Mtumishi mm nimelia sana sana kweli ww nimwalimu nimekuelewa ukweli mm Mume wangu kwenye changamoto za hisia mtacheka t ila changamoto zingine zikija usimuilize maisha yangu yote sasa nimechoka
Na wakati mwingine sio kama tunapenda kudanganywa wanawake lakini kwasababu katika swala la uaminifu tayari ulishakuta hilo tatizo kwka mume kwa hiyo hata siku akisema ukweli inakua ngumu kuamini
Asante ziti kuwafunza waume zetu ili wajuwe kutulea na kututunza kama vile tulivolelewa kwa wazazi wetu maana walipokubali kuwa waowaji walikubali kubeba majukumu yote ya mke au wake kimaisha yao
Kwa kweli somo ni zuri sana lakini sasa unakuta mwanaume mwingine ni mtata tu kama ulivyosema anatumia nguvu kutaka kuheshimiwa lakini kiukweli hana 2nd & 3rd ..ndo mara ya kwanza nakusikiliza lakini nimependezwa sana
Yeeeeesu Wangu mm mtumishishi ww umeniliza mm mtumishi kama unaniona vile inauma sana yesu nidamehe nahisi kushidwa sasa mume wangu niwacheti toka naolewa mtumishi nimechoka mwili na roho yangu Mungu akubariki sana kama umeniona Mungu ametuma kwangu yani hili langu kabisa hata awe na pesa mbora ufe
Past ubarikiwe sana kwamana changa moto yandoa nishida kabisa Mungu atusaidiye tu wanaume unawapenda hawapendeki unawaeshimu awawoni mwisho wanatoka iche ya ndoa mbaka uvumilivu unatushinda Mungu atuwezeshe kabisa
Asante nimebarikiwa Je hata kama akapoteza hizo sifa 3 na mke ukatambua na kumuonyesha kuwa ni mke kabisa unamuheshimu lakini akakosa kutambua kuwa upo upande wake na akaonyesha kuwa hatambui kuwa amempoteza sifa akajiona yupo sahihi je mke anatakiwa kufanya nini.
Jukumu lako ni kuwa MKE sio kumsaidia au kumfundisha mumeo jinsi ya kuwa MUME..ikiwa amepoteza sifa unatakiwa ubaki kwenye nafasi yako ili aone matatizo yake..ukianza harakati za kumfix ataanza kuona wewe ndio tatizo..usibebe majukumu yake kama mume na kadiri anavyozidi kupoteana ndivyo unapaswa kurudi nyuma kumpa nafasi zaidi ya kujitafuta ajipate..si mara zote utafanikiwa lakini ikiwa atashindwa kujipata hautakuwa kwenye lawama za kuchochea yeye kupotea
Asante pastor,,,,,,,i just wish baba chanja apate huu ujumbe umbust kwenye Moyo,,,,,nitumie njia gani kumfikishia hii link bila kumkwaza asijesema nimemuona anakasoro
Thanks for the good teaching, I'm single mother, but my question is why every time, when I meet any man, we start talking about how we can get married, before we meet man start asking me to send him money, it's that right, it's that love or he just come to me because of money
Dah mimi nimetengana na mumu wangu kwakua kiuchumi nina vumilia kwakua sio mzuru au nimeweza kuvumilia yote ila katika kurizisha hisia zangu niziro nihivi uwezo wa tendo nimdogo napiya mpaka ajisikie yeye napiya wakati mwingine hatuwez kufanya tendo mpaka waje wagen ndipo huwa anajisikia so sijamuelewa hata hivo anaamsha hisiya akisha maliza yeye bas hajalitena kuhusu mimi hivo yan
Nashukuru sana kwa maneno mazuri lkn wanaume wengine wanatuchukulia zarau kwa ufhaifu wetu sasa wanatumia nguvu sasa ndoa hiyo inakuwa haina Amani Comand bila hekima ndoa haiendi
Pastor nashukuru Sanaa, ila ni Nina swali moja unakuta mwanaume uwezo wa kuwa na hela yuko vizuri lakini hatekelezi majukumu yake?? Shida inakuwa n nini
Mwalimu mafunzo yako mazuri hakika wanaume wameshindwa kujitambuwa kwamba wao waliumbwa kwaajili ya kujenga na so kubomoa ila wanaume leo wamukuwa wabomozi kuliko kujenga wamejiondowa kwenye kitengo cha ualimu wamejiweka kwenye kitego cha uwanafunzi
Sasa mbone mwanaume izo namna 3 zikimushinda anaamua kwenda kuwowa ungine mwanamke na anataka asikuache nawewe muke wakwanza we muke wakwanza utafanya nini jamani?
