UTAIPENDA: MILLARD AYO NA AUNT SADAKA, CHA KUFANYA MWANAMKE AKIKUOMBA PESA AU MWANAUME AKIKUPA PESA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 123

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před rokem +10

    Wasichana ishini kulingana na uwezo wenu au uwezo wa wazazi/walezi wenu, kweli kama huwezi kujitegemea baki kwenu.
    Aunt Sadaka asante kwa point muhimu sana, hivi vyombo vya habari Tanzania kama mpo serious na kumnyanyua mtoto wa kike Aunt Sadaka anatakiwa kuwa na kipindi somewhere kila wiki.
    Nyanyueni mabinti kwa saikolojia ukiongezea na imani, tutafanikiwa.
    VILEVILE WADADA TUTAFUTE PESA, TUFANYE KAZI NA BIASHARA KWA BIDII ZOTE HATA UKIWA MWANAFUNZI BUSINESS NDOGONDOGO ZINAWEZEKANA.HATA UPATE 20,000 KWA WIKI NI YAKWAKO.TUSAKE SANA PESA TUWEZE KUJITEGEMEA BAADA YA HAPO NDIO TUJE MEZANI NA BOYFRIENDS KUJADILI MAPENZI YA KWELI NA FUTURE.
    Ujumbe: GIRL CHILD, SECURE YOUR BAG, MONEY STOPS A LOT OF NONSENSE.
    Kwa tafsiri ya haraka:
    MTOTO WA KIKE, JIZATITI MFUKONI, PESA INAONDOA UPUUZI MWINGI.

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Před rokem +7

    Had saiz nina miaka 32 sijawahi kumuomba mwanaume pesa na ndy mana napambana sana sana mama nimekuelewa sana yan nina haib mm yan kwanza ile wazaz kumuona huyu mtu kaz nashuru mungu nimepambana had saiz nipo kwenye mikono yangu wazaz wangu sijawahi kuwatia haib za ajabu

  • @marymolel616
    @marymolel616 Před rokem +11

    Millard hongera kwa kujua vitu vizur vyakuwafikishia watu wako wa nguvu, alafu mbona siku hizi huvai kofia jaman zinakupendeza sana siku mojamoja tupia kofia

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Před rokem +6

    Nakumbuka kuna mkaka nilpenda sana alinipenda sana ila aliniomba kinyume na maumbir nilimuacha siku yasiku aliniambia mm nolikutania sijawai muamini na nilimuacha akaja niambia ww unajua kisa unapambana una shida ndogo ndogo ndy mana jeur nimjib mm sio jeur ila siwez kufanya vitu ambavyo vitaniasili kisa nitaonekana jeur au kisa kipato changu kiniganye hiv nilipiga chin 😭

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před rokem +4

    Vipindi kama hivi vinatakiwa viwepo sana kusaidia kuelimisha jamiii Hongera sana Millard na team yako hapo hata makampuni yapo tayali kudhamini kuweka mzigo pesa good content audience watu wengi wanafuatilia kipindi kizuri sana

  • @ellydonatus9748
    @ellydonatus9748 Před rokem +14

    This needed to be even 3hrs long.

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Před rokem

      Ni ndefu, sema millard ayo siku hizi anazikata kata na kuzipost. Nadhani kaona views ndo zinakuwa nyingi na watu kumfuatilia zaidi kutaka kujua mwendelezo.

  • @HermentMrema-fw1kp
    @HermentMrema-fw1kp Před rokem +6

    Shida haiwezi ikahalalasha umalaya kwa njia yeyote ile. Kulipiwa kodi ni kujiuza

  • @macrinasalaho2093
    @macrinasalaho2093 Před rokem +3

    Ahsanteee aunt Sadaka kwa kupigilia pin,This is My always principle in life 😘😘

  • @rumanyikachange
    @rumanyikachange Před rokem +5

    Huyu Mama namuheshimu sana 👑👑

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před rokem +7

    Aunt Sadaka, bila kumlaumu kwanza bint tuwalaumu wazazi kwanza, wazazi wakiskia to uko dar na unaishi kwako na hajui kazi unayofanya ndo kwanza anaitisha pesa kila mwezi tena anaweza mwambia vp hujapata chochote huko uturushie

  • @marthaigogo18
    @marthaigogo18 Před rokem +12

    Millard haupo serious.. wasanii wanaongeaga hapa interview 35-40mins huyu mama mwenye madini 16mins kweli?????

