Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: Sababu zinazofanya watu kusaliti mahusiano, kwanini zinatofautiana, wanaume na wanawake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 05. 2023
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 43

  • @christermapunda503
    @christermapunda503 Před rokem +2

    Irene asante sana kutuletea Mwl huyu aliyejitoa maisha yake ( sacrificial giving ya elimu). Hakika huduma ya Ualimu nimeiona kazini. Huduma hii ikue sana na idumu. Great, great!

  • @stevensonpelegy3052
    @stevensonpelegy3052 Před rokem +1

    Hakika mwalimu anaeleweka. Hata nawe Irine uko vizuri, hongera sana.

  • @rosemakara3592
    @rosemakara3592 Před rokem +2

    Kipindi kizuri sana. Mafundisho ni ya muhimu sana sana. Mungu awabariiki watumishi wa Mungu.

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem +2

    Tatizo wanawake wengi atupendi kusikia ukweli but that it's this man he have say all 🙌 bring him again pls

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem +2

    Kipindi kitam bana mi naona awe official huyu kaka katika (Sns fix you) kwakweli anaelezea mada na zinatugusa na kutufundisha,mimi binafsi najifunza kitu na nachukua mengi kutoka kwake i appreciate asante sana ubarikiwe Irene kwakutuletea watu kama hawa ❤

  • @salamisindimwo303
    @salamisindimwo303 Před rokem +2

    kipindi kizuri mnoooo, madini mpaaka basi...asante saana SnS, asante Kamugisha, Asante guest Mr. Timothee Kyala, I really appreciate the interview...entertainment and learning at the same time...

  • @AsteriaMontgomery
    @AsteriaMontgomery Před 14 dny

    Nimemuelewa asante mungu awabariki

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před rokem +3

    Dada❤Leo mwalimu anashusha point kwa mpangilio huku akingiza maneno ya biblia kumjua dini ina nguvu kwa maisha ya mwanadamu❤❤sana

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +3

    Huyu mkuu mlete mara zote..,amejaa madini kuliko hata manabii na wachungaji kibao. Much love teacher T❤

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před rokem

      Wale ni mananii fake 😂

  • @Danielmoyo556
    @Danielmoyo556 Před rokem +2

    Huyu mzee yupo very smart in talking.😊

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 Před rokem +1

    Mwl Kyara, ni zaidi ya Mwl, Mungu amuinue sana, nampenda mno hekima yake namna anavyozungumza.

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem +1

    Asante SANA Ujumbe Mzuri SANA

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Před rokem +2

    Hiki ni kipindi Bora sana na huyu mwalimu ni mtu mzima. Nawapongeza sana sns kwa kipindi hiki. Ki ukweli ndoa yangu Ina imarika kwa mafundisho haya ni muhimu sanaa. Mbarikowe sanaa

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem +2

    Sio kwa ajili ya vijana tu ata sisi watu wazima,ni mesisimka sana Timo Mungu akutetee milele,AILIN wewe ni Mama bora sana wa kizazi iki,maswali na majibu yote nimeyapata,

  • @raphaelkilumanga7691
    @raphaelkilumanga7691 Před 8 měsíci

    Napenda mafundisho kwa kuwa ni muwazi na anakupa uzoefu wake mwenyewe kitu ambacho wengi hawaongelei bali wanaficha na kuunda nadharia ambazo kimsingi hazipo

  • @hazimamohammed1340
    @hazimamohammed1340 Před rokem +1

    Namkubali sana huyu kaka.. katulia kwenye anachokitowa mdomoni.. hii yote inaonyesha ukomavu wa busara..big up broo

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    Asante sana

  • @josephkivuyo5712
    @josephkivuyo5712 Před 2 měsíci

    Mwanamke kuvua nguo wala si upendo, ni malengo yake yaliyojificha. Angetakiwa mwanamke ndiyo aelezee.

  • @matengamboho5098
    @matengamboho5098 Před rokem +1

    Baba unaongeya mawazo yangu kabisa ❤😂 💯

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem

    Mungu wangu sijawai kukutana na Maneno mazito kama haya,nipo njiani kuvunja ndoa yangu,tayari yupo baraza la usukuishi la kata naomba ni ya hiyo kaja,AILIN ongera sana ,

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 Před rokem +1

    Smart enough

  • @matengamboho5098
    @matengamboho5098 Před rokem +1

    Nakuelewa sana mzee wangu ❤😊

  • @jamilamanariyojamila1487

    Wow😊❤👌

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 6 měsíci

    Hiyo tabia ya Colgate Mhhhh😂😂😂😂😂 watu wengi tuu hufanya hiyo.

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem +1

    Pindi zuri sana full nondo jmn Hy ni zaidi ya fix u Irene ukweli kbs jmn ndoa hizi

  • @sarahsingombe
    @sarahsingombe Před rokem

    Nimependa I wish one day nieleze exprience yangu but kipindi hiki kinanifunza saana ahsante dada irine

  • @beatricefrankngalubutu1448

    Hongera sana dada Irene show inazid kukua kila siku

  • @kenedyrocky4641
    @kenedyrocky4641 Před rokem +2

    Hi 👋👋👋👋 kitambo kidogo nimerudi tena kuwafuatilia.

  • @alhajikangalawe6178
    @alhajikangalawe6178 Před rokem

    You and Joel Nanauka💪🔥

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před rokem +1

    Space is very important kwenye ndoa aise. Saa nyingine kupumuliana kunachosha😅😅😅😅😅

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před rokem

    💙💙""""Asante """""💙💙

  • @edinambwambo4847
    @edinambwambo4847 Před rokem

    🔥🔥🔥🔥

  • @publicrelations4600
    @publicrelations4600 Před rokem

    mbona hamtuletei mwendelezo wa kesi ya Dr.Nandipha.?

  • @angeakeza6542
    @angeakeza6542 Před rokem

    Kipind kizur bora kiwep kilasik😂❤nc

  • @AfroMedic
    @AfroMedic Před rokem

    Huu ni ukosefu wa hela

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️。

  • @directorimmah_vfx3043

    tunaomba ata kw wek ziwe znapanda vdeo 3 maan wengi tunajfunza kupitia nyie

  • @Daniel-kg9rp
    @Daniel-kg9rp Před rokem

    Sky tunatak redcap ya harmonaiz kwa show ya Jana kure India