MAMBO 3 YANAYOLETA MAUMIVU KWENYE MAHUSIANO | UPONYAJI WA FAMILIA | DEO SUKAMBI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 10. 2023
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi,
    Karibu katika uzinduzi wa kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU MALEZI (Jumamosi tarehe 21 Oktoba 2023), Usisahau kujisajili kuhudhuria events.deosukambi.com
    Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Komentáře • 94

  • @sporammari3866
    @sporammari3866 Před 2 měsíci +2

    Pastor Deo Mungu azidi kukubariki ili tupate mafundisho yako.

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula3805 Před 9 měsíci +9

    Asante sana Mtumishi Mungu akubariki, binafsi MUNGU anisaidie kutambua na kutofautisha madhaifu, tabia na mazingira zaidi kuwa na Moyo wa kuchukuliana maana hakuna aliye mkamilifu.

  • @AlAmirMohamed-pl5rs
    @AlAmirMohamed-pl5rs Před 2 měsíci +1

    Fundisho nzuri tunakushkuru sana:
    1.tuhukumu niya
    2.tusipambane na udhaidi wa mwenzetu
    3.tujue sababu yamabadiliko yamwenzetu
    Asante sana

  • @fathimaomn7035
    @fathimaomn7035 Před 6 měsíci +3

    Asante mtumishi mm da tu2 kutoka qtr kwa mfundisho yako 6:14

  • @user-kl9cz3tr3b
    @user-kl9cz3tr3b Před 9 měsíci +5

    Naitwa Deborah Asante kwa mafundisho yko yamenibariki Niko Nairobi Ila mm ni mtanzania.

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 Před 4 měsíci +4

    SOMO NZURI SANA MTUMISHI WA MUNGU YAANI NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA SANA. NIMEJIPATA

  • @dianajuma2734
    @dianajuma2734 Před 7 měsíci +3

    Thanks Mtumishi nimejifunza kitu katika somo hili God bless you❤❤❤

  • @ChristinaIsmail-qq3bj
    @ChristinaIsmail-qq3bj Před 2 měsíci +1

    Asante kwa SoMo zuri pastor Mwenyezi Mungu azidi kukutumia

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před 6 měsíci +2

    Ahsante sana Apostle kwa Elimu hii 🎉🎉

  • @frolaibrahim1257
    @frolaibrahim1257 Před 7 dny

    Nashukuru sn Mtumishi umenibadirisha mno na umenijenga kifkra sana.

  • @adelinankana1070
    @adelinankana1070 Před 5 měsíci +2

    Asante sana kwamafumdisho nimeanza kukufatilia jana tu umenimove on
    Mimi Mama ibrahim napataje hicho kitabu

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci +2

      Barikiwa sana..piga 0786903727 kupata kitabu

  • @mouzahal-alawi6474
    @mouzahal-alawi6474 Před 8 měsíci +4

    Love from Oman...🇴🇲💟ahsante kwa kutuongezea akili

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 7 měsíci +3

    Ni kweli hayo yana ukweli ndani yake,nimejionea hayo,ubarikiwe sana ,

  • @sein.208
    @sein.208 Před 4 měsíci +2

    Be blessed always 🤲

  • @gloryoscar
    @gloryoscar Před 2 měsíci

    Asante sana ubarikiwe Mt Dar

  • @gloryoscar
    @gloryoscar Před 2 měsíci

    Ubarikiwe saaaana Mt

  • @VICTORIAMWAKIPESILE-uz8xm
    @VICTORIAMWAKIPESILE-uz8xm Před měsícem

    Ubarikiwe sana

  • @AllyJuma-mf2jd
    @AllyJuma-mf2jd Před 2 měsíci +1

    Naitwa Ali kutok tanga uko vizuri sana

  • @stevensonpelegy3052
    @stevensonpelegy3052 Před 4 měsíci

    Asante sana mwalimu kwa somo zuri la leo.
    Naomba uwe unatumia zaidi kiswahili hasa pale unapokuwa umetumia kiingereza. hii ni kutokana na kwamba wasikilizaji wengine hawaelewi kabisa lugha hii ya kigeni. Barikiwa

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Před 6 měsíci +2

    Ubarikiwe Sana

  • @molexevelist813
    @molexevelist813 Před 7 měsíci +2

    Sijawai toa comment huku ila unakitu utafika mbali nakubadili jamii ubarikiwe 🙏🤝

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 7 měsíci

      Asante sana kwa kunitia moyo..barikiwa

  • @joemshana6069
    @joemshana6069 Před 4 měsíci +1

    Naitwa Joe from Arusha

  • @noelMremi
    @noelMremi Před 7 měsíci +2

    .barikiwa sana mtumishi umenifundisha vizuri munoo

  • @user-xn9kf3kp2g
    @user-xn9kf3kp2g Před 4 měsíci +1

    Mafundisho yako mazuri nimeyapenda mno namimi ni mwanandoa umenifundisha mengi pia ndoa ni uvumilivu na kusoma tabia

