MAMBO 3 YANAYOLETA MAUMIVU KWENYE MAHUSIANO | UPONYAJI WA FAMILIA | DEO SUKAMBI
Vložit
- čas přidán 15. 10. 2023
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi,
Karibu katika uzinduzi wa kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU MALEZI (Jumamosi tarehe 21 Oktoba 2023), Usisahau kujisajili kuhudhuria events.deosukambi.com
Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Pastor Deo Mungu azidi kukubariki ili tupate mafundisho yako.
Asante sana Mtumishi Mungu akubariki, binafsi MUNGU anisaidie kutambua na kutofautisha madhaifu, tabia na mazingira zaidi kuwa na Moyo wa kuchukuliana maana hakuna aliye mkamilifu.
Fundisho nzuri tunakushkuru sana:
1.tuhukumu niya
2.tusipambane na udhaidi wa mwenzetu
3.tujue sababu yamabadiliko yamwenzetu
Asante sana
Asante mtumishi mm da tu2 kutoka qtr kwa mfundisho yako 6:14
Naitwa Deborah Asante kwa mafundisho yko yamenibariki Niko Nairobi Ila mm ni mtanzania.
SOMO NZURI SANA MTUMISHI WA MUNGU YAANI NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA SANA. NIMEJIPATA
Asante
Thanks Mtumishi nimejifunza kitu katika somo hili God bless you❤❤❤
Asante kwa SoMo zuri pastor Mwenyezi Mungu azidi kukutumia
Ahsante sana Apostle kwa Elimu hii 🎉🎉
Nashukuru sn Mtumishi umenibadirisha mno na umenijenga kifkra sana.
Asante sana kwamafumdisho nimeanza kukufatilia jana tu umenimove on
Mimi Mama ibrahim napataje hicho kitabu
Barikiwa sana..piga 0786903727 kupata kitabu
Love from Oman...🇴🇲💟ahsante kwa kutuongezea akili
Ni kweli hayo yana ukweli ndani yake,nimejionea hayo,ubarikiwe sana ,
Be blessed always 🤲
Asante sana ubarikiwe Mt Dar
Ubarikiwe saaaana Mt
Ubarikiwe sana
Naitwa Ali kutok tanga uko vizuri sana
Asante sana mwalimu kwa somo zuri la leo.
Naomba uwe unatumia zaidi kiswahili hasa pale unapokuwa umetumia kiingereza. hii ni kutokana na kwamba wasikilizaji wengine hawaelewi kabisa lugha hii ya kigeni. Barikiwa
Ubarikiwe Sana
Sijawai toa comment huku ila unakitu utafika mbali nakubadili jamii ubarikiwe 🙏🤝
Asante sana kwa kunitia moyo..barikiwa
Naitwa Joe from Arusha
.barikiwa sana mtumishi umenifundisha vizuri munoo
Asante sana
Mafundisho yako mazuri nimeyapenda mno namimi ni mwanandoa umenifundisha mengi pia ndoa ni uvumilivu na kusoma tabia
Naitwa mwajabu Aliy naishi majowe viwege kweli naamini kunamapenzi na upendo Asante Kwa elimu yako Mimi ninae mume ambae akienda kikazi congo lakini akienda akakaa miaka minne mtumishi amerudi mwaja Jana mwez wasaba bila kujali naishi vp na familia Leo hii kaludi anahitaji Mimi kuwa nae kiukweli niliombatalaka lakini alinikataliya na Mimi nimeshapoteza mapenzi Tena kwake nataka anipe talaka hataki kutowa je mchungaji nifanyeje?
Mtumishi wa mungu nipo na ww kutika kahama
Nawafuatilia kutoka Kenya Nairobi
Asante sana kutoka Kenya
Uko sahihi
👌👌👌👌 Nikweli kabisa
Asante kwa somo zuri
Shalom mutumishi mubarikiwe tunawafata tukiwa 🇺🇸
Asante sana
Asante mchungaji ubarukiwe sana namafundisho
Mimi Niko Rwanda 🙏
Blessed Pastor,Najifunza Sana.
