TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI | DEO SUKAMBI
Vložit
- čas přidán 19. 02. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI.
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii
Nilidhani ananipenda kumbe ilikuwa ni mapenzi tuu baada ya muda mfupi tukaachana .mtumishi Sasa nimeelewa asante sana be blessed.from Saudia
asante sana bro Mungu akubariki,hakika umenipa ujasiri wa kujua na kutoka ktk madhila
Kwa mafundisho haya,🙌 basi asante sana mume wangu kwa kunionyesha upendo, kuhusu mapenz, nitapunguza haya matarajio, eeh Mungu tupe afya njema kama familia🤲...baba Emma📢📢📢📢📢🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ out with my head down
Anafundisha vizuri sana nimekubali unaelimisha jamii vizuri hata mb zangu kula tuu
Haleluyaaa
Uko vzr baba
Nimefurahi sana kwa somo Asante sana ubarikiwe sana ❤❤❤
Kweliiii unafundisha vizuli,nakupenda ten napend gisi unafundisha ❤from burundiii
Bravo pastor somo zuri sana nimejufunza kitu ,barikiwa sana mtu wa Mungu
ASante kwa Ujumbe huu mzuri Jamani😊🌻, nimejifunza Mengi saana. Lazma kurudi kwenye asilia, kama mababu zangu.
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, Yesu aendelee kukupatia mafunuo ili uwasaidie watu wa Mungu kwa sababu hiki kizazi kinahitaji mafundisho sana.
Ubarikiwe kwa somo
❤❤unaongea ukweli kbsa nasikiliza nikiwa mombsa likoni
Upendo ninmaana kuliko mapenzi. Asante pastor
Asante sanaa,nimekuelewaa
Nikweli unacho kiongeaa ubarikiwe
Asante kwa mafundisho mazuri ,ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana tena azidi kukujaliza hayo madili nimechukua nondo hizo da! Hakika umenitoa upofu god bless you pastor
Asante baba nimejifunza japo sina mtu ila naogopaaa maaana hiyo engo inahitaji msaada wa mungu inshaallah khery ya allah anipe kilicho bora kwangu nami niwe bora kwakeee amin ❤❤❤❤❤shukran sana
Mungu atakujalia aliye bora na kufaa. Endelea kujifunza
@@DeoSukambi amin
Asante Sana kwa Somo lako nzuri
Asante sana mafundisho ya maana
Asante kwa somo zr barkiw
Daah masomo mengine yalipaswa kufundishwa miaka kadhaa nyuma but somo nzuriiii nimejipatia kipande changu barikiwa Pastor Deo
Amen amen ndugu
Uko vizuri Pastor Uko sawa kabisa. Hongera kwa Kipawa hicho.
Asante..utukufu kwa Mungu
Asante sana
Asante Sana pastor kwa mafunzo
Asante sana Pastor Kwa Somo zuri, tangu nimeanza kufuatilia vipind vyako Kuna kitu napokea siku Hadi siku ambavyo ni msaada San ktk familia yangu!!! Mungu akubariki sana
Ameeeen
Asante kwa mashauri kuhusu ukimia wamwanaume
Amen mungu àkubariki
Hata mimi umenifurahisha sana Mr Sukambi umewatoa Watu wengi upofu. Wadada wengi kwa kweli they cant tell the difference katika Upendo na Mapenzi ndio maana ndoa zinachechemea. Kumbe expectations zao zinakuwa off🙏🏾
Barikiwa sana ndugu
@@DeoSukambishukurani sana
Nimekuelewa pastor ila kuna mwanaume anaupendo sana na mm ila tumeachana wazazi wamemtafutia mwanamke mwingine ila nahisi ana upendo sana bado na mm na bado nina upendo na mm je inawezekana aliyemuoa anamuonyesha upendo au ndo mapenzi tu
@@user-qv3eo5pb3g sasa kama upendo wake kwako haukutosha yeye kusimama upande wako ina maana gani? Wazazi wanamuamulia mke wa kuoa? Sifikiri kama huyo anajua maana ya kuwa mume
@@user-qv3eo5pb3g kama ana kupenda ni jambo jema hata bible inasema pendaneni. Ila swala la mapenzi ni hisia na hisia huwa zinaisha ila upendo ndio kinacho dumu. Kama Mke alietafutiwa anampenda basi ndoa itadumu ila kama ni Mapenzi tu hisia huwa zina expire.
