Sababu za UKIMYA wa Wanaume kwenye Mahusiano | Uponyaji wa Familia | Pastor Deo Sukambi |

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2023
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Deo Sukambi.
    Leo tutajifunza SABABU ZA UKIMYA WA WANAUME KWENYE MAHUSIANO
    Unaweza kupata kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU WANAUME kwa link hii
    www.getvalue.co/search_result...
    Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / sukambideo
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Komentáře • 158

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 Před 8 měsíci +6

    Huyu jamaa ukimfuatilia utamkubali tu yani anajua mwamba big up sana mdogo wangu Deo

  • @user-ci8te5vv1y
    @user-ci8te5vv1y Před 8 měsíci +1

    Amina na barikiwa sana, huu ni ukweli 🎉

  • @user-gn7xd1yg3t
    @user-gn7xd1yg3t Před 9 měsíci +2

    Ubarikiwe sana kaka umekua ukinitibu sana na semina zako.

  • @janethmlay7602
    @janethmlay7602 Před 4 měsíci +2

    DAAH ASANTE PASTOR ILA KUNA WANAUME WANANUNA SANA 😄

  • @nimpayeibrahim
    @nimpayeibrahim Před 4 měsíci

    Asante sana mutumichi wa mungu unanisaidia Mungu akupe maisha malefu uzidi kusaidiana

  • @user-pi5uc3ke3n
    @user-pi5uc3ke3n Před 7 měsíci

    Hongera mtumishi Mungu akuinue zaid karibu biharamulo kwa pastor mahili

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Před 10 měsíci +19

    Asante kaka ninejifunza vitu vingi sana kuhusu wanaumee nilikuwa nagombana karibu kila siku na mume wangu nimejirekebisha kupitia wewe nakufatilia kutoka sweden ❤

  • @user-ki4pw1rw7m
    @user-ki4pw1rw7m Před 7 měsíci

    Nimekuelewa Mtumishi, asante kwa mafundisho mazuri.

  • @user-jk6qy6il7v
    @user-jk6qy6il7v Před 6 měsíci

    Asant sana sur wallah kila siku nagomban nawenzi wangu kisa namuuliza kitu anakuja kuniambia et ulikuwa ukisem nin hapo naanza fikaa mbaya kwe ila leo nimejifunza kutok kwako asant sana🙏🙏🙏

  • @TrizahBhoke
    @TrizahBhoke Před 8 měsíci +1

    Amen 🙏 God bless you

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw Před 11 dny +1

    Dr. Uko vzr

  • @EsperanceNsabimana
    @EsperanceNsabimana Před 5 měsíci +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
    Mimi nafatiliya kila kipindi chako niko Kuwait warabuni

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci

      Amen..asante sana kutoka Kuwait..nimefurahi

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 Před 8 měsíci +1

    Shukran nimejifunzakitu ❤

  • @user-hg2gr9gm1x
    @user-hg2gr9gm1x Před 8 měsíci +1

    Nashukuru sana umenifundisha sana

  • @nauriyasalim2045
    @nauriyasalim2045 Před 8 měsíci +4

    Habari Yako Mr Deo nashukuru sana kwa good lesson 😇 kwaajili ya kuwatambua waumee zetu zaidi kwa upande wangu nilikuwa namuona kimya hataki kabisa nimuhoji nikawa simsikilizi kabisa namuhoji kila wakati ili aniambiee kinacho msibu but akawa anafokea na kuniambia kwa hupendi kunisikiliza ninacho kwambia but nikawa mpole na kusikiliza hata leo ninavyo kwambia nikikuta that situation kma ni kimya najua hyo mtu yupo ktk dunia ya kutatua changamoto zake au zetu 😅 kwa hyo namwambia naomba ukapumzike kabisa 😆 so nilipo sikiliza hii nimecheka sna 😅 na kujifunza zaidi shukran sna Mr Deo Mungu akubariki zaidi kwa unachokifanya aamin am from zanzibar.

