STELA AFUNGUKA ISSUE YA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 50, KULALA KITANDANI KWA MIAKA 9 na KUPONA KIMIUJIZA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • STELA AFUNGUKA ISSUE YA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 50, KULALA KITANDANI KWA MIAKA 9 na KUPONA KIMIUJIZA!
    KWENYE HARD TALK ya wiki hii na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha amefanya mahojiano na Mwimbaji wa Injili nchini Stela Joel ambaye amesimulia jinsi Mungu alivyomponya ulemavu kimiujiza baada ya kutelekezwa na mpenzi wake (mume wa sasa) kwa miaka takribani 20 aliyejikuta amezaa naye bila kupanga.
    Stela ametupitisha pia kwenye chanagamoto kubwa za kimaisha alizokuwa akizipitia tangu akiwa mtoto mdogo ambapo alipata ajali ya gari iliyosababisha ulemavu ambapo alikaa hosptali kwa miaka 9 akipatiwa matibabu..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 221

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +2

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @maryedson843
    @maryedson843 Před rokem +20

    Dda lilian umependza sna na hiyo nguo uvaage hivo bn achna na mawigi 💃🏼💃🏼

  • @inongee1141
    @inongee1141 Před rokem +18

    Mimi nimekuamini kwa asilimia mia moja100 kwasababu mimi niliuona muujiza wa Mungu niliponywa ndani ya sekunde moja.ukimuomba anatenda.

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před rokem +5

    Maashaaallah dada Lillian leo umependeza sana,na vazi hilo lime fanya kipindi chako kiwe kitamu sana, ubarikiwe nakupenda sana pia napenda vipindi vyako,Namiss kipindi chako kizuri cha Women matter sijui hufamyi tena hiko kipindi au??but na enjoy vipindi vyako vyote may Allah bless your family

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před rokem +9

    Dada Stella Mungu amekubariki na yupo nawewe,Una moyo wa uvumilivu na imani, usiangalie watu angalia Allah anakupenda inatosha! anakutendea mema zaidi ya wale wanao jiona bora kuliko wengine, mshukuru Allah kukuweka nafasi hio ulipo, binadamu Sio lazima tufanane ndo tupendane, ndo maana Allah akatuumba tofauti tofauti tusifanane na wengine ili kutuonesha udhaifu wa mioyo yetu'na upendo kwa wengine, usihizunike upo na anae kupenda nae ni Allah inatosha!

    • @fatmasaleh9516
      @fatmasaleh9516 Před rokem +1

      Anafanana na hamo rapa dada nakupenda

    • @annemlay11
      @annemlay11 Před rokem +1

      Watanzania wenzangu Mungu hashindwi kufanya lolote.Kwa story hii nimeguswa na zile gharama.Duu ukiambiwa Tanzania ina shule be hazina vyoo hazina madawti wamama wanaokufa be kwa kukosa huduma za afya,hutaamini.Jamani tugawe huu utajiri wa nchi hii kwa usawa.Ole wao wanaokula vinono na kulala kwenye vitanda vya semadari kwa sasa.Kuna siku watalia na kusaga meno.

    • @aminajuma4743
      @aminajuma4743 Před rokem +1

      @@fatmasaleh9516 Muogope sana Mwenyez Mungu na zijali hisia za mwingine kabla hujatamka

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 Před rokem +2

      @@fatmasaleh9516 una matatizo ya akili

  • @emmylema5911
    @emmylema5911 Před rokem +2

    Ushuhuda mzuri sana huyu dada aendelee kumshuhudia Bwana Yesu na kuwalete wengine kwa Yesu, amtumikie Bwana Yesu katika utakatifu amen! Lilian unajua kuuliza maswali keep it up!

  • @godfreyhaule8331
    @godfreyhaule8331 Před rokem +1

    Ibada hii Mungu aikumbuke na izidi kwendelea sana Yesu awakumbuke

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před rokem +3

    Kwa kweli Mungu ni mwema kila wakati!! Imani ni kila kitu!!!! Mubarikiwe sana.what a beautiful testimony!!!i just luv it!!!

