BADILI FIKRA!! MAJIBU YA SHIDA ZAKO HAYA HAPA!!!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 07. 2020

Komentáře • 222

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 Před 4 lety +11

    Mungu wa rehema unajua taabu na mahangaiko yetu. Unapokuja kutupa msaada tunaanza kulalamika na kutoa vijisababu vya kulaumu wengine. Uturehemu tupe neema ya kujitwika vigodoro vyetu twende mbele. Maana umeshatuponya na kututengenezea njia tayari.
    Asante Pastor na timu yako. Mungu aibariki huduma hii

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 Před 4 lety +11

    Mungu akubariki mchungaji napenda mafundisho yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓💗😍🥰

  • @liliankeruboq6948
    @liliankeruboq6948 Před 3 lety +6

    Ukwel binadamu twajiroga wenyewe, shukran muhubiri. Funzo nzuri kwel.

  • @trustalid5968
    @trustalid5968 Před 4 lety +5

    Asant mchungaji kwa neno, kweli akili imefunguka kwa Siku ya leo, Amen

  • @beatricemageka7972
    @beatricemageka7972 Před 4 lety +4

    Nashukuru pastor kwa funzo la hekima kwamba majibu ya shida na najaribu yetu tunayo ila tu hatutambui,Mungu atusaidie tuweze kujitambua na tusonge mbele kimaisha na kiroho pia,amina

  • @elizabethtondo5178
    @elizabethtondo5178 Před 3 lety +3

    Mwenyezi Mungu naomba unisamehe kwani nimekuwa mlamimishi sana KATIKA maisha yangu. Pastor Mungu akubariki kwa somo hili hakika nimepata silaha ya kusimama tena kwenye maisha yangu.

  • @rachelmanema9044
    @rachelmanema9044 Před 4 lety +5

    Asante mchungaji hubiri lako limenifungua kwa mengi Mungu akubariki sanaaaaa

  • @francisthomas748
    @francisthomas748 Před 10 měsíci

    Asante pastor uko namahuburi masuri sana ninakusilisa sana kutoka hapa Kenya 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana.

  • @loicesalano931
    @loicesalano931 Před 17 hodinami

    Naamini kabla miaka 38 nitapata mume Nina watoto wanne outside wedlock.God is faithful 🙏

  • @tabithamintextilefabricind9838

    Mimi Sina Mtu imekuwa Kilio Cha watu wengi, iwe makanisani, misikitini, kazini, Vyuoni ,shuleni, kwenye Ndoa , katika familia nk.
    Acha kutafuta watu wa kulaumu..mpelekee Mungu shida zako, yeye ndiye anakujua maana ndiye aliyekuumba na kukukomboa kwa kukufia msalabani ,mwambie shida yako yeye.
    Acha kukata Tamaa, Jaribu kusimama uendelee mbele.
    Usikate tamaa

  • @vivatiki5331
    @vivatiki5331 Před 3 lety +2

    Jamani mungu anatupenda kwa kutupa mafundisho kwakila njia hatunabudi kumwambia mungu asante kwa yote hasa kwamchungaji huyu David mbaga asantemungu

  • @karennyabuto7977
    @karennyabuto7977 Před 3 lety +7

    I wish this pastor could come to our church one day.God bless him.

  • @elizarodrick7356
    @elizarodrick7356 Před 3 lety +2

    Kwa kweli ni mara yangu ya kwanza kusikiliza mafundisho yako pastor, lakini yamenivusha sana Mungu wa mbinguni akubariki sana.

  • @upendomasasi3218
    @upendomasasi3218 Před 4 lety +2

    Pastor mungu akubariki Sana na kukulinda ili uendelee kutubariki kwa masomo yanayobadilisha maisha yetu na kutupatia tumaini jipya la uzima wa milele

  • @alicemjomba2644
    @alicemjomba2644 Před 3 lety +2

    Amen, Mtumishi nashukuru kwa Neno Hili nimefunguka macho nakuelewa zaidi, Barikiwa Mungu azidi mukutumia Asante.

  • @JC-lk3me
    @JC-lk3me Před 3 lety +1

    The best teacher on the tv
    Mwalimu kweli.
    God is good.

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 Před 3 lety +1

    Amina pastor Mmbaga ubarikiwe na timu yote pia, nakuelewa pastor majibu ya shida zangu yako ndani yangu

  • @rubias2978
    @rubias2978 Před 2 lety

    Asante pst kwa mafunzo mazuri ameni mungu atie nguvu uendelea kuhubiri neno la mungu

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 Před 4 lety +1

    Nabarikiwa sana Pastor na mahubiri haya kweli Mungu amenitoa sehemu na kunisogeza karibu na yeye kupitia mahubiri haya.