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci +1

      Very good..ulijua kumuelewa mumeo..itawafaa sana

  • @monicaanthony683
    @monicaanthony683 Před 7 měsíci +1

    Asant San baba leo nimejifunza kitu nilikuw nalalamika san ila Leo nimejifunza kitu nashukuru sana na Mungu akubarik 🙏

  • @SsAl-bp8wc
    @SsAl-bp8wc Před 8 měsíci +4

    Barikiwa sana kaka nimejifunza vizngi sana kutoka kwako nipo omani na nimekuwa mpya kabisa kwenye maisha yangu nakuombeya mungu akupe umri mrefu kaka yangu

  • @user-ol3hc1bj5o
    @user-ol3hc1bj5o Před 8 měsíci +3

    Ni kweli tumejifunza sana alhamdulillaah ubarikiwe

  • @user-xy6kg3jf2i
    @user-xy6kg3jf2i Před 5 měsíci +1

    Mimi ni KaMBALE vahugho Charles pa Congo DRC. N'a shukuru sana

  • @JoyceLucas-zk7nv
    @JoyceLucas-zk7nv Před 4 měsíci +1

    Asante Sana kakaangu nimeelewa zaidi kuhusu mwanaume. Umwalim mzuri sana

  • @mussangangala836
    @mussangangala836 Před 7 měsíci +1

    ❤❤❤ kaka umenipa moyo sana make nilikuwa nachukia kweli kwa ukimya wake maana Dah! Huwa inakera sana. Ila saivi nimepata majibu.

  • @user-yo3jv1ry3t
    @user-yo3jv1ry3t Před 7 měsíci

    Shukran sana

  • @sein.208
    @sein.208 Před 2 měsíci

    Shukran sana. 🙏

  • @angelchuwa3668
    @angelchuwa3668 Před 7 měsíci

    Asante kiongozi umenitoa mbali kwakweli

  • @erastohongerasanasamamagor7939

    Nakufutilia nikiwa mwanza ubarikiwe sana kwa somo zuri.

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl Před 10 měsíci +8

    yani leo umeniambia kitu kikubwa sana yan nilikua nakasirika nikidhani mume wng ana kua ana ninunia kumbe ndo mlivyo had nikawa namwambia acha tabia ya kununa nuna wanawake hua ndo tunanuna na sio nyie wanauma yani iyo tabia ilikua inanikeraaa sana yani sijui nisemeje saingine mtu unakua ata unajutia

  • @jenifaamosi8649
    @jenifaamosi8649 Před 8 měsíci +2

    Exactly
    Kitabu chako kimenisaidia jinsi ya kuishi na hawa viumbe ni kizuri mnooo
    😊

  • @gloryswai3119
    @gloryswai3119 Před 6 měsíci

    😂😂😂... Asante Mr Deo nimejifunza kitu muhimu sana 🙏🙏

  • @user-xd3sl1wm1q
    @user-xd3sl1wm1q Před 6 měsíci

    Amina ubarikiwe sana kaka

  • @reginajoel3785
    @reginajoel3785 Před 2 měsíci

    Asante Pastor Deo,ndo hali ninayopitia sasa na mpenzi wangu,ghafla amekuwa kimya nilihisi anipendi tena kumbe makosa ni yangu,kuna mambo nimeyatenda sikufahamu kuwa yaweza mfanya kuwa kimya,ki ukweli ili somo limenitoa machozi na najiona ni mkosaji sana na pia nilikuwa namuomba Mungu anipe jibu la kwa nini yupo kimya sasa nimelipata.Pastor naumia sana nahitaji nianze upya,ni nini nikifanye kwa kipindi hiki yeye yupo kimya?

  • @user-xl6qw3tl1s
    @user-xl6qw3tl1s Před 7 měsíci

    Nashukuru umenifudisha tabia yakulshi na mume

  • @reginarichard3349
    @reginarichard3349 Před 6 měsíci

    Asante sana kwa hii🙏

  • @SubiraSanga
    @SubiraSanga Před 4 měsíci +1

    Ahsante kw somo zr

  • @user-hz9ss9xv8t
    @user-hz9ss9xv8t Před 8 měsíci +1

    My brother that's true

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl Před 10 měsíci +5

    na nilikua nikimuuliza kwanini unanuna nuna ovyo anakwambia sinuni nakua sijisikii tu kuongea eeh aiseh 🙌

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci +1

      Hanuni bana ndio tulivyo😆😆😆😆😆😆

    • @jojosada174
      @jojosada174 Před 9 měsíci +1

      Ubarikiwe kabisa nimejifunzamengi

  • @janethnjau
    @janethnjau Před 8 měsíci +3

    Umenifurahisha sana jamani

  • @evelynwilbert3431
    @evelynwilbert3431 Před 6 měsíci

    Nimejifunza kitu kikubwa mno leo. Mungu akubariki Sana mtumishi ndoa zetu zikapone, maana tunaharibu wenyewe

