1 - OMBA MUNGU IMANI YAKO ILINDWE UNAPOPITA KATIKA MAJARIBU || Mwl Christopher Mwakasege || DODOMA
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2024
- Semina ya Neno la Mungu Dodoma Tarehe 17 Aprili 2024 ||
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Mungu azidi kuwapa siku nyingi,ili kile mungu ameweka ndani yako uzidi kutulisha Mpaka TZ yote iseme ndio kwa YESU 🙏💥🔥
*Kwanini uombe imani yako ilindwe*
Mfano Yesu aliomba petro imani yake ilindwe
01. Ili usije ukashindwa kuanza kukifanya kile ambacho Mungu amekuandaa kukifanya
a) mazingira ya mtu kufanya jambo yanaweza yakageuka yakawa kibebeo cha jaribu kwako (luka 22:31-32) mathayo 4:18-20)
b)
Amen, kila ninaposikiliza NENO kupitia Mwl, naona kama mimi ndiye Mungu ananisemesha. MUNGU! naomba umtunze na kumlinda mtumishi wako.
Nabarikiwa sana ninaposikiliza neno kutoka kwa mwalimu napàta nguvu mpya MUNGU wa mbinguni azidi kumweka na kumtunza
Yesu ninaomba unilindie IMANI yangu kwako kwa kipindi hiki ninachopita nisikuache na nisikutende Dhambi
HUDUMA YA MANA IMETUVUSHA WENGI❤
Mungu Asante kwa zawadi hii ya mwalimu, tunajivunia wewe Mungu ktk Yesu ndani ya mwlm Mwakasege Tanzania tukamuone Yesu siku ya mwisho.
Naomba Mungu anisaidie nijue kupambanua roho, na niwe na macho ya rohoni na masikio ya rohoni nayafanye kazi kwa spid isiyo yakawaida amen
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUTUNZA MWALIMU CHRISTOPHER MWAKASEGE 🙏
DAMU YA YESU IKUFUNIKE IKULINDE NA UISHI SANA MTUMISHI
Wewe ni MUNGU uliye mwaminifu siku zote…ASANTE kwa kunipenda,ASANTE kwa hili somo la wakati.Naomba damu yako Yesu ifunike na kuitunza IMANI yangu.
MUNGU akubariki Sana mwlm mwakasege na barikiwa Sana
Umehaidi Bwana uniachi,naomba Mungu nikumbuke kwenye masomo yangu.Nikumbuke Baba semister hii nikumbuke Baba mwaka huu🤲🙏
AMEEEN Atakutendea
Amen
Ee Mungu nifungue fungua uchumi wangu BABA fungua Afya yangu BABA🙏🏻Ee Mungu wangu nitengeneze tena
Amen
@@JudithJackson-iq8pi.😮
😅😮 you use 😅😊😅😅😊😊😅😅😮😢😢 nl mmmnnnn😮😅
Mungu nisaidie imani yangu isitindike
Eee Mungu imarisha imani yangu
Inaomba Imani yangu ilindwe na damu ya yesu nisaiidie ee bwana
MUNGU naomba uendelee kuilinda Imani yangu🙏🏾
Mungu ninaomba niwe kalibu na wewe hiyo ndiyo haja ya moyo wangu ninyanyue pale ninapoanguka katika dhambi 😭😭😭😭😭😭😭 nimekuomba kws muda mrefu sana moyo wangu unaelekea kuchoka nisaidie mungu
Naomba unikumbuke nami Eee Mungu ulie hai🙇
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu Mwl Christopher Mwakasege na Mama Diana Christopher Mwakasege Kwa utumishi uliotukuka.
Eeeer Mungu nisaidie niponyeshe vote vinavyonisumnua kwa Mawazo na kwa kunena Mungu nakuja Mbele zako🙏🙏🙏
Eeeh Mungu wangu umeahidi Bwana hautaniacha mpaka mwisho wa dahali Nina kuja mbele zako Mimi na familia yangu miungu ya mababu zetu tunakataa Kwa mamlaka ya jina la Yesu kristo aliyehai. Achilia uzima, ulinzi wako juu yetu, afya zetu juu Yako shusha roho wako mtakatifu katika Kila hatua ya maisha yetu
Bariki wajane, mayatima, wagonjwa, wasiojiweza, wajawazito wote katika jina la Yesu kristo aliyehai
Mungu azidi kuwa msaada wa Imani yangu niweze kuvuka kwenye maumivu niliyo nayo.
Yesu mwema sana, naomba unisaidie mm na familia yangu
Yesu mkumbuke rafiki yupo hoi kitanda linda imani yake na yangu uponye ktk jina la yesu
Najiungamanisha na ibada hii kwa jina la YESU
Utukufu runakurudishia wewe Mungu wetu ulie hai
EEMUNGU wangu niwezeshe kwa kila jambo hata ninapojikwaa kwa jambo lolote usiniache MUNGU wangu ❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
😢😢😢😢hallelujah 🙌 👏 🙏 hallelujah hallelujah 🙌 🙏 unikumbuke ,wakumbuke rafiki zangu ikumbuke familiar yangu hallelujah 🙌
We Mungu mkuu mwenye Enzi yote hakuna Kama we we, as ante kwa kunipenda, Bwana, asante kwa kulituma neno lako kuniponya. Asante kwa mpakwa mafuta wako Bwana.