  • @bonphasngasa4644
    @bonphasngasa4644 Před 4 lety +4

    Nimekuelewa Pastor. Ni ujenzi bora tumeupata. God bless us!

    • @khadijaabdallah8775
      @khadijaabdallah8775 Před 3 lety

      Mungu akubariki PR. MTU akikutukana! Hilo limenijenga sana. Maana tunanung,unika sana juu yahilo. Hasa ukionewa! Aaa! Ahsante Yesu.

  • @dianarobert7953
    @dianarobert7953 Před 2 lety +1

    Jitwike godoro lako uende.yesu ametangulia mbele.aminaaa

  • @mussaharuni2250
    @mussaharuni2250 Před rokem

    Ubarikiwe mch nakupataga vizuri kwenye mafundisho Yako yananibariki.

  • @user-no2tw5vb8j
    @user-no2tw5vb8j Před 2 lety +1

    Doreen Edasi watching from saudi arabia, wonderful teaching from the true man of God, it's touching my heart deeply, thanks alot and May God bless u and your family in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bentaonsomu6480
    @bentaonsomu6480 Před 2 měsíci

    Asante na Mungu akubariki. Hautajua hii maubiri yanamaanisha nini kwangu. Ila Mungu amenieleza mambo mengi. Na nimeshtuka kwa kuwa umerudia Jambo nililokuwa ninasema, lakini sasa kulisikia kutoka haya maubiri, ni green light kutoka kwa Mungu.

  • @josephobedi5969
    @josephobedi5969 Před 3 lety +2

    "Ukitaka usifanikiwe katika maisha tafuta mchawi" very informative sentence

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 Před 3 lety +3

    😅😅👏👏🙏🙏🙏nimecheka,nimebarikiwa na mahubiri yako mchungaji wa mungu.🙏

  • @user-pi5bj9qz2m
    @user-pi5bj9qz2m Před 4 měsíci

    Tunashukuru kwa mahubiri yako, tunabariiwa
    Mungu wa mbinguni akubarikiwa

  • @kalebumwaiponya4644
    @kalebumwaiponya4644 Před rokem +1

    Nimelipenda sana hili fundisho. Mungu akubarika sana pastar Mbaga

  • @josephinemwita8883
    @josephinemwita8883 Před 3 lety

    Nimejifunza mengi kutoka kwenye hubiri hili! Ubarikiwe sana pastor Mbaga mungu akulinde ,akutunze na uendelee kutulisha chakula cha Mungu

  • @josephinemwita8883
    @josephinemwita8883 Před 3 lety +2

    Ni kweli Pastor Mbaga. Mimi Dodoma siondoki nikistaafuu!

  • @linetflorah6871
    @linetflorah6871 Před 3 lety +1

    Amen Daddy nami nimejifunza pia nimejua niko kwenye nafasi gani

  • @rastarasim5810
    @rastarasim5810 Před rokem

    Nazidi kujifunza mengi ,,,,,,,,,mungu awabariki watumishi wake,%🙏

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 Před 3 lety +5

    😭😭God forgive me in my work give me a strong heart to be pertinent in every ways in Jesus name amen. Just a big points. Ubarikiwa muchungaji.

  • @kakajaymoe8713
    @kakajaymoe8713 Před rokem

    Ameen aksante sana kwa mafundisho yako pastor🙏🙏💓

  • @teclamastone7098
    @teclamastone7098 Před 3 lety +1

    Mungu aendelee kukutunza pastor 💪🙏

  • @millicentmashakamakungu5140

    Ninabarikiwa na mahubir yako mtumish wa Mungu

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Před 3 lety

    Mungu akudhindie PR.MMBAGA UMEFUNULIWA UMEPEWA KULIJUA NENO TUSAIDIE SANA MUNGU ATAKURUDISHIA

  • @angelinaomare3055
    @angelinaomare3055 Před 4 lety +8

    Neno ili limenielimisha ajabu kwa kweli...nimejifunza kitu Kimoja “kujifunza kulalamika ila tu Kushukuru na kunyenyekea

  • @MiriamSando-fe9ll
    @MiriamSando-fe9ll Před 4 měsíci

    Nabarikiwa sana pr,mmbaga

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Před 3 lety +2

    AMEN AMEN MTUMISHI WA MUNGU

  • @itsmeanna8286
    @itsmeanna8286 Před 3 lety +1

    be blessed Pastor kwa ujumbe mzuri.

  • @hassanmatumba5272
    @hassanmatumba5272 Před 2 lety

    Mtumishi halisi wa Mungu, umenibariki sana na fundisho hili. ninatamani siku zote Bwana aka ndanj yng nifanane na mcha Mungu wa kweli.

