Mambo 3 yanayogombaniwa na wenzi ndani ya mahusiano au ndoa | Uponyaji wa Familia | Deo Sukambi
Vložit
- čas přidán 1. 10. 2023
- Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Deo Sukambi,
Karibu katika uzinduzi wa kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU MALEZI (Jumamosi tarehe 21 Oktoba 2023), Usisahau kujisajili kuhudhuria events.deosukambi.com
Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ sukambideo
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano
Somo la Leo nimekuelewa Sana! Yaani umeeleweka Sana! Na hili somo linatusaidia Sana kwa kweli Mungu akubariki Sana!
Asante Sana Mtumishi.Nakufuatilia Sana Mafundisho Yako.Kwa Kweli Naelimika.Mungu Akubariki
Wow masomo ni mazuri sana .nakusikiliza kutoka zambia
Mimi naitwa Dominic niko Mbinga Tanzania nakusikiliza nakupata vizuri nabarikiwa sana mafundisho yako
Nikusikiliza asanteee pamoja sana
Hahah yaani Pastor the way u present this topic i LOVE IT. .MUNGU AKUBARIKI SANA , Watching from 🇺🇸 USA!
Thank you Navo
Asante sana somo zuri
Nimejifunza mengi kaka asante sana from sweden
From Tanzania ..it is very perfect
Asante sana mchunganji Kwa kipindi hiki. Emotional abuse ipo mchunganji, I'd like you uzungumzie narcissistic personality disorder na madhara yake Kwa mahusiano.
This is a serious problem Pastor tusaidie
Mr Deo una speech nzur ila hii imefunika.umeongea uhalisia wa maisha kando ya hayo tunadanganyana tu!!
Take your time husbands,wives-dont rush each other.
Yaan umenikosha cn!!!
Be blessed men--!
Asante sana kwa kunifuatilia, endelea kujifunza
Nakupata vizuri nikiwa South Africa uku mtumishu wa Mungu ni Joseph cyprian
😂😂😂ukweli mtu yani nakupemda hadi basi mie nimubirundi nagufatilia nikiwa dubai❤❤❤
Asante sana nakupenda pia
I'm john nakufatilia kutoka Missouri US
thanks
Thanks alot pastor for cancelling us and good advice.. God bless you
Thank you too
Ubarikiwe Mchungaji somo tamu sanaaaaaa💃💃💃
Asante sana
Umeniinua san Mungu akupe maarifa zaidi utuponye
Very true
Ni kweli kabisa
Nimekuelewa,
Hasante sana mimi nimekuelewa vizuri
😂 Ubarikiwe mtumishi, somo limeniweka huru,umenifungua sana ufahamu wangu.Asante sana
Amen amen
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Video zako zina Kelele kwa nyuma. From Italy
Sio mbona tunaelewa vizur
Leo inabidi ni comment 😅😅😅😅
Sure 😂😂 broo point namba 2 wanawake wengi kujikuta tukiwa single alafafu nje tunaonekana tuko kwa ndoa daaah inauma wanawake tunapenda careful lakin ndo aiwezekan asilimia ya weng wanaume wakishaoa care inakwisha sasa ifike muda enjoy tujifunze kujipenda wenyew furaha ya kwanza ni wew mwenyew then mwengine afate
Twangojea hayo
Aisee nimecheka sana nipo Oman nakusikiliza 😂😂😂😂
Let me sit back and relax.,,,kumbe hata kipato na uhuru wa kiuchumi siyo big deal.
Moyo wangu tulia.😅
Kitabu hicho ni bei gàni na mikoani kinatufikiaje kwa bei gani?
❤❤❤kwel kabisa 😅
Mwànza kitabu kinafika kwa bei gani?
nkupta mchungaji,nipo wrudstarn iraq,naitwa Blandina
Dah! Najisikia kupona
Asante sana
Na ubarikiwe sana.
Nakusikiliza tokea Arusha Tzd
Hicho kinaleta maana
1m jaqueline nakupata nipo goba
😂😂😂😂😂😂😂
Wapi vitabu vyako vinapatikana plz
Piga 0786903727
😂😂Mwalimu yan mimi it's okay
Hakika umenikosha
😅😅😅😅
Natoka tanga mumewangu anamchepuko na anadai hayuko nae lkini bado yukonae nafanyaje
Twangojea hayo