SIFA TATU (3) ZA MUME | DEO SUKAMBI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 145

  • @marianaduncan6330
    @marianaduncan6330 Před 6 měsíci +27

    Ktk vitu sivipendi simpendi mwanaume muongo

  • @joycesethmwangonda8088
    @joycesethmwangonda8088 Před 14 hodinami

    Ubarikiwe sana mch kwa somo zuri la uponyaji wa ndoa zetu.Mungu tusaidie na uponye ndoa zetu.

  • @DavidMgunya
    @DavidMgunya Před 3 měsíci +2

    Bosi chukuwa saloot zako upo vizuri sanaktk masuala hayo asante

  • @user-ux9po6ip7c
    @user-ux9po6ip7c Před 6 měsíci +2

    Mtumishi mm nimelia sana sana kweli ww nimwalimu nimekuelewa ukweli mm Mume wangu kwenye changamoto za hisia mtacheka t ila changamoto zingine zikija usimuilize maisha yangu yote sasa nimechoka

  • @eliudkasule7503
    @eliudkasule7503 Před 7 měsíci +4

    Mafundisho adimu kwenye kipindi hiki adhimu. Mungu akubariki Pastor!!

  • @theresiakessy4747
    @theresiakessy4747 Před 6 měsíci +6

    Asante sana kwa mafuzo yako ila mume wangu nampenda sana lakini anafanya matukio ya kuniumiza sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci +1

      Ukiendelea kuweka uchungu huo moyoni mwako ni wewe ndio unayeumia sio mumeo

    • @d.m453
      @d.m453 Před 5 měsíci

      ​@@DeoSukambiNi nini kifanyike katika hayo maumivu

  • @alicemwinuka9714
    @alicemwinuka9714 Před 6 měsíci +7

    Na wakati mwingine sio kama tunapenda kudanganywa wanawake lakini kwasababu katika swala la uaminifu tayari ulishakuta hilo tatizo kwka mume kwa hiyo hata siku akisema ukweli inakua ngumu kuamini

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x Před 5 měsíci +1

    Asante ziti kuwafunza waume zetu ili wajuwe kutulea na kututunza kama vile tulivolelewa kwa wazazi wetu maana walipokubali kuwa waowaji walikubali kubeba majukumu yote ya mke au wake kimaisha yao

    • @eliminachristopher2662
      @eliminachristopher2662 Před 5 měsíci

      Je kama mume hawezi kutatua changamoto za finance na kihisia za mke wake ambalo ni tatizo sugu hapa inakuwaje

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 Před 7 měsíci +4

    Mafundisho ni mazuri sana🙏

  • @alicemwinuka9714
    @alicemwinuka9714 Před 6 měsíci +5

    Kwa kweli somo ni zuri sana lakini sasa unakuta mwanaume mwingine ni mtata tu kama ulivyosema anatumia nguvu kutaka kuheshimiwa lakini kiukweli hana 2nd & 3rd
    ..ndo mara ya kwanza nakusikiliza lakini nimependezwa sana

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Před 7 měsíci +5

    Very true Wanawake anatusaidia kuwafahamu Wanaume, pia wanaume kutufahamu vizuri. Ndoa nyingi hazifiki sababu ya wanandoa kutotambua nafasi zao🙏🏾🙏🏾

  • @estherkalwira9799
    @estherkalwira9799 Před 6 měsíci +3

    Ubarikiwe Pasteur

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel Před 6 měsíci +5

    Asante sana.. Nimebarikiwa sana

  • @SendamaNgusa
    @SendamaNgusa Před 6 měsíci +1

    Umekuwa baraka sana kwenye maisha yangu mtumishi

  • @FunnyAlligator-fo2eg
    @FunnyAlligator-fo2eg Před 6 měsíci +2

    Interesting darasa

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Před 7 měsíci +4

    Thanks pst Deo

  • @user-ex4hi7fj5c
    @user-ex4hi7fj5c Před 5 měsíci +1

    Shukrani Sana mwl nimejifunza mengi ubarikiwe

  • @user-ux9po6ip7c
    @user-ux9po6ip7c Před 6 měsíci +1

    Yeeeeesu Wangu mm mtumishishi ww umeniliza mm mtumishi kama unaniona vile inauma sana yesu nidamehe nahisi kushidwa sasa mume wangu niwacheti toka naolewa mtumishi nimechoka mwili na roho yangu Mungu akubariki sana kama umeniona Mungu ametuma kwangu yani hili langu kabisa hata awe na pesa mbora ufe

