MZUNGU ALINISALITI | NILIMSHAURI MUME WANGU AACHE KAZI YAKE | NIMESHINDA TUZO MPAMBAJI BORA WA USA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Doreen ambae ni Mtanzania kutoka Kilimanjaro ameeleza safari yake kutoka Tanzania mpaka Marekani.
    Aliacha kazi yake ya Ukurugenzi na kuamua kuhamia Marekani ambako alikua hajui anaanzaje ni baada ya kupigwa tukio la kusalitiwa na Mzungu.
    Kwasasa ni mama, mke, na mfanyabiashara anaefanya vizuri kwenye tasnia ya mapambo na amepata kushinda tuzo ya mpambaji bora wa USA.
    Istagram @sassyflyluxury_events
    Thank you Doreen for allowing this to be online
    www.oda.international

Komentáře • 146

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar Před 10 měsíci +15

    Ahsante sana kwa motivation ❤ ukija Texas nishtue

  • @lulukim3810
    @lulukim3810 Před 10 měsíci +18

    Kelele moja kwa wachaga jamn❤

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 10 měsíci +4

    THANK YOU, MWANAMKE UKIJISHUGHULISHA mwanaume anakuheshimu, mzungu ndio anakuheshimu mnooo, msidanganyike, work hard.Hata wake za mabilionea wanajishughulisha.
    Kasomeni, fanyeni kazi au business. Ni muhimu sana.

  • @zainabsibuma-omary7061

    Beautiful lady, inspiring 🎉 loving, kind hearted and talented woman. Congrats Shena n Doreen 👏

  • @vero57
    @vero57 Před 10 měsíci +2

    DADA UMEOGEA KWELI, WATU WENGI WANAPENDA TEGEMEZI, HAWAJITUMI KABISAA, WANAFIKIRI MZUNGU TUU KWA PESA ZAKE, HONGERA SANA DADA KAZI NZURI, MFANO WA KUIGWA SANA, LOVE FROM TANZANIA 🇹🇿 KILIMANJARO WE LOVE YOU 👍👌💐💐

  • @ankaah1230
    @ankaah1230 Před 10 měsíci +3

    Haya tu like video jamani, darasa liwafikie watu wengi. Good job shena, Hongera Doreen

  • @hellenelias8854
    @hellenelias8854 Před 4 měsíci +1

    hao wazungu wenye kila kitu wananyanyasa wengi wao,bora kujitafutia. Hongera sana Doreen, kazi yako nzurii😍😍😍 nakufwatilia instagram👏👏👏

  • @m___ck799
    @m___ck799 Před 10 měsíci +5

    Chaggans are always pretty and smart! 😍👌

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 Před 10 měsíci +3

    katika video zako zote this is best for me❤❤❤❤😊 nimeipenda hadi nimeipenda tena

  • @azaransari7307
    @azaransari7307 Před 10 měsíci +6

    Best interview ever beuty with brain

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 Před 10 měsíci +2

    Doreen umeongea vizuri sana what l learn from you,is focusing on what you belive no matter what.

  • @roseswedi5274
    @roseswedi5274 Před 10 měsíci +4

    Hi...I really love this beautiful Doreen she a real chagaa woman.. continue with the spirit open to meet u someday

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před 10 měsíci +1

    Mm nilijuaa mzungu ..❤❤kumbe mchaga mwenzangu..one day tutaonana....nataman nikuone

  • @tajiriskitchenswahiliflavo1723
    @tajiriskitchenswahiliflavo1723 Před 10 měsíci +2

    Hongera sana, interview nzuri sana ❤ big motivation 🙏

  • @roseswedi5274
    @roseswedi5274 Před 10 měsíci +3

    Doreen I love what you love...I love ur ideas

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 9 měsíci +1

    Wow yaaaan dada yangu
    Unajiamin mbaka unajiamin tena sana ivyo ndivyo inavyotakiwa ❤

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 Před 6 měsíci

    ❤❤kwakweli Mungu awabariki sana nimejifunza mengi sana nimejikuta Napoteza muda kuwajiliwa inabidi kujitowa nichukuwe risque !!

