozwa, uzuri wa mwanamke na unavyowatisha wanaume wengi

Komentáře • 47

  • @josej9888
    @josej9888 Před rokem +15

    Kwa mtazamo wangu mm mwanamke mzuri Sana ningumu kuolewa kwasababu hawanaga msimamo, pia Hawana heshima.

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před rokem +8

    Daaaah hii Mada ya leo ya haya maongezi kali sana sana,na ina madini mengi mno,kwahyo tunaiomba hii iendelee part 2-3,iwe na muendelezo

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před rokem +9

    Irene you are so good girl!! I am happy to see a woman in the amazing SNS Team.
    I wish Sky summons you on those emergency meetings they normally do to discuss breaking news. ❤️ 💙

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Před rokem +7

    Asante sana Dada,kwa kumrudisha huyu mwamba.

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 Před rokem +1

    Mwanamke mzuri ni yule unaempenda.

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Před rokem +8

    Wanaume wengi wasio juwa kutongoza wengi wao wamekulia miaka ya 2008 kuja 2022 na smart phone au simu janja kupitia mitandao ya kijamii ndio imewasaidia na ndio mana hawawezi kuongea na mwanamke ana kwa ana, lakini wanaume wengi waliokulia kabla kuja kwa smart phone wengi walikuwa sio waoga kwenye kutongoza. Rekebisheni kauli semeni baadhi msijumuishe watu.

    • @muzdinho
      @muzdinho Před rokem

      huo ni uongo

    • @masolavachui1728
      @masolavachui1728 Před rokem +3

      Uko sahii mmi nimekuelewa sana walekebishe kauli yao ya kujimlisha watu ote

    • @abdulrahmanhassan5998
      @abdulrahmanhassan5998 Před rokem +1

      @@masolavachui1728 na hii ndio Tania ya baadhi ya watu wengi huchukuwa au hunukuu tafiti kutoka sehemu fulani ambazo hata wao wenyewe hawajawai kudhisibitisha Bali nadharia tuu Kisha kujumlisha watu wote, utasikia wanawake au wanaume wakitanzania Wana Tabia hii au Tabia fulani...

    • @mourinebey_kenya7027
      @mourinebey_kenya7027 Před rokem +1

      Sasa 2008 huyo Ni mwana mume au mtoto Jamani? Mana hapo unazungumzia mtoto wa 14 years ujue?

    • @abdulrahmanhassan5998
      @abdulrahmanhassan5998 Před rokem

      @@mourinebey_kenya7027 hapo naongelea kuanzia ubri 18 kuja juu kuanzia miaka hiyo 2008 mpaka sasa ni MTU wa miaka 30 wengi wao wa kizazi cha smart phone 📱hawajuwi kutongoza bila simu mitandao ya kijamii.

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz Před rokem +2

    Irine ngoja nikupe siri kidogo. Utafiti unaonyesha kuwa wanaume ambao wanachelewa sana kuelezea hisia zake kwa mwanamke ndio wenye uwezo mkubwa wa kudumu kwenye mahusiano na wanakuwa na upendo wa dhati kwa wenzi wao..

  • @lamaradill9857
    @lamaradill9857 Před rokem +2

    confedence inapotea pale unapoanza kujichua ndo maan wanaogopa wanawake kwasababu tyr wamepata njia nyngn ya kujihudumia

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před rokem +4

    Ukiona kijana hawezi kutongoza basi tambua ana PGA nyeto 😂

  • @siaammo1104
    @siaammo1104 Před rokem +1

    Da lrene hebu muulize hivi hilo swala la heshima inakuwaje kwa mtu asiyekuhudumia kbss,

  • @amrzaqmlawa4015
    @amrzaqmlawa4015 Před rokem +3

    Mwanaume Kutongaza ni Nature huwezi epuka

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Před rokem +3

    noma sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +6

    Mimi kwa kweli wazaz wangu wame haribu confedence yangu tangu utotoni ndomana siwez kuwapenda

    • @isikesamike
      @isikesamike Před rokem +1

      Muone mwanasaikolojia akusaidie kukupa ushauri nasaha. Umweleze shida unayopitia ili ajue namna ya kukushauri.

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před rokem +1

      Wazazi wapende tu

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 Před rokem +1

      Ahahahaha umenifanya nicheke san huna akili we jamaa😂😂😂

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Před 9 měsíci

    Jamaa kaongea vzr sana

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 Před rokem +4

    Hizo kufunda muangalia kwa mwangalizo wa 21st century...kwa Millennials maisha yao sio hayo ya kusema tu "Heshimu Mwanaume"...it's a two-way traffic Bro 😊

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman4564 Před rokem

    Wewe Irene umetoka nje ya topic kabisa. Ungemuambia afundishe namna ya kutongoza kabisa

  • @abdallahmohammed4059
    @abdallahmohammed4059 Před rokem +1

    Binafsi sijamuelewa uyo mwana apo kimaelezo yake naona kama anajin'gata n'gata tu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +3

    😀😍😍

  • @nemblismkulago886
    @nemblismkulago886 Před rokem +1

    Huy jamaa kaongea facts

  • @therealomisakulu5416
    @therealomisakulu5416 Před rokem +3

    Hii interview imenipa conference ya kumwambia "Irine" kuwa nimemuelewa. Akimaliza kumfanyisha huyo jamaa interview naomba asome hii message yangu tafadhali.

  • @SalsabeelLtd
    @SalsabeelLtd Před rokem

    nikimuoga faster nawoch

  • @chancelebishopofficial2785

    Mwambie akatafute Pesa

  • @SalsabeelLtd
    @SalsabeelLtd Před rokem +1

    kumbe kille unadimpoz😃

  • @akilimwendajohn3326
    @akilimwendajohn3326 Před rokem

    Bro ume ingusa sababu ya kuwachika kwa madem wazuri ana wenye kipato.

  • @SalsabeelLtd
    @SalsabeelLtd Před rokem +1

    Namkubal kille

  • @digitalfeelings3031
    @digitalfeelings3031 Před rokem

    Huyu jamaa ana sauti kama ya Mbosso

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 Před rokem +1

    Upande wa pete ni pambo tu kama pete nyingine akuna kitabu chochote cha dini kilichoandika ndoa isifungwe bila ya pete

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před rokem +1

    Domo Zege wapi …kijana tafuta pesa bana 😂

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Před rokem +1

    Wa kwanza kabisa czcams.com/video/US7koHvbAic/video.html