Fix You: Haya ndio Madhara yanayotokea pale Majukumu ya Mume yanapofanywa na Mke kwenye ndoa
Vložit
- čas přidán 15. 01. 2023
- Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
/ @simulizinasauti - Zábava
Moja ya kipindi cha kufungulia mwaka nimekisikiliza Asante sana dada Irene
Charles anahitajika tena
Kipindi ni kizuri, na topic ni nzuri sana. Ahsante sana IRINE.
Sikuyajua haya kabla.
Wanawake sasaivi tunaishi na waume wanaohitaji KUSAIDIWA KILA KITU kisha WANATAKA WAHESHIMIWE SANA.
JAMANI !!!
Ur very very sure hivyo ndivyo ilivyo sema wengi tumeangamia kwa kukosa maarifa..... Asante kwa kipindi.
Kipindi kizuri sana keep up the good work KaMureen
Wanaume wa siku hizi wanapenda kunyenyekewa lakini wao hawajui kunyekea wake zao
I have leard something
Mlete Tena keep moving
Iren nashukuru sana kwakipindi tunaomba umlete tena I like him
Pindi zuri sana Leo japo cjamaliza kuangalia
Asante sana 🙏
Nduku Jr ni habri nyingine aiseeeh.. ana vitu vingi sana.. hongera Irene binafsi napenda vipindi vyako
Shukrani sana
Safi sana wenye ndowa mpoooo
Facts
Kaka Yuko Vizuri Sana
Napenda sana maojiano yako dada uko vizuri sana ila watu wako wanapenda uzungu sana mpaka wanaboa wanachanganya inapendeza wamue (1) kutumia kizungu au kiwahili
Naitwa Prisca kutoka mbeya nauliza nawezaje kupata kitabu Cha Charles
Very interesting session.
Ila kwa dunia ya sasa wanaume wanaona sawa tu kugawa power zao. Kwa kupenda mteremko
😂😂😂 kazi tunayooo
Nimependa topic, ila kaka yangu hujakutana na wanaume bahili kaka angu. kuna wanaume ni wabahili hadi unajiuliza shida ni nini.
😂😂
Asante sana
Hi nahitwa luda nahishi south africa na fatiya sana ushahuli weye naweza kupata ivyo vitubu haja?