Fix You: Rafiki yangu kipenzi alivyonichukulia mume wangu mtarajiwa na wakafunga ndoa
Vložit
- čas přidán 26. 11. 2022
- Kwenye episode hii ya Fix You, Irene Kamugisha anazungumza na Sweet Allen ambaye anasimulia mkasa wake wa kuchukuliwa mume wake mtarajiwa na rafiki yake wa karibu na wakafunga ndoa
- Věda a technologie
Huyo dada Sweet ana hofu ya Mungu sn Mungu wa mbinguni azidi kumbariki na kumuinua kiuchumi,😍🥰 Ameen 🙏
Wewe ni mwanamke wa pekee Sana,Mungu akubariki Sana una moyo mzuri.
Kusamehe ni jambo la muhimu sanaa,Kama anatusamehe kwa vitu vikubwa why sisi tunashindwa,Mungu atusaidie
Kumwamini Mungu ndo kila kitu.Neema ya Mungu iendelee kukufunika Dada Sweety.
Hey dada ongera sana kwa moyo huo mungu akubariki kwa moyo huo Yani sijui niseme nini Yani una moyo... Tumejifuzq chochote kinacho tekea katika maisha ni kukabizi mwenyenzi mungu hasante my sister l love you my sister 🙏🙏🙏
Nimekuelewa sn dada Sweet, Mungu atusaidie na sisi tuweze kusamehe na kutokushikilia vitu moyoni. Big up sn dada sweet
Roho za wanawake wengine sometimes ni ngumu sana!
Yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yanawezekana!hongera dada sweetie
Sitaki kabisa rafiki wameniumiza sana yamenikuta sana maisha yakuchukuliwa wachumba ninawa nasamehe lakini bado walinitenda sana kiasi cha mwingine kutembea na mume wangu hakika sitaki kabisaaaaa maana naweza kumuwa
Naona hunifikiii
Pole dada
Mie sijui kama ningewezakuendelea naulafik nae uwww
@@maguga yes kusameh muhim ila iweje urafik urudi?? Atajipanga tena akuumize
Pole Sana tuko wengi Sana
Aisee dada Mungu azidi kukupa imani kubwa na nimejifunxa kitu kikubwa sana ila pia namshukuru Mungu huaga sina rafiki wa karibu ...rafiki ni Yesu pekee
JAmani huyu dada mtamu Kama jina lake, apewe kazi awe mshauri nasaha wa serikalj.Anafaa sana MUNGU AMBARIKI SANA.
Mi sijawh kuwa na rafik zaid ya Mungu aliye juu Alhamdulilah
❤
Nakupenda Sana wewe dada, namuomba Mungu Akupe nafasi katika uzima wa milele
Sweet Mungu azidi kukuinuwa na msimamo wako kwa Mungu ni wow, don't go back.uzidi kuinuliwa Irene pia,be blessed all
Hongera sana sweet. Yaani una moyo wa ajabu sana na Mungu akubariki kwani sidhani kama wanawake wengine wangeweza kama uliyofanya wewe hata mimi binafsi singeweza. Hapo kuna somo kubwa la kujifunza. Ubarikiwe sana.
Wewe ni mwanamke Shujaa,Hongera sana ,kweli marafiki wengine hutamani mpaka kuchukua jumla,Mungu aendelee kuwatunza watoto vizuri.
SNS my family,, love from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 and 🇲🇿 Mozambique
Pole sana yaliyokukuta mungu atakusaidia, na pongezi nyingi sana kwa mtayarishaji mtangazaji wa kipindi hiki cha story ya kusisimuwa ambayo sirahisi kwa wanawake wengi kustahamili na kutoa msamaha.
Mungu akupiganiye saaana dada, na juwa yesu anaweza, na wewe ni shujaa saaana na uko mwaminifu saaana
Hii ni miongoni mwa episodes nzuri kutoka kwenye hii show. Hatuna budi kusema ahsante..inafundisha, kuna sehemu zinafurahisha pia (sio kwa ubaya). Maana kuna wakati matatizo yetu yanageuka kuwa kichekesho hii ni is haraka kuwa tumevuka hiyo sehemu kwa ujasiri..
