MZUNGU ALINISALITI | NILIMSHAURI MUME WANGU AACHE KAZI YAKE | NIMESHINDA TUZO MPAMBAJI BORA WA USA
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2024
- Doreen ambae ni Mtanzania kutoka Kilimanjaro ameeleza safari yake kutoka Tanzania mpaka Marekani.
Aliacha kazi yake ya Ukurugenzi na kuamua kuhamia Marekani ambako alikua hajui anaanzaje ni baada ya kupigwa tukio la kusalitiwa na Mzungu.
Kwasasa ni mama, mke, na mfanyabiashara anaefanya vizuri kwenye tasnia ya mapambo na amepata kushinda tuzo ya mpambaji bora wa USA.
Istagram @sassyflyluxury_events
Thank you Doreen for allowing this to be online
www.oda.international
Ahsante sana kwa motivation ❤ ukija Texas nishtue
Kelele moja kwa wachaga jamn❤
THANK YOU, MWANAMKE UKIJISHUGHULISHA mwanaume anakuheshimu, mzungu ndio anakuheshimu mnooo, msidanganyike, work hard.Hata wake za mabilionea wanajishughulisha.
Kasomeni, fanyeni kazi au business. Ni muhimu sana.
Beautiful lady, inspiring 🎉 loving, kind hearted and talented woman. Congrats Shena n Doreen 👏
DADA UMEOGEA KWELI, WATU WENGI WANAPENDA TEGEMEZI, HAWAJITUMI KABISAA, WANAFIKIRI MZUNGU TUU KWA PESA ZAKE, HONGERA SANA DADA KAZI NZURI, MFANO WA KUIGWA SANA, LOVE FROM TANZANIA 🇹🇿 KILIMANJARO WE LOVE YOU 👍👌💐💐
Haya tu like video jamani, darasa liwafikie watu wengi. Good job shena, Hongera Doreen
hao wazungu wenye kila kitu wananyanyasa wengi wao,bora kujitafutia. Hongera sana Doreen, kazi yako nzurii😍😍😍 nakufwatilia instagram👏👏👏
Chaggans are always pretty and smart! 😍👌
katika video zako zote this is best for me❤❤❤❤😊 nimeipenda hadi nimeipenda tena
Best interview ever beuty with brain
Doreen umeongea vizuri sana what l learn from you,is focusing on what you belive no matter what.
Hi...I really love this beautiful Doreen she a real chagaa woman.. continue with the spirit open to meet u someday
Mm nilijuaa mzungu ..❤❤kumbe mchaga mwenzangu..one day tutaonana....nataman nikuone
Hongera sana, interview nzuri sana ❤ big motivation 🙏
Doreen I love what you love...I love ur ideas
Wow yaaaan dada yangu
Unajiamin mbaka unajiamin tena sana ivyo ndivyo inavyotakiwa ❤
❤❤kwakweli Mungu awabariki sana nimejifunza mengi sana nimejikuta Napoteza muda kuwajiliwa inabidi kujitowa nichukuwe risque !!
Kusikiliza watu kama hawa unapata kujifunza mambo mengi sana ila ukweli tuseme uyu dada yuko vzur sana kichwan mpaka misimamo yake hii ni nguzo kubwa sana dada zangu chukuwe ili darsa na mlifanyie kaz vzur
ITABIDI nisikilize kumbe hata hao WADHUNGU wapo wasaliti? MUNGU aniepushie
Darasa zuri sana
Mungu akubariki sana
Asante sana dada Shena kwa kazi njema. Ni rahma Ali wa Kenya 🎉🎉🎉
Hongera Da
shukrani sana kwa kuendelea kutufunza dada shena
Hongera sana Doreen,Mungu azidi kuwa na wewe na familia yako.
We thank God for that
One of the best interview umewahi kufanya tuletee watu wa hivi tupate cha kujifunza
Cool be bless
Na hapo tukifunze pua ya Doreen tuwe tunafanya vitu vya nyumba sio kila kitu mwite fundi,mimi nipo TZ lkn kama kuna switch imegoma au kuungua naweka mwenyewe,pazia za nyumba naweka mwenyewe kitanda kabati narekebisha mwenyewe na ni mwanamke mimi 😂😂TUJIFUNZE JAMANI SIO KILA KITU HADI WENDE VETA😂😂
Hongera mimi nipo 🇬🇧 22yrs
Upo smart and beautiful ❤
I always inspire you Doreen
Ahsante kwa kutukumbusha kuwajibika zaidi.