  • @aloycegasper5188
    @aloycegasper5188 Před 4 lety +4

    Ni kweli PR,siyo PhD tu kuna watalaamu wa uchumi lakini wao masikini...MWENYEZI MUNGU NIONESHE KARAMA YANGU

  • @sheilaombongi8086
    @sheilaombongi8086 Před 4 lety +1

    Funzo la hekima kabisa pastor nina shukuru sana Mungu akubariki sana Amina

  • @timothywandera1681
    @timothywandera1681 Před 3 lety

    Hi Mtu wa Mungu, kila somo lako lanijenga sana, kana kwamba unayaona ninayopitia. Mungu akubariki sana, Timothy Wandera kutoka Kenya county ya Eldoret.

  • @wordskabadi6421
    @wordskabadi6421 Před 4 lety +1

    Nabarikiwa Sana mchungaji na mafundisho ubarikiwa

  • @dottodaniel7535
    @dottodaniel7535 Před 3 lety

    Pr. Mungu akubariki kwa ujumbe huu ni mzito .kwa kweli tumekuwa walalamishi mno Mungu atusaidie

  • @ibrahimsiwale5059
    @ibrahimsiwale5059 Před 2 lety

    IWE HELI KWAKO NA HATAKWETU.....MUNGU atupatie nemeema na ufahamu tuzidi kulijua neno la mungu na tuwe na uelewa nalo

  • @chibugamedia7313
    @chibugamedia7313 Před 3 lety +1

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
    Endelea kutuombea na sisi pia

  • @karennyabuto7977
    @karennyabuto7977 Před 3 lety +1

    A very good message.CARREN kisii Kenya.

  • @elizabethbwire1480
    @elizabethbwire1480 Před rokem

    Amina mchungaji kwasomo mzur hakika limenifungua akir

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo2543 Před 3 lety

    AMEN AMEN, BARIKIWA mtumishi MUNGU Azidi kuku BARIKI

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 Před 3 lety +2

    Leo nimekuelewa Pr, kumbe nilipofanya kazi nikadhulumiwa mshahara na posho zngu, Kumbe nisahihi kudhulumiwa maana ni Sawa na ADA NIMELIPIA ya ujuzi nilioupata. Mungu aendelee kukutumia Pr kwa kutuelimisha.

  • @shemnyangate5306
    @shemnyangate5306 Před 3 lety +2

    we as christians we judge outside instead of we judging in the inside..hw does our relationship between us and God.. Nice sermon

  • @safishimirimana9465
    @safishimirimana9465 Před 3 lety +1

    Ubarikiwe Sana mtumishi. Kwakweli uwaunanibariki

  • @damarisonserio4788
    @damarisonserio4788 Před 2 lety

    Thanx be to the Almighty God man of God your statements are very clear and loud

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 Před 3 lety +1

    Amina Amina. Asante sana mchungaji.

  • @natihaikamjema6130
    @natihaikamjema6130 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe pastor

  • @irenenyambeki3094
    @irenenyambeki3094 Před 3 lety

    Amina barikiwa pastor mbagga nakufatilia kutoka kenya

  • @jackneymasamson8335
    @jackneymasamson8335 Před 4 lety

    I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Před 2 lety

    Nitashinda ubaya kwa style hii.
    Asante Mtumishi Mungu akuinue juu Sana.

  • @lidiaawino4740
    @lidiaawino4740 Před rokem

    Asante Yesu kwanzia leo nitajitwika godoro langu

  • @comembwelwa1518
    @comembwelwa1518 Před 3 lety +1

    Napenda sana mafundisho ya huyu kaka lakini watu wengi wanabeza kisa yy in msabato tatizo nn sijaelewa kabisa nampenda bule nashinda utubu kumsikiliza kila siku

  • @winnievienda1623
    @winnievienda1623 Před 3 lety

    Ubarikiwe kwamafunzo masuri mungu hakutiye ngufu yakuendeleya gutu funza

  • @eliasbufula2482
    @eliasbufula2482 Před 2 lety

    Asante sana mtumishi wa Mungu, umesema na mimi.

  • @jeniferliberatus3003
    @jeniferliberatus3003 Před 4 lety +16

    amina ndg zangu wasabato mmuobee huyo pastor

  • @sanurasadickmshana7481

    Mungu akubariki mtumishi,umenigusa sana maisha yangu.