Umenibariki.sana.dada.mungu.ndiyo.jibu.la.mwisho.katika.maisha
Sweety n8mekupongeza sana na hivyo ndivyo Ina faa. Maisha ni mapito. Na sikuzote ukiwa na moyo wakusamehe basi mungu hakutupi. Dadangu wewe ni mwanamke wa aina yako. Na Mimi nimejifunza sana kutoka kwako. Mimi huwa nakuja daa ikitokea nimekuja. Basi insha Allah ntakutafuta. Mimi pia ningependa niwe na rafiki kama wewe. Kwasababu una akili nzuri roho nzuri sana na unaeza kuka mpa mtu advise ya kumsaidia na akawa anaangalia vitu kwa upana
Mola ana siri yawatu wengu nduniani ila kila mtu atavuna alicho panda .....Dadazangu hata ukiwa na mzungu anamilioni tafadhali jifuze kujituma mwenyewe kazi yako hata kama nikuosha ofisi hata akaondoka uko sawa ....Chako ni chako hata kama nikitambara.
All in all, hongera sana umwanamke jasiri tena wa shoka Big respect
Asante Sana dada Irine Kwa kipindi hiki,dada Sweet Amenitia moyo Sana Sana!kumbe kuna makubwa zaidi yanayowakuta watu,haya madogo tunayokutana nayo naamini pia Yana mwisho kikubwa ni kujituma, kweli kabisa dada sweet anakifua!!namuomba Mungu na Mimi niwe na kifua zaidi ya dada Sweet, naaminihakuna lisilowezeka ukimkabidhi Mungu!!maisha marefu Kwako na Kwa dada Sweet pia
Ubarikiwe sana dada nimepata funzo kubwa sana na pamoja na kumjua mungu mubarikiwe
Alhamdulillah, acha niendelee na msimamo wangu noooo marafi wala mashost
IMEANDIKWA KWENYE BIBILIA. MSAMAHA NI JAMBO MUHIMU SANA. ILI NA WEWE USAMEHEWE NA BWANA NA KUBARIKIWA.
Nguvu ya msamaha 🙌🙌🙌😭😭😭 Duh, nimejifunza sana
Mungu atusaidie sana, mbarikiwe sana kwa kipindi na shuhuda nzuri, na Yesu awatunze sis Irene and sis Sweety.... we are learning and this is too helpful 😍🙌😭🙏
Mungu azidi kumbariki sana huyu mama amejaa sana imani
Mungu ni mwema msamaha ni mzuri sana Irene umetisha sana unatuletee mambo mambo big up
Hii story kama inakosa uhalisia. Napiga picha kufunga vitu kwa muda wote na kupakia kwa muda mfupi kiasi hicho. Script iko poa
pole sana dadayangu.mzungu usimuoneshe rafiki yako siku ukimuuthi kidido basi aruka na rafiki yako hivyo ndivyo walivyo.simwamaume au mwanamke.mimi naishi hapa uraya miaka 20 nimeyaona mengi kama hayo nami yamenitokea.
Asante Sana dada hongera sana dada. kweli dadaumesema kweli 🙏👏👏👏👏👏👏👏
Kweli we dada mbinguni utaenda mungu akupiganie kwa moyo ulionao
Yan uyu dada ni mm kabisa kitu kinacho umiza sio kuachwa na mwanaume Noop the things ni rafiki yangu Kwann anifanyie hvi ili hali sijawahi kumkosea kwa chochote aiseee it really pain 😢 pole sana dada Mungu mwenyewe ndo anapanga
Acha inaumaa mnoo😭😭
Uyu dada ana busara kubwa sana. Namupenda kabisa 😂😂 na historia yake ina ni fariji moyo. Msamahani ni jambo kubwa maishani mwetu sisi binadamu ina ponya na ina safisha roho na mwili. Historia ya dada siyo muhimu kwa maisha ya leo ndiyo mahana ina bidi tumtegemee tu Mungu. Asante kwa kutu eleza story ili na Mungu aendelee kuku bariki🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Marafiki mara nyingi mtihani
Nimesikiiza story hii kwa makini sana ,Hawa sio marafiki wa kawaida kiubinadamu hapana aisee Kama kwel hii story bac mjengewe sanamu zenu mkiwa Pamoja ,yaan we dada sweetie Ni Zaid ya shujaa majariwa,Mimi cwezi moyo huo naweza msamehe lakin siwezi kuwa na urafiki nae Tena...