Papa ubarikiwe unanifadha kujuwa mapenzi na upendo ✊
Amen..barikiwa sana
Holy Spirit Amen 🙏🏼
Asante sana mwalimu Joel, God Bless you, Amen 🙏🏼
Mimi Loyce niko Marekani nabarikiwa na mafundisho haya na nimejifunza kitu
Barikiwa sana mchungaji
Amen Loyce
Asante sn pastor 🥺, very educative ✍🏼🙏🏼😊❤
Asante sana ,Mungu akubariki
Amen
Bora upendwe kuliko mapenzi
Very true
Holy Spirit Amen 🙏🏼
Big up🎉🎉🎉
Yanu una madini sanaaaa kaka ubarikiwe sanaaaa
Ameeeeeen
Asantee sana Kuna sehemu umenipeleka
Barikiwa
Ashsante Mr sukambi
Ahsante kwa nondo za uhakika unatutoa tongotongo kwakweli
Asante sana
Asante Sana tunajifunza mengi kupitiya wewe
Karibu sana
Mungu akubadiriki sana Pastor
Nimekuelewa
Hakika umenifunza kitu asante sana
Asante sana yupo mwanaume anaupendo na mimi lakini mimi nipo mbali nipo Oman ameniambia atanivumilia mpaka nitakapo rudi ila anasema ananipenda
Hasante mchungaji umenisaidia namimi mungu akubariki
Uko vizuri mtumishi .niko Arusha tunakupata
Pastor your👍good,bravo,🙏🙏
Shukrn kakngu
Asante kaka nimejifunza mengi sana 🎉
Barikiwa
Nakupata viziri npo uturuki kaka salma hapa
Mwenzangu tulipendana tuna mwaka wa 14 hatujafunga ndoa ila tuna mpango lkn tutafanya biashara pamoja na tuko vizuri hakuna shida tunashirikiana kwa mambo mengi na ananishauri mambo mazuri hata yanayohusu familia yangu.napia tunafanya miradi kwa ajili ya maisha yetu ya baadaye.
Mungu awafanikishe kwenye nia yenu hiyo ya kufunga ndoa
@@DeoSukambi Amina pastor nafaidika sana na mafundisho Yako na tayari Nina majibu ya maswali niliypkuwa najiuliza kwa kukusikuliza Kila wakati Mungu akubariki sana.
Dada umeona jibu la deo jitafakari
Kutengeneza mali pamoja bila ndoa ni riziki san
Subiri kukimbiwa tu na huyo mwanaume. Nafikiria huwajui wanaume wewe ataenda tafuta mwanamke mwingine wa kuowa na atakula hizo Mali be careful 😅
Kuhusu Uvamizi wa Mizimu ktk mahusiano Kupitia mila potofu unaonaje? Kuna kiburi kumbe si MTU anafanya. Mie Heri Halisi Niko Songea Kanisa Halisi. Hongera kwa kujitoa
Uvamizi wa roho chafu upo lakini kabla hujafikia huko ni vema kutathmini vyanzo vingine vya tabia hizo
Nipo ugaibun huku gulfu ndy kufa Tulia sana deo
Asate sana kwa mafundisho nyako hakii nimejifuza mengi sana kupitia haya mafundisho GOD BLESS YOU 🙌
Amen amen ndugu
Asanteee mi wangu yuko bize lakin ananijali pale ninapo kua n uhitaji na hua ananiuliza kuusu changamoto zangu maan yupo mbali na mimi
❤❤❤
John vicent ,Toka singida mada nzuri
Nimekupata nipo Zambia umenitoa upofu mkubwa Mungu akuongezee maarifa
Asante sana kutoka Zambia
Kweli nimejifunza
Mm ni mgonjwa aiseee pastor hapo mwsho umeongea nimimi kabsa lakin mwanaume nilienae hawezi kabisa....pia if possible naruhusiwa kukupigia cm kwa namb hzo nikuelezee kitu kidogo tafadhal
Sawa unaweza kupiga japo ni vizuri ukanitext whatsap ili tupange appointment
Nico dodoma mama samwel
nakukubari sana kaka naomba kitabu chako cha usilolijua kuhusu mwanaume
Asante sana kaka..piga namba 0786903727 kukipata