  • @janviershaminya2485
    @janviershaminya2485 Před 2 lety

    mungu ndiye anaye kuwa na na malipo piganisha usikose kuingiya nakuombeya tutaonana huko.SI

  • @adrianarespicius8683
    @adrianarespicius8683 Před 3 lety

    Napenda mafundisho yako yananibarki,, barkiwe pastor

  • @shukranjs4307
    @shukranjs4307 Před 3 lety

    Mungu akubariki sana pastor

  • @dianamwalongo9732
    @dianamwalongo9732 Před 2 lety

    Waoooooo someone zuri Sana balikiwa Sana mtumishi.

  • @lennybaabrah6752
    @lennybaabrah6752 Před 4 lety

    Amen Amen pastor

  • @jamesbaraka940
    @jamesbaraka940 Před 3 lety

    asante pastor mungu akubariki

  • @jjss4493
    @jjss4493 Před 3 lety

    Amen amen yesu wajua shinda zangu

  • @mashaeliazer7433
    @mashaeliazer7433 Před 4 lety +1

    Barikiwa pr kwa kunibariki

  • @user-wq9pv3uz8f
    @user-wq9pv3uz8f Před 4 lety

    Hakika nimejifunza mengi tangu nianze kuskiza mahubiri TV maisha yangu yanaendelea kubadilika sana nakishukuru sana.pastor

  • @julianajohn7917
    @julianajohn7917 Před 3 lety

    Yaan umenielimisha mno nabarikiw sna na mahubiri yko Mungu azidi kukuongoz na kukulinda

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 Před 3 lety

    Barikiwa pastor Sana🌹🌹

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 Před 3 lety

    Kwa kweli Mchungaji umenifungua sana kwa mafundisho haya,, umenifungua minyororo niliyokuwa nayo,,,, Ubarikiwe sana mchungaji, na huyu MUNGU tunayemuabudu kila siku akupe nguvu na azidi kukubariki kwa mafundisho unayotufundisha mara kwa Mara,, aamen

  • @hoglawawuda8145
    @hoglawawuda8145 Před 3 lety

    Nimejifunza kitu...asante Pastor

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 Před 4 lety +5

    Pastor huwa unachekesha😂😂😂hapo pa malaika pamenimbaba. Aki Mungu na malaika zake huwa wanajionea mambo 🤣🤣🤣

  • @mtctz9844
    @mtctz9844 Před 2 lety

    Asante, nimebarikiwa, ubarikiwe

  • @shackplustv7462
    @shackplustv7462 Před 2 lety

    Nimefarijika na kubarikiwa sana na somo hili

  • @elvisomari638
    @elvisomari638 Před 4 lety +2

    Uko sawa pastor ukweli huu

  • @rachelndege3819
    @rachelndege3819 Před 3 lety

    ASANTE mchungaji Mungu akubariki Sana

  • @alonto8159
    @alonto8159 Před 2 lety

    Barikiwa sana lovely dad.

  • @enockbabu7502
    @enockbabu7502 Před 3 lety

    NAMSHUKURU MUNGU KWA NAMNA ANAVYO MTUMIA BABA MCH, MMBAGA ,KWA MUDA MFUPI NILIO MFUATILIA AMENIJENGA KIROHO .

  • @heriethmbwambo8272
    @heriethmbwambo8272 Před 3 lety

    Pastor barikiwa kwamafundisho yako

  • @florabenard707
    @florabenard707 Před 3 lety

    Aminaa Pr

  • @glorykamenya2543
    @glorykamenya2543 Před 3 lety

    Amen pastor

  • @witnessmalangalila91
    @witnessmalangalila91 Před 3 lety +1

    Barikiwa sn Mtumishi

  • @mwinamilapaul352
    @mwinamilapaul352 Před 3 lety

    Amina Mtumishi, asante kwa kutupa Neno la uzima

  • @janetkahada5206
    @janetkahada5206 Před 3 lety

    Amen amen thank you so much may God bless you and your family in Jesus name amen

  • @onesmorichard4845
    @onesmorichard4845 Před 3 lety

    Ameeen mtumishi hakika nimejfunza kitu kikubwa sana

  • @esromkatuma3647
    @esromkatuma3647 Před 3 lety

    Tambua Mungu amekuumba na amekupa akili, hebu jimudu katika maisha yako na songa mbele siyo ulalamikie wengine

  • @witnessmalangalila91
    @witnessmalangalila91 Před 3 lety

    Amen barikiwa Mtumishi

  • @betykallomo5587
    @betykallomo5587 Před rokem

    Barikiwa mtumishi

  • @lenatidagabriel3358
    @lenatidagabriel3358 Před 3 lety

    PR. NI mwaka umepita tangu ufundishe somo hili lakini kila SIKU ni jipya, unanibariki mno PR, MUNGU akutunze PR.

  • @verdianajohn7634
    @verdianajohn7634 Před 4 lety

    Amen pr

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 3 lety

    Ubarikiwe Sana Mtumishi....