🇹🇿🇹🇿Jamani marafiki sio watu wazuri Mimi rafiki yangu alimwambia mchumba wangu Kua Mimi nilisha fariki mwaka 2013 wakawa wapenzi 2017 wakazaa Mtoto mmoja, kumbe mchumba wangu bado alikua ananitafuta amenikuta 2022 penzi limeisha na Yule dada ambae alikua rafiki yangu mpaka sasa Mimi na rafiki yangu tumeingia mwenye Vita vikari Sana, 🇹🇿🇹🇿 Jamani marafiki sio watu wazuri Mimi niliambiwa nimekufa akamchukua chumba wangu 🇹🇿🇹🇿
😢😢😢😢😢duh
🤔🤔🤔makubwa
Ubarikiwe Sana dada sweet.... Kwa hakika umeonyesha maana halisi na kutekeleza amri ya upendo...... Nina hakika Mungu anajivunia wewe....... Wewe ni mfano katika jamii
Pole sana yangu kumweleza mungu hitaji lako akutangasi abadiliki atakuwa wewe mpaka mwisho pole sana
Pole sana Dada yangu mungu akutie ngufu
Daar nmekusifu
Daah hongera sana dada mie ningemsamehe sawa lkn siwez tena tena kuwa nae ukaribu km zamani ww una moyo wa pekee mungu akubariki sana
Marafiki n wabay sana sina hamu nao kwa sasa sina rafiki zaidi ya mume wangu tu
Hilijambo lininikuta mimi siwezi elezea ila yesu amenipakusamehe usiposamehe unakufa hukuunajiona maumivu yake ni makubwa kuliko unavyo elewa
Kabisa yan
Pole sana dada nashukuru Kwenye Maisha yangu sinaga shoga wala rafiki
Mi mwenyewe naishi kivyangu na namshukuru Mungu
Mmmmh kuna kitu sio bure
Huyo shoga alikuwa amefunga ndoa Lutheran huyo mme wake alikwenda wapi? hadi aje afunge ndoa na Mme wake?
Shida sio shoga shoda ni mume hakuwa na upendo na huruma kwa mkewe 😭🙈eeeeeeee Mungu asimame katika maisha yetu ya hapa duniani
Dada urafiki wenu una mashaka. Sema pengine mna ndoa ya jinsia moja. Bado natafakari kwanza kabla sijaendelea kusema maneno au uchambuzi zaidi.
Kuna mtu alishawahii kunikosea Ila mimii na nimemsamehe na huwa naongeaa nae ...mi namuelewa huyu dada anasali Sana ndo maana kaweza kusamehe Hawa hawanaa ndoa Ila huyu dada anaupendoo
Dada acha kufikiria mbali asiye fikwa na msiba hajui machungu yake lazima utawaza hayo.tunakusamehe bure.huo ni moyo wa mtu wanadamu tumetofautiana mioyo.samahani ni neno dogo sana lakini lina maana kubwa sana.
Hongera Kwa kuwa na utu siyo kitu. Mshukuru Mungu sana akikupa kipawa Cha utu. Tunajivunia🙋🙋
hiyo ndio nguvu ya kuachilia na kusamehe
Mungu anajuwa nini anachokuepusha mengi mungu akupe amani ya kiroho ila roho inauma sana😥
Dada Sweetie muombe Sana Mungu huyo dada ni shetani mzima mzima anamtumia akuharibie maisha yako.Muombe Mungu vizuri mwana wa Mungu Ili akufunulie zaidi juu yake.Ilitosha kumsamehe ila kurudiana naye na kuwa karibu naye Tena kama hivyo Hapana.Kaa naye kwa tahadhari.
Stori ya uongo hiyo una amini mtu auze miguu ya kuku aweze lipia kodi ya nyumba nzima 😀😀😅
😂😂😂😂@@ilynpayne7491
Wa Mama wengi wana pitia changamoto... na wana moyo. I am so impressed with her heart, and she reminds me of my mother love story. Mungu awa bariki wa mama wote na ambariki sana.
Yaani mmmmh sijui kwakweli yukoje
Pole sana dada hakika wew ni mfano wa kuigwa na kuamini kuwa maombi ndiyo silaha Maan bila ya maombi ungeendelea kuumia barikiwa sana
Daaahhh
Aisee wanawake km huyu dada niwachache sana ulimwengu huu.
Hio nisifa ya kimungu.
Kwan mungu ni mwingi wa huruma na kusamehe,
mana nimungu pekee anasamehe hadi yule mwenye nia ya kutaka kusema samahani kwayakini ya moyo wake kabla hajaitaka sahaman hio.
