Mungu wa rehema unajua taabu na mahangaiko yetu. Unapokuja kutupa msaada tunaanza kulalamika na kutoa vijisababu vya kulaumu wengine. Uturehemu tupe neema ya kujitwika vigodoro vyetu twende mbele. Maana umeshatuponya na kututengenezea njia tayari. Asante Pastor na timu yako. Mungu aibariki huduma hii
Nashukuru pastor kwa funzo la hekima kwamba majibu ya shida na najaribu yetu tunayo ila tu hatutambui,Mungu atusaidie tuweze kujitambua na tusonge mbele kimaisha na kiroho pia,amina
Mwenyezi Mungu naomba unisamehe kwani nimekuwa mlamimishi sana KATIKA maisha yangu. Pastor Mungu akubariki kwa somo hili hakika nimepata silaha ya kusimama tena kwenye maisha yangu.
Mimi Sina Mtu imekuwa Kilio Cha watu wengi, iwe makanisani, misikitini, kazini, Vyuoni ,shuleni, kwenye Ndoa , katika familia nk. Acha kutafuta watu wa kulaumu..mpelekee Mungu shida zako, yeye ndiye anakujua maana ndiye aliyekuumba na kukukomboa kwa kukufia msalabani ,mwambie shida yako yeye. Acha kukata Tamaa, Jaribu kusimama uendelee mbele. Usikate tamaa
Doreen Edasi watching from saudi arabia, wonderful teaching from the true man of God, it's touching my heart deeply, thanks alot and May God bless u and your family in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante na Mungu akubariki. Hautajua hii maubiri yanamaanisha nini kwangu. Ila Mungu amenieleza mambo mengi. Na nimeshtuka kwa kuwa umerudia Jambo nililokuwa ninasema, lakini sasa kulisikia kutoka haya maubiri, ni green light kutoka kwa Mungu.
Hi Mtu wa Mungu, kila somo lako lanijenga sana, kana kwamba unayaona ninayopitia. Mungu akubariki sana, Timothy Wandera kutoka Kenya county ya Eldoret.
Leo nimekuelewa Pr, kumbe nilipofanya kazi nikadhulumiwa mshahara na posho zngu, Kumbe nisahihi kudhulumiwa maana ni Sawa na ADA NIMELIPIA ya ujuzi nilioupata. Mungu aendelee kukutumia Pr kwa kutuelimisha.
I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen
Napenda sana mafundisho ya huyu kaka lakini watu wengi wanabeza kisa yy in msabato tatizo nn sijaelewa kabisa nampenda bule nashinda utubu kumsikiliza kila siku
Kwa kweli Mchungaji umenifungua sana kwa mafundisho haya,, umenifungua minyororo niliyokuwa nayo,,,, Ubarikiwe sana mchungaji, na huyu MUNGU tunayemuabudu kila siku akupe nguvu na azidi kukubariki kwa mafundisho unayotufundisha mara kwa Mara,, aamen
Mungu wa rehema unajua taabu na mahangaiko yetu. Unapokuja kutupa msaada tunaanza kulalamika na kutoa vijisababu vya kulaumu wengine. Uturehemu tupe neema ya kujitwika vigodoro vyetu twende mbele. Maana umeshatuponya na kututengenezea njia tayari.
Asante Pastor na timu yako. Mungu aibariki huduma hii
Mungu akubariki mchungaji napenda mafundisho yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓💗😍🥰
Ukwel binadamu twajiroga wenyewe, shukran muhubiri. Funzo nzuri kwel.
Asant mchungaji kwa neno, kweli akili imefunguka kwa Siku ya leo, Amen
Nashukuru pastor kwa funzo la hekima kwamba majibu ya shida na najaribu yetu tunayo ila tu hatutambui,Mungu atusaidie tuweze kujitambua na tusonge mbele kimaisha na kiroho pia,amina
Mwenyezi Mungu naomba unisamehe kwani nimekuwa mlamimishi sana KATIKA maisha yangu. Pastor Mungu akubariki kwa somo hili hakika nimepata silaha ya kusimama tena kwenye maisha yangu.
Asante mchungaji hubiri lako limenifungua kwa mengi Mungu akubariki sanaaaaa
Asante pastor uko namahuburi masuri sana ninakusilisa sana kutoka hapa Kenya 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana.
Naamini kabla miaka 38 nitapata mume Nina watoto wanne outside wedlock.God is faithful 🙏
Mimi Sina Mtu imekuwa Kilio Cha watu wengi, iwe makanisani, misikitini, kazini, Vyuoni ,shuleni, kwenye Ndoa , katika familia nk.
Acha kutafuta watu wa kulaumu..mpelekee Mungu shida zako, yeye ndiye anakujua maana ndiye aliyekuumba na kukukomboa kwa kukufia msalabani ,mwambie shida yako yeye.
