TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI | DEO SUKAMBI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 02. 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI.
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
    Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii

Komentáře • 179

  • @noelinasaru1496
    @noelinasaru1496 Před 5 měsíci +3

    Nilidhani ananipenda kumbe ilikuwa ni mapenzi tuu baada ya muda mfupi tukaachana .mtumishi Sasa nimeelewa asante sana be blessed.from Saudia

  • @manmanonline6394
    @manmanonline6394 Před 17 dny

    asante sana bro Mungu akubariki,hakika umenipa ujasiri wa kujua na kutoka ktk madhila

  • @judymwangi6370
    @judymwangi6370 Před 4 měsíci +1

    Kwa mafundisho haya,🙌 basi asante sana mume wangu kwa kunionyesha upendo, kuhusu mapenz, nitapunguza haya matarajio, eeh Mungu tupe afya njema kama familia🤲...baba Emma📢📢📢📢📢🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ out with my head down

  • @ibrahimukikwilili4368
    @ibrahimukikwilili4368 Před 5 měsíci +9

    Anafundisha vizuri sana nimekubali unaelimisha jamii vizuri hata mb zangu kula tuu

  • @user-mw5rs6eq3w
    @user-mw5rs6eq3w Před měsícem +1

    Nimefurahi sana kwa somo Asante sana ubarikiwe sana ❤❤❤

  • @ClailleICIDUHAYE-xh3ll
    @ClailleICIDUHAYE-xh3ll Před měsícem +1

    Kweliiii unafundisha vizuli,nakupenda ten napend gisi unafundisha ❤from burundiii

  • @hammerymachogu3885
    @hammerymachogu3885 Před 2 měsíci +1

    Bravo pastor somo zuri sana nimejufunza kitu ,barikiwa sana mtu wa Mungu

  • @sifaoksbagirishyasie2410
    @sifaoksbagirishyasie2410 Před 3 měsíci +1

    ASante kwa Ujumbe huu mzuri Jamani😊🌻, nimejifunza Mengi saana. Lazma kurudi kwenye asilia, kama mababu zangu.

  • @LucyEzekiel-gm2jr
    @LucyEzekiel-gm2jr Před 4 měsíci +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, Yesu aendelee kukupatia mafunuo ili uwasaidie watu wa Mungu kwa sababu hiki kizazi kinahitaji mafundisho sana.

  • @LilianMbangwa
    @LilianMbangwa Před 28 dny

    Ubarikiwe kwa somo

  • @harosicharo2736
    @harosicharo2736 Před 14 dny +1

    ❤❤unaongea ukweli kbsa nasikiliza nikiwa mombsa likoni

  • @fatumamesso2573
    @fatumamesso2573 Před 5 měsíci +2

    Upendo ninmaana kuliko mapenzi. Asante pastor

  • @politenessjasper4100
    @politenessjasper4100 Před 5 měsíci +2

    Asante sanaa,nimekuelewaa

  • @salambajosephine3211
    @salambajosephine3211 Před měsícem +2

    Nikweli unacho kiongeaa ubarikiwe

  • @MonikaAsedi
    @MonikaAsedi Před 3 měsíci

    Asante kwa mafundisho mazuri ,ubarikiwe sana

  • @user-vq7bp3ph7o
    @user-vq7bp3ph7o Před 4 měsíci

    Mungu akubariki sana tena azidi kukujaliza hayo madili nimechukua nondo hizo da! Hakika umenitoa upofu god bless you pastor

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h Před 5 měsíci +2

    Asante baba nimejifunza japo sina mtu ila naogopaaa maaana hiyo engo inahitaji msaada wa mungu inshaallah khery ya allah anipe kilicho bora kwangu nami niwe bora kwakeee amin ❤❤❤❤❤shukran sana

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci +1

      Mungu atakujalia aliye bora na kufaa. Endelea kujifunza

    • @user-ei2ud7gh5h
      @user-ei2ud7gh5h Před 5 měsíci

      @@DeoSukambi amin

  • @user-mz9oy1ip1i
    @user-mz9oy1ip1i Před 3 měsíci

    Asante Sana kwa Somo lako nzuri

  • @rithatekakwitha666
    @rithatekakwitha666 Před 4 měsíci

    Asante sana mafundisho ya maana

  • @SubiraSanga
    @SubiraSanga Před 4 měsíci

    Asante kwa somo zr barkiw

  • @godwineliya5434
    @godwineliya5434 Před 5 měsíci +4

    Daah masomo mengine yalipaswa kufundishwa miaka kadhaa nyuma but somo nzuriiii nimejipatia kipande changu barikiwa Pastor Deo

  • @frolaibrahim1257
    @frolaibrahim1257 Před 5 měsíci +1

    Uko vizuri Pastor Uko sawa kabisa. Hongera kwa Kipawa hicho.