I LOVE THAT NI KWELI ,TUNAAKILI WAAFRICA SANA SANA SEMA , WAAFRICA WENGI HAWAJIAMINI TU LAKINI BE ARE THE BEST
She got a nice point ila uso unatisha. Yaani macho kama paka. Usiweke sana make up kwenye macho yako. Inawezekana ukawa more beautiful without the makeup
Na minywele ya brond wawaachie watu weupe yaani kwanza mie ningikua naona aibu 😅😅😅😅
asante dada imenitia moyo sana sio tu kwenye mahusian hata kwenye maish ya kawaida
super woman ❤ Very hard working.
Hii ni moja ya best example wa kuigwa
Doreen you NAILED IT DEAR SISTER, TABIA ZAKO TUNATAKA FANANA NA WAMAREKANI NAWAPENDA SANA UWAAAA 😂😂😂 NASHUKURU KWA KUNITIA NGUVU
Wonderful
Hongera mama
Hongera Sana Sana
Huyu dada nampenda anapiga kazi ❤
Anatumia jina gani insta
Woow SO GREAT STORY AND INSPIRATION STORY DEAR
Many many thanks
Mzima dada Mimi nipo Mozambique naomba namba Yako plz
Hongera sana dada
Dada wengi wajifunze ni case nzuri wanawake tuwajibike Dunia imebadilika barikiwa.
👏👏👏👍nice
Wacha weeee hongera sana
Hapo nakubaliana na ww dada kwa muda mfupi nimekua nikichati na wazungu nimegundua sisi Waafrika tuna upeo mkubwa wa kufikiri kuliko hawa wazungu wallah tena yani kuna vitu unaeza chati na mzungu akavifanya mpaka we mwenyewe ukajiuliza hivi haya mambo anayafanya mtu mzima na akili zake au mtoto mdogo wa miaka 7🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisa
Congratulations Doreen 🎊 👏 💐
Huyu dada ni Mimi kabisa, akili zake zinafanana na zangu japo mi ni WA Morogoro
Morogoro moja hiii❤
Welcome UAE
Morogoro sehemu gani .. Nipo Dakawa 😂
Shena umependeza sana
Unangaa😊
Nimejifunza Asante sana
Sawa stor n nzuri blessed❤..mbona uwa tukiomba no za waliofanikiwa uwa hamtupi??😢
Mwanzo mgumu time speak voices never give up
Hongera sana mdada! Umepambana!🎉
Nondo Kama hizi zinatoka kwa mrembo mzalendo km huyu mungu na akubariki
Thanks
Martina msimbe , Morogoro Tanzania
Wow❤❤❤
Elimu kali
Napenda story yako
Martina msimbe , Morogoro
Watz htari
Nimejifunza pakubwa sana leo😢 mpk nimelia maana nilikuwa sijui nakosea wapi
Umelia kwa nn sasa
Ni kweli watu wanapenda kukatisha watu tamaa
❤❤❤
Mm naombz a/c yake nchek decorations na kaz zake
Beauty with brain I like her lol
Asee we ni mchaga wa wapi
❤
Daaa huyu Dada hajui matumizi ya No😂😂😂 ‘experience ya kupamba ulichukulia kwenye mau ya mama ‘ Yuko No Hapana 😂😂
😂😂😂😂❤nmekupendaaa❤
Wachagga hoyee
hoyeeeeeeee
👋👋👋😘🥳💃Dada upo kama mimi sitaki mwanaume mwafrka hata iweje nataka mzungu hata awe msukuma mkokoteni Yaani meneno yako yamenigisa kwelikweli,
Tuko pamoja uko kama mmi
Hii inaitwa aluta continua😂😂😂..afe kipa afe beki mzungu lazima
😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Hata,mm,ctak wnwk wa k-afrk
instagram anatumia jina gani?
Na Mimi nataka jina lake nione
Uone nini?
Ukijichubua hivyo lazima mzungu akuache
Wewe dada kama mimi mume wangu simuombi hela mimi nafanyakazi akitaka atanunua kitu ndani hakununua simuulizi kwa kuwa wajibu wake kwa nini nimkumbushe au nimuombe kwanza unaepusha mizozo kwenye nyumba
Uko vzur mmaa
Pension
Soo ulianza la kwanza ukiwa na Miaka 3???au uliishia la saba???