Kwan Niyeye mungu anajua msamaha wakweli unaotaka kutamkwa hata ikiwa bado haujatamkwa.
Umebarikiwa sana dada,na ubarikiwe zaidi🙏😞🙏 NAKUPENDA ❤️
For real maana mwanaume haibiwi jamani anaenda mwenyewe
@@aminasuleyman5834 wallah tena.
Uskute jamaa ndio alimshawishi mwanamke.
Mana ndio zetu kujarib jaribu🤣🤣🤣🤣
Amina kubwa kaka tubarikiwe wotee
@@sweetymbonika1830 🙏🙏❤️
@@jeybullaz9323 hata wanawake pia tunajiendekeza Sana jaman dah
Huyu dada ni shujaa,I salute you darling 💕
Mimi nataka no ya simu dada you are a smart teacher
Pole ndugu, ni kweli kabisa unayosema wenzetu wapo wanaojua Kuhendo na sio wote ni wasaliti. Mtumainie Mungu my dear
Pole sana dada kwa uchungu alioupata usiamini tena rafiki kama huyu
Unamoyo hongeraaa
Mama nimepitia mengi, lakini Ellai. Azidi kukubariki. Azidi kukupa Maisha mema. Usimwache Kristo Yesu Mnazareth. Mtoto wa Bikra Maria! Amen!
Siwezi kwakweli kusamehe Sawa ila sio kurudisha urafiki kaaa kule nami niko hapa nakupenda ila kaa kulee ata mungu anayiona niaa yangu ila uko shujaa mungu atupe ustahmilivu ndani yetu na hekima ndani yetu mungu awe nawe ndayima
Jamani
Hiyo ni neema Tena siyo ndogo bali ni kubwa sana na mtafika mbali sana hasa wewe dada Sweatie Mungu lazima akuangalie
Smart woman’s we got u there
Nimebarikiwa sana na story ya huyu dada na pia nimejifunza kitu pia Asee Mungu akubariki dada🙏🙏
Sns... Nimesikiliza simulizi Kama angeisimulia vizuri ingesisimua zaidi Sana Ila haisimulii kwa hisia kulingana na maumivu...kwa mfano vikao na PESA za michango, familia wazazi wa rafikiye na wa kwake ilikuaje, na hawezi kuuza miguu kwa ghafla ukalipa Kodi kumbuka Kuna kulana he mzungu aliwaacha watoto Hadi Leo au ilikuaje story haijakaa sawa.
Kwa KABILA la Wairaki hakuna kitu msamaha. Unaweza ukawa umekoseana nao hata miaka 10, lakini hata kama umesahau ukiwa ktk 18 zake atakumaliza tu
Marafiki ni wabaya sana mimi rafiki yangu alimchukua mme wangu wakaishi pamoja alinitukana kama hanijui lakini Mungu yupo na anajibu akaenda kutembea na mme wa mtu mwanamke wake akajua akamkanya hakusikia akamroga akafariki tujifunze kuwa waaminifu kwa wale wanao tuamini
Umenipotezea bando langu tuu bureee kabisa
Kusamehe sawa lkn sio mpaka kulala kitanda kimoja
🤣🤣
🙌🙌🙌🙌🙌🙌rafiki yangu ni Mungu wangu tosha
Sweet una Mungu kwelikweli maana ingekua mimi nisinge kua na ukaribu nae tena,hata kama nimemsamehe,Mungu atusaidie wanawake
Pole sana dada yangu inauma sana
Ntamsamehe Ila ukalibu nae staki tenaaa hyo sweet ajiangalie hyo rafiki yake hajawah kumpenda
Ndio akina mbonika tulivyo fuatilia.big up sweet
Hongera sana.
