TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI | DEO SUKAMBI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 02. 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
    Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii

Komentáře • 70

  • @HamidakomboKombo-xs2ju

    Asante sana tumekuelewa Dr ila baadhi ya wanaume Huwa hajui majukumu yao,na mukipata watoto Huwa anazidi anakuachia watoto na inabidi upambane Ili watoto wale ! Kuliko kuanza kukimbizana na mwanaume mjinga ndio hapo tunapoumia SS wanawake kwa ajili ya watoto

  • @ItsWorkingTogetherForMyGood

    Asante sana, haswa unapozungumzia Yesu ambaye alizungukiwa na wanawake hapo mwisho. Nmepata ufunuo.

  • @elizabethproches6761

    Nashukur Sana Pastor! SoMo Ni zuri Sana hapa kila mtu ajitambue tu 'position' yake.

  • @user-cj8zh8jj2s

    Na mke Yuko kwenye shimo umwache.leo umetoa mafundisho potofu kabisa

  • @haphsahsaeed6654

    😂😂😂 dr. Salute 🫡 kweli tuna viherehere haswaa, nawala hatujatumwa na mtu kusema kweli, tubaki kwenye position zetu, asante sana sana, Mungu akubarik zaid na zaid uzidi kutupa elimu

  • @user-cq5rs9di2z

    Nashukuru sana mtumishi kipindi chako kinanibariki sana sana Anna Joephath goba

  • @delinevamwakapasa6948

    Hongera Sana baba

  • @elizabethfrank3083

    Ahsante Kaka Deo Honestly nimejifunza vingi sana🙏

  • @mimamnete6283

    This speak volumes aisee kuna alot of my friends wameolewa ila wanafanya majukumu ya waume zao in the name of mke ni msaidizi sasa outcome ya hii ni migogoro kila siku

  • @mr.yahzadochuno7914

    God blessed you doctor sukambi ❤

  • @user-cj8zh8jj2s

    Leo umenunuliwa Wala sio ukweli .haya ni mafundisho yalio maono ya wanadamu

  • @user-cj8zh8jj2s

    Today's umeongea kwa mamlaka za Giza kabisa .tafakari njia zako

  • @chrissg4026

    Kupitia maandiko sasa tumeshafunuliwa kwamba kumbe uyu aliumbwa kuwa msaidizi! Pamoja na kwamba hakutamkiwa kumbe sasa tumeshajua kusudi la Mungu kumuumba uyu mwanamke! Na inabidi sasa aishi kulingana na kusudi la Mungu hata kama hakuambiwa! Tuangalie kupitia maandiko kusudi la Mungu lilikuwa ni nini? Kumbe sasa tunatakiwa kuishi kwa kusudi ilo baada ya kufumbuliwa na biblia(Neno la Mungu)

  • @user-ng2ot8uz5j

    Asante kwa Mada nzuri, nimejifunza kitu,nipo Burundi.

  • @user-cj8zh8jj2s

    Usaidizi unaenda na utii.mtumishi hapa umepotoka soma mithali 31

  • @HabiyambereFaheem-fk3nz

    Rwanda tupo

  • @LacksonTungaraza

    Hii ni YA moto sana 🎯🎯🎯

  • @kiazikitamu3985

    Utasababisha ndoa za watu zivunjike siku wakiacha kutoa pesa na ndoa zao zinakufa maana hao wanaume wanademand sana wapewe hizo pesa 😊 wasipopewa wana hali inakuwa tete

  • @mamii7935

    Shukran sana kaka

  • @happiness_713

    "Both" we are doing vice versa..😢