TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI | DEO SUKAMBI
Vložit
- čas přidán 26. 02. 2024
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii
Asante sana tumekuelewa Dr ila baadhi ya wanaume Huwa hajui majukumu yao,na mukipata watoto Huwa anazidi anakuachia watoto na inabidi upambane Ili watoto wale ! Kuliko kuanza kukimbizana na mwanaume mjinga ndio hapo tunapoumia SS wanawake kwa ajili ya watoto
Asante sana, haswa unapozungumzia Yesu ambaye alizungukiwa na wanawake hapo mwisho. Nmepata ufunuo.
Nashukur Sana Pastor! SoMo Ni zuri Sana hapa kila mtu ajitambue tu 'position' yake.
Na mke Yuko kwenye shimo umwache.leo umetoa mafundisho potofu kabisa
😂😂😂 dr. Salute 🫡 kweli tuna viherehere haswaa, nawala hatujatumwa na mtu kusema kweli, tubaki kwenye position zetu, asante sana sana, Mungu akubarik zaid na zaid uzidi kutupa elimu
Nashukuru sana mtumishi kipindi chako kinanibariki sana sana Anna Joephath goba
Hongera Sana baba
Ahsante Kaka Deo Honestly nimejifunza vingi sana🙏
This speak volumes aisee kuna alot of my friends wameolewa ila wanafanya majukumu ya waume zao in the name of mke ni msaidizi sasa outcome ya hii ni migogoro kila siku
God blessed you doctor sukambi ❤
Leo umenunuliwa Wala sio ukweli .haya ni mafundisho yalio maono ya wanadamu
Today's umeongea kwa mamlaka za Giza kabisa .tafakari njia zako
Kupitia maandiko sasa tumeshafunuliwa kwamba kumbe uyu aliumbwa kuwa msaidizi! Pamoja na kwamba hakutamkiwa kumbe sasa tumeshajua kusudi la Mungu kumuumba uyu mwanamke! Na inabidi sasa aishi kulingana na kusudi la Mungu hata kama hakuambiwa! Tuangalie kupitia maandiko kusudi la Mungu lilikuwa ni nini? Kumbe sasa tunatakiwa kuishi kwa kusudi ilo baada ya kufumbuliwa na biblia(Neno la Mungu)
Asante kwa Mada nzuri, nimejifunza kitu,nipo Burundi.
Usaidizi unaenda na utii.mtumishi hapa umepotoka soma mithali 31
Rwanda tupo
Hii ni YA moto sana 🎯🎯🎯
Utasababisha ndoa za watu zivunjike siku wakiacha kutoa pesa na ndoa zao zinakufa maana hao wanaume wanademand sana wapewe hizo pesa 😊 wasipopewa wana hali inakuwa tete
Shukran sana kaka
"Both" we are doing vice versa..😢