Acha kukata Tamaa, Jaribu kusimama uendelee mbele.
Usikate tamaa
Amina
Jamani mungu anatupenda kwa kutupa mafundisho kwakila njia hatunabudi kumwambia mungu asante kwa yote hasa kwamchungaji huyu David mbaga asantemungu
Mungu asante kutuletea mcjungaji
I wish this pastor could come to our church one day.God bless him.
X
Kwa kweli ni mara yangu ya kwanza kusikiliza mafundisho yako pastor, lakini yamenivusha sana Mungu wa mbinguni akubariki sana.
Pastor mungu akubariki Sana na kukulinda ili uendelee kutubariki kwa masomo yanayobadilisha maisha yetu na kutupatia tumaini jipya la uzima wa milele
Amen, Mtumishi nashukuru kwa Neno Hili nimefunguka macho nakuelewa zaidi, Barikiwa Mungu azidi mukutumia Asante.
The best teacher on the tv
Mwalimu kweli.
God is good.
Amina pastor Mmbaga ubarikiwe na timu yote pia, nakuelewa pastor majibu ya shida zangu yako ndani yangu
Asante pst kwa mafunzo mazuri ameni mungu atie nguvu uendelea kuhubiri neno la mungu
Nabarikiwa sana Pastor na mahubiri haya kweli Mungu amenitoa sehemu na kunisogeza karibu na yeye kupitia mahubiri haya.
Nimekuelewa Pastor. Ni ujenzi bora tumeupata. God bless us!
Mungu akubariki PR. MTU akikutukana! Hilo limenijenga sana. Maana tunanung,unika sana juu yahilo. Hasa ukionewa! Aaa! Ahsante Yesu.
Jitwike godoro lako uende.yesu ametangulia mbele.aminaaa
Ubarikiwe mch nakupataga vizuri kwenye mafundisho Yako yananibariki.
Doreen Edasi watching from saudi arabia, wonderful teaching from the true man of God, it's touching my heart deeply, thanks alot and May God bless u and your family in Jesus name Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante na Mungu akubariki. Hautajua hii maubiri yanamaanisha nini kwangu. Ila Mungu amenieleza mambo mengi. Na nimeshtuka kwa kuwa umerudia Jambo nililokuwa ninasema, lakini sasa kulisikia kutoka haya maubiri, ni green light kutoka kwa Mungu.
"Ukitaka usifanikiwe katika maisha tafuta mchawi" very informative sentence
😅😅👏👏🙏🙏🙏nimecheka,nimebarikiwa na mahubiri yako mchungaji wa mungu.🙏
Tunashukuru kwa mahubiri yako, tunabariiwa
Mungu wa mbinguni akubarikiwa
Nimelipenda sana hili fundisho. Mungu akubarika sana pastar Mbaga
Nimejifunza mengi kutoka kwenye hubiri hili! Ubarikiwe sana pastor Mbaga mungu akulinde ,akutunze na uendelee kutulisha chakula cha Mungu
Ni kweli Pastor Mbaga. Mimi Dodoma siondoki nikistaafuu!
Amen Daddy nami nimejifunza pia nimejua niko kwenye nafasi gani
Nazidi kujifunza mengi ,,,,,,,,,mungu awabariki watumishi wake,%🙏
😭😭God forgive me in my work give me a strong heart to be pertinent in every ways in Jesus name amen. Just a big points. Ubarikiwa muchungaji.
Ameen aksante sana kwa mafundisho yako pastor🙏🙏💓
Mungu aendelee kukutunza pastor 💪🙏
Ninabarikiwa na mahubir yako mtumish wa Mungu
Mungu akudhindie PR.MMBAGA UMEFUNULIWA UMEPEWA KULIJUA NENO TUSAIDIE SANA MUNGU ATAKURUDISHIA
Neno ili limenielimisha ajabu kwa kweli...nimejifunza kitu Kimoja “kujifunza kulalamika ila tu Kushukuru na kunyenyekea
Nabarikiwa sana pr,mmbaga
AMEN AMEN MTUMISHI WA MUNGU
be blessed Pastor kwa ujumbe mzuri.
Mtumishi halisi wa Mungu, umenibariki sana na fundisho hili. ninatamani siku zote Bwana aka ndanj yng nifanane na mcha Mungu wa kweli.
Ni kweli PR,siyo PhD tu kuna watalaamu wa uchumi lakini wao masikini...MWENYEZI MUNGU NIONESHE KARAMA YANGU
Funzo la hekima kabisa pastor nina shukuru sana Mungu akubariki sana Amina
Barkiwa sana
Hi Mtu wa Mungu, kila somo lako lanijenga sana, kana kwamba unayaona ninayopitia. Mungu akubariki sana, Timothy Wandera kutoka Kenya county ya Eldoret.