  • @marcellyimo9292
    @marcellyimo9292 Před rokem +4

    haleluyaaaaa kwa sauti kuuuuu hakika Mungu wetu ni mkuuu hakuna sababu kuchelewa twendeni kwa Yesu

  • @ndeshimushi8319
    @ndeshimushi8319 Před rokem +3

    Uhuhuda nzuri sana. Mungu asanteh kwa kuwa hutamtupa mtu hata milele ujapomhuzunisha utamrehemu. Nirehemu na mimi

  • @esterntonge8172
    @esterntonge8172 Před rokem +3

    Dada Stella habari za siku? Hongera Kwa kuzidi kumtukuza mungu tulikuwa wote posta

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před rokem +5

    This is true God we serve.Hallelujah🙏🙏🙏

  • @catherineaugustine7124
    @catherineaugustine7124 Před rokem +1

    Mungu ni mtenda miujiza na anaweza kila kitu, Amina 🙏🙏 Dada Stellah HAKIKA wewe NI shuhuda kwa waaminio.
    BARIKIWA SANA 🩸🩸

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Před rokem +5

    wow sad and the same time is a story that touches the heart and pain But the moon, God is great.🙏🙏🙏🙏🙏 thanks very much to beautiful sister for sharing your story wanana wa bukoba Bk. big up Miriam Nshemba your bless and good Job.

  • @godfreyhaule8331
    @godfreyhaule8331 Před rokem

    Eeti da liliani umjui Dr. Silivester Gwamanywa

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před rokem +2

    Amina nimebarikiwa sana sana Mungu yupo

  • @tidesmwakinyuke8633
    @tidesmwakinyuke8633 Před rokem +4

    Ooh Glory to God! Dada Stella kwa kweli ushuhuda wako umenitoa machozi. Maan NAMI ni mhitaji. Kweli Mungu anaweza. No.ya Dada Stella please

  • @phoebeandati
    @phoebeandati Před rokem

    Nimeguswa sana na testimony ya dada Stella. We give God all the glory. Endelea kumtumikia Mungu

  • @mainaann4493
    @mainaann4493 Před rokem +2

    God is always Faithful

  • @patriciamakia4509
    @patriciamakia4509 Před rokem

    Congrats dada stera Mungu ni mwema sana na mungu aibariki ndoa yko.your very smart the way you talk it's describe how smart you are,God bless you

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před rokem +4

    Glory to GOD..

  • @elizabethnamwinga3210

    Amen amen .ndivyo ilivyo

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Před rokem +6

    Naendelea kukuona Mungu maishani mwangu 😍💓🙏

  • @ngowibeatrice1701
    @ngowibeatrice1701 Před rokem +7

    Huyu mungu alie kuponya miguu aniponye na mie miguu

    • @axmedcumar6196
      @axmedcumar6196 Před rokem +1

      Amen Pokea Uponyaji In Jesus Name 🙏🏿

    • @millykezy9529
      @millykezy9529 Před rokem +1

      Mungu hawezi kukuwacha atakuponya katika jina la Yesu Kristo Amina.

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Před rokem +13

    Mungu yupo dada zangu , mimi pia nina mengi jwa ajili ya Yesu christo wetu ❤️🙏🏾

  • @maggypatrick9584
    @maggypatrick9584 Před rokem +3

    Ashukuriwe Mungu, hakika yote yawezekana kwa yeye aaminiye.

  • @imanifrancis8381
    @imanifrancis8381 Před rokem

    Amina,nimepona

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 Před rokem +2

    29January HONGERA SANA RAFIKI YANGU.

  • @pastormakena3439
    @pastormakena3439 Před rokem +1

    Utukufu kwa Mungu 🙏

  • @aloyceakilumanga2649
    @aloyceakilumanga2649 Před rokem +2

    Hakika Mungu wetu yupo na anaishi🙏

  • @florakitio646
    @florakitio646 Před rokem

    Imani yangu imeongezeka kupitia ushuhuda huu, asante Lilian na mwimbaji wetu bi Joel