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci +1

      Pole sana dada yangu..endelea kujifunza naamini majibu yako yapo

    • @user-ux9po6ip7c
      @user-ux9po6ip7c Před 6 měsíci

      Amina sasa nafumbuka mtumishishi ninaanza kuona mwanga

    • @user-xb1xl3vb1l
      @user-xb1xl3vb1l Před 3 měsíci

      Hauko peke yako ktk hilo

  • @OrnellaHabonimana-gr7wp
    @OrnellaHabonimana-gr7wp Před 5 měsíci

    Past ubarikiwe sana kwamana changa moto yandoa nishida kabisa Mungu atusaidiye tu wanaume unawapenda hawapendeki unawaeshimu awawoni mwisho wanatoka iche ya ndoa mbaka uvumilivu unatushinda Mungu atuwezeshe kabisa

  • @samwelilucas1970
    @samwelilucas1970 Před 7 měsíci +3

    SoMo ni zuri Sanaa

  • @user-pk7rx7gp4t
    @user-pk7rx7gp4t Před 6 měsíci +2

    Ahsante barikiwa

  • @mamadoromamadorothea-ij9zd
    @mamadoromamadorothea-ij9zd Před 6 měsíci +1

    Ahsante sana kaka unachokisema n kweli

  • @user-ty5ek9ne3t
    @user-ty5ek9ne3t Před 6 měsíci +2

    Ninakupongeza sana mchungaji uendelee kutushauri

  • @BizimunguAdolphe-vp7xp
    @BizimunguAdolphe-vp7xp Před 6 měsíci +2

    Asante sana mwalimu🇷🇼

  • @Teaching356
    @Teaching356 Před 6 měsíci +1

    Nimeipenda sana hii Asante.

  • @Norrisnoriega
    @Norrisnoriega Před měsícem

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @user-ze4sc1fh6p
    @user-ze4sc1fh6p Před 6 měsíci +1

    God bless you paster kwamafunzo mazuri❤❤❤

  • @user-cx2us8wu8l
    @user-cx2us8wu8l Před 6 měsíci +2

    Asante sana kwa mafundisho haya

  • @user-js8zu6ld7n
    @user-js8zu6ld7n Před 6 měsíci +1

    Mwalimu nashukuru kwa mafundisho

  • @bishengadau681
    @bishengadau681 Před 3 měsíci

    Ubarikiwe sanaaa Mtumishi Nimejifunza

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 Před 6 měsíci +3

    Mbona wanaume wengi wamekuwa wahongo sana

  • @JacklineMacha-cv9rz
    @JacklineMacha-cv9rz Před 6 měsíci +1

    Asante..maama..umenigusa..nitapata.cha..kufanya.

  • @generalkenny8952
    @generalkenny8952 Před 3 měsíci

    Nimejifunza Sana kwakeli asante sana

  • @user-kk5cr2nl4k
    @user-kk5cr2nl4k Před 6 měsíci +2

    Somo zuri saana,wanaume wangekua online wangejifunza

  • @annandemo9743
    @annandemo9743 Před 4 měsíci

    Nashukuru kwa mafundisho haya yanatujenga sana

  • @FrolinaIlomo-jw9yn
    @FrolinaIlomo-jw9yn Před 6 měsíci +2

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho muhimu

  • @user-ln3js4mo4j
    @user-ln3js4mo4j Před 6 měsíci +1

    Asante nimebarikiwa Je hata kama akapoteza hizo sifa 3 na mke ukatambua na kumuonyesha kuwa ni mke kabisa unamuheshimu lakini akakosa kutambua kuwa upo upande wake na akaonyesha kuwa hatambui kuwa amempoteza sifa akajiona yupo sahihi je mke anatakiwa kufanya nini.

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci +1

      Jukumu lako ni kuwa MKE sio kumsaidia au kumfundisha mumeo jinsi ya kuwa MUME..ikiwa amepoteza sifa unatakiwa ubaki kwenye nafasi yako ili aone matatizo yake..ukianza harakati za kumfix ataanza kuona wewe ndio tatizo..usibebe majukumu yake kama mume na kadiri anavyozidi kupoteana ndivyo unapaswa kurudi nyuma kumpa nafasi zaidi ya kujitafuta ajipate..si mara zote utafanikiwa lakini ikiwa atashindwa kujipata hautakuwa kwenye lawama za kuchochea yeye kupotea

    • @user-ws2cy7xz3b
      @user-ws2cy7xz3b Před 6 měsíci

      😢😢😢😢 asant kwa jibu hii ulio mpa nami ime nifunza nta jitahidi sana ​@@DeoSukambi

    • @MariamObote-lg5pu
      @MariamObote-lg5pu Před 5 měsíci

      Safiiiiii, ushauli wako niliutumia mimi, mwanaume wangu amejifunza!!!!!!!