Ulianza kazi miaka 14 soo ukisoma secondary? Au form five and six?????mara umefanya kazi na wazinguTz??
Porojo tu, mtoto wa 14 (legally) yuko school
Napenda America ❤natamani mtu anipeleke jaman
Ni nchi nzur but life ipo juu sana na inahitaj kufanya kaz sana uwe jembe sana kama huyo Doreen utaishi vzur
Watu wanafanya kaz sehem 3-4 ndio maisha utaweza ikiwa kaz moja kaz iwe I nakipato kizur mana bills kubwa na life ipo juu sana
Mimi nitafanya hata 10 nikipata nafasi😂😂
Tunaomba majina ya lstagram tukutafute
Aha sasa nimekuelewa umesoma kenya ndio maana swahili yako ina something ndani yake
Wa British pia ni wazuri
😂😂😂😂 yaani watu wa africa hawana haya, mtu hawasiliani na wewe miaka hata saba, then akuja na shida zake straight😅😅😅
Kuna mzungu nilikua simtaki nikaamua kumuomba pesa ili tuwachane
Online za bongo na kenya kupiga ela yaani scammers kama wote
Enyewe uko na ukenya kiasi your English accient
Mchaga wa nguvu
Mbona una kiswahili cha Uganda au kwa kuwa unaongea English na kiswa kimebadilika😂
Jamani amesoma Kenya alafu kumbuka Kiswahili cha Kenya na TZ kuna maneno na lafudhi Fulani tofauti alafu yupo Marekani Kama haongei hicho frequently lazima kuna mabadiliko chamsingi tuige mifano tu
Doliin Mimi naomba kuwa mfanya kazi wa nyumbani kwako Niko tz
Sasa akiwa na Ukenya kwenye lafudhi yake shida iko wapi? Ndiko mnakochelewa nyie kwa wivu wenu.
Si kasema mchaga
We mchaga wa machame unasahau kiswahili 😂
Hata ingekuwa Kibosho Kwani shida iko wapiii
@@upendogreutert199😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbona hivoo lakin mm mwenyewe wacha niwashuhudie nmekaa Kenya kitambo kirefu by the way nlkua nkiongea n ndgu zangu wakisema mbona umebadlka kuongea n ckua najuwa mm naona sawa tu....nikisia mtu mwngne akiongea nashangaa piya ..mpka nmekuja kunyorosha kiswahl... after kukaa San tz ..pole pole .mazngra inaweza mbadilsha mtu..kuongea
Muda mwingi anaishi na waingilishi ndiyo maana anaongea hivi
Online dating n kujiuza
Umewahi itumia ?
Huku marekani watu wako bize na kazi hawana pa kwenda wakitoka kazini ni nyumbani kwaiyo njja ya kukutana na mpenzi,mchumba ni online dating. Usiongee kitu usichokijua kama haupo marekani
Sio wazungu tu anaongopa kupoteza mafao,hata huku Tanzania 🇹🇿 wengi tunaongapa hatari,ndio maana to ongopa kutake risk
Mimi mwaka wa tano na date sijapata nahisi kuchanganyikiwa 😢
yawezekna wako mtanzania mwaya
Nope usikate tamaa dada Kaza buti
Unamkatisha mwenzako tamaa why please dear pambana utapata
@@DarleneCapher-vs6ze Asnte mine, but I am very hurt because I use the app almost 50 times on two different phones, I end up getting those who say show body show body baby💔
@@upendogreutert199 asnte my ila naumia sana niseme ukweli mbaka yafika nashindwa kufanya kazi nashangaa boss anauliza VIP mbona sikwelewi wewe kinauma naishia kupata wale show body baby moyo unauma sana natumia app nyingi sana simu mbili ila hakuna nimesali mbka nalia hakuna nimeacha kula sijapata naacha kuchati whatsap sika app nyingi sipati nakona na mawazo moyo unauma nasema mungu nimekosa wapi jibu sipati naishia tu kuwamezea mate .
Naomba Instagram ya huyu Doreen anatumia jina lipi nimejifunza kipi
@sassyfyluxury_events
👏👏👏👍nice
❤❤