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 Před rokem +2

    Millard mbona kama umetuacha njiani, come back with aunt Sadaka please! Sijawahi choka kumsikiliza Aunt Sadaka and even Millard, so you two are my favorite, please tuletee kipande kingine cha madini. Our girls need to learn from Aunt Sadaka

  • @mugoliciroyi5088
    @mugoliciroyi5088 Před rokem +1

    Mungu ibariki Tanzania kwa vizazi na vizazi vyao sababu Mimi ni Mu congomani Ila na faidika ki maisha psychologia ku pitiya vipindi vya mitandao vya wa 🇹🇿 Tz na na amini ni wengi wana faidika Kama Mimi ,Mungu aibariki media za tanzania na wafanya kazi wema 🙏Mungu abariki mama yetu Aunty sadaka ❤

  • @AmCool_
    @AmCool_ Před 10 měsíci +1

    Tunahitaji zaidi Millard. Moe mama airtime, arudi tena na tena akiwa na mada tofauti tofauti.

  • @rehemangowi-zk6qu
    @rehemangowi-zk6qu Před rokem +2

    Mama umejua ,,uko vizuri na mungu akubariki .Tunaona kwenye jamii zetu wapo mabinti wenzetu hadi wanajiingiza kwenye vifungo vya ndoa ilhali hampendi huyo mwanaume sababu kuu ni kuomba pesa na kupewa pesa ,,mwisho wa siku hata hiyo ndoa haiwez kudumu pale pesa ikikosekana so sad😢

  • @husseinismailseme6727
    @husseinismailseme6727 Před rokem +32

    Siwezi kukubali kumruhusu mtoto wangu alipiwe ada na mtu yeyote , nitafanya chochote ilihali mtoto wangu asome

  • @aikt.
    @aikt. Před rokem +4

    Mama nimekuelewa sana . Nadhani unastahili kua mshauri wa taifa kwa girls haswa hawa premature

  • @samkoka3
    @samkoka3 Před rokem +2

    Aisee aunt kichwa snaa h

  • @khatijakhatija6172
    @khatijakhatija6172 Před rokem +2

    Mashaallah mama umeongea maneno mazima hayo wanawake tujue thamani yetu

  • @nichorousjohn1659
    @nichorousjohn1659 Před rokem +1

    Mama umejua kunipa funzo pia Asante sana kwakutukumbusha majukumu yetu Asante sana millard

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před rokem +2

    Sipendi nilipe kodi janaume lijijie tu ndani kwangu bila haya

  • @raymondmjebe2412
    @raymondmjebe2412 Před rokem +1

    Dahh Kuna maisha tunaishi lakini naamini ni Kwa sababu ivyo nachoamini mimi ni nguvu za mungu zinaitajika tunaposhikana mikono Ili kufikia malengo. Maisha ni tofauti sana ivyo mungu atusaidie

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem +3

    Umeongea kwel madam juz tu kuna dada kauliw na mwanaume wake kwa kukosa kujua thaman yake mwanaume ana mdangany anamtumia lkn alikua ana nia nae njema alipo kuja kujitambua akakataa kuenda nae next time aka mvizia kwao aka muua ni tatizo kweli 😢

  • @Kiirumba
    @Kiirumba Před rokem +2

    This what we call real Aunt ❤️‍🩹💯

  • @samkoka3
    @samkoka3 Před rokem +1

    Naomba aunt apewe kipndi kirefu zaidi ana madini mingi snaa anajibu vizur snaa

  • @boscokikoti
    @boscokikoti Před rokem +3

    MAMA HUYU AKAJENGEWE SANAMU PALE MAKUMBUSHO

  • @leandrymmassy9916
    @leandrymmassy9916 Před rokem +1

    Naomba interview na SAID SALIM BAKHESA pia ANGELINA NGALULA

  • @user-bp5vr5cv1i
    @user-bp5vr5cv1i Před rokem +1

    bro Millard
    Hiyo b mkubwa yuko sahihi sana...
    100%

  • @MisosimitamuC
    @MisosimitamuC Před rokem +2

    Asante sana aunt Sadaka. Somo limeingia .