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 10 měsíci +13

    Kusikiliza watu kama hawa unapata kujifunza mambo mengi sana ila ukweli tuseme uyu dada yuko vzur sana kichwan mpaka misimamo yake hii ni nguzo kubwa sana dada zangu chukuwe ili darsa na mlifanyie kaz vzur

  • @user-jw8ek2jt3v
    @user-jw8ek2jt3v Před 3 měsíci

    Asante sana dada Shena kwa kazi njema. Ni rahma Ali wa Kenya 🎉🎉🎉

  • @wangoifancy6542
    @wangoifancy6542 Před 28 dny

    Hongera Da

  • @mariaignassy3847
    @mariaignassy3847 Před 10 měsíci +1

    shukrani sana kwa kuendelea kutufunza dada shena

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Před 10 měsíci +2

    Hongera sana Doreen,Mungu azidi kuwa na wewe na familia yako.

  • @GoodlifeSoftlife
    @GoodlifeSoftlife Před 10 měsíci

    One of the best interview umewahi kufanya tuletee watu wa hivi tupate cha kujifunza

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 10 měsíci +2

    Cool be bless

  • @rachelmtemange5206
    @rachelmtemange5206 Před 10 měsíci +3

    Na hapo tukifunze pua ya Doreen tuwe tunafanya vitu vya nyumba sio kila kitu mwite fundi,mimi nipo TZ lkn kama kuna switch imegoma au kuungua naweka mwenyewe,pazia za nyumba naweka mwenyewe kitanda kabati narekebisha mwenyewe na ni mwanamke mimi 😂😂TUJIFUNZE JAMANI SIO KILA KITU HADI WENDE VETA😂😂

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 10 měsíci +2

    Hongera mimi nipo 🇬🇧 22yrs

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 Před 10 měsíci +1

    Upo smart and beautiful ❤

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 9 měsíci +1

    I always inspire you Doreen

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 Před 10 měsíci +1

    Ahsante kwa kutukumbusha kuwajibika zaidi.

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 10 měsíci

    I LOVE THAT NI KWELI ,TUNAAKILI WAAFRICA SANA SANA SEMA , WAAFRICA WENGI HAWAJIAMINI TU LAKINI BE ARE THE BEST

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 9 měsíci +4

    She got a nice point ila uso unatisha. Yaani macho kama paka. Usiweke sana make up kwenye macho yako. Inawezekana ukawa more beautiful without the makeup

    • @twix1404
      @twix1404 Před 8 měsíci

      Na minywele ya brond wawaachie watu weupe yaani kwanza mie ningikua naona aibu 😅😅😅😅

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 Před 10 měsíci +1

    asante dada imenitia moyo sana sio tu kwenye mahusian hata kwenye maish ya kawaida

  • @anithamphuru4214
    @anithamphuru4214 Před 10 měsíci

    super woman ❤ Very hard working.

  • @sadiqmwafrica6759
    @sadiqmwafrica6759 Před 9 měsíci

    Hii ni moja ya best example wa kuigwa

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 10 měsíci

    Doreen you NAILED IT DEAR SISTER, TABIA ZAKO TUNATAKA FANANA NA WAMAREKANI NAWAPENDA SANA UWAAAA 😂😂😂 NASHUKURU KWA KUNITIA NGUVU

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 Před 10 měsíci +1

    Wonderful

  • @user-yi4pp8ku3e
    @user-yi4pp8ku3e Před 6 měsíci

    Hongera mama

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 Před 4 měsíci

    Hongera Sana Sana

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Před 10 měsíci +2

    Huyu dada nampenda anapiga kazi ❤

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 10 měsíci +1

    Woow SO GREAT STORY AND INSPIRATION STORY DEAR

  • @user-iz9ci4rs3d
    @user-iz9ci4rs3d Před 10 měsíci +1

    Hongera sana dada

  • @NYABAGANGATARABA-il5yl
    @NYABAGANGATARABA-il5yl Před 10 měsíci +1

    Dada wengi wajifunze ni case nzuri wanawake tuwajibike Dunia imebadilika barikiwa.