  • @gracemlawa0015
    @gracemlawa0015 Před 5 měsíci

    Asante sana

  • @MamaNabii
    @MamaNabii Před 4 měsíci

    Asante Sana pastor kwa mafunzo

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 Před 5 měsíci +1

    Asante sana Pastor Kwa Somo zuri, tangu nimeanza kufuatilia vipind vyako Kuna kitu napokea siku Hadi siku ambavyo ni msaada San ktk familia yangu!!! Mungu akubariki sana

  • @DeniseKarafuli-fn2qb
    @DeniseKarafuli-fn2qb Před 3 měsíci

    Asante kwa mashauri kuhusu ukimia wamwanaume

  • @user-wn5te1wg4m
    @user-wn5te1wg4m Před 5 měsíci +1

    Amen mungu àkubariki

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Před 5 měsíci +8

    Hata mimi umenifurahisha sana Mr Sukambi umewatoa Watu wengi upofu. Wadada wengi kwa kweli they cant tell the difference katika Upendo na Mapenzi ndio maana ndoa zinachechemea. Kumbe expectations zao zinakuwa off🙏🏾

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci +2

      Barikiwa sana ndugu

    • @mhamadaldo7338
      @mhamadaldo7338 Před 5 měsíci

      ​@@DeoSukambishukurani sana

    • @user-qv3eo5pb3g
      @user-qv3eo5pb3g Před 5 měsíci

      Nimekuelewa pastor ila kuna mwanaume anaupendo sana na mm ila tumeachana wazazi wamemtafutia mwanamke mwingine ila nahisi ana upendo sana bado na mm na bado nina upendo na mm je inawezekana aliyemuoa anamuonyesha upendo au ndo mapenzi tu

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci +2

      @@user-qv3eo5pb3g sasa kama upendo wake kwako haukutosha yeye kusimama upande wako ina maana gani? Wazazi wanamuamulia mke wa kuoa? Sifikiri kama huyo anajua maana ya kuwa mume

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 Před 5 měsíci

      @@user-qv3eo5pb3g kama ana kupenda ni jambo jema hata bible inasema pendaneni. Ila swala la mapenzi ni hisia na hisia huwa zinaisha ila upendo ndio kinacho dumu. Kama Mke alietafutiwa anampenda basi ndoa itadumu ila kama ni Mapenzi tu hisia huwa zina expire.

  • @MarcelBlessing-ef7rz
    @MarcelBlessing-ef7rz Před 5 měsíci +1

    Papa ubarikiwe unanifadha kujuwa mapenzi na upendo ✊

  • @work24onme
    @work24onme Před 5 měsíci +1

    Holy Spirit Amen 🙏🏼
    Asante sana mwalimu Joel, God Bless you, Amen 🙏🏼

  • @loycep7785
    @loycep7785 Před 5 měsíci +1

    Mimi Loyce niko Marekani nabarikiwa na mafundisho haya na nimejifunza kitu
    Barikiwa sana mchungaji