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Před rokem +1

    Very nice topic

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa31 Před rokem +3

    Uchafu na upumbavu umehalalishwa...!

  • @linuslucas425
    @linuslucas425 Před rokem +2

    My role model millard ayo

  • @SaraChanjarika-zp5ct
    @SaraChanjarika-zp5ct Před rokem +3

    Yaani hii nimependa sanaaa ili mabinti zetu wasiharibiwe,watambue thamani yao

  • @Dantaata
    @Dantaata Před rokem +1

    sema uzuri sasa hv siogopi kuombwa hela hata siku ya kwanza,, ukiomba km siridhiki hapo hapo nakataline

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem +1

    About kuomba pesa girls punguzeni inamaana ulipokua single ulikua unaishi je girls lizikeni ulicho nacho kumbukeni akuna vya bule

  • @gilbertprudence3563
    @gilbertprudence3563 Před rokem +2

    ni ngumu anachoongea huyu Mama Kwa hii dunia et kwetu Hakuna pesa za kunisomesha itokee mwanaume ananipenda na ananisaidia nampenda pia nikatae msaada wake mtapiga Kelele Sana

    • @benomdaile7081
      @benomdaile7081 Před rokem

      Kweli kabisaaa kaisha chelewa dunia ipo mbele zaidi ya hayo anayo yaongea huyu mama ni vigumu sanaaa

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Před rokem +1

    Kweli kabisa aunt sadaqa

  • @user-en6cd4zn1t
    @user-en6cd4zn1t Před rokem

    Asante Sana aunt swadaka

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Před rokem +3

    Mbona hata wanaume pia wanaomba omba peso!

  • @user-mu8hi2pc8c
    @user-mu8hi2pc8c Před rokem +1

    Asatamama

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Před rokem +1

    You are really lady

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Před rokem +2

    Umepajuaje malangali kwetu aunt sadaka

  • @consomosha
    @consomosha Před rokem

    Powerful conversation

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Před rokem +1

    Nakuunga mkono Aunt Sadaka. Pigilia hapo hapo, vijana wanatukosea sana.

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Před rokem +2

    Vido upo makin atari 📌📌

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Před rokem +1

    Mama yupo vinzur 👍

  • @yakobolusasu1821
    @yakobolusasu1821 Před rokem +1

    Yaan nimemwelewa wanaume wanamakosa tena mara 2 maan mwanaume ni kichwa hajui kuwa na sauti kwa family

  • @Misskavalau
    @Misskavalau Před rokem

    Millard we need part 2

  • @nichorousjohn1659
    @nichorousjohn1659 Před rokem +1

    Millard naomba hii nada kuhusu hili umuite tena Aunt nimependa sana nakufuatilia nipo congo

  • @jumambuma1101
    @jumambuma1101 Před rokem +1

    Umeongea vizuri Mama

  • @charlesjaphet79
    @charlesjaphet79 Před rokem +1

    Mama asant Sana nimekuhelewa Sana ww ndo mama

  • @noelmelkior3401
    @noelmelkior3401 Před rokem +1

    Huyu mama huwa namuelewa Sana

  • @emmanuelstephens1891
    @emmanuelstephens1891 Před rokem +2

    Part 3:46 - 4:22 😢😢😢

  • @user-mu8hi2pc8c
    @user-mu8hi2pc8c Před rokem +1

    Nimejifunsamama

  • @wishjrtz
    @wishjrtz Před rokem +1

    Maza ana logic

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Před rokem +1

    Paula unasukia huko

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 11 měsíci

    Hiki kizazi cha amapiano ni kigumu sana kuelewa kina Frida hao

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    Aunt sadaka 🌹

  • @Amplifiedtz
    @Amplifiedtz Před rokem +1

    MILLARD TIME IS NOT ENOUGH

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 Před rokem +2

    APEWE MAUA YAKE HUYU AUNT, NIME PENDA KADONDOSHA NONDO MUHIMU SANA,
    VIJANA UPWIRU UNA WASUMBUA NDY MAANA MAFANIKIO HUWA NI HADITHI KWA WASIO NA FOCUS

