Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: Aina 7 za Mama Wakwe na Jinsi ya Kuishi nao - Na Aunt Sadaka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 10. 2022
  • #FixYou

Komentáře • 74

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 Před měsícem

    Jamani hawa wakwe na mawifi mungu anawaona

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před rokem +19

    Mimi ndio niliwakwepa mama mkwe na mawifi maana nilijipendekeza mpaka ni kaona nijitenge nao siwezi umia kwa ujinga kabisa

    • @deborakamsi
      @deborakamsi Před rokem

      Same as me kabisa

    • @SaadaAlsheibani
      @SaadaAlsheibani Před 27 dny

      Mimi hivyo hivyo nimejitenga nao Sina habari nao siwaulizi kitu na Wala sihangaiki kutaka kujua chao tunasalimia TU kulizana Hali ikimaliza kila mmoja na lake mwanzo nilijipendekeza mwisho nilichoka nilitaka niwe karibu na tuwe kitu kimmoja nilipoona hawataki nilichukua mamuzi haya sijipendekezi Wala sishughuliki na lao basi nimeishi vizuri

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před rokem +6

    Nimependa sana anti sadaka hii ishu inasumbua sana kama ulivosema kila mtu na tabia yake mimi tena nimekuta mawifi ty tena wengi na kila mtu anamdomo lkn nimewewaza na siwezi kukaa bila ndugu wamme lkn niseme tyu acha tuendelee na upumbavu wakusema ndugu wamme wanatabia mbaya lkn na sisi tutajaitwa hivo kwa sababu tumezaa

  • @a.856
    @a.856 Před rokem +5

    Kuishi na watu kunataka subra kubwa kwani hata sisi tayari ni mawifi au wakwe watarajiwa pia.....tuombe salama tu

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Před rokem +3

    Unt unajua unajua unajua tena nawapenda sana mnatujenga sana ili tukielekea kwenye ndoa tuwe imara 🤲🤲🙏🤝💞💫

  • @jabuali5739
    @jabuali5739 Před rokem +3

    Asante kwa ushauri aunty sadaka n irene i used to feel sorry 4 my mum bt nime learn something God bless u

  • @shekhaissa9154
    @shekhaissa9154 Před rokem +2

    Shukran sana bi Sadaka.. umeelezea vuzuri sana rabia za mama wakwe na vipi wakwe zao wanatakiwa kujipanga kukaa nao vizuri. Umesaudia sana pande zote 2 kujitambua na kujielewa nafasu zao katika maisha.

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Před rokem +2

    Button button zimeshikiliwa kwa nguvu na Auntyyyyyyy... nimeelewa hapo kwenye ku loose battle , its soo trueeee Aunty...

  • @mamanabii_online5491
    @mamanabii_online5491 Před rokem +3

    True teachings!nimepitia hayo ni kweli uongeayo aunt

  • @oswaldmgaya8935
    @oswaldmgaya8935 Před rokem

    Asante kwa mafundisho mazuri. Vijana wanaooa au kuolewa wakaishi mbali. Kubaki mnapishana kwenye makorido hayo hayo haifai. Mkutane kujuliana hali tu ikiwezekana.

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem +2

    Masha Allah ubarikiwe mnoo Aunt sadaka pamoja na waandaaji wa kipindi mana nimejifunza mengi kiukweli 😍❤️❤️

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +2

    My mother in law she was a gem...,may she rest in peace.
    But one sister in law was kivuruge but I still won. Thank God.

    • @anneedward3673
      @anneedward3673 Před rokem

      My dear sio wakuwaendekeza wao huwa wanataka uwe dhaifu mjinga ili wakukalie na kukuonea akijifanya kivuruge wewe unakuwa mwenda wazimu kabisa tuone kama wataendelea kukusumbua

  • @judithngobei3606
    @judithngobei3606 Před rokem +2

    Asante Aunt sadaka ubarikiwe maa ❤

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 Před rokem +5

    Ahsante sana Aunt Sadaka ntarudi kw mme wangu

  • @omegatravel6039
    @omegatravel6039 Před rokem +1

    Mama nimekupenda asante kwa mafundisho

  • @josekamana6322
    @josekamana6322 Před rokem +1

    Ant sadaka una sauti nzuri sana

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Před rokem +2

    MashaAllah tabarakaAllah auntysadaka karibu tena na tena mie binafsi nakukubali sana

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +3

    Untie she is the best I can listen to her advice all day long.,she is very wise..,I like her wisdom in her. Live long untie.

    • @marcelastephen4247
      @marcelastephen4247 Před rokem +2

      Point taken mama mkwe hujamchagua ila mume umemchagua so mama mkwe mchukue kama alivyo na muheshimu alivyo

  • @muznarashid6301
    @muznarashid6301 Před rokem +8

    Sisi wazanzibari tunamsemo "mume mwenye mamae huna mamlaka nae

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Před rokem

      Hapo inakuaje Sasa😅?

