ATHARI ANAZOPATA MTOTO ANAPOLELEWA NA MZAZI MMOJA | DEO SUKAMBI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi.
    Unaweza Kusapoti huduma hii
    TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
    Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
    / deosukambi
    / deosukambi
    / deosukambi1
    Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
    www.youtube.co...
    #DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii

Komentáře • 29

  • @user-ww9eu5qs3d
    @user-ww9eu5qs3d Před 6 měsíci +3

    Mtumishi Mungu akubariki,ila pia mimi nasikitika kwa ofisi za umma kuwahamisha watumishi mara kwa mara unakuta baba anazunguka mikoa yote mwisho mama anaamua kubaki sehemu moja na watoto

  • @LaitiHassani
    @LaitiHassani Před 4 měsíci

    Asante sana kwa somo Zurich mchungaji. Mungu akubariki

  • @Adinankarimu
    @Adinankarimu Před 2 měsíci

    Ubalikiwe mtumish me npo kagera ni mama wa mtt mmoja namlea peke yangu baba ake siish nae.

  • @husnamadai7052
    @husnamadai7052 Před 2 dny

    Kuna shemeji yangu anawasemea watt kwa Mama yao kwa kuwa hawamugopi baba yao wanamugopa mama

  • @IngabireAisha3813
    @IngabireAisha3813 Před 9 měsíci +1

    Mimi ntakufatilia hapa hapa mufanikishe sana kwenye safari hio❤❤❤

  • @nadyaabdullah3333
    @nadyaabdullah3333 Před 9 měsíci +1

    Asante sana kwa kuendelea kutupa elimu juu ya malezi

  • @user-ww9eu5qs3d
    @user-ww9eu5qs3d Před 6 měsíci +1

    Mimi naomba ungesema angalau cha kufanya kama mzazi mmoja hayupo,maana hii elimu ni rahisi hapa kuliko kutafuta kitabu ,nimepata elimu ila sijapata how to deal with a problem

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 6 měsíci

      Kitabu cha page 200 siwezi kukifundisha kwenye somo la saa moja..ukitaka maarifa usikwepe suala la kusoma..kama huwezi kusoma ni ngumu sana kuwa huru ndugu yangu

  • @ahmedsaid2223
    @ahmedsaid2223 Před 5 měsíci

    system ya westen na America ni kuharibu jamii ndio single mum wakapewa suport

  • @user-gv7yx8yy2t
    @user-gv7yx8yy2t Před 5 měsíci

    Asante kwa mfundisho mchungaji.

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před 3 měsíci

    duh! Pastor wewe ni noma!

  • @rehemasilasi2985
    @rehemasilasi2985 Před 6 měsíci +1

    Kama baba mwenyewe yupo lakini hana ukarbu na watt zaidi ya salamu2

  • @barakandabunganie6585
    @barakandabunganie6585 Před 9 měsíci +1

    Asante Sanaa kiongozi kwa mafundisho

  • @simbeyesdtv7100
    @simbeyesdtv7100 Před 9 měsíci +1

    Kweli kabisa Pastor

  • @user-ht7if3li8r
    @user-ht7if3li8r Před 9 měsíci +1

    Asante sana,nimefurahi sana

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 Před 9 měsíci +1

    Nimekuelewa doctor

  • @brightyona9815
    @brightyona9815 Před 9 měsíci +1

    pastor ubarikiwe saana leo mimi nimejitambua kwanini niko hivi nmelelewa na mama kwasababu baba alifariki wakati mimi mdogo ila ninayo nafasi ya pili kurekebisha kwa watoto wangu na najitahidi kutumia mbinu na uwelewa ninaozidi kujifunza

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 9 měsíci

      Pole sana..ni vema kuwa unaendelea kujifunza ili uwafae watoto wako wasipate changamoto uliyopata..Mungu akusaidie

  • @sultanaally4397
    @sultanaally4397 Před 9 měsíci +1

    Doctor ,mbona mwanangu hunisikiliza zaidi mm kuliko baba ,can you tell me why?

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 9 měsíci

      Kwenye malezi kuna kitu tunaita role shifting..inatokea baba anafanya role ya mama na mama anafanya role ya baba..hii huwa haina athari kwa mtoto chini ya umri wa miaka 13 ila baada ya hapo inaweza ikaleta shida especially mama anapofanya role ya baba kwa mtoto wa kiume au baba anapofanya role ya mama kwa mtoto wa kike. Sijajua umri na jinsia ya mwanao lakini ni vema uwe makini kidogo na hiyo role shift kadiri mtoto anavyozidi kukua

  • @brightyona9815
    @brightyona9815 Před 9 měsíci +1

    mtumishi unauwezo mkubwa sana wa kupambanua, kufundisha na kueleweka kwa ufasaha asiye kuelewa nihataki ukweli mafundisho yako sio madongo yakumtumia mtu ila anayepona ni anaesikiliza direct napona mimi zaid

    • @DeoSukambi
      @DeoSukambi  Před 9 měsíci

      Asante sana..ndio maana kipindi kinaitwa uponyaji wa familia..hapa tunakusudia kuhakikisha familia zinapona

  • @lilasuliman552
    @lilasuliman552 Před 9 měsíci +1

    Na wale waliolelewa na Babu na bibi