3 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 3 || Tarehe 05 JULAI 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Komentáře • 39

  • @zawadipaul304
    @zawadipaul304 Před 2 dny +11

    Please make this go viral, we need more people to watch and learn this profound message.
    Please like, subscribe and share.
    Copy this link and send it to groups and individuals. Its a timely message for God’s people🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @LiberathaMwashiuya
    @LiberathaMwashiuya Před 2 dny +13

    Tanzania hakuna mwalimu wa Neno la Mungu kwa viwango vya juu kama Mwakasege Kwel Mungu ana vyombo

  • @christarbarakajfdgorr138

    MUNGU azidi kukuwekea wakfu mwalimu na timu yako ya huduma ya mana mbarikiwe sana

  • @WinfredJulius-r2z
    @WinfredJulius-r2z Před 2 dny +3

    Mungu akubariki na kukupa miaka mingi hapa duniani

  • @mkamimachage
    @mkamimachage Před dnem +1

    Ubarikiwe Sana mwalimu Mwakasege, Mungu akutunze wewe na Timu nzima ya huduma ya mana, mzidi kutuhudumia ili tuyaishi mapenzi ya Mungu hapa Duniani, tupate Baraka na mwisho tuurithi uzima wa milele. Amina.

  • @JaneNaibala
    @JaneNaibala Před 2 dny +3

    Mungu mbariki mtumishi wako na huduma mzima ya mana

  • @annatoliraphael1686
    @annatoliraphael1686 Před 2 dny +3

    Amen ubalikiwe Mwl Mungu akutumze.

  • @teddymhenga3006
    @teddymhenga3006 Před 2 dny +2

    Mungu akubariki sana Kwa mafundisho haya mazuri yaliyojaa uweza wa Mungu.

  • @JanethMhina-ro1kf
    @JanethMhina-ro1kf Před 2 dny +2

    Roho mtakatifu badilisha mfumo katika maisha yangu

  • @mselledamas9078
    @mselledamas9078 Před 2 dny +2

    Ameen damu ya YESU ikasimame kwenye udhamini wa maisha yangu mifumo ikabdadilishwe

  • @prisilaikumbio5342
    @prisilaikumbio5342 Před 2 dny +1

    Hili ndilo Neno la ukweli, kuchagua kusuka au kunyoa,ufalme wa mungu utatekwa na wenye nguvu

  • @anthonygondwe1608
    @anthonygondwe1608 Před 2 dny

    Mtumishi Mungu anakutumia vema, tunapata shauku ya kumjua BWANA kwa urefu upana kimo na kina, inuliwa juu zaidi baba

  • @lucymwinuka3541
    @lucymwinuka3541 Před 2 dny +5

    Ameen

  • @ruthgreen3274
    @ruthgreen3274 Před 2 dny +1

    Mungu akubariki Mwl, SoMo Zuri sana

  • @user-de9gf2wi9o
    @user-de9gf2wi9o Před 2 dny +2

    Mabadiliko yafanyike sasa kabla YESU hajaja kulichukua kanisa lake

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala Před 2 dny

    Aminaa mtumishi wa mungu ubarikiwe kwa neno

  • @sarahkaminyoge3197
    @sarahkaminyoge3197 Před dnem

    Damu ya yesu ipite kwenye mwili wangu inisafishe na kuniosha na kuwa safi

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala Před 2 dny

    Ubarikiwe baba unahubiri injiri iliyo ya kweli

  • @christarbarakajfdgorr138

    Yani somo la Leo mwalimu umenigusa Yani nikama ulikua unanizungumzia Mimi hakika MUNGU wetu anatenda ninashuhuda kubwa mno juu ya somo la Leo

  • @reginajohn8797
    @reginajohn8797 Před 2 dny

    Nakubariki Bwana umenifundisha leo sadaka ya mbegu najua unaenda kunipeleka viwango vingine. Kwa sadaka hiyo juu ya biashara yangu ya duka la dawa Mana mpenyo ulikuwa mgumu Ila now uwe mdhamini wangu Bwana.

  • @damasigregory
    @damasigregory Před 2 dny +1

    Nimebarikiwa sana mwalimu mungu akulinde sana

  • @JanethMhina-ro1kf
    @JanethMhina-ro1kf Před 2 dny

    Asante Yesu kwa somo zuri

  • @fabianenock1276
    @fabianenock1276 Před 2 dny

    Hongera sana Mtumishi tunakupata vizuri

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 Před 2 dny +1

    Ameeeeniii

  • @lizpallangyo8057
    @lizpallangyo8057 Před 2 dny +3

    Ameeeeen Mungu ikumbuke sadaka yangu ya mbegu ukaipe kibali ikazae

  • @justinembwilo
    @justinembwilo Před 2 dny +1

    Ameni!

  • @medsonmichael755
    @medsonmichael755 Před 2 dny

    Mungu akubariki sana, ombi langu naomba mruhusu tuweze kudownload video hiz ili iwe rahisi kuendelea kusikiliza mara kwa mara

  • @audreysmart12
    @audreysmart12 Před dnem

    Amen

  • @LightnessShee
    @LightnessShee Před 2 hodinami

    Plz turuhusuni kudownload haya masomo tunataman kujifunza kila siku siku moja haitoshi kuelewa kila kitu

  • @LaurianGabriel-y9b
    @LaurianGabriel-y9b Před 2 dny +2

    Mwl,Shalom nauliza nihali kuwa na mabaunsa muhubili wa injili? Linanisumbua Sana akilini

    • @kinanantimi5901
      @kinanantimi5901 Před 2 dny

      Ni sawa kabisaa hata mimi ilinisumbua sana ni muhimu mnoo..(protocol)

    • @Kakuyu-Wakakilana-47
      @Kakuyu-Wakakilana-47 Před 2 dny

      Wacha kuwaza mambo ya mabaunsa. Fikiria namna ya kupata nguvu za kiroho na sio ubaunsa maana hata wewe kama mwananchi waweza kuweka mabaunsa wakakuzunguka hapo nyuma.

  • @danielwandwi1784
    @danielwandwi1784 Před 2 dny +1

    BWANA YESU ASIFIWE...
    Technical team ya semina naomba mruhusu hii video tuwe na uwezo wa kudownload Kwa CZcams without purchase recommendations😢🙇🏾‍♂️

  • @samsonjohn2631
    @samsonjohn2631 Před 2 dny +1

    MUNGU wangu nakuomba kumbuka sadaka zangu na ujibu maombi yangu kupitia madhabahu yako matakatifu MUNGU nakuomba