  • @beera.g5302
    @beera.g5302 Před 3 měsíci

    Asante sn pastor 🥺, very educative ✍🏼🙏🏼😊❤

  • @user-ln4ll6vq8k
    @user-ln4ll6vq8k Před 5 měsíci +1

    Asante sana ,Mungu akubariki

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 měsíci +2

    Bora upendwe kuliko mapenzi

  • @user-oj6qq8up7f
    @user-oj6qq8up7f Před 4 měsíci

    Very true

  • @work24onme
    @work24onme Před 5 měsíci +1

    Holy Spirit Amen 🙏🏼

  • @DoreenMwende-te7zd
    @DoreenMwende-te7zd Před měsícem

    Big up🎉🎉🎉

  • @user-sy8dr5mo1n
    @user-sy8dr5mo1n Před 5 měsíci +2

    Yanu una madini sanaaaa kaka ubarikiwe sanaaaa

  • @mavelyenlaurent8103
    @mavelyenlaurent8103 Před 5 měsíci +2

    Asantee sana Kuna sehemu umenipeleka

  • @angeldeusdedith2918
    @angeldeusdedith2918 Před 3 měsíci

    Ashsante Mr sukambi

  • @davielubuyih-yh7sx
    @davielubuyih-yh7sx Před 4 měsíci +1

    Ahsante kwa nondo za uhakika unatutoa tongotongo kwakweli

  • @user-ng2ot8uz5j
    @user-ng2ot8uz5j Před 5 měsíci +1

    Asante Sana tunajifunza mengi kupitiya wewe

  • @user-dy9un3qb9g
    @user-dy9un3qb9g Před 5 měsíci +1

    Mungu akubadiriki sana Pastor

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 měsíci +1

    Nimekuelewa

  • @claricemapenzi7581
    @claricemapenzi7581 Před 2 měsíci

    Hakika umenifunza kitu asante sana

  • @RukiaMdide
    @RukiaMdide Před měsícem

    Asante sana yupo mwanaume anaupendo na mimi lakini mimi nipo mbali nipo Oman ameniambia atanivumilia mpaka nitakapo rudi ila anasema ananipenda

  • @user-xn9kf3kp2g
    @user-xn9kf3kp2g Před 4 měsíci

    Hasante mchungaji umenisaidia namimi mungu akubariki

  • @ipyanaangetile38
    @ipyanaangetile38 Před 4 měsíci

    Uko vizuri mtumishi .niko Arusha tunakupata

  • @menshitunze
    @menshitunze Před 2 měsíci

    Pastor your👍good,bravo,🙏🙏

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 Před 2 měsíci

    Shukrn kakngu

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Před 5 měsíci +1

    Asante kaka nimejifunza mengi sana 🎉

  • @SahimSahil
    @SahimSahil Před 13 dny

    Nakupata viziri npo uturuki kaka salma hapa

  • @matildakaria1532
    @matildakaria1532 Před 5 měsíci +1

    Mwenzangu tulipendana tuna mwaka wa 14 hatujafunga ndoa ila tuna mpango lkn tutafanya biashara pamoja na tuko vizuri hakuna shida tunashirikiana kwa mambo mengi na ananishauri mambo mazuri hata yanayohusu familia yangu.napia tunafanya miradi kwa ajili ya maisha yetu ya baadaye.

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci

      Mungu awafanikishe kwenye nia yenu hiyo ya kufunga ndoa

    • @matildakaria1532
      @matildakaria1532 Před 5 měsíci

      @@DeoSukambi Amina pastor nafaidika sana na mafundisho Yako na tayari Nina majibu ya maswali niliypkuwa najiuliza kwa kukusikuliza Kila wakati Mungu akubariki sana.

    • @NuratyAlly-lq7xc
      @NuratyAlly-lq7xc Před 5 měsíci

      Dada umeona jibu la deo jitafakari

    • @NuratyAlly-lq7xc
      @NuratyAlly-lq7xc Před 5 měsíci +1

      Kutengeneza mali pamoja bila ndoa ni riziki san

    • @joycebosire3434
      @joycebosire3434 Před 4 měsíci +1

      Subiri kukimbiwa tu na huyo mwanaume. Nafikiria huwajui wanaume wewe ataenda tafuta mwanamke mwingine wa kuowa na atakula hizo Mali be careful 😅

  • @user-gv4pc9if2u
    @user-gv4pc9if2u Před 3 měsíci +1

    Kuhusu Uvamizi wa Mizimu ktk mahusiano Kupitia mila potofu unaonaje? Kuna kiburi kumbe si MTU anafanya. Mie Heri Halisi Niko Songea Kanisa Halisi. Hongera kwa kujitoa

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 3 měsíci

      Uvamizi wa roho chafu upo lakini kabla hujafikia huko ni vema kutathmini vyanzo vingine vya tabia hizo

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz Před 5 měsíci

    Nipo ugaibun huku gulfu ndy kufa Tulia sana deo

  • @josephwawuda3204
    @josephwawuda3204 Před 5 měsíci +2

    Asate sana kwa mafundisho nyako hakii nimejifuza mengi sana kupitia haya mafundisho GOD BLESS YOU 🙌