  • @jocelyneedward
    @jocelyneedward Před 10 měsíci +1

    👏👏👏👍nice

  • @ceciliaburchardmwijage7023
    @ceciliaburchardmwijage7023 Před 10 měsíci +3

    Wacha weeee hongera sana

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 Před 10 měsíci +6

    Hapo nakubaliana na ww dada kwa muda mfupi nimekua nikichati na wazungu nimegundua sisi Waafrika tuna upeo mkubwa wa kufikiri kuliko hawa wazungu wallah tena yani kuna vitu unaeza chati na mzungu akavifanya mpaka we mwenyewe ukajiuliza hivi haya mambo anayafanya mtu mzima na akili zake au mtoto mdogo wa miaka 7🤣🤣

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Před 10 měsíci +2

    Congratulations Doreen 🎊 👏 💐

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Před 10 měsíci +5

    Huyu dada ni Mimi kabisa, akili zake zinafanana na zangu japo mi ni WA Morogoro

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 Před 10 měsíci

    Shena umependeza sana
    Unangaa😊

  • @GloryMsofe-gr3st
    @GloryMsofe-gr3st Před 10 měsíci

    Nimejifunza Asante sana

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před 10 měsíci

    Sawa stor n nzuri blessed❤..mbona uwa tukiomba no za waliofanikiwa uwa hamtupi??😢

  • @DoreenMwakibinga
    @DoreenMwakibinga Před 10 měsíci

    Mwanzo mgumu time speak voices never give up

  • @cynthiaAndrew-ww5rh
    @cynthiaAndrew-ww5rh Před 10 měsíci

    Hongera sana mdada! Umepambana!🎉

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Před 9 měsíci

    Nondo Kama hizi zinatoka kwa mrembo mzalendo km huyu mungu na akubariki

  • @user-gp5lc7wc8t
    @user-gp5lc7wc8t Před 10 měsíci

    Thanks

  • @Martinamsimbe
    @Martinamsimbe Před 4 měsíci

    Martina msimbe , Morogoro Tanzania

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 Před 10 měsíci

    Wow❤❤❤

  • @aminaabdulghanim8256
    @aminaabdulghanim8256 Před 4 měsíci +1

    Elimu kali

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 Před 4 měsíci

    Napenda story yako

  • @Martinamsimbe
    @Martinamsimbe Před 4 měsíci

    Martina msimbe , Morogoro

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 10 měsíci +1

    Watz htari

  • @DarleneCapher-vs6ze
    @DarleneCapher-vs6ze Před 10 měsíci +1

    Nimejifunza pakubwa sana leo😢 mpk nimelia maana nilikuwa sijui nakosea wapi

  • @tinanicholasligwile6972
    @tinanicholasligwile6972 Před 10 měsíci

    Ni kweli watu wanapenda kukatisha watu tamaa

  • @Martinamsimbe
    @Martinamsimbe Před 4 měsíci

    ❤❤❤

  • @jeniferhussein4424
    @jeniferhussein4424 Před 10 měsíci

    Mm naombz a/c yake nchek decorations na kaz zake

  • @hildagabriel1003
    @hildagabriel1003 Před 10 měsíci

    Beauty with brain I like her lol

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 Před 4 měsíci

    Asee we ni mchaga wa wapi

  • @moonatart3123
    @moonatart3123 Před 10 měsíci

  • @Alice-Gyunda
    @Alice-Gyunda Před 10 měsíci +1

    Daaa huyu Dada hajui matumizi ya No😂😂😂 ‘experience ya kupamba ulichukulia kwenye mau ya mama ‘ Yuko No Hapana 😂😂