Habar kwa mwanaume alien Muaid mwana mke kumuo na akajikuta ame mpa mwanamke uyo uja uzito na aka kubali mimba na kulea mimba kisha kuamua kumuacha mwana mke huyo shida ina kuwa nini
Kama unaogopa kusalitiwa basi jifikirie mara mbili kuhusu suala la kuolewa maana hofu yako itakufanya usalitiwe sana..kuwa mke inahitaji IMANI na uaminifu..kama huwaamini wanaume then ni ngumu kuwa mke..jitahidi kuishinda hiyo hofu
Samahani mimi ninamchumba lakini anawivu mnooo na anataka kila ninachofanya nimuambie na nikisahau kumwambh ananisema maneno machafu pia anataka niwe nae karibu yaani niwe naishi nae kwanza then NDIPO ataenda nyumbani .je huyo ni mume au mwanaume?
Ni vema kusikiliza vyema maelezo, kuliko kupata point. Hata ukipewa point utacomplain tu mfn; point ikisema" mwanaume unatakiwa kuwajibika" hapo unaweza kuelewa kuwajibika kwenye nini na nini na ninavyotambua akili za watanzania watasema mimi nawajibika sasa huyu anaongea nini sasa.
@@DeoSukambi sio uvivu wa kusikilia unapo chekewa kupoint maneno ya kawa mengi una sahau ya mwanzo hivyo hivyo hata kwenye mafundisho ya bibles hawasomi vifungu vyoote ni vichache na vyenye kufafanulika haraka vichwa vina mambo mengi basi ata walimu wangekua wana fundisha page za vitabu vyoote sasa oky WACHA NI BAKI KWA CHRIS MAUKI.
Ktk vitu sivipendi simpendi mwanaume muongo
Kabisa
We ni mkweli???
Yaani mtu unatulia ,ila unakutana na balaa
Mwanaume muongo muongo
Ubarikiwe sana mch kwa somo zuri la uponyaji wa ndoa zetu.Mungu tusaidie na uponye ndoa zetu.
Bosi chukuwa saloot zako upo vizuri sanaktk masuala hayo asante
Mtumishi mm nimelia sana sana kweli ww nimwalimu nimekuelewa ukweli mm Mume wangu kwenye changamoto za hisia mtacheka t ila changamoto zingine zikija usimuilize maisha yangu yote sasa nimechoka
Mafundisho adimu kwenye kipindi hiki adhimu. Mungu akubariki Pastor!!