  • @user-no7fg8kh9y
    @user-no7fg8kh9y Před 4 měsíci

    God bless you 🙏

  • @eddymaphy
    @eddymaphy Před 5 měsíci +3

    Kwanini kila video yako inaanza na ukimya adi nafikiria simu yangu ndio iko na shida

  • @JanethStanley
    @JanethStanley Před 7 měsíci +1

    Asante kaka

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 6 měsíci

    Kuna wanaume wanataka wangee wao kama wako nawanaume wengine musiseme wanamke tu. History ya kunikwaza vizuri ayiache

  • @user-lk1oi5qi8f
    @user-lk1oi5qi8f Před 8 měsíci +3

    me wangu kutwa nzima kanuna me nachukia kweli

  • @bonifacebeatrice3981
    @bonifacebeatrice3981 Před 8 měsíci +2

    Nikweli Mungu aturehemu 🙏

  • @user-jk4ct2ld2r
    @user-jk4ct2ld2r Před 5 měsíci +1

    Mume wangu alikuwa mkinya sana Hadi mkigombana ana nyamaza nilikuwa nachukia kimya chake

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Před 6 měsíci

    Shukran Sana tumejinza mengi

  • @user-nk8yi2hk3y
    @user-nk8yi2hk3y Před 5 měsíci +1

    Ubarikiwe

  • @Dmsiris5
    @Dmsiris5 Před 10 měsíci +2

    Amen.God Bless You abundantly Pastor Sir🙌🇹🇿

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 9 měsíci

    Asante

  • @user-xl6qw3tl1s
    @user-xl6qw3tl1s Před 7 měsíci

    Amina

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před 8 měsíci +1

    Nashukuru sana aisee

  • @user-ue4or5rc1j
    @user-ue4or5rc1j Před 5 měsíci

    Uko sawa nimekuelewa kaka saaana

  • @user-kq2qy2pg3x
    @user-kq2qy2pg3x Před 10 měsíci +3

    Sidhani uko sahihi Deo kwenye haya. Kinachotakiwa ni mwanaume ajue psychology ya mwanamke na mwanamke ajue psychology ya mwanaume na kila mtu ajaribu kuji adjust kutokana na mapungufu ya mwenzake

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci

      Asante..wewe unaijua psychology ya wanaume?

  • @DBrownstain
    @DBrownstain Před 7 měsíci +2

    I like you doc 😊
    Bless up ❤

  • @user-co4ii6gb9s
    @user-co4ii6gb9s Před 8 měsíci

    Natazama hii video kutoka Kenya 🇰🇪 Stella

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi6474 Před 8 měsíci +2

    Love from oman🇴🇲❤️

  • @janetkwatalami
    @janetkwatalami Před 6 měsíci

    Amen 🙏

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Před 10 měsíci +1

    Fact ❤❤❤

  • @MarylineAmina
    @MarylineAmina Před 8 měsíci +1

    Mm nakusikiza nikiwa eldoret Mimi n amina

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Před 6 měsíci +1

    Huyo ni mine wangu ndio anatabia hizo hizo zote

  • @user-gt2wl6ry3z
    @user-gt2wl6ry3z Před 8 měsíci +2

    Nakubaliana na ww Sanaa 😂😂

  • @user-cv8zx4cd9h
    @user-cv8zx4cd9h Před 6 měsíci

    Duuu❤❤

  • @rosechemaiyo4900
    @rosechemaiyo4900 Před 8 měsíci +3

    Nilimtumia message mia 😢mbaka sai haijaireplaiwa😅😅😅

  • @agnessshole
    @agnessshole Před 7 měsíci +2

    Kama wameumbwa kufocuss na jambo moja ,,,, inakuwaje wanaona Bora kuwa na wake zaid ya mmoja..?

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Před 9 měsíci

    Unavyosema viumbe wengine wamechanganyika unamaanisha watu gani hao naomba ufafanuzi wako..

  • @user-lk1oi5qi8f
    @user-lk1oi5qi8f Před 8 měsíci

    Weee me wangu kutwa nzima kanuna2 ananikera kweli

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw Před 11 dny

    Naitwa shamimu natokea napatikan Kenya

  • @joycehefsiba2750
    @joycehefsiba2750 Před 6 měsíci

    😂😂kumbe awa jamaa hawananga uwezo wa kufikiria mambo ma wili kwa mara moja, minacheka kweli, nawaelewa basi nitapunguza maneno.

