Fix You: Namna ya kujinasua kutoka kwenye madeni sugu! Mbobezi wa mikopo ya Benki anakupa siri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 04. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Zábava

Komentáře • 24

  • @user-nb2tb9xr4k
    @user-nb2tb9xr4k Před 3 měsíci +2

    Mungu awabariki zaidi.

  • @pamelabomani6648
    @pamelabomani6648 Před 3 měsíci +2

    asante sana, nimeongeza maarifa zaidi na ufahamu

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před 3 měsíci +1

    Yupo Vizuri Sana

  • @mathiasmwakibuja1728
    @mathiasmwakibuja1728 Před 3 měsíci +3

    Nimepata elimu sahihi kabisa... Kuna sehemu kubwa nimejikomboa

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před 3 měsíci +2

    Pole kwa kupitia mtihani ndani ya family.yawe yuko pamoja nawe.asante kwa somo naomba umlete tena nimepata kitu Sana hapa umenipata kwenye fetha.

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 Před 3 měsíci +3

    kaelezea safi vizuri sana sasa aalikwe siku ingine aje aelezee tu kuhusu uwekezaji tu

  • @mamirokongx195
    @mamirokongx195 Před 3 měsíci +3

    Irene mpendwa, Mungu akuongoze na akupe nguvu.

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 Před 3 měsíci +1

    Mr madeni solver 🏆✊🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @eliacmaginya3429
    @eliacmaginya3429 Před 3 měsíci +2

    Uko sahihi kabsa bro hyo inatutokea wengi sana ukiwa hujapata pesa unakuwa na mipango madhubuti lakin ukiipata unaanza kutoka nje ya mstari na ndipo mmbo yanaanza kuvurugika.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 3 měsíci +1

    Dawa ya madeni chukia madeni,mimi nashukuru Mungu nalizika nilichonacho ukiwa na tamaaa na vitu ambavyo uwezi kuvimiliki kopa fanya kitu Ambacho kinamuzunguko unakuta mtu anakopa kununua sm,ubarikiwe bro

  • @user-lo6rw3ic7v
    @user-lo6rw3ic7v Před 3 měsíci +2

    Pesa ni roho na inataka ulinzi.ni kweli kabisaaaa

  • @neemamgeni5758
    @neemamgeni5758 Před 3 měsíci +1

    Kaka nimekuelewa sana na nadhani hii mada leo ilikuwa yangu.naamini siwezi baki nilivyo kwa somo hili

  • @dinakyoma5977
    @dinakyoma5977 Před 3 měsíci +1

    What a session ! Bless you @irenekamugisha ... hongera kwa moyo wa ujasiri na ushujaa
    Thanks Denis...nimekufollow and fowarded the link kwa wanangu

  • @ayubumbaras776
    @ayubumbaras776 Před 3 měsíci +1

    Nimepata nguvu Sana na kujiamini

  • @MariamGundula
    @MariamGundula Před 3 měsíci +2

    Natamani niongee naye anipe elime zaidi

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 Před 3 měsíci +1

    Dada Irene tuletee watu wa money market funds kama UTT waje watuelezee junsi ya kuinvest kwao

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Před 3 měsíci +1

    Mm nataka kujua hati fungan vizur kwa mfano umeweka ya miaka 15 harafu umeweka milion 50 hyo bond unaweza pewa sh ngap kupitia million 50 #

  • @user-ql8fi7ox1v
    @user-ql8fi7ox1v Před 3 měsíci

    Nimekusikiliza lakini dah pole na msiba 😢

  • @user-lo6rw3ic7v
    @user-lo6rw3ic7v Před 3 měsíci +1

    Yaani kama umejua situation yangu.niitakutafuta soon

  • @user-xw4up9jc6i
    @user-xw4up9jc6i Před 3 měsíci

    Ghggffgczcams.com/channels/csh_MamETjVbacronGcXxw.html