Video není dostupné.
Omlouváme se.

'Vijana wa Kitanzania wajifunze mafanikio ya vijana na nni kinapungua Kenya'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024
  • Maandamano yaliyoongozwa na vijana nchini Kenya yalivutia wengi duniani kufuatilia kinachoendelea.
    Maandamano hayo yamefanikiwa kumshinikiza Rais William Ruto kuvunja baraza lake la mawaziri na kutekeleza baadhi ya madai ya vijana hao.
    Kwa nchi za Jirani kama Tanzania zinazofuatilia kinachoendelea Kenya, kuna lolote wanaloweza kujifunza?
    Mwandishi wa BBC Sammy Awami @sammyawarmi amezungumza na Rakesh Rajan mwanzilishi na kiongozi wa mashirika kadhaa ya kiraia kama Kuleana, Haki Elimu, Uwezo na Twaweza East Africa.
    Kutazama mahojiano haya kwa urefu zaidi tembelea ukurasa wa CZcams wa BBCSwahili
    #bbcswahili #tanzania #kenya
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Komentáře • 114

  • @felixmakinda7689
    @felixmakinda7689 Před měsícem +23

    Sidhani kuna mengi Watanzania watajifunza kutoka kwa vijana wa Kenya. Yanayoendelea Kenya ni matokeo ya maendelea ya miaka mingi kisiasa, kikatiba, kisiasa, kifalsafa. Vijana wanaoongoza mabadiliko Kenya (Gen Z, Millennials) wengi ni wasomi. Kizazi kilichoelimika zaidi katika historia ya taifa hili. Masomo ya bure na lazima katika shule za msingi na upili. Halafu ukizingatia vitabu walivyosoma vya fasihi ni vya ukombozi na kukejeli utawala mbaya - Mstahiki Meya, Betrayal In the City, Kifo Kisimani, Mayai Waziri wa Maradhi, na vinginevyo. Mabadiliko yataanza na katiba mpya. Katiba ya Kenya inampa mtu wa kawaida na vyombo vya habari uwezo mkubwa. Tanzania katiba inawapa watawala na CCM nguvu kuwatishia, kuwaua, kuwapotosha, na kuwadhuru wananchi wanaoipinga serikali.

  • @MikenelloMike
    @MikenelloMike Před měsícem +7

    Professor anasema kweli....waafrika wamezoea kuinamia viongozi watumishi..... we're not a lesser God

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem +3

    Point sana ,kusifia tu nitatizo,na kukosoa tu nitatizo zaidi lakini pia tutofautishe kati ya kukosoa na kukashfu,kusifia na kupongeza 😂😂😂

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před měsícem +11

    Hatuna kitu cha kujifunza Kenya hata kimoja. Wao ndiyo wajifunze kwetu kuondokana na ukabila wawe wamoja kama Watanzania.

    • @asudarathman5453
      @asudarathman5453 Před měsícem +13

      Elewa swali ndio ujibu acha kuropokwa

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před měsícem +2

      Umeshiba mbege wewe unachosema na kilichoulizwa havifanani

    • @almor44444
      @almor44444 Před měsícem +4

      Nonsense ! Hii movement ya gen z ya Kenya umeskia ukabila mahali?

    • @ourearthmatters5206
      @ourearthmatters5206 Před měsícem +1

      Wewe ni tahira

    • @Alpha24187
      @Alpha24187 Před měsícem +5

      Gen Z Kenya slogan "Tribeless, fearless and partyless" do your research acha kuropokwa ovyo

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +8

    Kwanini Tanzania? Majirani Mahasid hawa, yaani inawauma kuona Tanzania ikiwa imepoa, Sasa vijana wenu Zaid ya 20 wamekufa alafu mnataka tujifunze nini?

    • @lee81721
      @lee81721 Před měsícem +1

      Nonsense

    • @sjsm8578
      @sjsm8578 Před měsícem +4

      😂 imepoa hadi serikali ikipora mali ya umma hamuwezi sema lolote. Nonesense

    • @bellaolum9768
      @bellaolum9768 Před měsícem

      Babu zetu walikufa pia wakipigania uhuru, hili sio jambo jipya. We are a nation of freedom fighters. Nyinyi kaeni hapo nchi la amani, amani without any rights? My foot!!!😅

    • @wkjshsxbbsbs6392
      @wkjshsxbbsbs6392 Před měsícem

      So you want as to be silent mashamba tulixo zinunua kwa jasho lete zenye tulipewa with our ancestors zichukuliwe na government tuanze kuzilipia ushuru

    • @collinsoconnor5843
      @collinsoconnor5843 Před měsícem

      Imepoa ndani ya umasikini?😅

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem +9

    Sikieni nyie hatuwezi kujifunza kenya labda china na urusi.

