NAFASI YA MAMA NA BABA KULEA MTOTO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Unajua nafasi na mchango wako kwenye kulea mtoto?
    Unajua faida za mtoto kulelewa na wazazi wote wawili?
    Unajua athari za kisaikolojia anazopata mtoto anapolelewa na mzazi mmoja?
    Je, unaweza kuhusianisha mfumo uliolelewa na haiba yako ya sasa?
    Karibu ujifunze hapa
    Kwa msaada zaidi wa ushauri na kupata flash za mafundisho zaidi ya familia, malezi na ndoa wasiliana nasi kwa 0746104034

Komentáře • 20

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před rokem +3

    Huyu pastor Yuko tofauti sana na wanasaikolojia wengine yani nimejifunza kitu kipya kutoka kwake ambacho sijakisikia kwingine

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před rokem

      Asante sana..Mungu akubariki na kuzidi sana kukufundisha

  • @geofreymodestmushema9371

    Wewe ni Chuo kikuu cha Ustawi wa jamii kinachojitegemea. Mwenyezi Mungu akuzidishie Umri na Nguvu.

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před rokem

      Asante sana..namshukuru Mungu kwa neema yake

  • @Moyowamama
    @Moyowamama Před 2 lety +3

    Very powerful school

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem +1

    Mchg deo Mungu Anaona mpaka ubongo wako,sijawai kuona Wala kusikia maneno magumu Kama haya,Mungu wangu🙏🙏

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před rokem

      Mungu azidi kubariki na kuponya maisha yako kwa neno lake..nakuombea

  • @damianandrew3074
    @damianandrew3074 Před rokem +3

    Mungu you mwema anakutumia vzr mchungaji sifa kwake yeye mungu inatumika vywema

  • @barakandabunganie6585
    @barakandabunganie6585 Před 2 lety +3

    Nimekupata pastor

  • @williamshija8154
    @williamshija8154 Před rokem +1

    Da! Namshukru MUNGU kwaajiri ya kukutana na Huyu MTU katika wakati wangu huu wa ujana, najisikia kuandaliwa kuwa Mme Bora ajayee, MUNGU akubariki Sana pastor Sukumbani 🙏🙏🙏🙏

  • @shindokilawa4075
    @shindokilawa4075 Před 2 lety +2

    Inafundisha

  • @Goals592
    @Goals592 Před rokem

    Safi sana mchungaji

  • @asiliyetuafrika9542
    @asiliyetuafrika9542 Před rokem +1

    Nimefurahi sana, hili ni somo ambalo nimelipata kwa wakati sahihi

  • @sesiliakasianindimbo5442

    Ameni past .mungu nimwema

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    Asante sana

  • @chax255
    @chax255 Před 2 lety +1

    Mafundisho mazuri sana pastor nmejifunza kitu.