SIRI KUBWA KUHUSU SHERIA ZA KUFANIKIWA KATIKA MAISHA ( SEH A)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2020

Komentáře • 59

  • @adonismuganyizi226
    @adonismuganyizi226 Před 2 lety

    Lazima ni kili kwa moyo mkunjufu Mungu akubaliki pr.Mmbaga
    kwani haijalishi nilini ulitumiwa na Yesu kutufikishia huu ujumbe kila nikiusikiliza utadhani umehubiliwa leo,
    nakuombea kwa Mungu akujazie roho mtakatifu maladufu uzifikie roho nyingine kama mimi duniani.
    ninabalikiwa sana kwa mafundisho yako asante

  • @jaredmayaka9059
    @jaredmayaka9059 Před 4 lety +1

    Kwa kweli nimejifunza jambo jipya kabisa katika maisha yangu ya Ukristo. Amina

  • @stellamtera7337
    @stellamtera7337 Před 2 lety

    Asante pastor,nakushukuru nimejuwa sasa zaka na ukarimu
    Bwana akubariki zaidi

  • @jeanmandala1905
    @jeanmandala1905 Před 3 lety

    Asante mtumishi wa Mungu. Ninabarikiwa Sana kwa somo ili takatifu

  • @beatricemageka7972
    @beatricemageka7972 Před 4 lety +1

    Asante pastor kwa somo nzuri la kutufahamisha umuhimu/faida ya kuwa chini ya uongozi/neena ya Kristo kwa ajili ya kufanikiwa katika vyote ambavyo tunafanya 🙏

  • @bedamnamalalikonda1124

    Ubarikiwe PR Mbaga kwa kufundisha somo hili lenye nguvu sana katika maisha yetu.

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Před 3 lety

    Am soooo blessed,nimejifunza Mambo mengi every time I watch ur sermon GOD 🙏 bless you in all the ways

  • @naominasimiyu551
    @naominasimiyu551 Před 4 lety

    Asanti sana mwalim wangu, Mungu akubariki sana pastor, yaani wewe ni mwalim wangu wa roho.

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 Před 3 lety

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU aliye hai.

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Před 4 lety

    Very powerful msg nimepokea sehemu yangu more grace Pastor watching you from Kenya

  • @ndayishimiyeriziki8696
    @ndayishimiyeriziki8696 Před 4 lety +1

    Nashukuru Mungu kwakuwa nimebarikiwa nasema Amina

  • @glorymrema8945
    @glorymrema8945 Před 4 lety +1

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @jessikaakinyi8445
    @jessikaakinyi8445 Před 4 lety

    Asante sana pastor

  • @marysteven3543
    @marysteven3543 Před 2 lety

    Amina 🙏 pasita,,nabarikiwa na mahubiri mazuri

  • @romwaldbruno5522
    @romwaldbruno5522 Před 4 lety +1

    Mchungaji naomba hili somo ulirushe part B yake kesho,,, barikiwa na Mungu akutunze

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 Před 4 lety

    Amina pastor, barikiwa, nashukuru part B nilikuwepo nimejifunza mapya

  • @hagaikabogo8895
    @hagaikabogo8895 Před 3 lety

    Unabariwa na mahubiri pr ubarikwe. By hagai kabogo kutoka mtaa usokami mufindi

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 Před 4 lety +1

    Asante kwa somo zuri nasubiria pat 2

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Před 2 lety

    Mchungaji ubarikiwe san kwa som nzur ambalo linametuelimish 🙏

  • @verdianajohn7634
    @verdianajohn7634 Před 4 lety

    Amina pr Mungu atusaidie sana kuelewa

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 Před 4 lety

    Amen asante nasubiri part B

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura Před 10 měsíci

    Amina

  • @saighilunyangusi4986
    @saighilunyangusi4986 Před 4 lety

    Aasante pasta

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 Před 4 lety

    Amani mchungaji kwa somo hilo,umenifuza hawa marafiki ni sumu mbaya Mungu akubariki kwa ujumbe huo Mungu awe nawe

  • @rosemaryotieno3243
    @rosemaryotieno3243 Před 4 lety +1

    Amen!

