Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: Matarajio kwenye Ndoa, ukweli mchungu kuhusu uhalisia wa maisha ya Mume na Mke!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 09. 2022
  • Kwenye episode hii ya #Irene #FixYou, Irene Kamugusha anazungumza na Joseph Maganga kuhusiana na matarajio watu waliyonayo kwenye ndoa

Komentáře • 37

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Před rokem +7

    Jamaaa kaongea point Sana kwenye Mambo yakuchukulia mazoea kwenye ndoa

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před rokem +3

    Nice show please Dr. Elly, Dr Mwaka,Aunty Sadaka, Maznat please hawa waombe waje kwenye kipindi

  • @mariamabdulazizi7987
    @mariamabdulazizi7987 Před rokem +6

    Asante Sana dadangu kwakuleta vipindi kama hivi aki naelimika Sana tu Mungu awabariki Sana tu. Mm Hua siongei na hii imesababisha ndoa yangu ambayo ilikua mwakani iwe miaka 10 but ilivunjika wiki iliyo pita so sad, najaribu kutafuta vipindi kama hivi ili niwe mwenye kuelimika. Thanks so much for this program.

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Před rokem +2

    Dr Ellie tunakuhitaji

  • @thisboyisgreat
    @thisboyisgreat Před rokem +2

    Nimejifuza vitu vingi namimi nimeoa Waka Jana nikiwa namiaka hio 21 tuko na mtoto Moja ana mwiezi 3 tupo kwenye ndoa kwa mwaka 1 ira tunapishana maneno ila tunayaongea tunatatua na hutokuja kusikia majilan wakitusema kwamba tunagombana Bali . Tumekua kama kio kizuli wakubwa kwetu na vijana wezitu na wakubwa kwetu wanajifuza kutoka kwetu

  • @hamadgakwaya3466
    @hamadgakwaya3466 Před rokem +1

    Nipo congo kolwenzi nakufatilia wew dad mtagazaji na mgeni hapo

  • @tusekonga3030
    @tusekonga3030 Před rokem +4

    Asante sana Madam Irene, Kipindi kizuri chenye mafunzo chanya

  • @lydiamsheri4095
    @lydiamsheri4095 Před rokem +1

    Kaka uko sahihi kabsaaaaaa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem +1

    Mimi hata itokee nini siwezi kumpiga mwanamke. Kama uvumilivu ukinishinda najitoa kwenye mahusiano ya nini nimuumize mtoto wa mama mkwe

  • @Lulu-xy8jk
    @Lulu-xy8jk Před rokem

    Dada Irene kipindi chako kipo juu Mungu akubariki sana. Kama utojari nilikua naomba namba ya huyu ndugu yangu anaonekana anaupeo mkubwa sana wa Mungu nimependa alipozungumzia hautakiwi kuozesha mtoto wako ili kwasababu Ata Mungu mwenyewe Muumbaji wetu akumwozesha Hawa kwa Adam. So nilipenda sana kama ingewezekana nipate namba yake kaka yangu huyu wa kisukuma anaonekana anajua Mambo ya kiroho.

  • @veronicawilsonmbwambo1054

    Safi san

  • @kakajoeprosper957
    @kakajoeprosper957 Před rokem

    Jamaa ajengewe sanamu katema madini hatari

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Před rokem +1

    Asante sana kwa Pont nzuriiii sana dah

  • @mossesjm5164
    @mossesjm5164 Před rokem +1

    Favourite Show

  • @lilyjones3584
    @lilyjones3584 Před rokem +1

    Hapo kwenye umri, ameoa akiwa na miaka 21, wapo kwenye ndoa miaka 14, ana umri wa miaka 39! Jibu ni sawa lakini jawabu si sahihi!

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Masha Allah

  • @hopechidera
    @hopechidera Před rokem +1

    Mafundisho mazuri sana ya kusaidia,bali mwalimu wetu anapenda kiingereza sana jaman...

    • @pastorjoseph476
      @pastorjoseph476 Před rokem +1

      Asante kwa feedback nitajitahidi kuacha barikiwa

  • @lucyemichael7814
    @lucyemichael7814 Před rokem +2

  • @waktiahmad2503
    @waktiahmad2503 Před rokem +1

    Duuuh CM jaman ni kilio Cha mume wangu sipokei kwa wakati kabisa

    • @pastorjoseph476
      @pastorjoseph476 Před rokem +1

      😂😂 jitahidi kuwa makini kupoke atafurahi ukibadilika

  • @antusajoseph9360
    @antusajoseph9360 Před rokem

    We dada acha TU
    mi ilifika mahali namtaka Mr unyumba analala na tumbo.
    Yaaani basi tu

  • @hajrajumanne8830
    @hajrajumanne8830 Před rokem

    Me nashukur San na nazid kujifunza lakin me nina changamoto juu ya mahusiano yang

  • @amour5535
    @amour5535 Před rokem +1

    Kaka samahan punguza kinge

  • @Balogetv
    @Balogetv Před rokem

    Nimejifunza Hakka Naanza kuyafanyia kaz

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 Před rokem +1

    Piga kelele kwa wanawake wa pwani🤣

  • @renatusmakolo9023
    @renatusmakolo9023 Před rokem

    Mada inayozungumzia mwanaume kuwa too much romantic sio kawaida ya mwanaume strong, ni maada gani?

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 Před rokem

    Mzungumzaji anajua kuongea ila kuweka maneno katika mpangilio.

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Před rokem

    Wapo pia wanaume lazima uwaombe tendo ndoa kaka

  • @modestmkali3436
    @modestmkali3436 Před rokem +2

    Mimi ni mmoja katika wafwatiliaji wa kipindi hichi, nakipenda sana, But please my sister, unapo wa alika watu, wape rules za Kipindi, and waambie kabisa kipindi ni cha kiswahili, kama upo vizuri sana kwenye lugha ya kiingereza unaweza changanya lakini kama itawezekana just ongea kwa kiswahili, huyu ndugu Kuna mambo anaongea ni very pointless, hilo la kwanza, lapili anajitahidi kuweka vingereza ambavyo hajui, yaani very broken English mpaka anaboa, next time nikiwa tanzania naomba haya maswali unayomuuliza yaandike pembeni, ntaomba Kuja kwenye kipindi, and niulize exactly haya maswali niyafafanue vizuri sana

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před rokem

    Mnhhhh 😂😂😂 Hamna Kitu Hapaaa