Mambo 3 yanayogombaniwa na wenzi ndani ya mahusiano au ndoa | Uponyaji wa Familia | Deo Sukambi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 10. 2023
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Deo Sukambi,
    Karibu katika uzinduzi wa kitabu cha USICHOKIJUA KUHUSU MALEZI (Jumamosi tarehe 21 Oktoba 2023), Usisahau kujisajili kuhudhuria events.deosukambi.com
    Kama una swali lolote unaweza kulituma kwa SMS au Whatsapp kwenye namba hii +255 746 104 034
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / sukambideo
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #Mahusiano

Komentáře • 54

  • @shidasyassini6457
    @shidasyassini6457 Před 5 měsíci +2

    Somo la Leo nimekuelewa Sana! Yaani umeeleweka Sana! Na hili somo linatusaidia Sana kwa kweli Mungu akubariki Sana!

  • @othumanjenga9974
    @othumanjenga9974 Před 3 měsíci

    Asante Sana Mtumishi.Nakufuatilia Sana Mafundisho Yako.Kwa Kweli Naelimika.Mungu Akubariki

  • @eriminashiyo1304
    @eriminashiyo1304 Před 3 měsíci

    Wow masomo ni mazuri sana .nakusikiliza kutoka zambia

  • @DominicChilijila
    @DominicChilijila Před 3 měsíci

    Mimi naitwa Dominic niko Mbinga Tanzania nakusikiliza nakupata vizuri nabarikiwa sana mafundisho yako

  • @JulianaOlambo
    @JulianaOlambo Před 3 měsíci

    Nikusikiliza asanteee pamoja sana

  • @navojosephat656
    @navojosephat656 Před 9 měsíci +1

    Hahah yaani Pastor the way u present this topic i LOVE IT. .MUNGU AKUBARIKI SANA , Watching from 🇺🇸 USA!

  • @fatumaabdallah-ui7pj
    @fatumaabdallah-ui7pj Před 8 měsíci

    Asante sana somo zuri

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Před 9 měsíci +1

    Nimejifunza mengi kaka asante sana from sweden

  • @rachelelimeleck8820
    @rachelelimeleck8820 Před 9 měsíci

    From Tanzania ..it is very perfect

  • @ItsWorkingTogetherForMyGood
    @ItsWorkingTogetherForMyGood Před 8 měsíci +1

    Asante sana mchunganji Kwa kipindi hiki. Emotional abuse ipo mchunganji, I'd like you uzungumzie narcissistic personality disorder na madhara yake Kwa mahusiano.

  • @loycemalach9662
    @loycemalach9662 Před 8 měsíci +1

    Mr Deo una speech nzur ila hii imefunika.umeongea uhalisia wa maisha kando ya hayo tunadanganyana tu!!
    Take your time husbands,wives-dont rush each other.
    Yaan umenikosha cn!!!
    Be blessed men--!

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 8 měsíci

      Asante sana kwa kunifuatilia, endelea kujifunza

  • @J_Pabloescobar0806
    @J_Pabloescobar0806 Před 9 měsíci

    Nakupata vizuri nikiwa South Africa uku mtumishu wa Mungu ni Joseph cyprian

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 Před 8 měsíci +2

    😂😂😂ukweli mtu yani nakupemda hadi basi mie nimubirundi nagufatilia nikiwa dubai❤❤❤