Nguvu ya Msamaha inashinda yote. Nakuelewa sana Sweet. Barikiwa sana
Wadada wanene wana roho nzuri sana💯💯💯💯
🤣🤣🤣😂😂😂SISI WEMBAMBA
Dada una moyo wa peke yako,itakuwa ulizaliwa ukoo wa Yesu
😅😅😅😅
huyu dada ni mzima kweli😥😥sijawai ona story kama hii wallah 🙌🏼
Nimzima kabisaa nasina tatizo lolote
@@sweetymbonika1830 ngoja safali hii anakubebea baba akooo shetani habadiliki
😂😂😂😂🙄
Yani mimi ningekuwaa jela wallay🤣🤣🤣watu wanene bwanaa mioyoyo yao imejaa mafutaaaa
@@sweetymbonika1830 kumbe ni ww pole kwa yote ila sasa kwanini umrudishe mtu aliye kuumiza ?! Kwani ukimsamehe mtu ni lazima kuwa rafiki yako ?! Muwe mnatumia vizuri lugha ya vitendo Mungu anayo tumia kuwaweka mbali wabaya na watesi wenu yani mtu amekuonesha rangi yake halisi lakini bado hukomi tu au unataka adi akubebe na roho yako ?!! Weka mbali uyo mtu
Kwangu mimi no comment uyo mwanamuke yuko very very strong women
Hongera sana MUNGU AKUTUNZE WEWE na familia yako
Pole sana dada ila kuna kitu hakipo sawa hapo. Kumsamehe msaliti ni jambo moja na ku associate naye tena kwa kupika na kupakuwa ni jambo jingine.
Ulisema uliacha kuamini tena mtu yeyote lakini baadae ukaanza tena kumuamini na kumpenda mtu yuleyule. What is the guarantee kwamba hataweza kukufanyia usaliti mwingine!?
Na je iwapo atakusaliti tena ,Je utaweza kumsamehe tena na kujisamehe wewe mwenyewe kwa kuwa Mungu alisha mdhihirisha hapo awali kuwa ni msaliti!
Kaka Rashid, namuomba Mungu huyu Sweetie asome ujumbe wako🙆🏽
Atari
Kaka kwakipindikileee sikuweza kumwamin mtu ila unapo sameheee unaacha kila kityu nakuanza upya
@@sweetymbonika1830 kwaiyo dada ukipata mchumba mwingine atakuja tena kukuchulia tena
😄😄 ni mtihani sanaa
Watu wanambinu sana uenda dada kalogwa uyu na yule mzungu alilogwa pia siamini kulogwa ila ayo yapo
Marafiki si watu mimi sina rafiki na sihitaji kabisa marafi🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa ndugu yangu, rafiki mkia wa fisi,hata mimi sina marafiki mweeee
Me nataka ww tuwe marafiki😂😂😂
@@motoe1073 hapana 😁😁
Kwahiy hunitaki
@@motoe1073 Ndiyo sihitaji rafiki🤣
Nimempenda sana huyu dada,nami nilipitia magumu sana,natamani kumpata awe mshauri wangu,nampataje sasa,she's so sweet kama jina lake kwa kweli
Mungu akubariki umepita ndugu yangu mungu akutunze
pole na mimi alinizunguka hivo hivo nilijua siku ya ndoa nimeona picha tu pole
Pole sana dada, nimeamini uchawi upooooo 😭
Kbs.
Kweli dear ilainauma Sana jaman
Forgive yes but to let that person back in my life again hapana.boundaries is very important
That's my opinion
Vibaya hak Sweet Mungu akubaliki mnooo
Hapo kwenye kusamehe nimekuelewa, lakini hilo la kurudisha urafiki na rafiki aliyekutenda haiko sawa, huko ni kukaribisha majanga kwenye maisha yako
Doing wife duties in a boyfriend's house and he still dumps you for your friend who never did anything for him🙄 until he marries you don't do much bcz if he wants to stay he will regardless
She was married remember
Nimesikiliza mara mbili ila nahisi kuna kitu kinamiss hapa. Next time mumlete mzungu abalance au rafiki mwizi
Kma umewai kukutana uwez bisha
Unapojifungua mumeo alikuwa honey moon. Kwa hiyo ungeweza kujifungua siku ya harusi. Dah! Sielewi. Pole Sana
Mmmm Mungu akuzidishie na akuinue sio rahisi hata kidogoooo
Huyu dada anafaa kutengenezewa sanamu lake nishujaa mimi ningesamehe lakini ukaribu naye sintokaa nika jaribu mpaka kiama maana huyo ni rafiki nyoka hatashindwa tena kukugonga dada kuwa makini
Una moyo sasa ngoja upate mume mwengine umshirikishe tena
Hili nalo neno😂😂🙌🙌🙌
Pole sana mimi huo moyo sina
Ahaaaa! Mimi sina na sihitaji rafiki/shoga wala mpambe katika maisha yangu 90% ni wasaliti hili ni funzo kwa wanandoa wengi huko nje.
kutunga story amejitahidi lkn kuna maeneo amelipua anaonesha moja kwa moja ni mwongo ni story ya uongo lkn amejitahidi
Malanyingi ulafiki ukivunjika kisa mapenzi uwa ukiludi uwakuna mpango wa kulipa kisasi talatibu kisasi kina kua kitam sana ya sana
God has a purpose for everything
Wanaume asante🤗 ila wewe dada unamoyo na utaishi maisha mareefu mno Mungu akubariki
You are strong Sweetie.