  • @molaedward9334
    @molaedward9334 Před 4 lety

    Barikiwa saana pastor

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 Před 4 lety

    Amiinaaaa

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Před 4 lety

    Aminaa

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 Před 6 měsíci

    Amen

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 Před 4 lety

    Barikiwa mtumishi.

  • @jessicaabraham4677
    @jessicaabraham4677 Před 4 lety

    Ameeeen

  • @mgangazephania2592
    @mgangazephania2592 Před 4 lety

    Very nice

  • @suleselina9919
    @suleselina9919 Před 4 lety

    Munguatusaidie kukua kiroho amen

  • @joymoraa6701
    @joymoraa6701 Před 4 lety

    Barikiwa Sana Mchungaji, The message is powerful

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 Před 4 lety +1

    Amen God bless you

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 Před rokem

    Asante

  • @eliashosea1811
    @eliashosea1811 Před 3 lety

    Amani ya bwana iwe pamoja nanyi ubarikiwe mchungaji

  • @mn9484
    @mn9484 Před 4 lety

    Chapati nyeupe!!

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 2 lety

    Mchungaji unauhakika walioko hapo wanamjua YESU tuongee kweli kabisa hivi ni kweli kabisa wanampenda yesu?kwanza wanamjua mpaka wampende?

  • @mwasimichael4903
    @mwasimichael4903 Před 4 lety

    Na iwe hvyo

  • @mrtoxicx
    @mrtoxicx Před 4 lety +3

    SIRI KUBWA KUHUSU SHERIA ZA KUFANIKIWA KATIKA MAISHA ( SEH A)

  • @bobog9732
    @bobog9732 Před 4 lety

    jina la BWANA lipewe sifa

  • @jackneymasamson8335
    @jackneymasamson8335 Před 4 lety

    Mchungaji naomba unisaidie kuhusu tohara kwa wanaume au watoto wa kiume kibiblia hili likoje kibiblia tohara ni lazima au sio lazima naomba unipe elimu hii mie naishi Germany Bayern Munich nimepata mjadala mkubwa kuhusu tohara kwa Mwanangu wa Kiume. Email yangu ni Jackneymas@gmail.com +4915211959380

  • @samngax_123
    @samngax_123 Před 4 lety

    Ubarikiwe Pr. Pitia wimbo mzuriii kwenye h link czcams.com/video/Sdg9ZW1S7Wc/video.html

  • @davidginono625
    @davidginono625 Před 4 lety

    Je kula nyama inaruhusiwa ........? Kulingana na roho ya unabii......na biblia??

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Před 4 lety

      David Ginono Soma Walawi 11:1-23

    • @davidginono625
      @davidginono625 Před 4 lety

      @@MahubiriPrMmbaga sawa ......lkn bona mungu aliwapiga wale walio taka kula nyama jangwani kama vile ni kosa...?

    • @davidginono625
      @davidginono625 Před 4 lety

      @Daniel thomas Msigwa ahaa...kumbe hairuhusiwi kwa wakati wetu......basi mbona walawi 11:1-23 nimeambiwa nisome?

  • @Calton898
    @Calton898 Před rokem

    Amen

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 4 lety

    Amina

  • @zachariahonga
    @zachariahonga Před 4 lety +2

    Eti "unakula vitu vya ajabuajabu!" 😀😀😀😀 yaani hiyo kauli nimeambiwa nyumbani mara kibao sana na wadogo zangu. Ni kwa sababu jamii imezoeshwa isivyo sahihi. Kauli nyingine nayopata ni kwamba "lifestyle yako tofauti sana"

  • @respiskasomo7859
    @respiskasomo7859 Před 4 lety

    Amina

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 Před 4 lety +1

    Amen

  • @puritychogoro
    @puritychogoro Před 4 lety

    Amen

  • @elizabethmabula101
    @elizabethmabula101 Před 4 lety

    Amen