Mwenyezi mungu azidi kukutumza na kukujalia afya njema na aibariki kazi ya mikono yako kwa ajili yako na familia yako kiumla, unatufumdishi vitu vingi vizuri sana vyenye umubimi mkubwa sana kwenye maisha yetu binafsi napenda kufuatilia sana vipindi vyako,,,na uzuri vipindi vyako vinajenga kila mtu hasa yule mtu ambaye anajitambua kiakili ila kwa wale ambao hawataki au hawatarijii kuishi au kuja kuishi maisha ya ndoa hivi vipindi haviwahusu,,,,binafsi yangu nazidi kukuombea sana dada angu mwenyezi mungu awe pamoja nawe daima kwaajili wewe ni mmoja wapo wa watu wanaosaidia sana jamii kwa mambo mengi hasa kwa mada unazotuandalia na kutupatia sisi wadau binafsi nafaidika sana na kipindi hiki. GOD BLESS YOU.
Mwenyezi mungu azidi kukutumza na kukujalia afya njema na aibariki kazi ya mikono yako kwa ajili yako na familia yako kiumla, unatufumdishi vitu vingi vizuri sana vyenye umubimi mkubwa sana kwenye maisha yetu binafsi napenda kufuatilia sana vipindi vyako,,,na uzuri vipindi vyako vinajenga kila mtu hasa yule mtu ambaye anajitambua kiakili ila kwa wale ambao hawataki au hawatarijii kuishi au kuja kuishi maisha ya ndoa hivi vipindi haviwahusu,,,,binafsi yangu nazidi kukuombea sana dada angu mwenyezi mungu awe pamoja nawe daima kwaajili wewe ni mmoja wapo wa watu wanaosaidia sana jamii kwa mambo mengi hasa kwa mada unazotuandalia na kutupatia sisi wadau binafsi nafaidika sana na kipindi hiki. GOD BLESS YOU.
Binafsi mnanijenga sana mungu awabariki Sana
Very educational! Asante! 🙏🏾
Ubarikiwe dada irene
Ubarikiwe sana mtumishi
God bless you
Mbarikiwe kwa kipindi kizuri cha Maarifa ya mahusiano
❤❤❤
Leo Mimi WA Kwanza hapa sns
Hakika nimejifunza kitu.
Hollo Irene
Deo Lubala......... aliwahi kumlea Mbarikiwa Mwakipesile...na leo nimekuja nimwone vizuri 😮😮😮 kumbe weweeee