JINSI TENDO LA NDOA LINAVYOWEZA KUFICHUA TATIZO LA KIHISIA | Deo Sukambi
Vložit
- čas přidán 16. 06. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza JINSI TENDO LA NDOA LINAVYOWEZA KUFICHUA TATIZO LA KIHISIA
Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
/ @deosukambi
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Somo nzuri
Wewe Pastor ni mwamba! Unajua mpaka unajua tena!
Amen amen kaka
Ana matope ana Nini kweli mchepuko sio diri😂😂😂😂😂
Amen sana mchungaji kwenye uandisi kweli akukufahi " malezi ya familia " umenifanya nimekuwa mwalimu kwa jamaa zangu na wananishanga nimepata wapi haya madini hili ni ww sifa na utukufu ni Bwana kwa kipawa hiki alichokipatia, hila leo umeniachia maswali bado tutatibu vipi hili mwenzangu anifungulie mlango
Hili darasa la leo ni 🔥🔥
Upo sahihi kabisa kw asilimia mia nimekuelewa then nimekuelewa tena
Asante sana
Good job. Ahsante na hongera sana.
Asante Mtumishi kwa mafundisho
Mungu akubariki❤
Asante kwa mafunzo mazuri
ase somo zur mno
Umeongea ukweli kbsa mungu akubariki
Waooooo ongera. Baba. Umesema kweli. So how to solve this problem
Nawewe doctor, uelewa wako uko hivo,
𝚔𝚠𝚎𝚕𝚒 𝚞𝚗𝚊𝚌𝚑𝚘𝚔𝚒𝚜𝚎𝚖𝚊 ❤
Somo zuri bali sasa ile sheria ya kuwa inabidintushiriki baada ya ndoa tuigeuzwe nau????ili kujua ili kama naingia kwenye nafsi sahihi au?? Laa
Tendo linafichua majeraha..kuna dalili na viashiri vingi vya kujua mtu ana majeraha kabla ya kufanya..ukifanya na mtu kabla ukakuta ana majeraha na ukamuacha maana yake umemuongezea jeraha..so hiyo sheria ibaki watu watumie njia zingine kufanya utambuzi
Kweli nisomo zuri ila tatizo nikwamba nafsi zingine zikichafuka inakuwa tabu sana kuzisafisha unaweza ukagundua ila kuzisafisha ikawa tabu nambaya zaid kama mnawatoto wanaumia hadi watoto
Unaponaje majeraha😢
Ni lazima kupata therapy..wasiliana nasi kwa 0786903727 kubook a session
Ukisema wewe na kuamini….
Haaaa🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Lafik yangu, anamke ambaye akimwanza yeye, wa nainjoy.akianza mwaume yani akimwanza mke wake mke mkavu hainjoy tiba iko wapi hapa
Maana yake tatizo lipo kwa mwanamke sasa lazima tujue limesababisha na nini..inawezekana ana changamoto zake binafsi ambazo ni mpaka yeye ajisikie au zimesababishwa na mwanaume kwa hiyo mpaka huyo dada awe anahitaji ndio anajiswitch on..
@@DeoSukambi Asante unatusaidia Sana, mwalimu. Nikijaliwa pesa natakiwa niuzurie dalasa
Mara zote wanaume tuko sawa, unaweza kudhani nyote mna enjoy kumbe mmoja na hasa mwanamke kamchoka mwenzake siku nyingi. Mwenye tendo ni mwanamke UTAYARI wake ndio unawasha mashine.
Mimi naishi na mwanaume myaka 6 nimebahatika kupata mutoto mumoja lakini toka naishi naye tunagombana na sijawahi kumuchiti na nina myaka 3 sinamapenzi naye hata tukifanya mambo ananirazimisha nimeshamuambiya kila mutu aishi namaisha yak lakini hataki anangangana na kuna mutu mwingine nimeshamupenda na sitaki nimuchiti nahitaji nimalizane naye kwanza ndo nifanye nahuyo ninayomupenda nikiwaza kufanya nahuyo mwingine nahisi siwezi nikapata furaha kwa sábabu bado naishi namwingine
@@LeonelCarlosCongolo Hakuna mwanamme wa hivyo awe kakuoa kwa namna yoyote ile inawezekana ulimuonesha mapenzi akadhani ni upepo lakini chochote alichovutiwa nacho kwako kamalizana nacho ndani ya miezi 3 kitachomuweka kwako ni tabia na kama humpendi bila shaka na tabia njema haitakuwepo. Sasa kwa nini bado hakuachi?
Bila shaka umemdanganya hukuwa na upendo na mumeo alidhani unaupendo na akawekeza kwako inawezeka alijenga au aliimarisha maisha yenu kwa namna fulani hivyo hawezi kukuacha hivi hivi. Ungekuwa Muislam ungedai talaka "Qurui" yaani mwanamme unamlipa fidia kwa namna anavyotaka yeye.
Kuwa makini na huyo mwanamme wako mpya atakuwa na experience na wewe kwa ulichomfanya huyo uliyenae. Ulichomfanyia mume wako ni dhulma.