Lazima ni kili kwa moyo mkunjufu Mungu akubaliki pr.Mmbaga kwani haijalishi nilini ulitumiwa na Yesu kutufikishia huu ujumbe kila nikiusikiliza utadhani umehubiliwa leo, nakuombea kwa Mungu akujazie roho mtakatifu maladufu uzifikie roho nyingine kama mimi duniani. ninabalikiwa sana kwa mafundisho yako asante
Asante pastor kwa somo nzuri la kutufahamisha umuhimu/faida ya kuwa chini ya uongozi/neena ya Kristo kwa ajili ya kufanikiwa katika vyote ambavyo tunafanya 🙏
Mchungaji naomba unisaidie kuhusu tohara kwa wanaume au watoto wa kiume kibiblia hili likoje kibiblia tohara ni lazima au sio lazima naomba unipe elimu hii mie naishi Germany Bayern Munich nimepata mjadala mkubwa kuhusu tohara kwa Mwanangu wa Kiume. Email yangu ni Jackneymas@gmail.com +4915211959380
Eti "unakula vitu vya ajabuajabu!" 😀😀😀😀 yaani hiyo kauli nimeambiwa nyumbani mara kibao sana na wadogo zangu. Ni kwa sababu jamii imezoeshwa isivyo sahihi. Kauli nyingine nayopata ni kwamba "lifestyle yako tofauti sana"
Lazima ni kili kwa moyo mkunjufu Mungu akubaliki pr.Mmbaga
kwani haijalishi nilini ulitumiwa na Yesu kutufikishia huu ujumbe kila nikiusikiliza utadhani umehubiliwa leo,
nakuombea kwa Mungu akujazie roho mtakatifu maladufu uzifikie roho nyingine kama mimi duniani.
ninabalikiwa sana kwa mafundisho yako asante
Kwa kweli nimejifunza jambo jipya kabisa katika maisha yangu ya Ukristo. Amina
Asante pastor,nakushukuru nimejuwa sasa zaka na ukarimu
Bwana akubariki zaidi
Asante mtumishi wa Mungu. Ninabarikiwa Sana kwa somo ili takatifu
Asante pastor kwa somo nzuri la kutufahamisha umuhimu/faida ya kuwa chini ya uongozi/neena ya Kristo kwa ajili ya kufanikiwa katika vyote ambavyo tunafanya 🙏
Ubarikiwe PR Mbaga kwa kufundisha somo hili lenye nguvu sana katika maisha yetu.
Am soooo blessed,nimejifunza Mambo mengi every time I watch ur sermon GOD 🙏 bless you in all the ways
Asanti sana mwalim wangu, Mungu akubariki sana pastor, yaani wewe ni mwalim wangu wa roho.
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliye hai.
Very powerful msg nimepokea sehemu yangu more grace Pastor watching you from Kenya
Nashukuru Mungu kwakuwa nimebarikiwa nasema Amina
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Asante sana pastor
Amina 🙏 pasita,,nabarikiwa na mahubiri mazuri
Mchungaji naomba hili somo ulirushe part B yake kesho,,, barikiwa na Mungu akutunze
Amina pastor, barikiwa, nashukuru part B nilikuwepo nimejifunza mapya
Unabariwa na mahubiri pr ubarikwe. By hagai kabogo kutoka mtaa usokami mufindi
Asante kwa somo zuri nasubiria pat 2
Mchungaji ubarikiwe san kwa som nzur ambalo linametuelimish 🙏
Amina pr Mungu atusaidie sana kuelewa
Amen asante nasubiri part B
Amina
Aasante pasta
Amani mchungaji kwa somo hilo,umenifuza hawa marafiki ni sumu mbaya Mungu akubariki kwa ujumbe huo Mungu awe nawe
Amen!
Barikiwa saana pastor
Amiinaaaa
Aminaa
Amen
Barikiwa mtumishi.
Ameeeen
Very nice
Munguatusaidie kukua kiroho amen
Barikiwa Sana Mchungaji, The message is powerful
Amina
Amen God bless you
O
Asante
Amani ya bwana iwe pamoja nanyi ubarikiwe mchungaji
Chapati nyeupe!!
Mchungaji unauhakika walioko hapo wanamjua YESU tuongee kweli kabisa hivi ni kweli kabisa wanampenda yesu?kwanza wanamjua mpaka wampende?
Na iwe hvyo
SIRI KUBWA KUHUSU SHERIA ZA KUFANIKIWA KATIKA MAISHA ( SEH A)
Nahitaji ushuli malumu muchungaji ni nipateje namba
jina la BWANA lipewe sifa
Mchungaji naomba unisaidie kuhusu tohara kwa wanaume au watoto wa kiume kibiblia hili likoje kibiblia tohara ni lazima au sio lazima naomba unipe elimu hii mie naishi Germany Bayern Munich nimepata mjadala mkubwa kuhusu tohara kwa Mwanangu wa Kiume. Email yangu ni Jackneymas@gmail.com +4915211959380
Ubarikiwe Pr. Pitia wimbo mzuriii kwenye h link czcams.com/video/Sdg9ZW1S7Wc/video.html
Je kula nyama inaruhusiwa ........? Kulingana na roho ya unabii......na biblia??
David Ginono Soma Walawi 11:1-23
@@MahubiriPrMmbaga sawa ......lkn bona mungu aliwapiga wale walio taka kula nyama jangwani kama vile ni kosa...?
@Daniel thomas Msigwa ahaa...kumbe hairuhusiwi kwa wakati wetu......basi mbona walawi 11:1-23 nimeambiwa nisome?
Amen
Amina
Eti "unakula vitu vya ajabuajabu!" 😀😀😀😀 yaani hiyo kauli nimeambiwa nyumbani mara kibao sana na wadogo zangu. Ni kwa sababu jamii imezoeshwa isivyo sahihi. Kauli nyingine nayopata ni kwamba "lifestyle yako tofauti sana"
Amina
Amen
Mungu anatupenda amen
Amen
Amen