Sweet nimekukubali. Wewe ni mwanamke wa kuigwa. Mungu akutunze
Nimekupenda sana wewe DADAA jamani hii yote ni kua na IMANI ya kidini moyoni mwako
Asante Dada nimejifunza vingi hapo
Wanaume si watu wazuri kwa ukweli
Vipi huyo mwanamke aliyemuibia mwenzie mume. Je ni mtu mzuri!? Haya mambo ya usaliti yapo pande zote.
1. Wake za watu urafiki gn mpk mkitembeleana kulala chumba kimoja?
2. Alikuchukulia mume sawa UMESAMEHE how come tena umemsogeza na mume wako mpya na mazowey mpka yakumpigia cm?
3.Dada something wrong.. somewhere 🚶♂️ Alooooo kuna ugonjwa flani nimesahau jina kuna baadhi ya wanawake hawawezi ishi bila ya rafiki tena not just rafiki Mmh rafiki ambaye umemzidi kitu flani so inataka special rafiki wakujioneshea( KURINGISHIA) vitu flani flani alafu huyo rafiki ana kuactia yr the best and yr lucky 🤣🤣🤣huo ugonjwa ukikosa type ya huo rafiki rest of yr life utakuwa unhappy. Sooo it's means she's not ok... Sorry mawazo yangu
Itakuwa waliweka mpango wamchune huyo mwanaume, urafiki gani wa hivyo. Umsamehe mtu, arudi mlale kitanda kimmoja wakiongelea nini. Motivational speaker wametuchosha
Sio wote bhna kuwa na rfki,,,Mimi sijawahi kuwa na rfki jamani rafiki yangu ni simu tu
Uncle wangu za siku
you are righ.. its either low self esteem..
Huyu dada jeuri sana anaonekana.
Huyo mzungu huku kwao asingesema hata neno moja,vangelipa child and spouasal support mpaka ashike adabu...
She has a big heart. Could never be me. I would forgive but why would i want u as a friend again? So u cn ruin my life again. NO
But hii storyline inauma sana asante sana kwa hii story mutangazaji na musimuliyaji wato muko vizuri sana
Huyo mzungu alikuwa mzungu wa kwa lulenge mzungu gani anakuacha anakuja kubeba vyombo looh. Halafu msliti hawekwi karibu damu ya usaliti haiishi ngoja akupige tukio lingine takatifu hilo hata kusimulia hautaweza sweet sweet
Aseee hongra San mamaaaaa umejitahd
😫Natamani niingie kwenye hii screen ya simu ili nikuvute mashavu halafu nimalizie na kofi zito litakaloweka ubongo wako sawa; kuna janga tunalisubiri katika hii show 😫🙆🏽
Kwanini jaman 😭😭😭
@@sweetymbonika1830 Si kawaida mdogo wangu. Mungu alikuwa na sababu ya kunwambia Adam na Eva waende wakaongezeke na kuijaza nchi, kwa sasa idadi ya watu duniani ni mabilioni, kwanini lazima umrudie huyo “mke mwenzio”; kusamehe lazima ila kurudia kwenye urafiki nae, ✋🏾, tuko wanadamu wengi sana hivyo aende upande wake na wewe nenda upande wako, please!
Kwakweli ni ujinga hata Kama umesamehe nikukaa nae mbali moyo wa mwadamu nikichaka subili amtoe uhai uyo nishetan analake Jambo neno linasema tuwe wajanja Kama nyoka wokovu sio ujinga
Yaaaani nimecheka utadhani mazuri jamani
@@sweetymbonika1830 ila hyu mzungu wamchongo bhn story haipo sawa Mara wanamaden mara wanapesa inamaana hkua na akiba mpk auze miguu ya kuku mmh nimeliw bando langu
Pole Sana dear hongera Sana kwa moyo huo
Somo nzuri kosa ulitanguliza uzinzi ukaacha kufuata mandishi ya mungu kutanguliza ndoa.