Fix You: Vijana wanapaswa kufundwa kuwa wanaume, tusipoangalia watapigana vikumbo na wanawake salon

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 42

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Před rokem +6

    Kipind changu pendwa jost wangu pendwa irene kumigisha ❤💞❤♥️💋🙏🙏

  • @jescabahati9350
    @jescabahati9350 Před rokem +2

    Nondo zake zimekaa vizuri abarikiwe sana

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 Před rokem +1

    Penye HOFU ya MUNGU brother hapo umemaliza🙌hofu ya MUNGU ikiwepo KILA kitu kinakaa kwenye mstari... Hakuna cha zaidi tutaenda tutarudi jibu ni MOJA tu HOFU YA MUNGU ndo msingi wa kuushinda dhambi na uchafu wa aina zote 🚶

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Před rokem

    Aiseee hakuna anayeongea kwa Evidence na story kali zaidi ya Mr Kanuti. Hakikisha unamuitabtena. Anajua sana mambo ya maisha hasa kutuelimisha masuala yetu wnaume na nyie wanawake

  • @fatmahaji7301
    @fatmahaji7301 Před rokem +5

    Somo limeshiba na lina vitamin zote asante sana😍

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 Před rokem +2

    Nashindwa kuelewa vizuri hapo uliposema mwanamme akilala na mwanamke mwingine nje ya ndoa sio kwamba hampendi mke wake ,anampenda mke wake sana utampendaje mke wako halafu ukaenda kulala na wengine huo ndio upendo unaourudisha kwa mkeo anaempemda mtu hawezi kumuumiza .
    Watu wanakula kiapo hewa kwenye ndoa wakati anajua Ana wengine wengi nje eti nitakuwa na wewe tu wanadamu tuache uongo mbele ya madhabahu ,kwenye biblia hatukuona popote watu wanakula viapo viapo havisaidii kabisa kama anaesema hazingatii anachokisema ni ubatili mkubwa.

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před rokem

      Wakati mwingine ni tamaa tuya Mara moja.

    • @kiazikitamu3985
      @kiazikitamu3985 Před rokem

      @@maryamtan682 kabla hujaoa au kuolewa maliza tamaa zako zote una uhuru wa kulala na kila binti kila mwanmme kwa kadri ya uwezo wako ,sio umeoa au kuolewa ndio unaanza tembea nje utakuwa hujitambui na unavunja kiapo chako mwenyewe ulichohaidi kuwa na huyo mmoja tu .Mambo ya kwenda nje kulala na wengine unarudi kwenye ndoa unalala tena na mke au mume wako ni hatari sana tena sana ukianza lala na wa huko nje Acha kulala na huyu wa ndani usichanganye changanye unakuwa kama mwendawazimu na mwisho wake ni mbaya sana .Sikuongelei wewe Maryam nawaongelea hao uliosema wana tamaa

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před rokem

      @@kiazikitamu3985 ht umalize vipi ndugu, shetani yuko kzn.

    • @kiazikitamu3985
      @kiazikitamu3985 Před rokem +1

      @@maryamtan682 bora uendelee kuwa single ili uwe na freedom ya kumtumikia shetani vizuri, jukumu la kuamua kuoana si lelamama ni commitment na kama unaona huiwezi sababu shetani bado anakutawala bora uachie ngazi bado mapema kuliko kumtesa mwenzako uwe muwazi na mkweli kuhusu ugonjwa wako,hivi kwa tabia hizo za tamaa ukiulizwa Ujioe mwenyewe uishi na mume kama wewe mwenyewe au mke kama wewe mwenyewe utagoma sasa kwa nini upeleke mateso kwa mwenza wako.

    • @frankkessy1260
      @frankkessy1260 Před rokem

      Mwanaume kutembea na mwanamke haimaanishi kuwa ni upendo

  • @peterlema805
    @peterlema805 Před rokem +1

    best speech from Apostle

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Před rokem +3

    Suala la mke wa pili kwa mkristo hapo amechemka,apostle akasome Mathayo 19:1-12, Malaki 2:14-16, 1Wakorintho 7:1-16.