  • @user-cc6wb5ny6p
    @user-cc6wb5ny6p Před 4 měsíci +1

    Naitwa mwajabu Aliy naishi majowe viwege kweli naamini kunamapenzi na upendo Asante Kwa elimu yako Mimi ninae mume ambae akienda kikazi congo lakini akienda akakaa miaka minne mtumishi amerudi mwaja Jana mwez wasaba bila kujali naishi vp na familia Leo hii kaludi anahitaji Mimi kuwa nae kiukweli niliombatalaka lakini alinikataliya na Mimi nimeshapoteza mapenzi Tena kwake nataka anipe talaka hataki kutowa je mchungaji nifanyeje?

  • @WabanhuErnest-or3lq
    @WabanhuErnest-or3lq Před 4 měsíci +1

    Mtumishi wa mungu nipo na ww kutika kahama

  • @mariachengula5166
    @mariachengula5166 Před 5 měsíci +2

    Nawafuatilia kutoka Kenya Nairobi

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před 3 měsíci

    Uko sahihi

  • @nyiranzimami728
    @nyiranzimami728 Před 4 měsíci +1

    👌👌👌👌 Nikweli kabisa

  • @BarnabaBuhoma
    @BarnabaBuhoma Před 9 měsíci +1

    Asante kwa somo zuri

  • @kelemakelema3705
    @kelemakelema3705 Před 8 měsíci +3

    Shalom mutumishi mubarikiwe tunawafata tukiwa 🇺🇸

  • @BizimunguAdolphe-vp7xp
    @BizimunguAdolphe-vp7xp Před 7 měsíci +2

    Mimi Niko Rwanda 🙏

  • @user-tq8sp2ro4t
    @user-tq8sp2ro4t Před 6 měsíci

    Blessed Pastor,Najifunza Sana.

  • @user-xw3qf6ii9m
    @user-xw3qf6ii9m Před 4 měsíci +1

    Kwer kuna wakat ukimsema mtu ndio unamfundisha kukifanya kama mtt ukitake care anazid kulia ila ukimpuuza anatulia

  • @sylviamassawe2667
    @sylviamassawe2667 Před 4 měsíci +1

    Nakipataje kitabu mtumishi

  • @user-cc6wb5ny6p
    @user-cc6wb5ny6p Před 4 měsíci

    Hakika mchungaji nashukulu sana Kwa kuyajuwa hayo nolikuwa sijawahi kukusikiliza kwahayo mtumishi kwakarne yasasa hakuna upendo Wala mapenzi hayo yalikuwa enzi za mababu zetu bwana

  • @glory2god157
    @glory2god157 Před 5 měsíci +1

    Mr Kachwele nakupata toka Mwanza jrc

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 Před 9 měsíci

    Asantee

  • @MonikaAsedi
    @MonikaAsedi Před 8 měsíci

    Asante kwa masomo mazuri mungu akubariki nimejifunza kitu asante

  • @dhadhonuru
    @dhadhonuru Před 5 měsíci +2

    Sjui kwanni nlipata kkujua late mafunzo yako yanaokoa jahazi mtumishi

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 4 měsíci +1

      Wakati uliokubalika ni sasa..naamini kuna makusudi

  • @doraellyshayo5666
    @doraellyshayo5666 Před 8 měsíci

    Nimejifunza Sanaa ubarikiwe

  • @emidanongele2036
    @emidanongele2036 Před 8 měsíci +1

    Nashukuru Sana kwa SoMo zuri Sana🙏❤️

  • @user-mr3mt1fm3r
    @user-mr3mt1fm3r Před 6 měsíci

    Asante Mtumishi nimebarikiwa mno

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 6 měsíci

    Hakika Mungu akubariki sana

  • @NaomyPoul
    @NaomyPoul Před 6 měsíci +1

    Wazazi wake wameshindwa kumnyoosha Mungu ameshindwa kumnyoosha shetani ameshindwa kumnyoosha wewe unapambana nae wa nini😂😂pst chukua maua yako🎉🎉umenisaidia jambo

