JINSI TENDO LA NDOA LINAVYOWEZA KUFICHUA TATIZO LA KIHISIA | Deo Sukambi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 06. 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza JINSI TENDO LA NDOA LINAVYOWEZA KUFICHUA TATIZO LA KIHISIA
    Kwa ushauri nasihi piga +255 746 104 034 au e-mail booking@deosukambi.com
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA +255 715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA +255 746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    / @deosukambi
    Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Komentáře • 34

  • @antoniasanga4974
    @antoniasanga4974 Před 16 dny

    Somo nzuri

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před měsícem +3

    Wewe Pastor ni mwamba! Unajua mpaka unajua tena!

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274 Před měsícem +3

    Ana matope ana Nini kweli mchepuko sio diri😂😂😂😂😂

  • @novatusmwikola742
    @novatusmwikola742 Před měsícem

    Amen sana mchungaji kwenye uandisi kweli akukufahi " malezi ya familia " umenifanya nimekuwa mwalimu kwa jamaa zangu na wananishanga nimepata wapi haya madini hili ni ww sifa na utukufu ni Bwana kwa kipawa hiki alichokipatia, hila leo umeniachia maswali bado tutatibu vipi hili mwenzangu anifungulie mlango

  • @muhamadharun9432
    @muhamadharun9432 Před měsícem

    Hili darasa la leo ni 🔥🔥

  • @madaniel9290
    @madaniel9290 Před měsícem +3

    Upo sahihi kabisa kw asilimia mia nimekuelewa then nimekuelewa tena

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před měsícem

    Good job. Ahsante na hongera sana.

  • @GlidaPeter
    @GlidaPeter Před měsícem

    Asante Mtumishi kwa mafundisho

  • @habibajumahabiba6730
    @habibajumahabiba6730 Před měsícem

    Mungu akubariki❤

  • @user-en6dk7et2x
    @user-en6dk7et2x Před měsícem

    Asante kwa mafunzo mazuri

  • @fabianchrizostom5743
    @fabianchrizostom5743 Před měsícem +1

    ase somo zur mno

  • @harosicharo2736
    @harosicharo2736 Před 28 dny

    Umeongea ukweli kbsa mungu akubariki

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretter Před měsícem

    Waooooo ongera. Baba. Umesema kweli. So how to solve this problem

  • @user-po9jw6pz8s
    @user-po9jw6pz8s Před měsícem

    Nawewe doctor, uelewa wako uko hivo,

  • @zuhrakhamis6508
    @zuhrakhamis6508 Před měsícem

    𝚔𝚠𝚎𝚕𝚒 𝚞𝚗𝚊𝚌𝚑𝚘𝚔𝚒𝚜𝚎𝚖𝚊 ❤

  • @sadamkyndo2719
    @sadamkyndo2719 Před 26 dny +1

    Somo zuri bali sasa ile sheria ya kuwa inabidintushiriki baada ya ndoa tuigeuzwe nau????ili kujua ili kama naingia kwenye nafsi sahihi au?? Laa

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 24 dny

      Tendo linafichua majeraha..kuna dalili na viashiri vingi vya kujua mtu ana majeraha kabla ya kufanya..ukifanya na mtu kabla ukakuta ana majeraha na ukamuacha maana yake umemuongezea jeraha..so hiyo sheria ibaki watu watumie njia zingine kufanya utambuzi

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 Před měsícem

    Kweli nisomo zuri ila tatizo nikwamba nafsi zingine zikichafuka inakuwa tabu sana kuzisafisha unaweza ukagundua ila kuzisafisha ikawa tabu nambaya zaid kama mnawatoto wanaumia hadi watoto

  • @maryedward5680
    @maryedward5680 Před měsícem +2

    Unaponaje majeraha😢

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před měsícem

      Ni lazima kupata therapy..wasiliana nasi kwa 0786903727 kubook a session

  • @BarnabaBuhoma
    @BarnabaBuhoma Před měsícem +2

    Ukisema wewe na kuamini….

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Před měsícem

    Lafik yangu, anamke ambaye akimwanza yeye, wa nainjoy.akianza mwaume yani akimwanza mke wake mke mkavu hainjoy tiba iko wapi hapa

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před měsícem +2

      Maana yake tatizo lipo kwa mwanamke sasa lazima tujue limesababisha na nini..inawezekana ana changamoto zake binafsi ambazo ni mpaka yeye ajisikie au zimesababishwa na mwanaume kwa hiyo mpaka huyo dada awe anahitaji ndio anajiswitch on..

    • @mj.tv.forpeople992
      @mj.tv.forpeople992 Před měsícem

      @@DeoSukambi Asante unatusaidia Sana, mwalimu. Nikijaliwa pesa natakiwa niuzurie dalasa

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem +1

      Mara zote wanaume tuko sawa, unaweza kudhani nyote mna enjoy kumbe mmoja na hasa mwanamke kamchoka mwenzake siku nyingi. Mwenye tendo ni mwanamke UTAYARI wake ndio unawasha mashine.

    • @LeonelCarlosCongolo
      @LeonelCarlosCongolo Před měsícem +1

      Mimi naishi na mwanaume myaka 6 nimebahatika kupata mutoto mumoja lakini toka naishi naye tunagombana na sijawahi kumuchiti na nina myaka 3 sinamapenzi naye hata tukifanya mambo ananirazimisha nimeshamuambiya kila mutu aishi namaisha yak lakini hataki anangangana na kuna mutu mwingine nimeshamupenda na sitaki nimuchiti nahitaji nimalizane naye kwanza ndo nifanye nahuyo ninayomupenda nikiwaza kufanya nahuyo mwingine nahisi siwezi nikapata furaha kwa sábabu bado naishi namwingine

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před měsícem

      @@LeonelCarlosCongolo Hakuna mwanamme wa hivyo awe kakuoa kwa namna yoyote ile inawezekana ulimuonesha mapenzi akadhani ni upepo lakini chochote alichovutiwa nacho kwako kamalizana nacho ndani ya miezi 3 kitachomuweka kwako ni tabia na kama humpendi bila shaka na tabia njema haitakuwepo. Sasa kwa nini bado hakuachi?
      Bila shaka umemdanganya hukuwa na upendo na mumeo alidhani unaupendo na akawekeza kwako inawezeka alijenga au aliimarisha maisha yenu kwa namna fulani hivyo hawezi kukuacha hivi hivi. Ungekuwa Muislam ungedai talaka "Qurui" yaani mwanamme unamlipa fidia kwa namna anavyotaka yeye.
      Kuwa makini na huyo mwanamme wako mpya atakuwa na experience na wewe kwa ulichomfanya huyo uliyenae. Ulichomfanyia mume wako ni dhulma.