Sababu za Migogoro ya Ndoa na Mahusiano | Uponyaji wa Familia | Pastor Deo Sukambi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 09. 2023
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi,
    Unaweza kupata kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU WANAUME kwa link hii
    www.getvalue.co/search_result...
    Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / sukambideo
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Komentáře • 28

  • @HappyAndrea-dp9ep
    @HappyAndrea-dp9ep Před měsícem

    Amina mtumushi

  • @JulianaOlambo
    @JulianaOlambo Před 3 měsíci

    Nafatilia kutoka Lindi barikiwa sana

  • @salimruhava5220
    @salimruhava5220 Před 3 měsíci

    Brother nakushkr saaana , nimekuwa mdau wako kwa takriban mwaka mmoja , nashkr saaana kwa msaaada juu ya elimu Bora uitoayo mungu akubrki saaana mtumishi

  • @zainabusaidi8161
    @zainabusaidi8161 Před 2 měsíci

    Mtumishi kwakweli nakukubali Sana nakufuatilia kutoka mozambic

  • @drpriscaantony7825
    @drpriscaantony7825 Před 5 měsíci +2

    My favorite mentor may God bless you

  • @user-sk8me7um8c
    @user-sk8me7um8c Před 5 měsíci +2

    Ndio papa nikweli

  • @victoriandalahwa-sm6hq
    @victoriandalahwa-sm6hq Před 5 měsíci +1

    Natokea MWANZA. Ni.mafundisho. mazuri na ya muhimu Sana kwa kipindi tunachoishi leo

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 Před 10 měsíci +1

    Amina baba mtumishi wa Mungu nimekuelewa sana, nitaweza kubadirika sasa na mahusiano yangu yatasimama, ubarikiwe sana baba

  • @omary909
    @omary909 Před 9 měsíci

    Asanteee kwa somo zuri

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Před 10 měsíci

    Asante mchungaji

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 Před 9 měsíci

    mimi kwamajina ni Carolina nawafatilia nikiwa saundia🙏🏻🙏🏻

  • @user-fy8te1wo8q
    @user-fy8te1wo8q Před 9 měsíci +1

    Amina mtumishi lakin mim ninachangamoto hii unakutana na mwanaume anasema atanioa lakin huwa hawatimiz ahadi huwa wanapotea alfu ukianza mahusiano mengine yule wamwanzo analudi pia hawez kufanya chochote shida nin nateseka na hili tatizo mtu akitamka kuowana inaishia hewani

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 Před 10 měsíci

    Ntaendelea kukufatilia kila siku tunapitia migogoro mingi isiyo na sbb ni kwa kuwa hatujielewi sisi ni nani ni kweli

  • @gloriosehakizimana3789
    @gloriosehakizimana3789 Před 9 měsíci +1

    Ninawata zama kutoka Nederland uraya nani nawasikia vizuli sana
    Mubarikiwe sana

  • @FloraTobias-sl2eo
    @FloraTobias-sl2eo Před 7 měsíci +1

    Nafuatalia kutoka kigoma

  • @carolinetoto8706
    @carolinetoto8706 Před 9 měsíci

    Nikweli sana😢

  • @user-sk8hw5bx1v
    @user-sk8hw5bx1v Před 6 měsíci +1

    Natizama kutoka Arusha napenda sana mafunzo yako

  • @tantinebettynduwimana380
    @tantinebettynduwimana380 Před 10 měsíci +1

    mtumishi hivi mwanaume mkiwa kwenye uchumba unampigia simu mara nyingi hapokei na yuko online alafu akipiga simu namuuliza mbona hukupokea simu alafu anakua mkali anafoka kwa hasira hii inamanisha nini?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 10 měsíci +5

      Inamaanisha hakutaki kwenye maisha yake ila wewe huelewi na unamjengea mazingira ya kuendelea kuwa na wewe

    • @user-iv4xr9oq9g
      @user-iv4xr9oq9g Před 7 měsíci

      🙏🏽🙏🏽

  • @gracepallangyo7487
    @gracepallangyo7487 Před 7 měsíci +1

    Natoka arusha ndo nimeanza kukufatilia

  • @hedayajamada7039
    @hedayajamada7039 Před 8 měsíci +1

    Nawafuatilia kutoka Dubai nakukubali sana.