NJIA 4 ZA KUKABILI HALI YA WASIWASI-ANXIETY - DANIEL RUHURO
Vložit
- čas přidán 11. 03. 2022
- "NJIA 4 ZA KUKABILI HALI YA WASIWASI-ANXIETY"
"You can not control your future but you can plan your future"
Unawezaje kukabiliana na hali ya msongo wa mawazo/wasiwasi/unamsaidiaje mtu anayeathiriwa na wasiwasi/anxiety? tazama video/link hii • NJIA 4 ZA KUKABILI HAL... itakusaidia kukabiliana na hali ya kutokujiamini,hofu na mashaka.
Nitafurahi kuona comment yako,like and share video hii kwa wengine tujifunze pamoja.
Kadhalika bonyeza kitufe cha "SUBSCRIBE" CZcams ili kuperuzi video nyingi zitakazosaidia kukujenga katika maeneo tofauti ya maisha na kukufanya bora zaidi.
"Usipopanga Maisha Yako,Maisha Yatakupanga"!
Nifuatilie kupitia:
Facebook - Daniel Ruhuro
CZcams- Daniel Ruhuro
Instagram: danie_lruhuro
#Anxiety#LifeStress#Confidence#Uongozi#Msongo#Wasiwasi#Hofu
#TheWorldIsOpenLookClosely #danielruhuro
@Daniel Ruhuro 2022.
Huu mwaka wa Tano nimekonda sana Naomba msaada
Nmm hvhv
Pole nenda hospitali iliyokarib
u nawe kwa msaada wa karibu
Asante Sana kiukweli uwa tunaishi bila moangilio na atuwezi kusema ukweli
Kadri tunavyojifunza tutakuwa bora zaidi
Dokta nahitaji msaada wako wasi wasi unanitesa jaman
Dr naomba msaada me huu mwaka wa Tano tangu nimeanza kuwa na hofu me masaa 24 ninanawa mtu akinisalimia nikirudisha chenji Kweny gari lazima ninawe hata kalamu yangu nikiwa darasani sihitaji mtu aiguse ni wasiwasi MDA wote
Msaada tafadhal hofu na wasi wasi na vile navoogopa ndvo kifua kinazid kubana
Mi san
Mimi docta nasumbuliwa sana toka nilipoumwa sana
Pole, na zingatia ushauri
Dada hata mm ndo napitia hii hali nambie umeweza kuepikana nao
Dr.please help me nipo kwenye matibabu ila bado nateseka japo sio kama awali hofu na wasiwasi imenitawala muda wote naogopa kufa 😢
Mtegemee sana Mwenyezimungu hakika yeye akisema kua lina kua jitahid kufanya ibada mfano swali kwa wakati pamoja na adhkar na kutuo swadaka kwa namna ya uwezo wako
Lkn kumbuka kitu kimoja kuumwa ķwako kwa mda mrefu hhaimanishi ndo utakufa kuna watu wanakufa na hawajaumwa hata cku moja chakuzingatia mtegemee sana mwenyezimungu
@@shazilali945 mungu namtegemea ila bado naumwa nahitajika matibabu nipo na doze ya miaka miwili ila mpaka sasa sipati afueni nateseka huu ugonjwa sio wa kusimulia huwezi nielewa kama hujawahi pitia
Toka nime jifunguwa nimiez 9 sasa nilipata mshituko nateseka wasiwasi masaa yote. Yani nateseka mno doctor nimepitia mengi nimeumwa mawazo nimengi plesha inapanda kwa wasiwasi naogopa tena ikipanda ndonaogopa kabisaa kuna kipindi nilijipa imani nikasema ok hata kama nitakuwa na plesha dawa zipo nitatumia nikawa sawa wasiwasi ukaondoka nikawa tuu naumwa kidogo nikajikubali wasiwasi ukapotea kuna siku moja mamaangu mdogo alipigiwa cm kuwa jilan yake kafa kwa plesha basii ikawa siku 3 mfululizo analalamika nikajikuta naanza kupata hofu basi wasiwasi ukalud malakumi yake silali sili nimekonda naogopa hata kwenda balabalan naogopa kwenda hospital kupima naogopa mpk kile kipimo plesha itapanda naogopa hata kusimama kiukwel nateseka nishasali sala zote nimekuwa kama nimechanganyikiwa wasiwasi mbaya jaman uwii naona nitakufa nimuache mwanangu mungu nisaidie mm