  • @johnathumani6891
    @johnathumani6891 Před 4 měsíci

    I'm john nakufatilia kutoka Missouri US

  • @universalgospelministriesh8751

    thanks

  • @RitaLoice
    @RitaLoice Před 8 měsíci +1

    Thanks alot pastor for cancelling us and good advice.. God bless you

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula3805 Před 9 měsíci +1

    Ubarikiwe Mchungaji somo tamu sanaaaaaa💃💃💃

  • @user-hd1jq9ye9n
    @user-hd1jq9ye9n Před 9 měsíci

    Umeniinua san Mungu akupe maarifa zaidi utuponye

  • @juliusndossa201
    @juliusndossa201 Před 8 měsíci

    Very true

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Před 9 měsíci

    Ni kweli kabisa

  • @user-ff4yw6eo9w
    @user-ff4yw6eo9w Před 5 měsíci

    Nimekuelewa,

  • @user-xn9kf3kp2g
    @user-xn9kf3kp2g Před 4 měsíci

    Hasante sana mimi nimekuelewa vizuri

  • @user-ec6ub7hq9t
    @user-ec6ub7hq9t Před 4 měsíci +2

    😂 Ubarikiwe mtumishi, somo limeniweka huru,umenifungua sana ufahamu wangu.Asante sana

  • @MPENVIRONMENT
    @MPENVIRONMENT Před 3 měsíci

    🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 9 měsíci

    Video zako zina Kelele kwa nyuma. From Italy

  • @nightlaurent5086
    @nightlaurent5086 Před 4 měsíci

    Leo inabidi ni comment 😅😅😅😅

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Před 7 měsíci

    Sure 😂😂 broo point namba 2 wanawake wengi kujikuta tukiwa single alafafu nje tunaonekana tuko kwa ndoa daaah inauma wanawake tunapenda careful lakin ndo aiwezekan asilimia ya weng wanaume wakishaoa care inakwisha sasa ifike muda enjoy tujifunze kujipenda wenyew furaha ya kwanza ni wew mwenyew then mwengine afate

  • @joycekasabu5596
    @joycekasabu5596 Před 5 měsíci +1

    Twangojea hayo

  • @RukiaMdide
    @RukiaMdide Před měsícem

    Aisee nimecheka sana nipo Oman nakusikiliza 😂😂😂😂

  • @annasasi8924
    @annasasi8924 Před 9 měsíci

    Let me sit back and relax.,,,kumbe hata kipato na uhuru wa kiuchumi siyo big deal.
    Moyo wangu tulia.😅

  • @JeremiahMashini-hs2xz
    @JeremiahMashini-hs2xz Před 3 měsíci

    Kitabu hicho ni bei gàni na mikoani kinatufikiaje kwa bei gani?

  • @user-jk6qy6il7v
    @user-jk6qy6il7v Před 6 měsíci

    ❤❤❤kwel kabisa 😅

  • @JeremiahMashini-hs2xz
    @JeremiahMashini-hs2xz Před 3 měsíci

    Mwànza kitabu kinafika kwa bei gani?

  • @rehemaedward9494
    @rehemaedward9494 Před 9 měsíci

    nkupta mchungaji,nipo wrudstarn iraq,naitwa Blandina

    • @MaryAddam-my8nh
      @MaryAddam-my8nh Před 9 měsíci

      Dah! Najisikia kupona
      Asante sana
      Na ubarikiwe sana.

  • @user-tm2zt3hj2o
    @user-tm2zt3hj2o Před 5 měsíci

    Nakusikiliza tokea Arusha Tzd

  • @joycekasabu5596
    @joycekasabu5596 Před 5 měsíci +1

    Hicho kinaleta maana

  • @jaquelineligundaklay8817
    @jaquelineligundaklay8817 Před 3 měsíci

    1m jaqueline nakupata nipo goba

  • @rithakiondo1099
    @rithakiondo1099 Před 5 měsíci +2

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 Před 5 měsíci +1

    Wapi vitabu vyako vinapatikana plz

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Před 9 měsíci

    😂😂Mwalimu yan mimi it's okay

  • @user-ff4yw6eo9w
    @user-ff4yw6eo9w Před 5 měsíci

    Hakika umenikosha

  • @nyiranzimami728
    @nyiranzimami728 Před 4 měsíci

    😅😅😅😅

  • @user-bx2nc3rw7n
    @user-bx2nc3rw7n Před 6 měsíci

    Natoka tanga mumewangu anamchepuko na anadai hayuko nae lkini bado yukonae nafanyaje

  • @joycekasabu5596
    @joycekasabu5596 Před 5 měsíci +1

    Twangojea hayo