  • @dianajuma2734
    @dianajuma2734 Před 3 měsíci

    Asanteee mi wangu yuko bize lakin ananijali pale ninapo kua n uhitaji na hua ananiuliza kuusu changamoto zangu maan yupo mbali na mimi

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 Před 5 měsíci +1

    ❤❤❤

  • @JohnVincent-fc3vp
    @JohnVincent-fc3vp Před 3 měsíci

    John vicent ,Toka singida mada nzuri

  • @user-kx2kt8ng9g
    @user-kx2kt8ng9g Před 5 měsíci +1

    Nimekupata nipo Zambia umenitoa upofu mkubwa Mungu akuongezee maarifa

  • @rithatekakwitha666
    @rithatekakwitha666 Před 4 měsíci

    Kweli nimejifunza

  • @user-tk8de2pl4j
    @user-tk8de2pl4j Před 4 měsíci +2

    Mm ni mgonjwa aiseee pastor hapo mwsho umeongea nimimi kabsa lakin mwanaume nilienae hawezi kabisa....pia if possible naruhusiwa kukupigia cm kwa namb hzo nikuelezee kitu kidogo tafadhal

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 4 měsíci

      Sawa unaweza kupiga japo ni vizuri ukanitext whatsap ili tupange appointment

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 Před 2 měsíci +1

    Nico dodoma mama samwel

  • @enerstmusa5398
    @enerstmusa5398 Před 5 měsíci +1

    nakukubari sana kaka naomba kitabu chako cha usilolijua kuhusu mwanaume

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci

      Asante sana kaka..piga namba 0786903727 kukipata

  • @johnathumani6891
    @johnathumani6891 Před 5 měsíci +1

    John kuyoka US nakupata vizuri

  • @jonakax
    @jonakax Před měsícem

    Unazunguza ukweri kabisa

  • @aateriadaniel1135
    @aateriadaniel1135 Před 4 měsíci +1

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 Před 5 měsíci +1

    Asante kumbe Wengiwetu tulikuwatunadanganyika na mapenzi🤭🙏🙏

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci

      Yeah wengi wanalaghaiwa na mapenzi

  • @annamnyazi8206
    @annamnyazi8206 Před měsícem

    ❤❤❤❤❤

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 měsíci +2

    Mwenye upendo wa dhati duniani ni mama tu🎉

  • @josephwawuda3204
    @josephwawuda3204 Před 5 měsíci +1

    Josphine nakupata vizuri kutoka Jordan 🇯🇴

  • @janelmagda5064
    @janelmagda5064 Před 4 měsíci +1

    Natamani nipate somo au sifa za mtu anaekupenda kwel na mwenyewe nia ya kuoa

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 4 měsíci +1

      Unatakiwa uwe umezipata kwenye somo hili unless kama hujaelewa nilichoongea

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 měsíci +3

    Kama Yesu KRISTO alivyonipenda,,,,,

  • @imanimwakinga4934
    @imanimwakinga4934 Před 4 měsíci

    Umerahisisha sana process 😂😂😂😂😂😂😂

  • @luselose9944
    @luselose9944 Před 5 měsíci +1

    Nakufuatilia kutoka Saudi

  • @PriscaWiliam-vh5tl
    @PriscaWiliam-vh5tl Před 28 dny

    Pastor ndoa yangu ipo ICU umenigusa sana nahitaji kukuona

  • @SophiaMalley-kw7pi
    @SophiaMalley-kw7pi Před 5 měsíci +2

    Naitwa Sophia kutoka manyara

  • @zawadipeter7152
    @zawadipeter7152 Před 4 měsíci

    Yan hakika ishi tu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 měsíci +2

    Jamani kihelehele kibaya

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 Před 5 měsíci

      Kibaya Sana, ndicho kinachpwafanya watu wengi waumizwe kwenye mahusiano.

  • @iloveoman2677
    @iloveoman2677 Před 5 měsíci

    Salima Salim froom Oman

  • @LeticiaShoka-me2wq
    @LeticiaShoka-me2wq Před 5 měsíci +1

    Asante mtumishi uko vzr sanaaa

  • @Gladysalbinus
    @Gladysalbinus Před 4 měsíci +1

    Asante sana barikiwa sana nimejifunza sana adi nimejikuta nina subscribe.