Asante mwalim mwakasege munguakupe maisha malfu
Mwenyezi Mungu akutangulie katika kuitenda kazi yake
Mungu Baba wa mbinguni awazidishie Baraka msipungukiwe mahali Sina Cha kusema Mungu wa mbinguni ndo anae jua jinsi Gani mnatubariki. nawasikiliza nikiwa moshi
Amen
Amina Mtumishi wa Mungu
Najiungamanisha na semina hi amina
Hili somo ni langu kabisaaa. Asante Mungu kwa ujumbe huu
E mungu usinipite unaposhuka kuwahudumia hao
Asante Yesu nimeona ukinitendea
Nasikiliza kutokea mjini Mlowo Mbozi Songwe
Mungu anisamehe nilikua nataka kuacha huduma nimechoka maana naona tokea nimeokoka maisha yamekua magumu ndani ya miaka 5 naugua moyo wangu sana Mungu nirehemu
Mungu unipe kujifunza kupitia ibada hii
Naomba Mungu katika Maombi haya yakafungue kila kitu changu kilichofungwa
Asante Mungu kwa kuniwezesha kusikiliza neno hili, Mungu akubariki mtumishi🙏
Mungu mkumbuke mume wangu
Sala yangu kila siku Ni kumwambia Mungu NIONGEZEE Imani majaribu dhiki njaa uchumi usiokua kutokuongezeka vyote ivi visiniondolee Imani yangu kwako🙏🙏🙏
Umehaidi huniachi Mungu wa mbinguni. Mim Sina Mungu mwingine. Linda Imani yangu Baba yangu wa mbinguni
Amina Mungu upo mahali hapa
Asifiwe milele aliyeiweka hii huduma ndani yenu mungu awabariki sana.
Mungu akutunze baba
Ameen
asante Yesu kwa neema
Amen 🙏
Amina
Yesu Naomba Unilindie Imani Yangu kwako 🙏🏻
Naomba Imani yangu ilindwe kwa jina la Yesu!!!!
Ubarikiwe sana baba hongera kwa utumishi mwema.
Usinipite ee Bwana hata katika magumu ninayopitia naamini utanivusha kwa damu ya Yesu Christo 😢
Mungu walinde wzz wang na mtt wangu mlinde mfungue ktk masomo na kumpa afya njema nipe afya njem na mlinde mtumish wa mungu
AMEEEN AMEEEN
Amina Baba
Mimi salome smart mwakisole namshukuru Mungu amesema nami wazi wazi mtumishi, naomba niaombee mtumishi wa Mungu nivuke salama katika kipindi hiki ninachopitia, ❤
Naomba maombi kwa ajili familia yangu bwana yesu kristo atuponye ahsante sana Mungu baba wa mbinguni
Ahsante Bwana Umenigusa mimi moja kwa moja,,Usiniache mpaka mwisho wa Dahali🤲🙇🧎🙌🙌
Barikiwa mtumishi wa Mungu
🙏🙏🙏
Amen Amen
Napenda sana Mungu awape Neema yake.
Am blessed by the worship song, hakika wema nazo fadhili,zitanifuata.
Glory to God
MUNGU akutunze mpaka kusudi lake litimie kupitia maisha yako
🙏🏾🎷🎷🙌🏾
Barikiwa sana baba 🙏🙏
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu Mwl. Mwakasege. Ulindwe Daima 🙏
Mbarikiwe sn, ebu tusikilize.
Asante YESU KRISTO kwajili ya mtumishi WAKO MWAKASEGE
Ameeeeeen
Mungu awatunze mlindwe na damu ya Yesu
Amen. Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako nimesikia nakuelea kosalangu nakiri nilikukana ilinipate Kazi ninachooomba ni rehema zako. Katikati ya kukukana nimekiri kunisamehe anzaa upya namimi. Nimerudi Bb😭😭😭😭
Ameeeen
Samahani sijafanikiwa kupafaham mahali mkutano unapofanyika japo nipo hapa dodoma naomba kujulishwa Tafadhali sana
Panda hiace zinazoenda mipango then waambie wakushushe kituo cha wajenzi ukishuka hapo ulizia huwezi potea ni maeneo ya karibu
Seminar inafanyikia wajenzi,,nyuma ya sheli ya puma
Popote ulipo, waweza kufika ukitaka kufika we uliza wajenzi utaelekezwa
@@ostermwaiponja7983 🙏 Amen
Muda wa kuanza ni saa ngapi pia naomba kujua
Saa tisa alasiri
Mungu uniwezeshe kukuishia wewe!
Kiukweli swala la iman ni zito mnoo
❤
Kama yule kiwete alivyomwona yesu alipika kelele,yesu akamuuliza wataka nikufanyie nini, akasema bwana Sina mtu wa kunitia birikani maji yanapochemka
Ameni
Mungu awatunze ❤
Ndiwela Msanga
Judith Mwijage
Justin mavunde
Jamani 2:15:05 anafanya nini huyu baba?mimi cjaelewa ?nakuomba baba imani yangu uilinde
Anawaelekeza Sauti ya tatu haisikiki vizuri anawaambia kwa ishara waongeze kama sio Muimbaji ni ngumu kuelewa
Ee Mungu nisaidie imani yangu isitindike 🙏
Amen
Amen Amen
Amina
Amen!!!!!
Ee Mungu naomba unisaidie niweze kuwa mtekelezaji wa neno🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Ameeen