  • @AllenSalewa
    @AllenSalewa Před měsícem

    Be blessed pastor

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 Před 6 měsíci +2

    Yes nakukubali sn😊

  • @user-od2ty3po6o
    @user-od2ty3po6o Před 3 měsíci

    Ubarikiwe mwalimu

  • @jullymwaikenda564
    @jullymwaikenda564 Před 6 měsíci +1

    Ubalikiwe

  • @samwelilucas1970
    @samwelilucas1970 Před 7 měsíci +3

    Najifunza naona wanaume hatutakiwi kutumia hasira kabisa

  • @sarahbuluma9837
    @sarahbuluma9837 Před 6 měsíci

    Well and good 👍❤ na ss mwalimu wetu sisi tuliolewa ile ndoa ya come and stay) tunasaidiana aje jmn😢 😱 hatutambuliki maskini

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 Před 6 měsíci +4

    Na mimi nihitaji kujifuza zaidi

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci

      Karibu sana endelea kutufatilia

  • @lukasmbondo
    @lukasmbondo Před 6 měsíci +1

    Nini tofauti ya be kumilikiwa na kutawaliwa pastor

  • @bas2823
    @bas2823 Před 6 měsíci +1

    UPSOLUTY WRIGHT👌! N TRUE👍! 👏

  • @DonatilaMwacha
    @DonatilaMwacha Před 2 měsíci +2

    Wengi ni waongo mnooo

  • @user-yk6un2gl8j
    @user-yk6un2gl8j Před 6 měsíci

    That's very good advice b blssed

  • @user-vo9bh4jw2d
    @user-vo9bh4jw2d Před 5 měsíci

    Ubarikiwe

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 Před 6 měsíci +3

    Kabisa Asante sana kwaio

  • @user-wn5te1wg4m
    @user-wn5te1wg4m Před 6 měsíci +1

    True pastor

  • @sarahbuluma9837
    @sarahbuluma9837 Před 6 měsíci

    True said 👍 pos- wow Big up 💪🙏

  • @wahidakisingo3588
    @wahidakisingo3588 Před 6 měsíci

    Asante pastor,,,,,,,i just wish baba chanja apate huu ujumbe umbust kwenye Moyo,,,,,nitumie njia gani kumfikishia hii link bila kumkwaza asijesema nimemuona anakasoro

  • @CatherineMakokha-dg6ws
    @CatherineMakokha-dg6ws Před 6 měsíci +1

    Thanks for the good teaching, I'm single mother, but my question is why every time, when I meet any man, we start talking about how we can get married, before we meet man start asking me to send him money, it's that right, it's that love or he just come to me because of money

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci

      It is not right, its is not love..run

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Před 6 měsíci +1

    Very good Lecture

  • @user-xw3qf6ii9m
    @user-xw3qf6ii9m Před 5 měsíci

    Safiii sana mr Deo

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Před 7 měsíci +3

    May god bless you for this message

  • @happiness_713
    @happiness_713 Před 6 měsíci

    Wonderful advice... from Kenya

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci +1

      Glad it was helpful!

    • @happiness_713
      @happiness_713 Před 6 měsíci +1

      Those who will follow your teachings will go far! ... that's my thoughts 👊

  • @user-sj9ux4bp3x
    @user-sj9ux4bp3x Před 6 měsíci

    Somo Zuri linanijega

  • @MariannaJoseph-uv2sp
    @MariannaJoseph-uv2sp Před 5 měsíci

    Dah mimi nimetengana na mumu wangu kwakua kiuchumi nina vumilia kwakua sio mzuru au nimeweza kuvumilia yote ila katika kurizisha hisia zangu niziro nihivi uwezo wa tendo nimdogo napiya mpaka ajisikie yeye napiya wakati mwingine hatuwez kufanya tendo mpaka waje wagen ndipo huwa anajisikia so sijamuelewa hata hivo anaamsha hisiya akisha maliza yeye bas hajalitena kuhusu mimi hivo yan