    • @bellaolum9768
      @bellaolum9768 Před měsícem +1

      😂😂😂

    • @salimmachila5736
      @salimmachila5736 Před měsícem +1

      Elezea zaidi.....basi

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před měsícem +1

      Tueleze tujifunze Nini kutoka Urusi na China ukilinganisha na Kenya?

    • @omarybakunda2554
      @omarybakunda2554 Před měsícem

      @@sylvestercameo6263 urusi wako vzr kiteknolojia. China wako vizuri kiuchumi hayo ndio mambo ya kujifunza

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 27 dny

      WaTanzania tuko busy kujifunza Technology Treni ya umeme SGR na mambo mageni ya Dunia, hatunaga muda na magomvi wenyewe tunajua kuchamba Kwa kiswahili na maneno yetu yanatosha kunyoosha Serikali msipenda kutulinganisha na mambo ya uharibifu tafadhalini sana

  • @Cgfruhgdtrywisher
    @Cgfruhgdtrywisher Před měsícem +1

    Hata wazee hujifunza kutoka kwa watoto; kama ninyi mmekomaa kiasi ya kwamba hamjifunzi lolote kutoka nchi ya Kenya;😂poleni sana

  • @user-rs8yg9fq5v
    @user-rs8yg9fq5v Před 27 dny

    Binafsi naona yapo ya kujifunza kama vijana walifanya kwa utashi wao,wakaungana wakawa na umoja ule ni jambo kubwa sna,
    Ila kama anayosema Ruto ni kweli kuwa walifadhiliwa basi hakuna cha kujifunza...

  • @ibrahimdaudi5823
    @ibrahimdaudi5823 Před měsícem +2

    amani yetu ni muhimu kuliko chochote

    • @godwillodindo6826
      @godwillodindo6826 Před měsícem

      Swali kaka,amani at what cost?kana mna amani na serikaki yenyu inawafanyia kazi ipasavyo,then more power to you

  • @chiwayamruche9415
    @chiwayamruche9415 Před měsícem +2

    Wakenya hatujakataa kulipa ushuru ila viongozi lazma wawajibike

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +7

    Tujifunze nini Wakenya hawana lugha hata ya Taifa , tokea wapate uhuru hata Bunge Lao linatumia English , kampeni za Siasa kuomba kura Kwa Kiswahili lakini bungeni lugha ya wazungu, bado wana utumwa mwingi Saaana, wao hujiona wazungu wa East africa Sasa tunajifunza nini? Kupaka Nchi sio sababu, sisi tunapakana na zambia, Malawi, Burundi, Mozambique, Uganda na Congo ushaona Wa Tz tumeiga nini kutoka hizo Nchi? Tumepakana lakini hamuifaham vizuri Tz

    • @ndukumusyoki9835
      @ndukumusyoki9835 Před měsícem +2

      Lugha la Taifa Kenya ni Kiswahili na ndio inatushikanisha sisi wananchi! Na hatujali Watanzania wajifunze lolote kutoka Kenya. Tunajivunia kuwa Wakenya na Wafrika pia! Fanyeni na inchi yenu vile mnataka! Elimu yetu iko juu zaidi ya Tanzania na sisi tutaendelea na kupigania haki zetu na kuondoa mabaya kwa taifa letu.