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 11 měsíci

    Mama aongezwe mda, mbona wasani waongeaga pumba hapo mda mwingi

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Před rokem +1

    THANK YOU AUNT SADAKA VIJANA WETU WAMEKUWA MR AVAILABLE NA MADAM AVAILABLE

  • @user-uz9jm9ng1d
    @user-uz9jm9ng1d Před rokem

    mama utaenda mbinguni naona kabisa alaf huyo dada ni kolo wa hapo studio ana support ujingaaa anjaribu kumbishia hata mama yake 😂

  • @user-ro3ke1vt5f
    @user-ro3ke1vt5f Před rokem +1

    hapo ni kujitambua na kujilinda ukabiliane vp na hisia zako ili usishawishike mpaka utakapoolewa

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 Před rokem

    Huyu Aunty Sadaka ni Geneous

  • @frankomart5801
    @frankomart5801 Před rokem

    Mama anaongelea Maadili . Afu kuna kitu kinaitwa UMASIKINI . Kabla ya kuondoa UMASIKINI hakuna mapenzi , wa Maadili , kujielewa Wala chochote. Mama hajaijua shida uyu .

    • @neemamartine7630
      @neemamartine7630 Před rokem

      Anaongea mambo mawili tofauti... Umasikini na maadili...

  • @franklaurent4042
    @franklaurent4042 Před rokem

    Mama anywe soda Bariiiiiidi ntalipa mimi

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Před rokem +1

    👌❤❤❤

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Před rokem +1

    Hao wanawake wakutongozwa hawapo ,, ndotatzo kubwa
    Lililopo
    Binti anajitongozesha nawanafosi ngono mpaka unaona ni kipepo flani

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft Před rokem +2

    una akili sana mama mungu akubariki.

  • @MajiTakaMaji
    @MajiTakaMaji Před rokem

    Naona watangazaji mmeishiwa pozi mnagunaguna tuu😂😂😂

  • @jescamichael3901
    @jescamichael3901 Před rokem +1

    Jamna mbona malangali iringa @aunt sadaka

    • @liesharehema5193
      @liesharehema5193 Před rokem

      Namimi nikasema mfano umekuwa kwetu malangali tu au ndo kubaya Sana au haaaa

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 Před rokem +1

    Aunt sadaka kaolew?

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft Před rokem +2

    tuna muomba mama arudi tena tafadhali somo nzuri sana ubarikiwe sana mama.

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před rokem

    kwanin mwanaume amefanywa ni chanzo cha mapato

  • @FARIDASHABAN-kz5mt
    @FARIDASHABAN-kz5mt Před rokem

    Part 2 jamn

  • @user-ro3ke1vt5f
    @user-ro3ke1vt5f Před rokem

    namuunga mama kabisa

  • @jumaramadhani7457
    @jumaramadhani7457 Před rokem

    Mama huyu ajegewe sanamu lake pale makumbusho jmn

  • @sakinamixpambe2602
    @sakinamixpambe2602 Před rokem

    Swadakta

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před rokem

    Nimecheka😂🤣 etitunaomba pesa sana

  • @joyce55727
    @joyce55727 Před rokem +2

    Jmn mbona kipindi kifup mno wap sehem ya pili❤❤❤❤

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před rokem +1

      inakuja soon Jo

    • @adriafurahamatemu6080
      @adriafurahamatemu6080 Před rokem

      ​@@millardayoTZA kipindi ni kizuri sana. Kama vipi aongezewe mda jamani. We like to hear more about mahusiano. And kwa ushauri tu, kama itapendeza unaweza collect maswali kwa wasikilizaji au hata wadau wa kipindi ile kuwe na mengi ya ku discuss.
      Thanks.
      🎉