    • @MariannaJoseph-uv2sp
      @MariannaJoseph-uv2sp Před 5 měsíci

      Ila nimkweli napiya sio cheateng hayo anajitahid sana love tu kwake ni ziro

  • @loycep7785
    @loycep7785 Před 6 měsíci +1

    Nashukuru sana kwa maneno mazuri lkn wanaume wengine wanatuchukulia zarau kwa ufhaifu wetu sasa wanatumia nguvu sasa ndoa hiyo inakuwa haina Amani
    Comand bila hekima ndoa haiendi

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci

      Ina maana huyo mwanaume hana zile sifa za mume ndio maana..ukipata mwenye sifa wala hanaga tatizo hilo

    • @adeladaudi2047
      @adeladaudi2047 Před 4 měsíci

      Hapo ndio sielewi unamaanisha huyo amuache ampate mwenye hizo sifa 3, au afanyaje?

    • @user-gh3zf4ow4c
      @user-gh3zf4ow4c Před 2 měsíci

      ​@@adeladaudi2047Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake HEKIMA Ni dawa

  • @LucyMichael-pn6pr
    @LucyMichael-pn6pr Před 6 měsíci

    🙏🏼

  • @hajatyyusphu334
    @hajatyyusphu334 Před 6 měsíci

    Vyote kwangu changa moto

  • @VeronicaThomas-pb1cp
    @VeronicaThomas-pb1cp Před 7 měsíci +2

    Pastor nashukuru Sanaa, ila ni Nina swali moja unakuta mwanaume uwezo wa kuwa na hela yuko vizuri lakini hatekelezi majukumu yake?? Shida inakuwa n nini

    • @mariahyera3737
      @mariahyera3737 Před 6 měsíci +1

      Huyo ni mchoyo na mbinafsi. Na wapo wengi sana kwa sasa.

  • @user-js8zu6ld7n
    @user-js8zu6ld7n Před 6 měsíci +1

    Mafundisho nimazuri

  • @annamnyazi8206
    @annamnyazi8206 Před 3 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci +1

    Aisee wengine baba zetu vimeo
    Ila ndo wazazi hakuna namna

  • @user-od2ty3po6o
    @user-od2ty3po6o Před 3 měsíci

    Asnte

  • @user-we5zc7xk8x
    @user-we5zc7xk8x Před 5 měsíci

    Mwalimu mafunzo yako mazuri hakika wanaume wameshindwa kujitambuwa kwamba wao waliumbwa kwaajili ya kujenga na so kubomoa ila wanaume leo wamukuwa wabomozi kuliko kujenga wamejiondowa kwenye kitengo cha ualimu wamejiweka kwenye kitego cha uwanafunzi

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci +1

    😂 kwakweli mpk pastor umecheka, point ya 3
    Balaa linaanzia hapo

  • @bahatinahimana5695
    @bahatinahimana5695 Před 6 měsíci +1

    Sasa mbone mwanaume izo namna 3 zikimushinda anaamua kwenda kuwowa ungine mwanamke na anataka asikuache nawewe muke wakwanza we muke wakwanza utafanya nini jamani?

  • @Dr.witness02
    @Dr.witness02 Před 6 měsíci +1

    Habar kwa mwanaume alien Muaid mwana mke kumuo na akajikuta ame mpa mwanamke uyo uja uzito na aka kubali mimba na kulea mimba kisha kuamua kumuacha mwana mke huyo shida ina kuwa nini

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci +1

      Mwanaume kuahidi kukuoa haina maana atakuoa..ilipaswa huyo mwanamke asubiri aolewe ndo apate mimba..hiyo ya kuwa mwanaume aliahidi atakuoa sio guarantee kabisa..mwanaume akiwa anataka kukupata anaweza kukuahidi chochote kile lakini haimaanishi ndicho atakachofanya

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 Před 6 měsíci +2

    Jama hiyo ya mwisho ni ngumu jamani

  • @user-lr9lx2nu3k
    @user-lr9lx2nu3k Před 6 měsíci +2

    Cjui nipo nje ya mada vp kuhusu mwanaume ambae hajali Wala hahudumii

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci +2

      Hana sifa ya kuwa mume japo ni mwanaume.

