Sababu za Migogoro ya Ndoa na Mahusiano | Uponyaji wa Familia | Pastor Deo Sukambi
Vložit
- čas přidán 17. 09. 2023
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi,
Unaweza kupata kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU WANAUME kwa link hii
www.getvalue.co/search_result...
Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ sukambideo
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Amina mtumushi
Nafatilia kutoka Lindi barikiwa sana
Brother nakushkr saaana , nimekuwa mdau wako kwa takriban mwaka mmoja , nashkr saaana kwa msaaada juu ya elimu Bora uitoayo mungu akubrki saaana mtumishi
Mtumishi kwakweli nakukubali Sana nakufuatilia kutoka mozambic
My favorite mentor may God bless you
Woow..am so humbled
Ndio papa nikweli
Natokea MWANZA. Ni.mafundisho. mazuri na ya muhimu Sana kwa kipindi tunachoishi leo
Barikiwa sana Victoria
Amina baba mtumishi wa Mungu nimekuelewa sana, nitaweza kubadirika sasa na mahusiano yangu yatasimama, ubarikiwe sana baba
Amen Jenipher..karibu
Asanteee kwa somo zuri
Asante mchungaji
mimi kwamajina ni Carolina nawafatilia nikiwa saundia🙏🏻🙏🏻
Amina mtumishi lakin mim ninachangamoto hii unakutana na mwanaume anasema atanioa lakin huwa hawatimiz ahadi huwa wanapotea alfu ukianza mahusiano mengine yule wamwanzo analudi pia hawez kufanya chochote shida nin nateseka na hili tatizo mtu akitamka kuowana inaishia hewani
Ntaendelea kukufatilia kila siku tunapitia migogoro mingi isiyo na sbb ni kwa kuwa hatujielewi sisi ni nani ni kweli
Ninawata zama kutoka Nederland uraya nani nawasikia vizuli sana
Mubarikiwe sana
Nafuatalia kutoka kigoma
Asante Flora
Nikweli sana😢
Natizama kutoka Arusha napenda sana mafunzo yako
mtumishi hivi mwanaume mkiwa kwenye uchumba unampigia simu mara nyingi hapokei na yuko online alafu akipiga simu namuuliza mbona hukupokea simu alafu anakua mkali anafoka kwa hasira hii inamanisha nini?
Inamaanisha hakutaki kwenye maisha yake ila wewe huelewi na unamjengea mazingira ya kuendelea kuwa na wewe
🙏🏽🙏🏽
Natoka arusha ndo nimeanza kukufatilia
Karibu sana mgeni wangu
Nawafuatilia kutoka Dubai nakukubali sana.
Asante sana