MADHARA YA KUFUNUA NDOTO AU MIPANGO YAKO KABLA YA WAKATI SEH.(B)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 07. 2020
  • IKIWA HUJA ANGALIA SEH YA KWANZA BONYEZA HAPA
    • MADHARA YA KUFUNUA NDO...

Komentáře • 54

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 4 lety +12

    inanishangaza sana lulu kama hizi watu wanazipita kama vile hawaoni lakini mambo mengine wanaya like.dah! Mungu atusaidie.

  • @bethpowl2444
    @bethpowl2444 Před 4 lety +3

    yaani mchungaji kama umeniona vile yaliyonikuta makubwa maono yameharibiwa kabisa mpaka najiuliza why me? lkn Mungu ni mwaminifu nimejifunza kitu,barikiwa sana

  • @angelicagulake3361
    @angelicagulake3361 Před 4 lety +3

    Huyu mchungaji ni blessing sana hebu Mungu aendelee kumtumia he is a gold bwana asifiwe juu yake

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 4 lety +3

    Baba ninanufaikaga sana na masomo haya.ubarikiwe sana Pastor David.nimejifunza kua mkimya wa maono yangu.nitafunga mdomo wangu sawa na hilo neno ulilosema la matay.9:30.Haleluya.

  • @pauljohn5367
    @pauljohn5367 Před 3 lety +1

    Hakika Mungu yupo ndani yako Pr Mbaga nakupenda sana Mungu azidi kukubariki uendelee kutulisha chakula cha kiroho

  • @richardnyakundi5895
    @richardnyakundi5895 Před 4 lety +1

    Asante pastor, nazidi kujifunza sana kutokana na mafundisho yako. Yamenijenga imani sana.

  • @zubaidavicent1551
    @zubaidavicent1551 Před 4 lety +2

    Yaan mtumishi unayoyasema ni amin na kweli

  • @joemax77
    @joemax77 Před 4 lety +3

    Baba wa mbinguni azidi kukutumia, pastor

  • @samwelmsafiri8962
    @samwelmsafiri8962 Před 4 lety +2

    Nabarikiwa sans

  • @elizabethsamwel5924
    @elizabethsamwel5924 Před 4 lety +1

    Nabarikiwa sana mahubiri yako pr. Umenifundisha kunyamaza

  • @naominasimiyu551
    @naominasimiyu551 Před 4 lety +5

    It's true pastor, God bless your life.

  • @pauljohn5367
    @pauljohn5367 Před 3 lety +2

    Nimekuwa mtu wa ku feli kwa kila jambo kwasababu ya domo langu Mungu nisaidie kufunga hili domo langu

  • @beatricemageka7972
    @beatricemageka7972 Před 4 lety +1

    Asante pastor kwa somo nzuri,nimejifunza kunyamazia jonzi na Mungu anisaidie kwa kufunga mdomo wangu ifikapo kwa ndoto ya mipango yake kwa maisha yangu,Amina

  • @patriciasanga9848
    @patriciasanga9848 Před 4 lety +1

    Mungu akubariki Sana mtumishi wa Bwana wa Majeshi

  • @gideonmajura2013
    @gideonmajura2013 Před 4 lety +3

    Asante kwa Sehemu ya pili.
    UBARIKIWE

  • @bernardomondi2632
    @bernardomondi2632 Před 2 lety

    AMEEN Mtumishi wa Mungu hapo kweli nimeona hayo Barikiwa sana

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 Před 3 lety +1

    Pastor namshukuru Mungu has uwepo wako ,somo hili limenigusa nimekuwa nikiweka mambo yangu wazi nimekuwa nikikutana na matatizo ila kupitia somo hili nimejifunza

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 Před 3 lety

    Ulinigusa na umenigusa tena,hili somo lina ujumbe muhimu SANA ktk maisha yetu sote hasa Mimi,lirudie mara nyingi kwa kadri uwezavyo mchungaji wangu (thanks much).

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 Před 2 lety

    Litukuzwe jina la Mungu aliye ndani yako.

  • @rachelmanema9044
    @rachelmanema9044 Před 4 lety +1

    Pastor ni km umeniona Mimi kabisa unakuta mtu ananichukia bila sababu ila nikicgunguza sana ngundua kuna vingi hatuendani Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia utufungue zaidi

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 Před 2 lety

    Ahsante Mungu kwa zawadi hii! Hakika natamani ningeyasikia haya miaka mingi iliyopita.Hata hivyo nakushukuru kuliko nisingesikia kabisa.

