Dr. Chris Mauki: Haya maswali ma 3 yataokoa ndoa/mahusiano yako

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Mara nyingi sana tunafikia maamuzi flani kwenye ndoa au mahusiano pasipo kujiuliza maswali muhimu ambayo ama yange boresha maamuzi yetu au ama yange tufanya tuahirishe kabisa maamuzi hayo. Haya hapa maswali matatu yatakayo iokoa ndoa / mahusiano yako
    #DrChrisMauki #Maswali #Mahusiano

Komentáře • 29

  • @FelisterMushi
    @FelisterMushi Před 2 měsíci

    Criss nimependa Sana hii kaka,nimeshare na wahusika naomba Mungu waelewe hili!

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 2 lety +2

    Nimejifunza mengi toka kwako hasa jinsi ya kukabiliana na maumivu na kusalitiwa na kuachwa🙏

  • @Mamatee7013
    @Mamatee7013 Před 2 lety +2

    tunashukuru Dr chriss mauki Right! una masomo asilia kbsaa experience tofautitofauti nazipata kutokana na vitu unavyotufundisha kila siku✔✔❤❤

  • @anastaziansangalufu9877
    @anastaziansangalufu9877 Před 2 lety +2

    Dr Cris I appreciate your Psychological Healing in relationship.

  • @queenmakere2849
    @queenmakere2849 Před 2 lety

    Asantee doct cris kwa somo zuri kuna wengine wanafaidika kwa mabaya wengine wanafaidika wa mazur

  • @CharlesValentinefaustine-tq5te

    Asant MUNGU ATUKUZWE

  • @leylahkarrim8396
    @leylahkarrim8396 Před 2 lety

    Dr Cris mm nakuombea mungu akupe umri sana uzidi kutufaidisha

  • @elizabethjohn3392
    @elizabethjohn3392 Před 2 lety +1

    Be blessed doctor

  • @hasanimwasomola6033
    @hasanimwasomola6033 Před rokem

    Mungu akupe maisha marefu mamb Yale Yale ndo yananigusa mie

  • @user-vw1xd9hl2o
    @user-vw1xd9hl2o Před rokem

    God bless you toka nianze kufatiria video zako nomefaham vitu vingi

  • @lissatarimo7064
    @lissatarimo7064 Před rokem

    Me mme wangu ananipotezea sana sijamkosea chote namjali nampenda sana nam heshimu sana sijui anahitaji nn zaidi

  • @leylahkarrim8396
    @leylahkarrim8396 Před 2 lety +1

    Dr Cris mm sina hara na ndoa yangu mume wangu hana time na mm naona ata love hakuna kma mwamzo ishima pia hakuna kila ninacho mwambia ana puuza hanijali na mm ni bibi yke tumezaa watoto 4 niko naye sasa miaka 23 tafadhali Dr cris nisaidie nasikia uchungu nadhani umeni elewa pliz pliz

  • @maryandrew5204
    @maryandrew5204 Před 2 lety

    Barikiwa Sana mtumish

  • @salmamussa8240
    @salmamussa8240 Před 2 lety

    Nashukur nimejifunza

  • @salmajuma6038
    @salmajuma6038 Před 2 lety

    Shkrn san baba chris tuko pamoj

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 Před 2 lety

    Asanteeee sana mungu akubariki

  • @treasure12415
    @treasure12415 Před 2 lety

    Asante sana sana ubarikiwe mno

  • @jovinmutakumwa9611
    @jovinmutakumwa9611 Před 2 lety

    Asante Sana kwa somo Zuri 🙏

  • @jeniphertillya7040
    @jeniphertillya7040 Před 2 lety

    Hiyo point ya pilii nahisii hubby wanguu anaenjoy sana, maana tangu niwe naye tunapangaa mambo ya kimaendeleo, na pia amebadilikaa toka kunywa drink za spirit, mpaka kuanza kunywaa winee, aisee nimembadilisha sana wala hajutiii

  • @winfridamaganga8503
    @winfridamaganga8503 Před 2 lety

    Asanteeeeee

  • @winifridajohnlucas8947
    @winifridajohnlucas8947 Před 2 lety +3

    Me mpnz wangu simuelewi ana dalili zote za mahusiano fake na same time Yuko na sign za mwanaume anaetamni kuwa na Mimi kabisa sielewi ila moyo wangu sijui nn unataka

  • @sakiikassim308
    @sakiikassim308 Před 2 lety

    Nmekuelewa

  • @asmaally9298
    @asmaally9298 Před 2 lety

    Mimi kabisaa kulalamika

  • @janethurio2453
    @janethurio2453 Před rokem

    Yaani ww jamaa ni hatari!! In short Mungu akulinde kila iitwapo leo. Unatsha.

  • @irenchitelesi2885
    @irenchitelesi2885 Před 2 lety

    Hi mm ndio nimeingia kwa mausiano three months now 🤔

  • @biestebermartin2859
    @biestebermartin2859 Před 2 lety +1

    Naomba namba yako doctor

    • @rosemboya8534
      @rosemboya8534 Před 2 lety

      Inaoneshwa pale anapo elekeza kwa chini inatokea namba

  • @salehkhalid8667
    @salehkhalid8667 Před 2 lety

    Nimekuelewa baba ila mm naomba kukuuliza hivi hata km umeyahic yote hayo yapo ila vp mwanaume hamujaingia kwenye ndoa akataka sexy inakuwaje hii