Amen mtumishi wa Mungu. Kwa kweli hofu na oga imetufanya kurudi sana katika kazi ya Mungu. Ila kupitiya iyi mahubiri. Nimejisikiya nguvu nyingi sana tena ndani yangu. Mungu akuzidishiye nguvu.
Nimeshukuru Mungu sana kwa kunielekeza kwa mahubiri hii. Inanilenga maisha kabisa sababu nimepambana ba woga ba wasi wasi kwa maisha yangu. Naamini Mungu ataniongoa ba hio roho katika jina la Yesu Kristo.
Ubarikiwe sana mtumishi Yani nmekuwa jasiri mpk najicheka mwenyewe kumbe hofu ilikuwa imenitawala ila saivi kupitia maneno Yako kutoka Kwa MUNGU nmekuwa jasiri
Asante sana mchungaji kwa mafundisho yako ila leo nina swali... Kuna vile sijajielewa maana uoga unaponingia mimi ina maana kuna jambo fulani lenye hautaenda sawa yaani halitaendana na mazingira mfano: lkawa nimeamka kuchelewa automatically nitachelewa kazini na kwa hilo uoga unajua tumboni kuwa nitafokewa lakini nilitoka napata hali ni safi na kipindi kingine nikachelewa na kuchukulia kawaida tu hapo ndio nilijua jiji. Nashindwa kutambua hili
Amen am so blessed nice courageous ND powerful message I ave learn a lot from this sermon praying believing ND trusting God is the key God bless you pastor
Asanteh sana Ubarikiwe MTUMISHI wa MUNGU Kwa neno lenge NGUVU na lililokuja Kwa wakati sahihi kabisa.......lenye uponyaji. WOGA ~ni roho ya shetani ~ IMANI ~ni roho ya MUNGU~ AMEN 🙏🙏🙏
Amen mtumishi wa Mungu. Kwa kweli hofu na oga imetufanya kurudi sana katika kazi ya Mungu. Ila kupitiya iyi mahubiri. Nimejisikiya nguvu nyingi sana tena ndani yangu. Mungu akuzidishiye nguvu.
Amen Pastor. Nabarikiwa sana na mahubiri yako. Shetani alitaka kujitukuza katika hilo na hakika ameshindwa katika jina la Yesu Kristo 🙏
Amen
Nimeshukuru Mungu sana kwa kunielekeza kwa mahubiri hii. Inanilenga maisha kabisa sababu nimepambana ba woga ba wasi wasi kwa maisha yangu. Naamini Mungu ataniongoa ba hio roho katika jina la Yesu Kristo.
Asante mwalimu kwa somo zuri. Bwana akubariki!
Ubarikiwe sana mtumishi Yani nmekuwa jasiri mpk najicheka mwenyewe kumbe hofu ilikuwa imenitawala ila saivi kupitia maneno Yako kutoka Kwa MUNGU nmekuwa jasiri
Asante sana mchungaji kwa mafundisho yako ila leo nina swali... Kuna vile sijajielewa maana uoga unaponingia mimi ina maana kuna jambo fulani lenye hautaenda sawa yaani halitaendana na mazingira mfano: lkawa nimeamka kuchelewa automatically nitachelewa kazini na kwa hilo uoga unajua tumboni kuwa nitafokewa lakini nilitoka napata hali ni safi na kipindi kingine nikachelewa na kuchukulia kawaida tu hapo ndio nilijua jiji. Nashindwa kutambua hili
Amen am so blessed nice
courageous ND powerful message I ave learn a lot from this sermon praying believing ND trusting God is the key God bless you pastor
Amen
Amina
Ameeen
Asante Mchungaji hili somo ni langu🙏🙏
Nabarikiwa sana na hili somo limenigusa barikiwa pastor
Hofu imekua ikinisumbua sana, lkn kwa sababu ya mahubiri haya imeshindua kwamgu ktk jina la yesu, barikiwa pastor wangu
Sauti haipo mtumishi rudia cjasikia
I keep on laughing with your stories..Amen! the message is so touching and powerful..mungu aendelee kukubariki mchungaji
God bless you Pastor
Amen
God bless you pastor
Zamani kila sehem ukienda mizabibu ilijaa hadi porini sikuizi imejaa miba tu mungu turehem
Amen Amen mtumishi barikiwa
Amina Mungu atukuzwe
Bona hatusikii
Amina saan mchungaji
Asante mungu kwa kusema na mm
Amina.
Ubarikiwe
Ubarikiwe mtumishi mahubiri yako yananibariki
Ameeeeeeeen
Mic imefanya je Ndugu
Naona hatusikii
Ni woga tu hofu
Asanteh sana Ubarikiwe MTUMISHI wa MUNGU Kwa neno lenge NGUVU na lililokuja Kwa wakati sahihi kabisa.......lenye uponyaji.
WOGA ~ni roho ya shetani ~
IMANI ~ni roho ya MUNGU~
AMEN 🙏🙏🙏
Hakika kwa Mungu yote yanawezekana kwa Imani.
Amina
Amen
Amen
Amen
Amina
Amina
Amen Amen Amen
Amina
Amen