    • @decoloniz_afro
      @decoloniz_afro Před měsícem

      Huelewi kabisa.....kupigania masilahi za wananchi na kuwafuata wale wakora wanaowaibia wananchi nijukumu ya wewe kuelewa usipoangalia vizuri utadhurumiwa

    • @mohammedmamo6177
      @mohammedmamo6177 Před měsícem +2

      Watanzania lugha zenu zafa sababu mwafagilia lugha ya waswahili, watanzania wengi hawajui kuongea lugha zao za mama. Kenya Kila mkenya anajua lugha ya kabila lake . Kiswahili sio lugha yetu ni ya waswahili wa Mombasa malindi na lamu

    • @felixmakinda7689
      @felixmakinda7689 Před měsícem

      @@ndukulusudikucho_ Lugha ya Taifa ni Kiswahili, lugha rasmi ni Kiingereza na Kiswahili. Kila mtu anatumia lugha yake ya mama pia. Sasa wewe tumekuambia hatuna lugha?! Mimi nazungumza lugha zaidi ya kumi.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 27 dny

      Yaani Mkenya bila kutaja Tanzania hajalala Bado, wanaweweaeka kabisa Tanzania Tanzania Nakupenda Kwa Moyo wote, nimeamini WaTanzania tuna watisha sana, wanatuogopa, wanatuonea wivu jinsi tulivyo, nawashauri jirani zetu Wakenya muanze kujifunza kutoka Tanzania Kwa Nini Tanzania hawagimbani, Kwa Nini hakuna ukabila, Kwa Nini Tanzania hakuna slams za kibira, Kwa Nini Tanzania wanamaliza shida zao Kwa maneno matupu mkipata jibu mkafanyie kazi 🇹🇿🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @shemmutuku1943
    @shemmutuku1943 Před měsícem +1

    Wacheni mambo yetu Kenya shughulikeni Na YA kwenu hypocrites

  • @iMilitaryCompass
    @iMilitaryCompass Před měsícem +3

    Tanzanians are perceived as lacking agency, with Tanzania being governed authoritatively and the populace seen as passive and vulnerable. Many Tanzanians seem indifferent to their fundamental rights, often praising the government regardless of its actions. In contrast, a significant number of Kenyan youths actively engage in social, political, and economic matters in their country. They are knowledgeable, well-educated, and have a strong understanding of their rights and the political landscape in Kenya.

    • @SGOA32178
      @SGOA32178 Před měsícem +2

      wamelala hawa majirani zetu. One cant have an intelligent convo with even a masters holder in TZ. Weaklings unable to stand up for themselves.

    • @bellaolum9768
      @bellaolum9768 Před měsícem +1

      When you tell them the truth, ni.matusi ndio wanamwaga😅😅😅

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 27 dny

      ​@@SGOA32178nyinyi pambaneni na hali yenu Tanzania iache kama ilivyo Tanzania hatujazaliwa kwenye slams za kibira hatutakua sawa na Kenya mtuache tuko busy na Treni ya umeme SGR, wewe kamlilie Raisi wako Ruto shida zako usitaje Tanzania haikuhuau, ukiona hiyo flag kneel down uamkie shikamoo
      🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

    • @mosesjacksonkarashani2642
      @mosesjacksonkarashani2642 Před 27 dny

      Please sort out your issues and leave Tanzanian’s to us. We shall consult you whenever we need you, thanks!

    • @iMilitaryCompass
      @iMilitaryCompass Před 25 dny

      @@mosesjacksonkarashani2642 mna ujinga sana ambao hauna kifani, kimya!

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s Před měsícem +1

    Hatuna cha kujifunza kutoka kwenye vita amani ndio nguzo yetu unajifunza kwa aliyefanikiwa sio aliye feli

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 27 dny +1

      Waambie kabisa wapanbane na hali ya nchi yao Tanzania itabaki kuwa Tanzania siku zote wapi Treni ya umeme SGR niwahi Dodoma mie 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 26 dny

      Ushabiki nao unapofusha. Cha kujifunza kipo tena sana, sera za uchumi lazima ziwe kipaumbele ni watu. Vijana wakikaa bila kazi, ujana inaweza kutumia kubomoa. Sera Zetu za raia kujitafutia kama kuku wa kienyeji bila mpango zinaweza kuwa bomu. Viongozi kujirundikia keki ya taifa haijengi na bali inabomoa taifa. Tufikirie tusichangie kwa ushabiki. Ushabiki sio uzalendo

  • @Afroo.x
    @Afroo.x Před měsícem

    mkenya Haki na u sawa

  • @worldtechlab
    @worldtechlab Před měsícem

    We learned not to elect a puppet as the head of the country.

  • @twalibulomy-cd4zd
    @twalibulomy-cd4zd Před měsícem +1

    Wanatumika vibaya . Kenyans wanakburi Sana.wanachagua kazi Vijana. Pumbavu Sana.

