yaani mchungaji kama umeniona vile yaliyonikuta makubwa maono yameharibiwa kabisa mpaka najiuliza why me? lkn Mungu ni mwaminifu nimejifunza kitu,barikiwa sana
Baba ninanufaikaga sana na masomo haya.ubarikiwe sana Pastor David.nimejifunza kua mkimya wa maono yangu.nitafunga mdomo wangu sawa na hilo neno ulilosema la matay.9:30.Haleluya.
Asante pastor kwa somo nzuri,nimejifunza kunyamazia jonzi na Mungu anisaidie kwa kufunga mdomo wangu ifikapo kwa ndoto ya mipango yake kwa maisha yangu,Amina
Pastor namshukuru Mungu has uwepo wako ,somo hili limenigusa nimekuwa nikiweka mambo yangu wazi nimekuwa nikikutana na matatizo ila kupitia somo hili nimejifunza
Ulinigusa na umenigusa tena,hili somo lina ujumbe muhimu SANA ktk maisha yetu sote hasa Mimi,lirudie mara nyingi kwa kadri uwezavyo mchungaji wangu (thanks much).
Pastor ni km umeniona Mimi kabisa unakuta mtu ananichukia bila sababu ila nikicgunguza sana ngundua kuna vingi hatuendani Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia utufungue zaidi
Jambo mchungaji, kwa kweli mafundisho yako yanazidi kunijenga kabisa katika Imani.mimi ni msabado niko DRC lakini napenda unisaidie katika Jambo fulani kwani lina nisumbua sana. Kwa hali alisi ambayo inchi yangu iko na pitiya katika kipindi iki inanifanya mimi kutaka kutimiza malengo yangu, mimi nakuaka na ndoto yakutaka niwe mfanya siasa lakini sasa mambo ambayo niko naota inatafautiana na malengo yangu.mara ya 1: nilipata ndoto mimi ninaenda kuomba msaada wa pesa kwenye mtu mkubwa katika serekali ili nikajenge kanisa, baadae nikaona nimesimamia ujenzi wa kanisa kubwa mpaka ujenzi ulivyo kamilika kisha nikaona naanza kupima vyombo ndani ya kanisa iyo ( vipaza sauti pamoja na vyombo vya muziki ). 2: siku nyingine nikaona niko katika mkutano mkubwa niko na towa neno la Mungu. Mpaka sasa pasta niko najiuliza maana ya ndoto izo na siyapata jibu hata kidogo. Niko nakuomba mchungaji unieleweshe kwa undani zaidi kuusu ndoto izo.lakini ndoto zipo nyingi ambazo zinatofautiana lakini nikichunguza vizuri zina malengo tu moja.ninapenda nifaamu Mungu anamalengo gani na mimi ?, Asante kwa usikilivu mwema.
Ndugu yangu msafiri mpaka hapo nimehamua kukuachia hiyo namba kwa sababu umeheleweshwa vizuri sana katika somo kama unaneno hadi hapo tafuta hiyo namba ili kufikisha ujumbe kama huo ulioandika na mengine ulionayo Mungu akubariki
I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen Hallelujah Glory be to God
inanishangaza sana lulu kama hizi watu wanazipita kama vile hawaoni lakini mambo mengine wanaya like.dah! Mungu atusaidie.
Amina
Ni zaid ya lulu
yaani mchungaji kama umeniona vile yaliyonikuta makubwa maono yameharibiwa kabisa mpaka najiuliza why me? lkn Mungu ni mwaminifu nimejifunza kitu,barikiwa sana
Huyu mchungaji ni blessing sana hebu Mungu aendelee kumtumia he is a gold bwana asifiwe juu yake
Baba ninanufaikaga sana na masomo haya.ubarikiwe sana Pastor David.nimejifunza kua mkimya wa maono yangu.nitafunga mdomo wangu sawa na hilo neno ulilosema la matay.9:30.Haleluya.
Hakika Mungu yupo ndani yako Pr Mbaga nakupenda sana Mungu azidi kukubariki uendelee kutulisha chakula cha kiroho
Asante pastor, nazidi kujifunza sana kutokana na mafundisho yako. Yamenijenga imani sana.
Yaan mtumishi unayoyasema ni amin na kweli
Baba wa mbinguni azidi kukutumia, pastor
Nabarikiwa sans
Nabarikiwa sana mahubiri yako pr. Umenifundisha kunyamaza
It's true pastor, God bless your life.