Nabarikiwa Sana mchungaji na mafundisho ubarikiwa
Pr. Mungu akubariki kwa ujumbe huu ni mzito .kwa kweli tumekuwa walalamishi mno Mungu atusaidie
IWE HELI KWAKO NA HATAKWETU.....MUNGU atupatie nemeema na ufahamu tuzidi kulijua neno la mungu na tuwe na uelewa nalo
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Endelea kutuombea na sisi pia
A very good message.CARREN kisii Kenya.
Amina mchungaji kwasomo mzur hakika limenifungua akir
AMEN AMEN, BARIKIWA mtumishi MUNGU Azidi kuku BARIKI
Leo nimekuelewa Pr, kumbe nilipofanya kazi nikadhulumiwa mshahara na posho zngu, Kumbe nisahihi kudhulumiwa maana ni Sawa na ADA NIMELIPIA ya ujuzi nilioupata. Mungu aendelee kukutumia Pr kwa kutuelimisha.
we as christians we judge outside instead of we judging in the inside..hw does our relationship between us and God.. Nice sermon
Ubarikiwe Sana mtumishi. Kwakweli uwaunanibariki
Thanx be to the Almighty God man of God your statements are very clear and loud
Amina Amina. Asante sana mchungaji.
Ubarikiwe pastor
Amina barikiwa pastor mbagga nakufatilia kutoka kenya
I'm Connecting faith through Christ Jesus and I Agree, believe and receive this powerful Prayers upon my life and my Son and my family in the Mighty name of Jesus Christ because our Help Comes from Jehovah God the maker of the Heaven and Earth in Jesus Might name amen and amen
AMEN
Nitashinda ubaya kwa style hii.
Asante Mtumishi Mungu akuinue juu Sana.
Asante Yesu kwanzia leo nitajitwika godoro langu
Napenda sana mafundisho ya huyu kaka lakini watu wengi wanabeza kisa yy in msabato tatizo nn sijaelewa kabisa nampenda bule nashinda utubu kumsikiliza kila siku
Ubarikiwe
Ubarikiwe kwamafunzo masuri mungu hakutiye ngufu yakuendeleya gutu funza
Asante sana mtumishi wa Mungu, umesema na mimi.
amina ndg zangu wasabato mmuobee huyo pastor
Una maanisha Nini?
Ubarikiwe sana pastor
Mungu akubariki mtumishi,umenigusa sana maisha yangu.
mungu ndiye anaye kuwa na na malipo piganisha usikose kuingiya nakuombeya tutaonana huko.SI
Napenda mafundisho yako yananibarki,, barkiwe pastor
Mungu akubariki sana pastor
Waoooooo someone zuri Sana balikiwa Sana mtumishi.
Amen Amen pastor
asante pastor mungu akubariki
Amen amen yesu wajua shinda zangu
Barikiwa pr kwa kunibariki
Hakika nimejifunza mengi tangu nianze kuskiza mahubiri TV maisha yangu yanaendelea kubadilika sana nakishukuru sana.pastor
Yaan umenielimisha mno nabarikiw sna na mahubiri yko Mungu azidi kukuongoz na kukulinda
Barikiwa pastor Sana🌹🌹
Kwa kweli Mchungaji umenifungua sana kwa mafundisho haya,, umenifungua minyororo niliyokuwa nayo,,,, Ubarikiwe sana mchungaji, na huyu MUNGU tunayemuabudu kila siku akupe nguvu na azidi kukubariki kwa mafundisho unayotufundisha mara kwa Mara,, aamen
Nimejifunza kitu...asante Pastor
Pastor huwa unachekesha😂😂😂hapo pa malaika pamenimbaba. Aki Mungu na malaika zake huwa wanajionea mambo 🤣🤣🤣
😃😃😃😃😃
Asante, nimebarikiwa, ubarikiwe
Nimefarijika na kubarikiwa sana na somo hili
Uko sawa pastor ukweli huu
ASANTE mchungaji Mungu akubariki Sana
Barikiwa sana lovely dad.
NAMSHUKURU MUNGU KWA NAMNA ANAVYO MTUMIA BABA MCH, MMBAGA ,KWA MUDA MFUPI NILIO MFUATILIA AMENIJENGA KIROHO .
Pastor barikiwa kwamafundisho yako
Aminaa Pr
Amen pastor
Barikiwa sn Mtumishi
Amina Mtumishi, asante kwa kutupa Neno la uzima
Amen amen thank you so much may God bless you and your family in Jesus name amen
Ameeen mtumishi hakika nimejfunza kitu kikubwa sana
Tambua Mungu amekuumba na amekupa akili, hebu jimudu katika maisha yako na songa mbele siyo ulalamikie wengine
Amen barikiwa Mtumishi
Barikiwa mtumishi
PR. NI mwaka umepita tangu ufundishe somo hili lakini kila SIKU ni jipya, unanibariki mno PR, MUNGU akutunze PR.
Amen pr
Ubarikiwe Sana Mtumishi....