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 6 měsíci

    Hiyo kuwa kimya yao ndio inawaletea kufaliki mapema na ugonjwa waroho kwanii wanaweka ndani ya miyoyo yawo . Wanamke kusema ndo kupona kwao kwani hana nguwu yakujipigania kingivu wanaume kuna ambae anakuwa kimya kumbe anapanga mabaya kwamwenzio

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 Před 6 měsíci

    Aisee nimejikuta nacheka maana huyu ni mimi kabisa sikumoja mwanangu aliniambia nimemkuta baba anaongea saana kule kijiwen mi nikashangaa hee hiv anaongeaga maana hapa home mimi ndo muonfeaji jaman😂😂😂 Mungu anisaidie kumbe anaamuaga kunyamaza

    • @user-dy6mx4yc6y
      @user-dy6mx4yc6y Před 4 měsíci

      Mmh nmejifunza pia yan mm pia huu mdomo wangu ndio unampa stress kaka wa watu yan nikianza kulalamika ni masaa manne mwanaume yupo kimya tu na mada ninavyozichanganya sasa😂😂😂

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 6 měsíci

    Ni kusena ya kuwa wanaume ni watu wangu kuongea Hiyo sasa ukiwa hivo mukeo atajuwa aje yaku unatafuta shuluhisho na hawezi ingia kwenye mawazo yenu. Mbona dunia inafika mbali na dunia inajaa wanaume?

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r Před 8 měsíci +1

    Bwana we mnajitetea tu ,kila kitu ni utayar na kila kitu ni msingi kama mumewekeana misingi ya kuwasiliana kuna misingi kuongea na nani unawasiliana nae na nani unaongea nae kila kitu mnaweza mbona mkipata michepuko mnayaeleza yote tena Kwa utuo kwa kuyachambuo moja Hadi moja ,hapo sioni chochote zaid ya kutetea na kuzidisha kukuwa Kwa hio tabia ktk familia

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci +2

      Ukiona mwanaume anaongea kuhusu saikolojia ya wanaume hlf mwanamke ndio anapinga basi ujue huyu anayepinga ana tatizo kubwa..ni sawa na mwanamke aongee saikolojia ya wanawake hlf mimi mwanaume nipinge, itakuwa mimi nina shida..angepinga hizi hoja mwanaume nafikiri kungekuwa kuna tatizo lakini wanaume wanakubaliana na hiki ninachokisema ingetosha sana kukusaidia kujua kuwa unachojua na kuamini kuhusu wanaume sicho na ukajifunza

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 6 měsíci

    Kujakutana na wanawake ambao ni wakimya

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 6 měsíci +1

    Na kuna wanaume wanaongea kama ndege

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Před 10 měsíci

    My mentor.........

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci

      Naam..asante kwa kunifatilia

  • @satomatondo-wr9ss
    @satomatondo-wr9ss Před 6 měsíci

    God bless you

  • @lampardmaini2241
    @lampardmaini2241 Před 8 měsíci +1

    😂😂😂😂 kwahio tukiongea sana hawaelewi

  • @brightyona9815
    @brightyona9815 Před 10 měsíci

    Hellow pastor nmekua nikijifunza vingi sana toka kwako naomba kuuliza
    1. Je kitabu chako cha usichojua kuhusu mwanaume audio nakipataje na bei yake shingap
    2. Je namna gani ukimya wa mwanaume unaweza leta madhara badala yakutatua changamoto akaamua yeye kujiondoa dunian kimya kimya ?
    3. Ni namna gan unaweza mpenda mungu wakati jilan yako haumpend/ je namna gan unaweza kumwombea mema adui yako ilihali akiadhibiwa moyo wako unahisi maombi yako yamejibiwa yan unafurahia na ulikua unamuombea mabaya kama malipo?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci

      Asante sana
      1. Bei yake ni 15,000..wasiliana nasi kwa namba ya simu kwenye description
      Maswali yako nitajibu kwenye kipindi leo..ila swali la tatu liweke vizuri sijaelewa