  • @esternaftari4553
    @esternaftari4553 Před 4 lety +1

    Haya mchungaj natamani kuelew sana somo hili

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 Před 3 lety +1

    Amen

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Před rokem

    Mtumishi Mungu akupe maisha marefu

  • @msafiribenjamin104
    @msafiribenjamin104 Před 4 lety +8

    Jambo mchungaji, kwa kweli mafundisho yako yanazidi kunijenga kabisa katika Imani.mimi ni msabado niko DRC lakini napenda unisaidie katika Jambo fulani kwani lina nisumbua sana. Kwa hali alisi ambayo inchi yangu iko na pitiya katika kipindi iki inanifanya mimi kutaka kutimiza malengo yangu, mimi nakuaka na ndoto yakutaka niwe mfanya siasa lakini sasa mambo ambayo niko naota inatafautiana na malengo yangu.mara ya
    1: nilipata ndoto mimi ninaenda kuomba msaada wa pesa kwenye mtu mkubwa katika serekali ili nikajenge kanisa, baadae nikaona nimesimamia ujenzi wa kanisa kubwa mpaka ujenzi ulivyo kamilika kisha nikaona naanza kupima vyombo ndani ya kanisa iyo ( vipaza sauti pamoja na vyombo vya muziki ).
    2: siku nyingine nikaona niko katika mkutano mkubwa niko na towa neno la Mungu.
    Mpaka sasa pasta niko najiuliza maana ya ndoto izo na siyapata jibu hata kidogo. Niko nakuomba mchungaji unieleweshe kwa undani zaidi kuusu ndoto izo.lakini ndoto zipo nyingi ambazo zinatofautiana lakini nikichunguza vizuri zina malengo tu moja.ninapenda nifaamu Mungu anamalengo gani na mimi ?, Asante kwa usikilivu mwema.

    • @albertinemacimu1247
      @albertinemacimu1247 Před 4 lety

      +255755932283

    • @albertinemacimu1247
      @albertinemacimu1247 Před 4 lety

      Ndugu yangu msafiri mpaka hapo nimehamua kukuachia hiyo namba kwa sababu umeheleweshwa vizuri sana katika somo kama unaneno hadi hapo tafuta hiyo namba ili kufikisha ujumbe kama huo ulioandika na mengine ulionayo Mungu akubariki

  • @nippermshana9260
    @nippermshana9260 Před 4 lety +1

    Amen pastor

  • @pauloropian8116
    @pauloropian8116 Před 4 lety +2

    Hallelujah, Glory be to God.

  • @pauloropian8116
    @pauloropian8116 Před 4 lety +2

    Amen God bless you.

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 Před 4 lety +1

    Mungu akubaliki sana

  • @esthermatheka97
    @esthermatheka97 Před 4 lety +1

    Blessing my life.mungu in fundishe kunyamaza

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 Před 4 lety +1

    Nataman nijue kusikiliza sauti ya Mungu,sijui bado,masomo haya yanachoma sana maana kila kitu kilichoongea kina ukwel

  • @aliladavid9766
    @aliladavid9766 Před 4 lety +1

    UBARIKIWE KWA SOMO ZURI SANA PR.

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Před 3 lety

    Amina Asante pastor kwa Mashauri

  • @zadockmedia2793
    @zadockmedia2793 Před 3 lety +1

    Amen🙏🙏🙏

  • @aimeirankunda2338
    @aimeirankunda2338 Před 3 lety

    Mungu akuzindishiye mafuta mutumishiwa Mugu

  • @halimasaidi4054
    @halimasaidi4054 Před 3 lety

    Ubarikiwe sana

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 Před 4 lety +1

    Ameeeeen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖💓😍🥰

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 Před 4 lety +1

    Amina sana

  • @justinemajula1882
    @justinemajula1882 Před 4 lety +1

    Good

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 Před 3 lety

    Mimi nimemwambia MKE wangu pastor nikifikiri ni mtu sahihi nafanyaje mchungaji nisaidie 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭.

  • @albertinemacimu1247
    @albertinemacimu1247 Před 4 lety +1

    Amina

  • @jackneymasamson8335
    @jackneymasamson8335 Před 4 lety +1

    I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen Hallelujah Glory be to God

  • @halimasaidi4054
    @halimasaidi4054 Před 3 lety

    Nimejifunza kitu mchungaji

  • @goryowaibe3149
    @goryowaibe3149 Před 4 lety

    Ahsante mtumishi kwa mafundisho yako

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 Před 3 lety

    SAWA mchungaji wangu Sasa tunafanyaje?p0.piqsels.com/preview/33/215/657/pastor-preaching-bible.jpg

  • @mussamagali9353
    @mussamagali9353 Před 3 lety +1

    Kama unamuelew muchugaji goga like

  • @ruthaminga7160
    @ruthaminga7160 Před 3 lety

    Amen