Asante sana kwa mafuzo yako ila mume wangu nampenda sana lakini anafanya matukio ya kuniumiza sana
Ukiendelea kuweka uchungu huo moyoni mwako ni wewe ndio unayeumia sio mumeo
@@DeoSukambiNi nini kifanyike katika hayo maumivu
Na wakati mwingine sio kama tunapenda kudanganywa wanawake lakini kwasababu katika swala la uaminifu tayari ulishakuta hilo tatizo kwka mume kwa hiyo hata siku akisema ukweli inakua ngumu kuamini
Asante ziti kuwafunza waume zetu ili wajuwe kutulea na kututunza kama vile tulivolelewa kwa wazazi wetu maana walipokubali kuwa waowaji walikubali kubeba majukumu yote ya mke au wake kimaisha yao
Je kama mume hawezi kutatua changamoto za finance na kihisia za mke wake ambalo ni tatizo sugu hapa inakuwaje
Mafundisho ni mazuri sana🙏
Kwa kweli somo ni zuri sana lakini sasa unakuta mwanaume mwingine ni mtata tu kama ulivyosema anatumia nguvu kutaka kuheshimiwa lakini kiukweli hana 2nd & 3rd
..ndo mara ya kwanza nakusikiliza lakini nimependezwa sana
Kwa kweli nimebarikiwa sana na somo hili
Very true Wanawake anatusaidia kuwafahamu Wanaume, pia wanaume kutufahamu vizuri. Ndoa nyingi hazifiki sababu ya wanandoa kutotambua nafasi zao🙏🏾🙏🏾
Ubarikiwe Pasteur
Asante sana.. Nimebarikiwa sana
Umekuwa baraka sana kwenye maisha yangu mtumishi
Interesting darasa
Thanks pst Deo
Shukrani Sana mwl nimejifunza mengi ubarikiwe
Yeeeeesu Wangu mm mtumishishi ww umeniliza mm mtumishi kama unaniona vile inauma sana yesu nidamehe nahisi kushidwa sasa mume wangu niwacheti toka naolewa mtumishi nimechoka mwili na roho yangu Mungu akubariki sana kama umeniona Mungu ametuma kwangu yani hili langu kabisa hata awe na pesa mbora ufe
Pole sana dada yangu..endelea kujifunza naamini majibu yako yapo
Amina sasa nafumbuka mtumishishi ninaanza kuona mwanga
Hauko peke yako ktk hilo
Past ubarikiwe sana kwamana changa moto yandoa nishida kabisa Mungu atusaidiye tu wanaume unawapenda hawapendeki unawaeshimu awawoni mwisho wanatoka iche ya ndoa mbaka uvumilivu unatushinda Mungu atuwezeshe kabisa
SoMo ni zuri Sanaa
Ahsante barikiwa
Ahsante sana kaka unachokisema n kweli
Ninakupongeza sana mchungaji uendelee kutushauri
Asante sana
Asante sana mwalimu🇷🇼
Nimeipenda sana hii Asante.
🙌🏾🙌🏾🙌🏾
God bless you paster kwamafunzo mazuri❤❤❤
Amen ameen
Asante sana kwa mafundisho haya
Mwalimu nashukuru kwa mafundisho
Asante sana ndugu
Ubarikiwe sanaaa Mtumishi Nimejifunza
Mbona wanaume wengi wamekuwa wahongo sana
Hata wanawake ni waongo pia
Asante..maama..umenigusa..nitapata.cha..kufanya.
Nimejifunza Sana kwakeli asante sana
Somo zuri saana,wanaume wangekua online wangejifunza
Wanajifunza kimya kimya
kabisa@@DeoSukambi
Nashukuru kwa mafundisho haya yanatujenga sana
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho muhimu
Amen amen
Asante nimebarikiwa Je hata kama akapoteza hizo sifa 3 na mke ukatambua na kumuonyesha kuwa ni mke kabisa unamuheshimu lakini akakosa kutambua kuwa upo upande wake na akaonyesha kuwa hatambui kuwa amempoteza sifa akajiona yupo sahihi je mke anatakiwa kufanya nini.
Jukumu lako ni kuwa MKE sio kumsaidia au kumfundisha mumeo jinsi ya kuwa MUME..ikiwa amepoteza sifa unatakiwa ubaki kwenye nafasi yako ili aone matatizo yake..ukianza harakati za kumfix ataanza kuona wewe ndio tatizo..usibebe majukumu yake kama mume na kadiri anavyozidi kupoteana ndivyo unapaswa kurudi nyuma kumpa nafasi zaidi ya kujitafuta ajipate..si mara zote utafanikiwa lakini ikiwa atashindwa kujipata hautakuwa kwenye lawama za kuchochea yeye kupotea
😢😢😢😢 asant kwa jibu hii ulio mpa nami ime nifunza nta jitahidi sana @@DeoSukambi
Safiiiiii, ushauli wako niliutumia mimi, mwanaume wangu amejifunza!!!!!!!
