Hi pasteur. Nimefurai sana na mahubiri yako, hasa new generation haitaki kujituma na kufumbua mengi. Mungu akulinde na uzidi kutulisha mambo ya wisdom.
Pastor kabla ya hiyo miaka 10,15,20 umeshanipata Mimi,Ni mmoja wa wadau wa elimu ambaye nimekuelewa na nimeazimia kuingiza maoni yako katika matendo(tuwafundishe watoto wetu namna ya kufikiri na si Cha kufikiri)
Kweli mungu akubariki hii Tanzania wakipata viongozi 10 Kama wewe njichi ingepaa Sana" God bless you" God bless Tanzania,God bless Africa.
Ameeen barikiwa sana Pastor uzidi kuinuliwa na Mungu daima
Thanks pastor for imparting a very encouraging message that will make us to be creative,AMEN
Itoshe kusema nabarikiwa San pastor, 🤝
Amen
Ameeeeen Asante sana kwa somo hili Mungu akubariki mchungaji 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼♥️😍🥰💓
Tunaomba sehemu B,,Somo limenibariki sana Mungu azidi kuwabariki wote!
Ameen mchungaji mahubiri yako yamenijanua sana nakufatilia kutoka Kenya barikiwa sana
Mungu aendelee kukubariki na kukutia nguvu.najifunza Sana kupitia vipindi vyako.
God bless you pastor your sermons became but of my life
Hi pasteur. Nimefurai sana na mahubiri yako, hasa new generation haitaki kujituma na kufumbua mengi. Mungu akulinde na uzidi kutulisha mambo ya wisdom.
Amen
Haleluya, Mungu akuongoze
Pastor Nakuelewa sana, kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam hapa ,,UBARIKIWE
Amen pastor... Nimekuelewa sana
Somo nzuri pastor
Nashukuru pastor nazid kubarikiwa tu
Thanks alot my pastor.ithank God to now u pastor mbanga.mey God give u more wisdom & bless the work of ua hands..
Glory to God and may we practice what we learn. God bless you and your team.
Asante kwa elimu nzuli MUNGU akushindie
Ubarikiwa kwa somo zuri mtumishi🙏🙏
Baba tuma inayofuata uuhh is lit💥💥
Nakuekewa sana Pastor. Mungu akuzidishie.
Mungu akubariki sana Mchungaji make umekuwa mbaraka kwa watu wengi
Hua nabarikiwa sana na masomo yako pastor,Mungu awe nawe daima
Mungu akubariki, mchungaji niunge kwenye kundi la maombi la telegram tafadhari
Amen amen barikiwa
Barikiwa sana pr
Ubariwe Sana pasta
Amen, ubarikiwe na Bwana 🙏
Ubarikiwe xana pastor kwa somo zuri
Kuku hutamia mayai yake siku 21 je kakuku sembuze mwanadamu?"God bless your people.
Amen messge
Amina barikiwa sana mchungaji
Amina mchungj unanibarik sana
Keep up.,
God bless you
Hili somo ni moto
Nimekuelew mchungaji nazidi kubarikiwa kwa mahubiri yako barikiwa
AMEN AMEN KWELI KABISA
🔥🔥🔥🔥
Njoo musoma tena utuokoe mtu wa mungu
MCHUNGAJI NIMEPENDA SANA UWEZO WAKO KITHIOLOJIA UNANIBARIKI KWA UTAMBUZZI I WAKO MKUBWA
Very very true
Mungu tusaidie,japo mie ninachoongea ndio natenda
MADHARA YA KUFUNUA NDOTO AU MIPANGO YAKO KABLA YA WAKATI SEH.( A)
Inayofwata tunaomba,,,,Somo limenibariki sana
Yani kwakipindi hiki chote uwezo wangu wa kufkiri ulikuwa n E
Ila kwa SoMo hili Naona kabisa nakuwa 4G
Mtumushi nakupata
Kanisa limebarikiwa kuwa n.a. mwalimu /pr mwenye uelewa wa hali ya juu
Pastor tunaomba utufundishe kitabu cha Enoch na mambo yaliyomo ndan yake kuusu ma giant's na malaika waasi.
Hakika umenifungua akili
NI KWELI FAMILIA ZETU JAMANI MMM
Jamani mkishasikia mahubiri ninawakaribisheni mpate wimbo wa injili czcams.com/video/QJhwWhs-5Pw/video.html Yesu kristo awe nanyi
Pastor kabla ya hiyo miaka 10,15,20 umeshanipata Mimi,Ni mmoja wa wadau wa elimu ambaye nimekuelewa na nimeazimia kuingiza maoni yako katika matendo(tuwafundishe watoto wetu namna ya kufikiri na si Cha kufikiri)
Amen
Namba yangu ni 0746863184
Kweli mungu akubariki hii Tanzania wakipata viongozi 10 Kama wewe njichi ingepaa Sana" God bless you" God bless Tanzania,God bless Africa.
Amen
Nimebarikiwa na Neno hili.Barikiwa .
Kuku hutamia mayai yake siku 21 je kakuku sembuze mwanadamu?"God bless your people.
Namba yangu ni 0746863184