Pole sana,Ishinde HOFU yako kwa kuzingatia yale niliyoeleza katika video ama pata msaada kwa mtaalam wa tiba ya akili aliye karibu yako....Endelea kufuatilia video zingine
Labda nipate msaada nahisi ninatatizo la akili sio bule doctor nateseka nikiskiliza hofu unaondoka nakaa nafanya mambo yangu gafla inanijia fikra ya wasiwasi Yani nikiuiumbuka doctor unakuja naweza kaaa Nina fulaha zangu najiona nimepona ila inaweza tokea hata siku 3 ikanijia hali ya hofu naitowa haitoki mpaka inikoseshe Raha ndo inatoka nateseka mno Kuna muda hofu ikija natamani hata niende mbali nateseka hofu inanitesa naumwa wasiwasi naogopa Kila kitu mimi
Nmm ndohvhv
Naomb nmbyk
Btmi
Kumbe ukituma namba haiwezi kuonekana sasa natuma kwa maneno sifuli sita mbili tisa saba nane saba siti sita mbili 😂
Mimi mtoto alikufa tumboni nikapewa dawa nikajifungua ila siku ya2 tu nikaanza siwezi kulala siwezi kula naogopa sana zaidi usiku naogopa nitakufa kaburini itakuwaje na mawazo hayatoki hata dakika nimepungua kwa hayo uliosema ila bado na sasa nimiezi 6 tena nifanyeje
Pole kwa kumpoteza mtoto....Jaribu kufuata niliyoshauri na ujipe subira naamini hiyo hali haitadumu...Iongoze akili yako kukubali ukweli kwamba mtoto hayupo tena na Iongoze kuishi kwa uhalisia wa sasa.
Mimi Nina miezi 9 Sasa napitia hali kama yako
Nmm miez tsa
Mimi nnawasiwasi hadiusiku silali na sababu nimefiwa na mama ndio kitu chanitesa
Pole sana kwa kumpoteza mama...zingatia nilichozungumza katika video hiyo na endelea kufuatilia video zingine ili kukuimarisha zaidi
Pole sana hiyo hali naijua utakaa sawa
No yako nitaipataje
Karibu tuendelee kujifunza,utaipata
Doctor no yako tunaipataje
Nn
@@haythamabdallah158 kwani wewe huna Instagram mbona nikikutumia sms unitajie jina Instagram hunijibu na nime kutumia jina ninalo tumia Mimi huja nifollow afu humu mbona Kuna sms hazionekan najiuliza maswal kwann
@@haythamabdallah158ingia wasafi masham Shamu yaleo
Hy
@@haythamabdallah158 angalia kwenye comment zangu hapo nimekutumia namba Kwa maneno kama unaweza chukuwa ukifunguwa TU hii post unakutana nayo hiyo msg
Kiukweli napata wasiwasi mpaka siwez kwenda popote nateseka mno mnooo😭😭😭😭😭
Jaman pole tupo wengi jaman
Nateseka sana moyo unaenda mbio Kila wakat naogopa kupata matatizo Nina mtt mdogo
@@halimaabdallah8775 mm ndo www
@@FatmaRashid-bq6yx nmm
@@FatmaRashid-bq6yx afya yaakil
JAMANI NAPUMZIKA SIKU 2 WASIWASI UNALUD NOFANYE NINI MIMI NAOMBENI MSAADA WENZANGU KAMA MMEFANIKIWA PLEASE MNIOMBER KWAMUNGU PIA NINAMTOTO MDOGO NAKAA SIKU 2 WASIWASI UNALUD SINA AMAN DAH NIMEKUWA MGONJWA 😭😭😭😭😭😭
Pole sana, Wasiwasi ni sehemu ya maisha ya kila binadamu lakini usiruhusu ikatawale maisha yako!