  • @user-wh4gs8wj1z
    @user-wh4gs8wj1z Před 6 měsíci +1

    Mafundisho mazuri tunashukuru

  • @pishoniprinting2284
    @pishoniprinting2284 Před 6 měsíci +2

    Is true

  • @user-hd5xi3yl5q
    @user-hd5xi3yl5q Před 6 měsíci +1

    Mm nipo single napenda sana kuwa na mume lakini naopa kusalitiwa na nimeshasalitiwa sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci

      Kama unaogopa kusalitiwa basi jifikirie mara mbili kuhusu suala la kuolewa maana hofu yako itakufanya usalitiwe sana..kuwa mke inahitaji IMANI na uaminifu..kama huwaamini wanaume then ni ngumu kuwa mke..jitahidi kuishinda hiyo hofu

  • @gracemlawa0015
    @gracemlawa0015 Před 6 měsíci

    35:51

  • @SuzanaMgoja
    @SuzanaMgoja Před 5 měsíci +1

    Samahani mimi ninamchumba lakini anawivu mnooo na anataka kila ninachofanya nimuambie na nikisahau kumwambh ananisema maneno machafu pia anataka niwe nae karibu yaani niwe naishi nae kwanza then NDIPO ataenda nyumbani .je huyo ni mume au mwanaume?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci

      Huyo ni mwanaume HATARI..nenda kaangalie somo la AINA TANO ZA WANAUME

    • @SuzanaMgoja
      @SuzanaMgoja Před 5 měsíci

      Sawa

  • @msekenicarlo2206
    @msekenicarlo2206 Před 6 měsíci +2

    Nimecheka kwa sautiii😂
    "Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya"
    😂

  • @MagrethLyimo-vm5wk
    @MagrethLyimo-vm5wk Před 3 měsíci

    Na mke akizikosa sifa zake tatu afanyeje??

  • @user-ly7ur3iz8o
    @user-ly7ur3iz8o Před 4 měsíci

    Mmmmh hapo kwenye kutatua mahitaji ya kiuchumi hapo na kihisia mhmm

  • @user-pk7rx7gp4t
    @user-pk7rx7gp4t Před 6 měsíci +1

    Sasa kama mm nko Kenya hyo elfu tano pesa ngap ya kenya

  • @mapinduzisylvester1903
    @mapinduzisylvester1903 Před 6 měsíci +1

    Takataka

    • @Neema-fh1wp
      @Neema-fh1wp Před 6 měsíci +1

      😂😂😂 Kama kakukera sema malaya wewe...

    • @beera.g5302
      @beera.g5302 Před 5 měsíci

      😂😂😂😃😃😅​@@Neema-fh1wp

  • @user-ps4vh7hu3i
    @user-ps4vh7hu3i Před 6 měsíci

    Hicho kitabu ni whoumch

  • @user-um9dt1cu9z
    @user-um9dt1cu9z Před 6 měsíci +2

    Mimi nnasifa zote 3 ila sjaolewa

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Před 5 měsíci +1

    Hii Nb yako code ni yawapi? Tafadhali nisndikie.

  • @RUCKY_
    @RUCKY_ Před 6 měsíci +1

    Unavyo anza wah kwenye mada point za msingi unaongea sana mpka unamchosha msikilizaji

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci +1

      Kama ni mvivu wa kusikiliza hii channel itakuboa..fatilia zenye clip fupi fupi ndugu yangu hapa nafundisha na kufafanua

    • @judithmwambe4767
      @judithmwambe4767 Před 6 měsíci

      Ni vema kusikiliza vyema maelezo, kuliko kupata point. Hata ukipewa point utacomplain tu mfn; point ikisema" mwanaume unatakiwa kuwajibika" hapo unaweza kuelewa kuwajibika kwenye nini na nini na ninavyotambua akili za watanzania watasema mimi nawajibika sasa huyu anaongea nini sasa.

    • @RUCKY_
      @RUCKY_ Před 6 měsíci

      @@DeoSukambi sio uvivu wa kusikilia unapo chekewa kupoint maneno ya kawa mengi una sahau ya mwanzo hivyo hivyo hata kwenye mafundisho ya bibles hawasomi vifungu vyoote ni vichache na vyenye kufafanulika haraka vichwa vina mambo mengi basi ata walimu wangekua wana fundisha page za vitabu vyoote sasa oky WACHA NI BAKI KWA CHRIS MAUKI.

    • @RUCKY_
      @RUCKY_ Před 6 měsíci

      @@judithmwambe4767 sorry kila mtu na mitizamo yake wengine tuna thamini muda wa kusikiliza na mengine

    • @judithmwambe4767
      @judithmwambe4767 Před 6 měsíci

      @@RUCKY_ kama u mvivu kusikiliza its better ukaachana na mafundisho haya maana hayatakusaidia kwa kweli mpendwa.

  • @Norrisnoriega
    @Norrisnoriega Před měsícem

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