    • @anordgerison8639
      @anordgerison8639 Před rokem

      Appostle kafeli hapo 😂😂😂😂😂😂

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 Před rokem

      Vipo vifungu vingi tu vya biblia vilivyoagiza watu kuwa na ndoa moja.

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem +3

    Jamaa ana Akili Sana Mbarikiwe

  • @elieshistephen1534
    @elieshistephen1534 Před rokem +1

    Apostle is blessed.
    Thanks.

  • @hericharles3604
    @hericharles3604 Před 8 měsíci

    Mwendesha kipindi anavyoonekana maelezo yanaingia sikio la kushoto yanatokea sikio la kulia

  • @sifaelmophat1021
    @sifaelmophat1021 Před rokem

    Apostle umeongea meneno mazuri mno

  • @jagadineneka6857
    @jagadineneka6857 Před rokem +2

    Mwamba Yuko vizr🔥🔥🔥.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem +2

    Jamaaa anatema madini ile mbaya

  • @Mcsceo
    @Mcsceo Před rokem +2

    Sijui ni peke yangu naona kama kulikuwa na Tatizo la mike ya upande wa Irene but anasikika sababu sauti ya kwenye camera imepick vizuri

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před rokem +3

      Ni kweli, kulikuwa na hitilafu kidogo kwenye mic ya Irene, sauti yake inayosikika imepick toka kwenye mic ya mgeni

  • @nickolatharwelamila776
    @nickolatharwelamila776 Před rokem +4

    Mungu akutunze dada from Omani

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Huy baba atar muulidishen

  • @eliudikasenene1489
    @eliudikasenene1489 Před rokem

    Hakika umetoa ufafanuzi

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před rokem +9

    Issue ya mwanamke kufanya kazi za nyumbani KIISLAAM mume anatakiwa amuwekee mke house girls wakumfanyia kazi za ndan, mke akifanya ni maamuzi yake

    • @ibraheemqassim3018
      @ibraheemqassim3018 Před rokem

      Ndio mume anatakiwa amuwekee mkewe mfanyakaz au aongeze mke wapili wasaidiane

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Před rokem +1

    Huyu mwamba anatema point na hapo kwenye testolone atoe solution sasa maana kutokana na wanaume wengi kuwa na tatizo la testolone inapelekea sana kuaribu mahusiano! Lack of testolone in men also contribute to the rise of gay women a.k.a lesbians!😂😂😂😂

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Asant

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Před rokem +1

    Mwambiye pastor atipatie number Yake ya Whatsap kwani tunaweza kuwasiliana na wewe Pia hiyo😂ni Njian ya communication

  • @davidshebughe3422
    @davidshebughe3422 Před rokem +2

    Mtafute Max Zitatu ufanye nae kipindi ana mengi ambayo anaweza kushare.

  • @nickolatharwelamila776
    @nickolatharwelamila776 Před rokem +1

    Naomba siku arudi madini yameshiba

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Tunamhitaj ten huy baba

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem

    Mmmm ndefu kweli kweli. Kwanini msifanye part1 na2?

  • @aishansanzimfura5947
    @aishansanzimfura5947 Před rokem

    Eeeeh kumbe nawastristo mmnaruhusiwa kuwoa mkee zaidi ya umoja ?

    • @pulikisia7963
      @pulikisia7963 Před rokem +3

      Apostle ameongopa hapo,mkristo yoyote lazima awe na mke au mume mmoja,hiyo ni kibibilia kabisa sio issue ya culture.

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Před rokem

    czcams.com/video/US7koHvbAic/video.html
    TUJIFUNZE PIA HAPA

  • @padilijamesmikomangwa519

    Hapa ndipo napokuwa nashindwa kuelewa hizi nadharia mnazitoa wapi:
    1. Unamsubiri vipi binti/mwanamke ambaye si bikra - ambao ni wengi siku hizi?
    2. Mizani ya mahusiano ya kimapenzi imeegemea upande mmoja (mwenye mamlaka na ushawishi hushinda)
    3. Tatizo kubwa mnadhani mahaba yanaweza jadiliwa kama mikataba, la hasha - lazima yaje kwa njia yake ya asili