  • @elizabethtarimo2990
    @elizabethtarimo2990 Před 5 měsíci +1

    Wachagga hoyee

  • @rachelmtemange5206
    @rachelmtemange5206 Před 10 měsíci

    👋👋👋😘🥳💃Dada upo kama mimi sitaki mwanaume mwafrka hata iweje nataka mzungu hata awe msukuma mkokoteni Yaani meneno yako yamenigisa kwelikweli,

    • @katejolly6752
      @katejolly6752 Před 10 měsíci +1

      Tuko pamoja uko kama mmi

    • @Annie_944
      @Annie_944 Před 10 měsíci +1

      Hii inaitwa aluta continua😂😂😂..afe kipa afe beki mzungu lazima

    • @fortunathabarabara8471
      @fortunathabarabara8471 Před 10 měsíci

      😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂

    • @balljmushi9599
      @balljmushi9599 Před 8 měsíci

      Hata,mm,ctak wnwk wa k-afrk

  • @doricamugusi5918
    @doricamugusi5918 Před 10 měsíci +7

    instagram anatumia jina gani?

  • @amedegabri4435
    @amedegabri4435 Před 5 měsíci

    Ukijichubua hivyo lazima mzungu akuache

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 10 měsíci +1

    Wewe dada kama mimi mume wangu simuombi hela mimi nafanyakazi akitaka atanunua kitu ndani hakununua simuulizi kwa kuwa wajibu wake kwa nini nimkumbushe au nimuombe kwanza unaepusha mizozo kwenye nyumba

  • @djyondergigi1027
    @djyondergigi1027 Před 9 měsíci

    Pension

  • @mwanonomohamed4688
    @mwanonomohamed4688 Před 10 měsíci

    Soo ulianza la kwanza ukiwa na Miaka 3???au uliishia la saba???

  • @mwanonomohamed4688
    @mwanonomohamed4688 Před 10 měsíci +1

    Ulianza kazi miaka 14 soo ukisoma secondary? Au form five and six?????mara umefanya kazi na wazinguTz??

  • @katejolly6752
    @katejolly6752 Před 10 měsíci

    Napenda America ❤natamani mtu anipeleke jaman

    • @user-kb7zn8lm8m
      @user-kb7zn8lm8m Před 10 měsíci +1

      Ni nchi nzur but life ipo juu sana na inahitaj kufanya kaz sana uwe jembe sana kama huyo Doreen utaishi vzur

    • @user-kb7zn8lm8m
      @user-kb7zn8lm8m Před 10 měsíci

      Watu wanafanya kaz sehem 3-4 ndio maisha utaweza ikiwa kaz moja kaz iwe I nakipato kizur mana bills kubwa na life ipo juu sana

    • @neemamboya9040
      @neemamboya9040 Před 10 měsíci

      Mimi nitafanya hata 10 nikipata nafasi😂😂

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz Před 7 měsíci

    Tunaomba majina ya lstagram tukutafute

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 10 měsíci

    Aha sasa nimekuelewa umesoma kenya ndio maana swahili yako ina something ndani yake

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed Před 9 měsíci

    Wa British pia ni wazuri

  • @hellenelias8854
    @hellenelias8854 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂 yaani watu wa africa hawana haya, mtu hawasiliani na wewe miaka hata saba, then akuja na shida zake straight😅😅😅

  • @Godneverfailed
    @Godneverfailed Před 9 měsíci

    Kuna mzungu nilikua simtaki nikaamua kumuomba pesa ili tuwachane

  • @DoreenMwakibinga
    @DoreenMwakibinga Před 10 měsíci

    Online za bongo na kenya kupiga ela yaani scammers kama wote

  • @vansoham930
    @vansoham930 Před 10 měsíci

    Enyewe uko na ukenya kiasi your English accient

  • @babyboy6310
    @babyboy6310 Před 4 měsíci

    Mchaga wa nguvu

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 10 měsíci +1

    Mbona una kiswahili cha Uganda au kwa kuwa unaongea English na kiswa kimebadilika😂

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 Před 10 měsíci

      Jamani amesoma Kenya alafu kumbuka Kiswahili cha Kenya na TZ kuna maneno na lafudhi Fulani tofauti alafu yupo Marekani Kama haongei hicho frequently lazima kuna mabadiliko chamsingi tuige mifano tu

    • @NeemaMmeli
      @NeemaMmeli Před 9 měsíci

      Doliin Mimi naomba kuwa mfanya kazi wa nyumbani kwako Niko tz

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 10 měsíci

    Sasa akiwa na Ukenya kwenye lafudhi yake shida iko wapi? Ndiko mnakochelewa nyie kwa wivu wenu.