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 Před 10 měsíci

      ❤Z

  • @user-lg5nk2fn6p
    @user-lg5nk2fn6p Před 6 měsíci

    Asante sana kaka mimi niko kwenye mahusiano na kaka mmoja hivi yaan siku nzima inapita hakutafuti mpaka usiku saa nne ndo anakujulia hali mimi hii kitu inanikera sana mpaka nahisi labda ana mwanamke mwingine ila yeye anasema anakuwa bz sana mpaka muda wa kushika simu anakosa tuko mtaa mmoja lakini naweza kumaliza hata wiki 1au mbili hatujaonana je huyu ana upendo kweli au nimevamilia penzi la mtu

    • @hasfaastore929
      @hasfaastore929 Před 6 měsíci

      Mmmmh ubize gani huo 😊

    • @user-lg5nk2fn6p
      @user-lg5nk2fn6p Před 6 měsíci

      @@hasfaastore929 ndo sielewi ila nikikaa nae nikama ananipenda

  • @visionaryyouthorganization
    @visionaryyouthorganization Před 6 měsíci

    😂sio mimi hapo...

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 10 měsíci

    Ni kweli Mchungaji Deo Mimi Niko ivyo na likologa Sana kwa kusema Sana,je Ni kila mwanamke Yuko ivyo? Mbona wanaume wakikimbia maneno ya wake zao uwa wanaenda kwa mchepuko na he mchepuko yeye Ana maneno maneno?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci

      Asante kwa swali lako..nitalijibu leo kwenye kipindi

  • @user-cj6pw8zd4e
    @user-cj6pw8zd4e Před 10 měsíci +1

    Sasa ikiwa mwanamme amekosea na kosa lenyewe linahusiana na yale anayokwambia utafanyaje ili kufikisha ujumbe?

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Před 6 měsíci

    Hapo kwenye kujishkilia ss wakati amekosea 😂😂😂

  • @mwanaidhozzer1575
    @mwanaidhozzer1575 Před 8 měsíci +1

    Deo jmn unaongea sana bila kwenda kwenye point pia mda mref unaongea

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci +1

      Ndio namna yangu ya kufundisha ndugu..pole sana kama inakuwia vigumu kunielewa

  • @jasper849
    @jasper849 Před 10 měsíci +1

    Moçambique

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci +1

      Wooow
      Asante kwa kutufatilia kutoka Mozambique

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 4 měsíci

    Eti vikao avinaga ajenda wala havijulikanii vilianza aje na vitaisha saa ngapi😂😂😂😂

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o Před 5 měsíci

    Kuna wanaume wanaongea mpaka basi nahawezi kua kimyaa atakutafuta wanawake wengi kuchati nao ilimradi apate kuongea nao tu inakuaje hii kaka😮😅

  • @songweforecast9685
    @songweforecast9685 Před 8 měsíci +2

    KWELI KABISAA YANI HIZO TABIA ZOTEEEE NINANZO,I USED TO KEEP SILENT WAKATI MKE WANGU ANAONGEA..... WANAWAKE WENGI NI PROBLEM CRAETORS NA WANAUME WENGI NI PROBLEM SOLVERS

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 10 měsíci

    Tafadhali kuna kelele kwenye video zako. From Italy. Chris Mauki video sale ziko very clear bila kelele wala sound

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci +1

      Asante sana kwa mrejesho..nimeshawasiliana na watu wa technical wanalifanyia kazi..

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 Před 8 měsíci +2

      We naye mmbea tu kwani lazima umtolee mfano wa Mauki? Siuseme tu atoe kelele basi ....

    • @ireneewensley7802
      @ireneewensley7802 Před 6 měsíci

      ​@@joycehaule9717umesema aisee

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 6 měsíci

    Kuongea ndio maumbile yetu, na wanawake ndio maumbile yao. Sasa tufanyeje baba

  • @zurisana8068
    @zurisana8068 Před 5 měsíci +1

    Kwa hiyo wanaume wanakataa ili wasiombe msamaha..I referred to your example mwanamke aliye mfumania mume wake;mume akakataa. So sad

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci +1

      Yeah..ni rahisi wao kukataa kuliko kuomba msamaha..kukataa kuna preserve manhood, kuomba msamaha kunaua manhood especially kama amebanwa kwenye kona ya kuhojiwa na mkewe

  • @hasfaastore929
    @hasfaastore929 Před 6 měsíci

    Ila apo kwenye uongo mmh niwaongo kweli😅😅😅

  • @asmarashidi9295
    @asmarashidi9295 Před 6 měsíci

    L

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 8 měsíci +1

    Sa ndo anunenine hovyo???