  • @margaretnanyangwe3602
    @margaretnanyangwe3602 Před rokem +2

    God bless you my sister you have motivated me through your testimony

  • @unknownsasha8383
    @unknownsasha8383 Před rokem +2

    Ni kweli adui anaweza kuchelewesha lakini kusudi lq mungu liko palepale. Niliishi maisha ya uaminifu nikimgonjwa bwana anipe mume. Kwamqjila na nyakati nimeolewa mikiwa na miaka 48

  • @miriammadauda3425
    @miriammadauda3425 Před rokem

    Amina

  • @annamulungu2876
    @annamulungu2876 Před rokem +2

    Hongera sana mtumishi Stela.🙏👍.
    Lilian Mwasha, kazi njema sana hii, unatia moyo sana waliokata tamaa ktk hizi interview zako.
    Asante 🙏
    Mungu akutie nguvu!.

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Před rokem +1

    Mungu akubariki

  • @Waridimaria
    @Waridimaria Před rokem

    Haleluyaa!Hakika Mungu anatenda Asante kwa ushuhuda wa kuongeza imani

  • @janethurio2453
    @janethurio2453 Před rokem

    Hallelujah hallelujah hallelujah!! Utukufu Kwa Mungu.

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Před rokem +1

    Mtangazaji bigup na Roho Mtakatifu Safi Sana nimekupenda

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před rokem +1

    Ohooo kumbe Una watoto wawili hongera Sana

  • @stellamoraa1621
    @stellamoraa1621 Před rokem

    I like your confidence Lilian as you are an effective communicator.

  • @treasureforashes3497
    @treasureforashes3497 Před rokem +1

    Humble woman

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Před rokem +1

    Amen What A Life Story
    More Blessings My Sister Stella 🤗
    Jesus Love You

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před rokem

    Yupo Mungu asiyeshindwa

  • @linahrosie3697
    @linahrosie3697 Před rokem +2

    Imani yangu imeongezeka...asante Yesu kwa kunileta katika hii page .hope sio bure nimejengeka..🥺🥺

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 Před rokem +1

    Ameen

  • @inongee1141
    @inongee1141 Před rokem +2

    Maadui watakuja kwa njia.moja watatawanyika kwa njia saba.sifa na utukufu zimurudie. YEYE JEHOVAH ALIE JUU 🙏🙏🙏

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 Před rokem

    Aamiina, Asante Yesu

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Před rokem +1

    Bwana Asifiwe nimewapenda kikao kimepata watu ushihuda mzuri mtangazaji umenibariki Safi sana.msalimie Stella mwambie Mchungaji Tumaini Mwanyonga anakusalimu amefurahi kukusikia.

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Před rokem

    Hallelujah Jehova is the highest 🥲😢😭😭

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 Před rokem +1

    Hallelujah hakuna kama Mungu, sifa na utukufu tunakurudishia wewe Bwana.

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Před rokem +2

    that why God say if he say yes no one can say no

  • @neematweve3150
    @neematweve3150 Před rokem

    Asantee mungu wetu. Nikumbuke na Mimi amina

  • @evanslawrence7764
    @evanslawrence7764 Před rokem

    Yaani you are the best ladies ii Tanzania

  • @estersaul8180
    @estersaul8180 Před rokem

    J
    Haleluyaaaaa.. asante mungu..
    Naomba na Mimi uniguseeee baba

  • @makanderestaurant6978

    Lilian interview zako zinatusaidia sana unabarikiwe

  • @maureenaluda
    @maureenaluda Před rokem

    Amen

  • @midabingamlata9129
    @midabingamlata9129 Před rokem

    Amen, Mungu ni mwema kila wakati

  • @marygitahi9040
    @marygitahi9040 Před rokem

    very true indeed

  • @judithsodunga6231
    @judithsodunga6231 Před rokem

    God is good

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Před rokem +2

    Ameen,barikiwa sana dada,ushuhuda mzuri na unazidi kunikuza kiimani,Haleluya

  • @rehemambilinyi3523
    @rehemambilinyi3523 Před rokem

    Thanks lord Jesus, ushuhuda umenitia moyo saaanaa

  • @hellenkobelo4092
    @hellenkobelo4092 Před rokem

    Be blessed my sister stelah &bro frank

  • @leahmumbi2939
    @leahmumbi2939 Před rokem

    God is able inhia huyu mungu

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Před rokem +1

    Kwakweli Lilian mwasha umependeza sana na hilo vazi, wallah stara haimtupi mtu,natamani u as hivyo kila siku kila saa kila sekunde 😘

  • @Adidja257
    @Adidja257 Před rokem +1

    Leo umeva vizuri umependeza

  • @tumainijmmbaga7654
    @tumainijmmbaga7654 Před rokem

    Amina ubarikiwe mama.