Nimekuwa mtu wa ku feli kwa kila jambo kwasababu ya domo langu Mungu nisaidie kufunga hili domo langu
Asante pastor kwa somo nzuri,nimejifunza kunyamazia jonzi na Mungu anisaidie kwa kufunga mdomo wangu ifikapo kwa ndoto ya mipango yake kwa maisha yangu,Amina
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Bwana wa Majeshi
Asante kwa Sehemu ya pili.
UBARIKIWE
AMEEN Mtumishi wa Mungu hapo kweli nimeona hayo Barikiwa sana
Pastor namshukuru Mungu has uwepo wako ,somo hili limenigusa nimekuwa nikiweka mambo yangu wazi nimekuwa nikikutana na matatizo ila kupitia somo hili nimejifunza
Ulinigusa na umenigusa tena,hili somo lina ujumbe muhimu SANA ktk maisha yetu sote hasa Mimi,lirudie mara nyingi kwa kadri uwezavyo mchungaji wangu (thanks much).
Litukuzwe jina la Mungu aliye ndani yako.
Pastor ni km umeniona Mimi kabisa unakuta mtu ananichukia bila sababu ila nikicgunguza sana ngundua kuna vingi hatuendani Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia utufungue zaidi
Ahsante Mungu kwa zawadi hii! Hakika natamani ningeyasikia haya miaka mingi iliyopita.Hata hivyo nakushukuru kuliko nisingesikia kabisa.
Haya mchungaj natamani kuelew sana somo hili
Amen
Mtumishi Mungu akupe maisha marefu
Jambo mchungaji, kwa kweli mafundisho yako yanazidi kunijenga kabisa katika Imani.mimi ni msabado niko DRC lakini napenda unisaidie katika Jambo fulani kwani lina nisumbua sana. Kwa hali alisi ambayo inchi yangu iko na pitiya katika kipindi iki inanifanya mimi kutaka kutimiza malengo yangu, mimi nakuaka na ndoto yakutaka niwe mfanya siasa lakini sasa mambo ambayo niko naota inatafautiana na malengo yangu.mara ya
1: nilipata ndoto mimi ninaenda kuomba msaada wa pesa kwenye mtu mkubwa katika serekali ili nikajenge kanisa, baadae nikaona nimesimamia ujenzi wa kanisa kubwa mpaka ujenzi ulivyo kamilika kisha nikaona naanza kupima vyombo ndani ya kanisa iyo ( vipaza sauti pamoja na vyombo vya muziki ).
2: siku nyingine nikaona niko katika mkutano mkubwa niko na towa neno la Mungu.
Mpaka sasa pasta niko najiuliza maana ya ndoto izo na siyapata jibu hata kidogo. Niko nakuomba mchungaji unieleweshe kwa undani zaidi kuusu ndoto izo.lakini ndoto zipo nyingi ambazo zinatofautiana lakini nikichunguza vizuri zina malengo tu moja.ninapenda nifaamu Mungu anamalengo gani na mimi ?, Asante kwa usikilivu mwema.
+255755932283
Ndugu yangu msafiri mpaka hapo nimehamua kukuachia hiyo namba kwa sababu umeheleweshwa vizuri sana katika somo kama unaneno hadi hapo tafuta hiyo namba ili kufikisha ujumbe kama huo ulioandika na mengine ulionayo Mungu akubariki
Amen pastor
Hallelujah, Glory be to God.
Amen God bless you.
Mungu akubaliki sana
Blessing my life.mungu in fundishe kunyamaza
Nataman nijue kusikiliza sauti ya Mungu,sijui bado,masomo haya yanachoma sana maana kila kitu kilichoongea kina ukwel
UBARIKIWE KWA SOMO ZURI SANA PR.
Amina Asante pastor kwa Mashauri
Amen🙏🙏🙏
Mungu akuzindishiye mafuta mutumishiwa Mugu
Ubarikiwe sana
Ameeeeen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖💓😍🥰
Amina sana
Good
Mimi nimemwambia MKE wangu pastor nikifikiri ni mtu sahihi nafanyaje mchungaji nisaidie 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.
Amina
Amen
I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen Hallelujah Glory be to God
Mmm jamani jamani nimejifunza kitu
Nimejifunza kitu mchungaji
Ahsante mtumishi kwa mafundisho yako
asante sana baba
SAWA mchungaji wangu Sasa tunafanyaje?p0.piqsels.com/preview/33/215/657/pastor-preaching-bible.jpg
Kama unamuelew muchugaji goga like
Amen