Be blessed pastor
Yes nakukubali sn😊
Sanaa yupo good
Ubarikiwe mwalimu
Ubalikiwe
Najifunza naona wanaume hatutakiwi kutumia hasira kabisa
Well and good 👍❤ na ss mwalimu wetu sisi tuliolewa ile ndoa ya come and stay) tunasaidiana aje jmn😢 😱 hatutambuliki maskini
Na mimi nihitaji kujifuza zaidi
Karibu sana endelea kutufatilia
Nini tofauti ya be kumilikiwa na kutawaliwa pastor
Nimeelezea kwenye somo
UPSOLUTY WRIGHT👌! N TRUE👍! 👏
Wengi ni waongo mnooo
That's very good advice b blssed
Ubarikiwe
Kabisa Asante sana kwaio
True pastor
True said 👍 pos- wow Big up 💪🙏
Asante pastor,,,,,,,i just wish baba chanja apate huu ujumbe umbust kwenye Moyo,,,,,nitumie njia gani kumfikishia hii link bila kumkwaza asijesema nimemuona anakasoro
Thanks for the good teaching, I'm single mother, but my question is why every time, when I meet any man, we start talking about how we can get married, before we meet man start asking me to send him money, it's that right, it's that love or he just come to me because of money
It is not right, its is not love..run
Very good Lecture
Thanks and welcome
Safiii sana mr Deo
May god bless you for this message
Amina
Wonderful advice... from Kenya
Glad it was helpful!
Those who will follow your teachings will go far! ... that's my thoughts 👊
Somo Zuri linanijega
Dah mimi nimetengana na mumu wangu kwakua kiuchumi nina vumilia kwakua sio mzuru au nimeweza kuvumilia yote ila katika kurizisha hisia zangu niziro nihivi uwezo wa tendo nimdogo napiya mpaka ajisikie yeye napiya wakati mwingine hatuwez kufanya tendo mpaka waje wagen ndipo huwa anajisikia so sijamuelewa hata hivo anaamsha hisiya akisha maliza yeye bas hajalitena kuhusu mimi hivo yan
Ila nimkweli napiya sio cheateng hayo anajitahid sana love tu kwake ni ziro
Nashukuru sana kwa maneno mazuri lkn wanaume wengine wanatuchukulia zarau kwa ufhaifu wetu sasa wanatumia nguvu sasa ndoa hiyo inakuwa haina Amani
Comand bila hekima ndoa haiendi
Ina maana huyo mwanaume hana zile sifa za mume ndio maana..ukipata mwenye sifa wala hanaga tatizo hilo
Hapo ndio sielewi unamaanisha huyo amuache ampate mwenye hizo sifa 3, au afanyaje?
@@adeladaudi2047Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake HEKIMA Ni dawa
🙏🏼
Vyote kwangu changa moto
Pastor nashukuru Sanaa, ila ni Nina swali moja unakuta mwanaume uwezo wa kuwa na hela yuko vizuri lakini hatekelezi majukumu yake?? Shida inakuwa n nini
Huyo ni mchoyo na mbinafsi. Na wapo wengi sana kwa sasa.
Mafundisho nimazuri
❤❤❤❤❤
Aisee wengine baba zetu vimeo
Ila ndo wazazi hakuna namna
Asnte
Mwalimu mafunzo yako mazuri hakika wanaume wameshindwa kujitambuwa kwamba wao waliumbwa kwaajili ya kujenga na so kubomoa ila wanaume leo wamukuwa wabomozi kuliko kujenga wamejiondowa kwenye kitengo cha ualimu wamejiweka kwenye kitego cha uwanafunzi
😂 kwakweli mpk pastor umecheka, point ya 3
Balaa linaanzia hapo
Sasa mbone mwanaume izo namna 3 zikimushinda anaamua kwenda kuwowa ungine mwanamke na anataka asikuache nawewe muke wakwanza we muke wakwanza utafanya nini jamani?