Kwer kuna wakat ukimsema mtu ndio unamfundisha kukifanya kama mtt ukitake care anazid kulia ila ukimpuuza anatulia
Nakipataje kitabu mtumishi
Hakika mchungaji nashukulu sana Kwa kuyajuwa hayo nolikuwa sijawahi kukusikiliza kwahayo mtumishi kwakarne yasasa hakuna upendo Wala mapenzi hayo yalikuwa enzi za mababu zetu bwana
Mr Kachwele nakupata toka Mwanza jrc
Asantee
Asante kwa masomo mazuri mungu akubariki nimejifunza kitu asante
Sjui kwanni nlipata kkujua late mafunzo yako yanaokoa jahazi mtumishi
Wakati uliokubalika ni sasa..naamini kuna makusudi
Nimejifunza Sanaa ubarikiwe
Nashukuru Sana kwa SoMo zuri Sana🙏❤️
Asante Mtumishi nimebarikiwa mno
Hakika Mungu akubariki sana
Wazazi wake wameshindwa kumnyoosha Mungu ameshindwa kumnyoosha shetani ameshindwa kumnyoosha wewe unapambana nae wa nini😂😂pst chukua maua yako🎉🎉umenisaidia jambo
😂😂😂😂
Asantee 🙏🏻🙏🏻
Mung akubarik❤❤
Asante sana kwa kutuelewesha, binafsi umenisaidia sana, barikiwa sana baba🙏🙏🙏
Amen
Hakika umeniponya mchungaji
Asante Sana Kwa maarifa hata mazuri
Asante sana
Kitabu kinapatikanaje Mimi Niko arusha
Asante sana mtumishi wa Mungu. Naomba Mungu anisaidie kutofautisha haya mambo matatu nia, udhaifu na tabia
Mungu akuwezeshe
@@DeoSukambi Amen ninayo imani ataniwezesha.. be blessed
Asanteee kwa somo zuri duuh umeiponya roho yangu nipo huru Barikiwa saaaaana🙏🙏
Shukrani nakupata kutoka oman
Asante sana
Uko vizuli sukambi
Asante Sana Pastor Kwa Kutusaidia Kuokoa Mahusiano Yetu Huku Tuliko Kupitia Mafundisho Yako. Lakini Pastor Mhhhhhh. !? Matumizi Ya Lugha Kiingereza Iliyojaa Ktk Mafundisho Hayo Ni Changamoto Kwa Sie Wenye Wenza Walioshia Darasa La Tatu Na Wengine Madarasa Hawayajuhi Kabisa. Chande Chonde Pastor Kwa Hili.
🙏🙏🌹🌹
🙏🙏
Ukovema Sana
🥰
duuh nimefirah kukusikiliza
Nimeelewa ulichofundisha kuwa nisimbane zaidi nijue chanzo Cha tabia kubadilika ni nn
Yes upo sahihi..kujua chanzo cha tatizo ni jambo muhimu zaidi
Ñiko Tanga huwa nakufuatilia, ili nipate maarifa, Francis
Niko burundi
Vitabu vyako vinapatikana je?
Unataka vyote?
Naitwa Madam Rehema Nakuskiliza nikiwa buza
Nmechoka moyo I lkn umenponya
kutoka Milan Italy
Exactly
Asante sana Dct
Naitwa Anna waya kutoka mkoa wa KATAVI municipal ya MPANDA nabarikiwa sana na mafundisho yako ubarikiwe mtumishi🤝🙏
Nipo arusha napataje kitabu hicho
Piga hii namba 0786903727
🙏🙏🇹🇿
Hakika mchungaji nashukulu sana Kwa kuyajuwa hayo nolikuwa sijawahi kukusikiliza kwahayo mtumishi kwakarne yasasa hakuna upendo Wala mapenzi hayo yalikuwa enzi za mababu zetu bwana