    • @nicospack3893
      @nicospack3893 Před rokem

      ​@@millardayoTZA milard huyo mama inatakiwa dk 40 ai lisaa

  • @user-rg7eu5ks2w
    @user-rg7eu5ks2w Před rokem +1

    Sio Kwa Dunia ya sasa Untie Sadaka.... Now days watu wanakutana kwenye daladala halafu hawajui wanakokwenda wanaenda kufanya nini, so wakikubaliana tu kwenye daladala wanashuka popote wanamalizana

  • @kulture_jah
    @kulture_jah Před rokem +1

    mh....ukwel mama yangu🦾🦾

  • @asiaahmedy8944
    @asiaahmedy8944 Před rokem +2

    Jmn 😂m na baki kumuangalia tu Millard kwa maana anavyoyauliza maswali kwa uzoefu htr Sanaa😂😂

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 Před rokem

    Sex ni kama petrol kwenye gari, so bila petrol gari haitembei, Likewise kwa mpenzi bila sex, mapenzi hayaendi,

  • @abdulkadershabani4570

    Sio kwichukichu mmbmh😅

  • @user-rg7eu5ks2w
    @user-rg7eu5ks2w Před rokem

    @ Vido.........Mwamba umetisha......Anakupungunzia Mzigo, hahahahahahahahahahh

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Před rokem

    Wanawake ni wa kupigwa kila saa kila muda kila saa kila wakati kila wiki kila mwezi kila mwaka...
    Wanawake ni washenzi kabisa.. Tutawapiga mpaka Yesu arudi

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před rokem

      Ni wako siyo sisi acha makasiriko

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Před rokem

      @@jescajulius8023 wewe utapigwa tu. Muda siyo mrefu

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před rokem

      @@BabaBalingasi-hp6gd uzuri nmeshajiweka mbali na viumbe kama nyie,niko huru na mambo yangu

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Před rokem

      @@jescajulius8023 hahaha usiogope. Kama hauna kiburi wala hautopigwa.

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před rokem

      @@BabaBalingasi-hp6gd siko nayo,naomba kuuliza mbona unanyamaza akiwa anakusema anasema mbona unanyamaza ko naongea na bubu? Ukiongea na pia ni kosa sa ufanye aje????? Nijibu

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Před rokem +1

    Mie naomba kujua umri sahihi wa Kua na Boy friend lakini pia hamjui hawa mabinti wanakutana na nini hasa hawa wa vyuo vya kati huko duniani hakuna maisha marahisi hasa kwa nyakati tulizonazo ikiwepo na Tanzania , wazazi wengi wanapambana lakini nilichogundua hawa wanafunzi wengi wanaingia katika shida kwababu wanakua wameaga kwao wanakuja kusoma na wakifeli wazazi wengi Hawawatiii moyo wa kuwaendeleza kwa kuwalipia ada ili wafikie wanachokitarajia hivyo wanafunzi wengi hawawaambii wazazi ukweli kua wamefeli hivyo wanaanza jitafutia kwasababu wakisema wamefeli wazazi wengi wanaona ni bora mtoto aludi nyumbani , sasa hicho kitemdo kinafanya hasa mabinti kujiingiza katika mifumo isiyosahihi ya maisha kwa sababu anapambana huku akificha siri ili tu kuogopa kurudi kijijini maana wanahisi kama malengo yanaweza yakafia huko village @ Sadaka antie ongea na wazazi paza sauti wazazi wengi ni chanzo cha watoto wao kutofika kwenye malengo yao kwasababu yao , na sio wanapenda ila ni kulingana na maisha ambayo yaliyopo sasa hivi , waangalie hasa namna ya kuwasaidia hawa watoto ambao wanalazimika kufanya pia vitu visivyosahihi ili kutaka kufika katika malengo yao

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Před rokem +1

    Wewe mtoto wa kike jiamini kama wewemzuri

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 Před rokem

    Aunt❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před rokem

    huyu bibi anaongea sana naona hajui tupo kizazi cha nyoka madada wanajiuza kushoto kulia ni kupiga tigo tu siku hizi hakuna cha mapenzi ni pesa tigo tu mbele kwa mbele..