Uko sahihi kabsa bro hyo inatutokea wengi sana ukiwa hujapata pesa unakuwa na mipango madhubuti lakin ukiipata unaanza kutoka nje ya mstari na ndipo mmbo yanaanza kuvurugika.
Dawa ya madeni chukia madeni,mimi nashukuru Mungu nalizika nilichonacho ukiwa na tamaaa na vitu ambavyo uwezi kuvimiliki kopa fanya kitu Ambacho kinamuzunguko unakuta mtu anakopa kununua sm,ubarikiwe bro
Mungu awabariki zaidi.
asante sana, nimeongeza maarifa zaidi na ufahamu
Yupo Vizuri Sana
Nimepata elimu sahihi kabisa... Kuna sehemu kubwa nimejikomboa
Pole kwa kupitia mtihani ndani ya family.yawe yuko pamoja nawe.asante kwa somo naomba umlete tena nimepata kitu Sana hapa umenipata kwenye fetha.
kaelezea safi vizuri sana sasa aalikwe siku ingine aje aelezee tu kuhusu uwekezaji tu
Irene mpendwa, Mungu akuongoze na akupe nguvu.
Amina🙏
Mr madeni solver 🏆✊🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Uko sahihi kabsa bro hyo inatutokea wengi sana ukiwa hujapata pesa unakuwa na mipango madhubuti lakin ukiipata unaanza kutoka nje ya mstari na ndipo mmbo yanaanza kuvurugika.
Dawa ya madeni chukia madeni,mimi nashukuru Mungu nalizika nilichonacho ukiwa na tamaaa na vitu ambavyo uwezi kuvimiliki kopa fanya kitu Ambacho kinamuzunguko unakuta mtu anakopa kununua sm,ubarikiwe bro
Pesa ni roho na inataka ulinzi.ni kweli kabisaaaa
Kaka nimekuelewa sana na nadhani hii mada leo ilikuwa yangu.naamini siwezi baki nilivyo kwa somo hili
What a session ! Bless you @irenekamugisha ... hongera kwa moyo wa ujasiri na ushujaa
Thanks Denis...nimekufollow and fowarded the link kwa wanangu
Thank you
Nimepata nguvu Sana na kujiamini
Natamani niongee naye anipe elime zaidi
Dada Irene tuletee watu wa money market funds kama UTT waje watuelezee junsi ya kuinvest kwao
Noted noted
Mm nataka kujua hati fungan vizur kwa mfano umeweka ya miaka 15 harafu umeweka milion 50 hyo bond unaweza pewa sh ngap kupitia million 50 #
Nimekusikiliza lakini dah pole na msiba 😢
Yaani kama umejua situation yangu.niitakutafuta soon
Utavukaa
Ghggffgczcams.com/channels/csh_MamETjVbacronGcXxw.html