Fix You: Namna ya kuendelea na ndoa/mahusiano baada ya kusalitiwa na mwenzi wako

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 55

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před rokem +8

    Mgeni wako huyu yuko vizuri kichwani, ana utulivu, ana madini, beauty with brains.Mualike tena na tena ,ana hekima sana.Hongera dada you are good 👍

  • @user-qt4kf3dv3b
    @user-qt4kf3dv3b Před rokem +11

    Ilauyu dada yukovizuli sana nimemkubali sana endeleeni kumualika atupe madini

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo4919 Před rokem +5

    Mungu kakupa kitu cha ziada yua so smart ♥️🤍

  • @marmzrelationshiphub7907

    Kwa kifupi niseme Salome umeupiga mwingi sana 💞💞 umeongea kwa utulivu sana na umeeleweka vyema watu wakifuata haya watakua salama sana hata wasipoendelea kuwa pamoja lakini amani inakua imetengenezwa baina yao.Irene mada muhimu sana maana ni kitu kinatesa wengi sana.Clap Clap 👏💋🥂

    • @agnesskiginga3890
      @agnesskiginga3890 Před rokem +1

      Salome yuko vizur sana kuna MTU mwingne anakuwa ametangaza kuachana na MTU halafu bado anakuwa anamfuatilia Mtu yule yule aliyetangaza kumuacha nini cha kufanya

  • @Tonga994
    @Tonga994 Před rokem +5

    Huyu dada yuko vizuri sana hakika namkubali sana,hakuna mahali nitamwona niache kumfuatilia na kumsikiliza,proud of you Dear Sister Salome👏👏👏

  • @economistsarafina8085
    @economistsarafina8085 Před rokem +4

    My favorite counselor

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před rokem +3

    Da Iren Salome namuelewa vzr Sana pamoja na Mwl Kanuti Asante sana Kwa haya majembe

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před rokem +4

    Safi sana umefanya vizuri kumleta mdada mtaaluma wa mambo haya

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem +6

    Big up Irene Salome yupo vzr sana

    • @salomenelson711
      @salomenelson711 Před rokem

      Asante sana

    • @ashaidd2912
      @ashaidd2912 Před rokem

      @@salomenelson711 uje tena uendelee kutupa madini mamii Kuna mengi hayaseneki jmn

  • @esthermichael3221
    @esthermichael3221 Před rokem +5

    Duuh hili somo ni zuri Sana na pia ni guumuu kulielewa kama akili aijatulia na kujitambua.
    Sister SALOME hongera kwa kazi nzuri unayofanya

  • @manyamalima1916
    @manyamalima1916 Před rokem +3

    Your the best salome

  • @user-vk5vi3es5g
    @user-vk5vi3es5g Před 10 měsíci +3

    Ivi mwanaume kakusaliti kimya kimya mpaka ukajua kujua na mungu kamuumbua kapata na maradhi ukimwi lakin mungu fundi mwanamke yupo salama je usaliti km huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km uyu ikiwa ata km ningekuwa mm ndo nimemsaliti ndo ni kapata hayo maradhi basi angeniacha jamani nishaulini mume ndo alikuwa msaliti sana tena ule usaliti wa wazi kabisa unaishi je vp na uyu mtu jamaniii mwenye ushauri nafatilia comment ata uyo dada salome km ataiona hii sms tafadhaari naomba nisaidie ata namba ya cm niweze kusaidika😭😭😭

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem +4

    Salome you have say all 👏👏👏👏

  • @williamjumbe1928
    @williamjumbe1928 Před rokem +3

    Hiki ni moja ya kipindi pendwa na bora sana

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 Před rokem +3

    Huyu dada❤❤ Salome

  • @PendoAlex-pp9vz
    @PendoAlex-pp9vz Před rokem +4

    😂😂 Salome Salome umeniponya

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před rokem +2

    Asante

  • @ingabireritha3740
    @ingabireritha3740 Před rokem +1

    Nice one jamani❤

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +4

    Halafu watu wanaaminishwa wazee ndio wana maarifa. Kumbe maarifa huanzia ujanani. Dada kajaa madini.

  • @user-qt4kf3dv3b
    @user-qt4kf3dv3b Před rokem +5

    Mualike tena aludi uyo

  • @namisunasuleiman8728
    @namisunasuleiman8728 Před 13 dny

    😂😂😂😂😂 nafrah kwa kwel niseme t hichi cha kukaa mbal kibaya zaid jamn waume ndo wanatumia fursa kubwa ya kucheat

  • @KichereTheDataScientist
    @KichereTheDataScientist Před rokem +1

    💪

  • @feadamagessa889
    @feadamagessa889 Před 2 měsíci

    Jamani kimya kimya tutaongeza ukimwi tuludi kwa mumgu

  • @Kingajang0
    @Kingajang0 Před rokem +2

    ❤❤

  • @madamrita9685
    @madamrita9685 Před rokem +2

    Kindly please send me his number
    She is the best
    Nataka kuongea nae .. mama mama mjanja sana kama mimi ..