  • @user-ri4ej8mi3l
    @user-ri4ej8mi3l Před 5 měsíci +1

    😢

  • @MwajeyMussa
    @MwajeyMussa Před 2 měsíci

    Ndio

  • @rozaliakimwaga4648
    @rozaliakimwaga4648 Před 5 měsíci +1

    Hakika umenifundisha vingi mtumishi

  • @user-oj6qq8up7f
    @user-oj6qq8up7f Před 4 měsíci

    Nafatilia nkiwa saud arabia am a kenyan

  • @LupiPrisca
    @LupiPrisca Před 3 měsíci +1

    Nashuruku kwa somo zuri na vipi kuhusu mtu ambae hatoi huduma yyt na anajiangalia yy na hufanya vitu kiubinafsi hapo nko kwenye upendo au nko miaka 4 Sasa naishi nae

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 3 měsíci

      Kuna shida mahali..upendo unaendana na kutoa sio kupokea..kama mtu hatoi basi kuna uwalakini kwenye huo upendo wake unless iwe hana uwezo kabisa

  • @SophiaMalley-kw7pi
    @SophiaMalley-kw7pi Před 5 měsíci +1

    Nimependa sana mafundisho yako

  • @user-jr4pi7lu1d
    @user-jr4pi7lu1d Před 2 měsíci

    Jamani mimi ninae mpenzi nampnda xana lakini kw xax ameow mke mwngine jamani kila nikfkilia naumia xana

  • @perpetuaganyara2048
    @perpetuaganyara2048 Před 5 měsíci +2

    Somo hili liimenigusà mno, limenihusu, naitaji kufànya appointment nipone nafssi

  • @universalgospelministriesh8751
    @universalgospelministriesh8751 Před 5 měsíci +2

    niko kenya

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 4 měsíci

      Asante sana salamu zangu kenya

  • @DeniseKarafuli-fn2qb
    @DeniseKarafuli-fn2qb Před 3 měsíci

    Denise KAVIRA KARAFULI kutoka inzi ya congo

  • @RenatusMatungwa
    @RenatusMatungwa Před měsícem +3

    Wanawake wa kisasa mapenzi kwao ndo upendo anataka umfanyie vitu anavyohitaji hapo ndo ataamini unampenda

  • @KabulimboElie
    @KabulimboElie Před 2 měsíci

    Jambo habari za huko Tanzanian, mimi naishi marekani ,sasa natakujuwa jinsi ya kuondoa hayo majeraa (wakati moyo umesha kauka kwa kutokana nayale uliyo yapitia)

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 2 měsíci

      Inabidi upate therapy ya kukusaidia..wasiliana whatsap 0746104034 kubook session

  • @SubiraSanga
    @SubiraSanga Před 4 měsíci +1

    kwahiy m mme wangu sipaswi kumnunulia hata yebo za kuogea

  • @user-tm8xz6de1t
    @user-tm8xz6de1t Před 5 měsíci +1

    Kwaiyo anapo kupa moyo kwenye changa moto zako je apo ana kupenda au aonyesha mapenzi

  • @SalamaAliy-lf6vl
    @SalamaAliy-lf6vl Před 2 měsíci

    Naomba Jina la icho kitabu cha kumsoma mwanaume sijafahamu jina

    • @LilianMbangwa
      @LilianMbangwa Před 28 dny

      Usichojua kuhusu mwanaume ndo kinaitwa hivyo

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 Před 3 měsíci

    Maana yake hiyo ni kweri anakuchezeea unakuja kumugundua uliisha celewa. Anakuonesha kama anakupenda kumbe yeye ana niya yake na mipango yako anakubembeleza ili afikie lengo lake. Anakuwa anakuponda kihakili na mambo yake anakuficha akiona unataka mgundua afanya halama ya kuwa muko pamoja kumbe anskubizia . Anasubili mda wa kukutimua

  • @user-mx6zc6tn9v
    @user-mx6zc6tn9v Před 5 měsíci

    Kanisa laki liko wapi mtumishi!?

  • @MjataHashimu
    @MjataHashimu Před 5 měsíci +1

    Somozurisana braza ahsant

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 5 měsíci

      Asante kushukuru

    • @EstherGoodwell-jb5wq
      @EstherGoodwell-jb5wq Před 4 měsíci

      Asante sana mtumishi wa Bwana umenitowa upofu kweli yote uliyangumza kama umeniona Mimi jinsi navolalamika Mme wangu asiponigiya SIM naona kama hanipendi nimejifunza mengi sana alafu nimeamini Kweli mapenzi hayalazimichiki