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 Před 5 měsíci

    Asantee 🙏🏻🙏🏻

  • @user-vj2iz4oy5b
    @user-vj2iz4oy5b Před 7 měsíci

    Mung akubarik❤❤

  • @hettygideon9138
    @hettygideon9138 Před 8 měsíci +1

    Asante sana kwa kutuelewesha, binafsi umenisaidia sana, barikiwa sana baba🙏🙏🙏

  • @user-hf2dv4hs1e
    @user-hf2dv4hs1e Před 4 měsíci +1

    Hakika umeniponya mchungaji

  • @inukaonlinetv7969
    @inukaonlinetv7969 Před 8 měsíci +1

    Asante Sana Kwa maarifa hata mazuri

  • @gracepallangyo7487
    @gracepallangyo7487 Před 2 měsíci

    Kitabu kinapatikanaje Mimi Niko arusha

  • @RitaLoice
    @RitaLoice Před 8 měsíci +1

    Asante sana mtumishi wa Mungu. Naomba Mungu anisaidie kutofautisha haya mambo matatu nia, udhaifu na tabia

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci +1

      Mungu akuwezeshe

    • @RitaLoice
      @RitaLoice Před 8 měsíci

      @@DeoSukambi Amen ninayo imani ataniwezesha.. be blessed

    • @user-nd3hy7ot4w
      @user-nd3hy7ot4w Před 7 měsíci

      Asanteee kwa somo zuri duuh umeiponya roho yangu nipo huru Barikiwa saaaaana🙏🙏

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před 8 měsíci +1

    Shukrani nakupata kutoka oman

  • @user-gk1zp7nr7c
    @user-gk1zp7nr7c Před 2 měsíci

    Uko vizuli sukambi

  • @othumanjenga9974
    @othumanjenga9974 Před 3 měsíci

    Asante Sana Pastor Kwa Kutusaidia Kuokoa Mahusiano Yetu Huku Tuliko Kupitia Mafundisho Yako. Lakini Pastor Mhhhhhh. !? Matumizi Ya Lugha Kiingereza Iliyojaa Ktk Mafundisho Hayo Ni Changamoto Kwa Sie Wenye Wenza Walioshia Darasa La Tatu Na Wengine Madarasa Hawayajuhi Kabisa. Chande Chonde Pastor Kwa Hili.

  • @hadidjaissa9154
    @hadidjaissa9154 Před 9 měsíci

    🙏🙏🌹🌹

  • @Thatbigsis
    @Thatbigsis Před 9 měsíci

    🙏🙏

  • @DenisKamugisha-zn3ub
    @DenisKamugisha-zn3ub Před 6 měsíci

    Ukovema Sana

  • @bishengadau681
    @bishengadau681 Před 2 měsíci

    🥰

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 Před měsícem

    duuh nimefirah kukusikiliza

  • @beatricelivigha4164
    @beatricelivigha4164 Před 7 měsíci +2

    Nimeelewa ulichofundisha kuwa nisimbane zaidi nijue chanzo Cha tabia kubadilika ni nn

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 7 měsíci

      Yes upo sahihi..kujua chanzo cha tatizo ni jambo muhimu zaidi

  • @francismathias850
    @francismathias850 Před 17 dny

    Ñiko Tanga huwa nakufuatilia, ili nipate maarifa, Francis

  • @sadanimubona5485
    @sadanimubona5485 Před 6 měsíci +1

    Niko burundi

  • @mavelyenlaurent8103
    @mavelyenlaurent8103 Před 8 měsíci +3

    Vitabu vyako vinapatikana je?

  • @user-yw7wt7zv4s
    @user-yw7wt7zv4s Před 9 měsíci +2

    Naitwa Madam Rehema Nakuskiliza nikiwa buza

  • @wilsonbaraka5970
    @wilsonbaraka5970 Před 4 měsíci +1

    Nmechoka moyo I lkn umenponya

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 9 měsíci +1

    kutoka Milan Italy

    • @MaryAddam-my8nh
      @MaryAddam-my8nh Před 9 měsíci

      Exactly
      Asante sana Dct

    • @ANNASEPHANIA-lg1uj
      @ANNASEPHANIA-lg1uj Před 9 měsíci

      Naitwa Anna waya kutoka mkoa wa KATAVI municipal ya MPANDA nabarikiwa sana na mafundisho yako ubarikiwe mtumishi🤝🙏

  • @dianajuma2734
    @dianajuma2734 Před 7 měsíci +1

    Nipo arusha napataje kitabu hicho

  • @tusekonga3030
    @tusekonga3030 Před 9 měsíci +1

    🙏🙏🇹🇿

  • @user-cc6wb5ny6p
    @user-cc6wb5ny6p Před 4 měsíci +1

    Hakika mchungaji nashukulu sana Kwa kuyajuwa hayo nolikuwa sijawahi kukusikiliza kwahayo mtumishi kwakarne yasasa hakuna upendo Wala mapenzi hayo yalikuwa enzi za mababu zetu bwana