    • @muznarashid6301
      @muznarashid6301 Před rokem +1

      @@irenekamugisha iko hivi Irene kwamba mume mwenye mama Ake anamamlaka kubwa kwa mtoto wake kuliko mume ambae Hana mama

    • @happinessmtui1336
      @happinessmtui1336 Před rokem

      @@irenekamugisha glass za maji dada uwe waeka

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před rokem

      znz mama ndio muamuru wa nyumba kila kitu umwambie mama wa Mume hiyo nimeiona nyumba fulani yaani mama wa Mume ndio aamue uvae nini mle nini duuu nawaonea huruma

    • @mwanakheri169
      @mwanakheri169 Před rokem +1

      @@samwa9496 nayaona

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Asante Mama Sadaka hii ni changamoto kubwa sana.

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Před rokem +4

    😃😃😃wangu fanya mema ila ni mzigo usiyo bebeka kwanza kila mtu ni kiongozi kwenye ile familia ni mtihani mtupu hakuna Cha mama Wala wifi wote wanaeza kuingia kwenye maisha yako😃lakini sijawahi kugombana nao nimejitahidi kujiweka na ujinga ili niwajue zaidi basi wanajikita wanakosea wao .😃😃 Lakin mie najiuza mbona kwetu pia tunaitwa wifi na mama yangu pia ana wake tunaishi poa tu na huwezi mtukana wifi yako unampenda kwa vyoyote alivyo mie nasema ni hulka zao tu na ubinafsi hakuna kingine

  • @joyceshile8837
    @joyceshile8837 Před rokem +2

    ILA NA MA BINTI WANAO OLEWA NAO WANAMAMBO, KUNA DADA NILISIKIA AKISEMA, NGOJA NIVUMILIE KWANZA ILI NIOLEWE NILISHA OLEWA TU, MAMA MKWE HUYU ATANITAMBUA😳, TULIKUWA SAFARI I NILIMWANGALIA HUYO DADA NIKAMWONEA HURUMA.

  • @SonySony-hx5yd
    @SonySony-hx5yd Před rokem +2

    Mama imenigharimu sana hii,niko kwenye ndoa miaka kumi lkn mama nichuki moja kwamoja,naishi nae

    • @maryammussa2002
      @maryammussa2002 Před rokem

      I didn’t meet my mother in law RIP. But his aunt is devil 👿 for 10years she never stopped doing devil stuff

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 Před rokem +2

    Irene ananifurahisha na facial expression yake!!.

  • @joymohat5848
    @joymohat5848 Před rokem +5

    Mungu tujalie wamama wema watakao tuelewa 🙏🙏🇰🇪❤️

    • @nyanziratatou5404
      @nyanziratatou5404 Před rokem

      Najisikiya nilie tu. ! Nasina pakunyamaziya mama mkwe wangu Mungu amsamee na aniombe msama ntamsame.

    • @dianalova4418
      @dianalova4418 Před rokem

      @@nyanziratatou5404 pop
      Pp
      PI’m
      Pl

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 Před rokem

    Duuu kweli Ndoa tabu tupu hususan kipengele hiki mmmhh🙌

  • @LizahAlex-n3j
    @LizahAlex-n3j Před 14 dny

    😅jamani yani Mimi mama mkwe wangu yupo kwenye aina zote umbea ndo usiseme jmn

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Před rokem +2

    Hapo ni akili tu na saikolojia ukianza na hilo halitatusumbua na kuwasoma kwanza na ndipo uanze kudili na familia ya mume ukikurupuka utabaki kulaumu tu.

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 Před rokem

    Ahsante Aunt sadaka niseme tu karbu tena mamy

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 Před 10 měsíci

    hapo pa mama mkwe kutaka kitenge, mwanaume alitakiwa kumwambia huyo mamake aongee na mkewe kama akikubali kumpa sawa. then amwite mkewe pembeniamweleweshe kwamba ampe hicho kitenge kuepuka vurugu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před rokem

    Mtihani huo mungu anisuru ishaalah mm hayo siyataki mama wake wakorofi mtihani mkubwa huo bora nimuwachiye tu huyo mama mke

  • @rosemageka686
    @rosemageka686 Před rokem

    Kweli aunt uko correct kabisa ila wadada wa Leo stamina hawana ya kupambania ndoa zao Kwa mama wakwe wenye maumivu

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 Před rokem

    Kazi kweli kweli.