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 7 měsíci

      Kama kweli ananua basi hayupo sawa ila isije ikawa unachanganya yeye kukaa kimya na kununa..wanawake wengi huwa hawawezi kutofautisha

  • @user-tm7qi4kv9l
    @user-tm7qi4kv9l Před 10 měsíci +5

    Na mwanaume ambaye ameondk kwakukwaluzan alaf haji nymbn kunitafuta anitafuti mpak nimtafute na anamgogolo wakazin kwao huyo han dharau kwel na online unamuona lakn hanitfat ukimulza kwann unitafti anajibu Kwan ww ukinitaft Kun nn nahuyo nivipi nimeache au naomb nijibiwe jamn

  • @hanamakamba373
    @hanamakamba373 Před 8 měsíci +1

    katafute pesa

  • @songweforecast9685
    @songweforecast9685 Před 8 měsíci +2

    HUO NI MTEGO HAHAHAHAAAAAAA

  • @JescerProsper-hg1bf
    @JescerProsper-hg1bf Před 8 měsíci +2

    😪😪 me mpenz wangu ni ananuna nuna ovyo ad nakelekwa yan daah naumia sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci +1

      Kama kweli ananuna Huyo sasa atakuwa na tatizo la kisaikolojia..japo pia wakati mwingine wanawake hutafsiri ukimya wa wanaume kama kununa..ila wapo wanaume wanaonuna

    • @JescerProsper-hg1bf
      @JescerProsper-hg1bf Před 8 měsíci +1

      @@DeoSukambi nimemfatilia sana now ndo nimejua kua amepitia maisha magumu ya kuteseka na pia ni yatima ila sasa ataki ata kuongea na mm sijui kwann amekaa kimya na ata ndugu zake naulizia wanasema ndo ivyo anapenda kujiweka peke ake nifanyaje

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci +1

      Kama amepitia maisha hayo na ni yatima its obviuos atakuwa na tatizo la anxiety disorder na mengineyo..muhimu muelewe kwanza usilazimishe kufanya kitu ambacho hayupo tayari kufanya

    • @JescerProsper-hg1bf
      @JescerProsper-hg1bf Před 8 měsíci +1

      @@DeoSukambi sawa nimekuelewa nitamuacha tu sito msumbua now

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci

      Good..akiwa tayari kuzungumza utaanzia hapo kumuelewa zaidi..hajifanyishi ni tatizo alilonalo ndo linafanya awe hivyo

  • @songweforecast9685
    @songweforecast9685 Před 8 měsíci +4

    PASTOR UMEPIGA MWINGI SANA,YANI WIFE YANGU HUA ANAONGEA ASILIMIA 95% MIMI ANANIACHIA TANO 5% TUUUUUU HAHAHAHA SHIKAMOOO WANAWAKE

  • @agnessshole
    @agnessshole Před 7 měsíci +4

    Kama wameumbwa kufocuss na jambo moja ,,,, inakuwaje wanaona Bora kuwa na wake zaid ya mmoja..?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 7 měsíci +2

      Hahahaa
      1. Mke sio "jambo"
      2. Wanaume wengi hawajui kama wana hiyo nature ya kushindwa kudili na mambo mengi
      3. Wengi wanaooa wake wengi ni kwasababu wanatafuta mke ambaye anaweza kumsaidia kufocus..akivurugwa na huyu anaongeza mwingine akiamini anatatua tatizo kumbe inawezekana anaongeza
      4. Tofautisha ASILI na UTASHI..utashi unawasukuma kuoa wake wengi, asili inagoma ndo maana wengi wanapata shida na wake wengi

    • @agnessshole
      @agnessshole Před 7 měsíci

      @@DeoSukambi shukuruni Mungu azidi kutusimamia maan hizo focus kwake ndo hadi pawepo na uelewano eti,

    • @user-mn8nr2lp4y
      @user-mn8nr2lp4y Před 2 měsíci

      Nimefatilia waalimu wengi upande wa mahusiano nimengundua wewe upo makini na unagusa vitu mhimu

  • @RukiaMdide
    @RukiaMdide Před 2 měsíci

    Mimi naitwa Rukia nipo Oman