  • @rabanlameck8382
    @rabanlameck8382 Před rokem

    Ubarikiwe. Dada

  • @kipipakipipa5050
    @kipipakipipa5050 Před rokem +2

    Lilian umependez hiyo nguo ni nomaaa

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe9987 Před rokem +1

    Hakika YESU ni mzuri.

  • @victoriamgonja8063
    @victoriamgonja8063 Před rokem

    Nimebarikiwa n a ushuda sana .barikiwa kwa huduma uma.ylako aendelee kukuiina

  • @kerencikuru6039
    @kerencikuru6039 Před rokem

    God is able 👌👌👌

  • @lailajeremia1259
    @lailajeremia1259 Před rokem

    Amen mtumishi ubalikiwe

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Před rokem +4

    Lilian leo umependeza kuliko siku zote

  • @janewachira3011
    @janewachira3011 Před rokem

    Amina Stella, mungu mwema Kila wakati

  • @kamarizastella2981
    @kamarizastella2981 Před rokem +1

    Ameeeen🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @inongee1141
    @inongee1141 Před rokem +7

    Sifa na utukufu zimurudie MUNGU BABA WAMBINGUNI 🙏🙏🙏👏👏👏

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 Před rokem

    Asante kwa Ushuhuda hadi machozi yamenitoka

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 Před rokem

    Hongera sana Stella.

  • @hadija846
    @hadija846 Před rokem

    Aaamin 🙏 💞

  • @elizabethmuhungu2775
    @elizabethmuhungu2775 Před rokem

    Dada Lilian. Mi ni mwanamke ambaye napitia magumu
    . Unanifariji mno dada yangu nikuambie nakupenda mno.

  • @raphaelorembe7573
    @raphaelorembe7573 Před rokem

    Glory be to God

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh1173 Před rokem +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏🇩🇪🇪🇺

  • @spensiozakato600
    @spensiozakato600 Před rokem

    Alleluya

  • @ruthmwasomola655
    @ruthmwasomola655 Před rokem

    Amen Amen Barikiwa

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 Před rokem +1

    Kuamini jamani ndo kila kitu.
    Mungu anaponya
    MUNGU ANAWEZA
    MUNGU NDIO KILA KITU

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 Před rokem

    Amen 🙏

  • @gloryabdulhassan7100
    @gloryabdulhassan7100 Před rokem +1

    Matendo makuu ya Mungu ,namuogopa Mungu mimi

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 Před rokem +2

    HII SIKU YA LEO SITOKIUJA KUISAHAU NIMEFARIJIKA SANA NA KUNA KITU KIKUBWA SANA NDANI YANGU

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Před rokem

    Lilian you look good on your outfit

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza7952 Před rokem

    Atukuzwe mungu aliyejuu

  • @fanunana6820
    @fanunana6820 Před rokem

    Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏 nafurahi namimi niko mwika10 nikiwamugojwa

  • @joycekatangwa8263
    @joycekatangwa8263 Před rokem

    Inashangaza sana Mungu ni mwema kila wakati

  • @rosendanshau2674
    @rosendanshau2674 Před rokem

    Natamani part 2 jamani

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +2

    Mungu akasema wajikusanyapo watu wawili watatu nami nipo katikati yao. Haya huyu anasema pasipo na watu pana uwepo wa Mungu. Kila mtu ana Mungu wake humu tuwe makini.

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před rokem

    Mungu ni mwema sana tusikate tamaa

  • @mwaminindayishimiye4434

    Sad history ila nyuma nimefurahi Alhamdulillah

  • @christinamngara8277
    @christinamngara8277 Před rokem

    powerfell

  • @lucygikonyo2437
    @lucygikonyo2437 Před rokem

    Love from Kenya

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před rokem

    Nabii huyo ni kweli nabii