  • @DinaJuma-fc6dm
    @DinaJuma-fc6dm Před rokem

    Huyu dada sadaka ni asali ya maisha

  • @sophiakayumba5974
    @sophiakayumba5974 Před rokem +1

    Yani akishakuwepo tu Aunty Sadaka hata kabla ya kusikiliza ninakua na hakika kuna mambo makubwa na ya msingi tunakwenda kuyapataaaa...

  • @PendoAlex-pp9vz
    @PendoAlex-pp9vz Před rokem

    ❤😊😂 mh nimefixka

  • @jokhasaid6601
    @jokhasaid6601 Před rokem +1

    Nimewaelewa

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 Před 11 měsíci

    SNS mtunzeni huyu dada anajuaa aiseee kufanya interview nimempenda bure ✅️

  • @nurualamoody4305
    @nurualamoody4305 Před rokem +1

    Mambo haya yana safari tofauti lkn kwa vijana wetu wa sasa ni mtihani zaid

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 Před rokem

    Kuna mwingine alifukuzwa. Baadae ya kufukuzwa bwana akaoa mwingine. Na yule mke wa kwanza akapata mume mwingine .Na mimba juu.baada ya miezi mitano 2.mume hakuna kitu mpaka leo. Mwanamke ana watoto 3 sasa.

  • @thequeenawifeofking8518
    @thequeenawifeofking8518 Před rokem +1

    Jamani hii kitu ni shida wallah tena hizo tabia zote mimi wangu anazo jamani zoteee mniombee 😭😭😭😭😭

  • @sanjevivi7741
    @sanjevivi7741 Před rokem

    Aunty Sadaka sio vijana wote wana akili hyo

  • @shekhaissa9154
    @shekhaissa9154 Před rokem +2

    Kwa mila za Zbar mtoto anapojifungua mimba ya 1 huwa anakwenda kukaa arobaini kwa mama yake mzazi . Mimba zinazofata atakaa kwake na mama yake atamfata huko.

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 Před rokem

    Wanawake wa siku hizi ni viraza, Awajui kusoma hisia za mama mkwe.
    Wao wameweka vichwani mwao kuwa mama mkwe ni wabaya.
    #HonMichaelDeusdedityKessy

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Před rokem

    Maneno matamu madada zangu 🙏🇹🇿🇬🇷

  • @lightnesselirehema1464

    Nimesikiliza wote 7 ila sijajua perfect ni yupi kati ya hao 7?

  • @achi_raymond
    @achi_raymond Před rokem

    SNS tafuta watu wa copyright waje waongee on deep about this isue of zunguka

  • @aaii8301
    @aaii8301 Před rokem

    Kuna zingine familia sio zakwenda kuolewa jamani mimi wakati nilibeba mimba nyumbani wameniziraga kwao na baba mtoto wangu nikaka kwao na baba mtoto wangu ningali nafikatu nikamuona mamake mdogo anakuja kanambia apakwetu hatutaki mwanamke mvivu wana mchoyo 😂badae nikakutana nawanawake wameolewa kwaiyo familia wakanambia gisi yakuishi nao yani unatakiwa kazizote zamwaiyo familia ufanye wewe uamka sa11 asubuhi ndo wanapenda nawakiwa nashuhuli wala msiba kazi zote wakwe ndo mnafanya nakwakweli walinipenda sana sikuwa mvivu wakazi basi mke wababa mtotowangu naskia nimvivu bala afu mchoyo ana achika kilasiku juya mama kwe anamtukana eti heri ninge olewa mimi😭😂😂😂

  • @tidyboybishubo6440
    @tidyboybishubo6440 Před rokem

    Huji wa pilipil hapn ten yanafany maziw yanakuw mepesi

  • @evamday2896
    @evamday2896 Před rokem

    Bahati mbaya saaana wanaokusikiliza Ni wachache natamani hili somo lingefika mbaali maana Ni la muhimu

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před rokem

    Jamn waolewaji nao wanakujaga na maajabu

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 Před rokem

    Mama mkwe mbeya😂🤣😂🤣😂🤣Sasa atakuwa mama mkwe M Arusha😜😜😜😜😜

    • @tanzaniaafrica7019
      @tanzaniaafrica7019 Před rokem

      Mama mkwe wa mbeya nilikutana nayo mimi wew sito sahau akinikataa kabla ya kuonana na mtoto nilinyanganywa niende kwetu yeye alee 😭😭😭😭

    • @leylahleylah4599
      @leylahleylah4599 Před rokem +1

      @@tanzaniaafrica7019 Pole mpenzi

    • @khadijaabdala6876
      @khadijaabdala6876 Před rokem +1

      Mama Ashura ni kivurunge 😀😀

    • @khadijaabdala6876
      @khadijaabdala6876 Před rokem +1

      @@tanzaniaafrica7019 pole mamy