Habar kwa mwanaume alien Muaid mwana mke kumuo na akajikuta ame mpa mwanamke uyo uja uzito na aka kubali mimba na kulea mimba kisha kuamua kumuacha mwana mke huyo shida ina kuwa nini
Mwanaume kuahidi kukuoa haina maana atakuoa..ilipaswa huyo mwanamke asubiri aolewe ndo apate mimba..hiyo ya kuwa mwanaume aliahidi atakuoa sio guarantee kabisa..mwanaume akiwa anataka kukupata anaweza kukuahidi chochote kile lakini haimaanishi ndicho atakachofanya
Jama hiyo ya mwisho ni ngumu jamani
Cjui nipo nje ya mada vp kuhusu mwanaume ambae hajali Wala hahudumii
Hana sifa ya kuwa mume japo ni mwanaume.
Mafundisho mazuri tunashukuru
Asante sana
Is true
Mm nipo single napenda sana kuwa na mume lakini naopa kusalitiwa na nimeshasalitiwa sana
Kama unaogopa kusalitiwa basi jifikirie mara mbili kuhusu suala la kuolewa maana hofu yako itakufanya usalitiwe sana..kuwa mke inahitaji IMANI na uaminifu..kama huwaamini wanaume then ni ngumu kuwa mke..jitahidi kuishinda hiyo hofu
35:51
Samahani mimi ninamchumba lakini anawivu mnooo na anataka kila ninachofanya nimuambie na nikisahau kumwambh ananisema maneno machafu pia anataka niwe nae karibu yaani niwe naishi nae kwanza then NDIPO ataenda nyumbani .je huyo ni mume au mwanaume?
Huyo ni mwanaume HATARI..nenda kaangalie somo la AINA TANO ZA WANAUME
Sawa
Nimecheka kwa sautiii😂
"Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya"
😂
Oooh yeah😆😆😆
Na mke akizikosa sifa zake tatu afanyeje??
Mmmmh hapo kwenye kutatua mahitaji ya kiuchumi hapo na kihisia mhmm
Sasa kama mm nko Kenya hyo elfu tano pesa ngap ya kenya
Semina ilihairishwa
Takataka
😂😂😂 Kama kakukera sema malaya wewe...
😂😂😂😃😃😅@@Neema-fh1wp
Hicho kitabu ni whoumch
Mimi nnasifa zote 3 ila sjaolewa
Utaolewa tu tulia
Hii Nb yako code ni yawapi? Tafadhali nisndikie.
Ni code ya Tanzania
@@DeoSukambi +255
Unavyo anza wah kwenye mada point za msingi unaongea sana mpka unamchosha msikilizaji
Kama ni mvivu wa kusikiliza hii channel itakuboa..fatilia zenye clip fupi fupi ndugu yangu hapa nafundisha na kufafanua
Ni vema kusikiliza vyema maelezo, kuliko kupata point. Hata ukipewa point utacomplain tu mfn; point ikisema" mwanaume unatakiwa kuwajibika" hapo unaweza kuelewa kuwajibika kwenye nini na nini na ninavyotambua akili za watanzania watasema mimi nawajibika sasa huyu anaongea nini sasa.
@@DeoSukambi sio uvivu wa kusikilia unapo chekewa kupoint maneno ya kawa mengi una sahau ya mwanzo hivyo hivyo hata kwenye mafundisho ya bibles hawasomi vifungu vyoote ni vichache na vyenye kufafanulika haraka vichwa vina mambo mengi basi ata walimu wangekua wana fundisha page za vitabu vyoote sasa oky WACHA NI BAKI KWA CHRIS MAUKI.
@@judithmwambe4767 sorry kila mtu na mitizamo yake wengine tuna thamini muda wa kusikiliza na mengine
@@RUCKY_ kama u mvivu kusikiliza its better ukaachana na mafundisho haya maana hayatakusaidia kwa kweli mpendwa.
🙌🏾🙌🏾🙌🏾