  • @user-vk5vi3es5g
    @user-vk5vi3es5g Před 10 měsíci +1

    Dada samahani mim mume wangu alinisaliti na mbaya zaidi alipata ukimwi sikuwahi kujua nilikuja kugundua nilivyokuwa mjamzito tulikwenda wote klinik kupima maginjwa yote yeye akakutwa na ukimwi je usaliti huu unaweza je kuendelea kuishi na mtu km huyu na ni baba mzuri tu kwa watot wake lakin huo ukimwi kaipata kwa kunusaliti alikuwa malaya sana tena kwa dhahili kabisa hakuna kificho ila mim nashukuru ni mzima sijaathilika ni yeye tu

    • @happnesskitumbo5713
      @happnesskitumbo5713 Před 8 měsíci

      Kwanza Dada kabla ya yote tafuta sadaka upeleke kanisani kama uu mkristo au msikitini kama uu mwislam ukamshukuru Mungu kwa huo muujiza aliokutendea Mungu ndio mengine yafuate.

    • @user-vk5vi3es5g
      @user-vk5vi3es5g Před 8 měsíci

      ​@@happnesskitumbo5713ndugu cyo sadaka tu nilichinja adi kuku kwa kufurahia afya yangu yani nimeponea kwenye mtundu la sindano cyo kitu rahisi lakin mw/mungu aliniokoa katika janga

    • @subralugege7019
      @subralugege7019 Před 5 měsíci

      Pole uvumilivu unapomza jamani tusivumilie ualiti Bora aoe Kama muislamu

  • @mohdabdallahhasarakwao4353
    @mohdabdallahhasarakwao4353 Před 7 měsíci +1

    Kwa mume kama huyo ni bora mukavunja ndoa tu ikiwa ww hukuathirika

  • @sarahsingombe
    @sarahsingombe Před rokem +2

    Asee kipindii kizurii saaana

  • @jworld1480
    @jworld1480 Před 11 měsíci +1

    hiki kichwa hatari sana

  • @madamrita9685
    @madamrita9685 Před rokem +2

    Kindly please naomba unitumie number ya uyo mama nimevutiwa nae sana...ni mwerevu sana kama mimi...nataka kuongea nae...

  • @hamadsaidy8740
    @hamadsaidy8740 Před 10 měsíci +1

    Nipo Zambia nafatilia mpe hai salome

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před rokem +1

    Dada Iren Asante Kwa kipindi hiki lakini natamani nizungumze nawe inbox huenda changamoto yangu ikapata dawa mbaya zaidi namtumia WhatsApp tu utanisaidiaje?

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 Před rokem +2

    Hollo lreni

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Před rokem +1

    Mtangazaji inaonyesha anawivu na mumewee sanaa na anawasiwasi sanaa namume wake nakuona tuu😂

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem +2

    ❤ Dada kamgisha ulisatiwa Nini inaonekana ulifanyiwa vibaya Sana

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Před rokem +2

      Watanzania mtaacha lini kudhania!! Inabidi nivae uhusika ili update maudhui nayotamani uyapate!

    • @msangodiesel3132
      @msangodiesel3132 Před rokem

      @@irenekamugisha kwenye kipengere hicho unakipiga msumali Sana

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem +1

      ​@@irenekamugishaWasamehe bure. Hawajui unajaribu kuuvaa uhusika ili somo lieleweke kirahisi.

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Před rokem

      😂😂😂 basi sawa, tuseme ndivo ili ufurahi, yote kwa yote ahsante kwa kufuatilia #FixYou share na rafiki zako waone Jinsi nilivyopigika😂😂

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Před rokem +1

      Watanzania sisi sasa na assumptions 😂😂,unaweza ukawa unafanya maisha yako ukapungua ,kumbe ushakua diagnosed

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Před 11 měsíci

    Dada salone mimi naoma kuelewa kuna aina ya mbili za kusaliti yakwanza kuna kusaliti na kuacha su kuendelea
    Na kuna kuchepuka na kuzaa na muchepuko je hii nayo unaiona vipi? Tunaomba msaada
    Dada Aileen muombe dada Salome arudi aweze kudadavua hilo tweeze kuelewa hasa kwa wanandoa

  • @mohdabdallahhasarakwao4353
    @mohdabdallahhasarakwao4353 Před 7 měsíci

    Dada umetoa darsa la nguvu hapo