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 10 měsíci

    We mchaga wa machame unasahau kiswahili 😂

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 Před 10 měsíci +2

      Hata ingekuwa Kibosho Kwani shida iko wapiii

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 Před 10 měsíci

      ​@@upendogreutert199😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona hivoo lakin mm mwenyewe wacha niwashuhudie nmekaa Kenya kitambo kirefu by the way nlkua nkiongea n ndgu zangu wakisema mbona umebadlka kuongea n ckua najuwa mm naona sawa tu....nikisia mtu mwngne akiongea nashangaa piya ..mpka nmekuja kunyorosha kiswahl... after kukaa San tz ..pole pole .mazngra inaweza mbadilsha mtu..kuongea

    • @ashminaabdulla8946
      @ashminaabdulla8946 Před 10 měsíci

      Muda mwingi anaishi na waingilishi ndiyo maana anaongea hivi

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 Před 10 měsíci

    Online dating n kujiuza

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 10 měsíci

      Umewahi itumia ?

    • @viousa
      @viousa Před 10 měsíci

      Huku marekani watu wako bize na kazi hawana pa kwenda wakitoka kazini ni nyumbani kwaiyo njja ya kukutana na mpenzi,mchumba ni online dating. Usiongee kitu usichokijua kama haupo marekani

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Před 10 měsíci

    Sio wazungu tu anaongopa kupoteza mafao,hata huku Tanzania 🇹🇿 wengi tunaongapa hatari,ndio maana to ongopa kutake risk

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v Před 10 měsíci +2

    Mimi mwaka wa tano na date sijapata nahisi kuchanganyikiwa 😢

    • @emmanuelamkinga7828
      @emmanuelamkinga7828 Před 10 měsíci

      yawezekna wako mtanzania mwaya

    • @upendogreutert199
      @upendogreutert199 Před 10 měsíci

      Nope usikate tamaa dada Kaza buti

    • @DarleneCapher-vs6ze
      @DarleneCapher-vs6ze Před 10 měsíci

      Unamkatisha mwenzako tamaa why please dear pambana utapata

    • @user-qb3hx2ku9v
      @user-qb3hx2ku9v Před 10 měsíci +1

      @@DarleneCapher-vs6ze Asnte mine, but I am very hurt because I use the app almost 50 times on two different phones, I end up getting those who say show body show body baby💔

    • @user-qb3hx2ku9v
      @user-qb3hx2ku9v Před 10 měsíci

      @@upendogreutert199 asnte my ila naumia sana niseme ukweli mbaka yafika nashindwa kufanya kazi nashangaa boss anauliza VIP mbona sikwelewi wewe kinauma naishia kupata wale show body baby moyo unauma sana natumia app nyingi sana simu mbili ila hakuna nimesali mbka nalia hakuna nimeacha kula sijapata naacha kuchati whatsap sika app nyingi sipati nakona na mawazo moyo unauma nasema mungu nimekosa wapi jibu sipati naishia tu kuwamezea mate .

  • @user-ki6vd4yj7h
    @user-ki6vd4yj7h Před 6 měsíci

    Naomba Instagram ya huyu Doreen anatumia jina lipi nimejifunza kipi

  • @jocelyneedward
    @jocelyneedward Před 10 měsíci +1

    👏👏👏👍nice

  • @bethisdori5197
    @bethisdori5197 Před 10 měsíci

    ❤❤