John kuyoka US nakupata vizuri
Asante sana kutoka ISA
Unazunguza ukweri kabisa
🙏🙏🙏🙏🙏
Asante kumbe Wengiwetu tulikuwatunadanganyika na mapenzi🤭🙏🙏
Yeah wengi wanalaghaiwa na mapenzi
❤❤❤❤❤
Mwenye upendo wa dhati duniani ni mama tu🎉
sio mama wote tu
Josphine nakupata vizuri kutoka Jordan 🇯🇴
Asante sana kutoka Jordan
Natamani nipate somo au sifa za mtu anaekupenda kwel na mwenyewe nia ya kuoa
Unatakiwa uwe umezipata kwenye somo hili unless kama hujaelewa nilichoongea
Kama Yesu KRISTO alivyonipenda,,,,,
Umerahisisha sana process 😂😂😂😂😂😂😂
Nakufuatilia kutoka Saudi
Asante sana kutoka Saudi
Pastor ndoa yangu ipo ICU umenigusa sana nahitaji kukuona
Naitwa Sophia kutoka manyara
Yan hakika ishi tu
Jamani kihelehele kibaya
Kibaya Sana, ndicho kinachpwafanya watu wengi waumizwe kwenye mahusiano.
Salima Salim froom Oman
Asante mtumishi uko vzr sanaaa
Amen amen
Asante sana barikiwa sana nimejifunza sana adi nimejikuta nina subscribe.
Karibu sana
😢
Ndio
Hakika umenifundisha vingi mtumishi
Asante sana kwa mrejesho
Nafatilia nkiwa saud arabia am a kenyan
Nashuruku kwa somo zuri na vipi kuhusu mtu ambae hatoi huduma yyt na anajiangalia yy na hufanya vitu kiubinafsi hapo nko kwenye upendo au nko miaka 4 Sasa naishi nae
Kuna shida mahali..upendo unaendana na kutoa sio kupokea..kama mtu hatoi basi kuna uwalakini kwenye huo upendo wake unless iwe hana uwezo kabisa
Nimependa sana mafundisho yako
Amen amen
Jamani mimi ninae mpenzi nampnda xana lakini kw xax ameow mke mwngine jamani kila nikfkilia naumia xana
Somo hili liimenigusà mno, limenihusu, naitaji kufànya appointment nipone nafssi
Karibu sana
niko kenya
Asante sana salamu zangu kenya
Denise KAVIRA KARAFULI kutoka inzi ya congo
Wanawake wa kisasa mapenzi kwao ndo upendo anataka umfanyie vitu anavyohitaji hapo ndo ataamini unampenda
Jambo habari za huko Tanzanian, mimi naishi marekani ,sasa natakujuwa jinsi ya kuondoa hayo majeraa (wakati moyo umesha kauka kwa kutokana nayale uliyo yapitia)
Inabidi upate therapy ya kukusaidia..wasiliana whatsap 0746104034 kubook session
kwahiy m mme wangu sipaswi kumnunulia hata yebo za kuogea
Mnunulie haina shida kabisa
Kwaiyo anapo kupa moyo kwenye changa moto zako je apo ana kupenda au aonyesha mapenzi
Huyo anakupenda
Naomba Jina la icho kitabu cha kumsoma mwanaume sijafahamu jina
Usichojua kuhusu mwanaume ndo kinaitwa hivyo
Maana yake hiyo ni kweri anakuchezeea unakuja kumugundua uliisha celewa. Anakuonesha kama anakupenda kumbe yeye ana niya yake na mipango yako anakubembeleza ili afikie lengo lake. Anakuwa anakuponda kihakili na mambo yake anakuficha akiona unataka mgundua afanya halama ya kuwa muko pamoja kumbe anskubizia . Anasubili mda wa kukutimua
Kanisa laki liko wapi mtumishi!?
Somozurisana braza ahsant
Asante kushukuru
Asante sana mtumishi wa Bwana umenitowa upofu kweli yote uliyangumza kama umeniona Mimi jinsi navolalamika Mme wangu asiponigiya SIM naona kama hanipendi nimejifunza mengi sana alafu nimeamini Kweli mapenzi hayalazimichiki