    • @godwillodindo6826
      @godwillodindo6826 Před měsícem

      Waweza peana mifano kaka? Mimi mkenya,nmeona vijana wa juakaki hadi maofisini,kuna hadi mabinti wetu ni mechanics na pia kunao mabinti ni makanga(touts).so sijui niwepi hao unaowazungumzia.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 27 dny

      Shida ya Kenya ni kuiga iga Ulaya, wanaiga kila kitu lugha, mavazi, maisha, ona wameiga
      Wananchi wa Marekani wamevamia Bunge na wao wanavamia Bunge Ulaya wanachoma moto mitaa na wao wanachoma moto Bado mko na akili ya kuiga iga wazungu, njooni Bongo tuwafumdishe maisha achana na kuiga wazungu 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    HATUTAKI VURUGU , SHIDA ZENU BAKINI NAZO HUKO HUKO , SISI SHIDA ZETU TUNAKAA MEZANI TUNAONGEA tena kwa adabu, msituletee tabia zenu za magharibi., Kenya nchi yenu mmempa mzungu halafu mnapigana na giza, fukuzeni mzungu kwanza ... Tanzania nchi yao wanayo mikononi..,

  • @mosesjacksonkarashani2642

    NOTHING

  • @abdiaziztwahir5120
    @abdiaziztwahir5120 Před měsícem +1

    Huyu amelipwa nnini

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před měsícem +2

    BBC na huyu bwana wanao lao kubwa lakini wamnasahau tamaduni na fikra za Wakenya na Watanzania zinatofautiana sana! Tamaduni zetu nazo ni tofauti, akileta mambo ya comparative analysis ya Kenya na Tanzania atakuja kuchekwa na dunia nzima kama hatazingatia tamaduni na itikadi za watu kwenye nchi hizi mbili.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před měsícem

      Utamaduni na itikadi tofauti katika jamii tofauti ndiyo kigezo kikubwa katika kubadilishana maarifa, ujuzi na uzoefu katika kufanya mapinduzi ya kifikra katika nyanja za ustawi wa jamii, kisiasa, kiuchumi,na maendeleo. Kwa hiyo hata yanayotoka Kenya hata Tanzania yanawahusu kutokana na mwingiliano wa kijamii katika uchumi, ulinzi, usalama na utamaduni wa nchi hizi mbili.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 27 dny

      Kenya na Tanzania ni vitu viwili tofauti msipenda kutulinganisha hatufanani na mambo mengi, Kwanza Tanzania sisi ni Kiswahili na magomvi yetu tunamaliza Kwa maneno kuongea, hatuna ukabila wote tunachanganyika, hakuna mtu mmoja wa kabila ameshika ardhii yote, hatuna slams vijana wetu hawana akili za kibira slams hawajazaliwa kwenye vibanda vya box , nawashauri jirani zetu pambaneni na hali zenu Tanzania itabaki kuwa Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

  • @hildagabriel1003
    @hildagabriel1003 Před měsícem

    Ujasiri

  • @EliudLikakali
    @EliudLikakali Před měsícem

    Muhogo na kisavu kweli huwezi kuupata Marekani 😂😂

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 Před měsícem +1

    Hamna cha kujifunza kenya ila kuongea kiingereza cha mkoloni, wana matatizo fiche na katiba yao haijawasaidia ambayo kwa watanzania waliyaepuka zamani kma ya ukabila, hela za nchi kuwa kwenye mikon ya wanasiasa, kununua uongozi kwa rushwa, kila muhula wa chaguz vyama vibaundwa vipya kma vilabu bila sera za kusomeka na ubinafc wa viongozi wakuu kujijengea miradi na ndio msuguano uliopo wa makamu wa rais analazimishwa maeneo yenye watu wengi kupewa migao mikubwa ya mapato bila tathimini ya wachache walio hoi tangu nchi ipate uhuru

    • @felixmakinda7689
      @felixmakinda7689 Před měsícem

      @@abdallahibrahim280 hivyo unataka pia Tuanze kukufunza historia?! Kenya ilitawaliwa na wakoloni moja kwa moja. Tanzania ilitawaliwa kupitia maakida na wajumbe WA wakoloni. Wazungu hawakuja kuishi huko kwenu na kuwadhalilisha kama huku kwetu. Sisi walitulazimisha kuisoma lugha Yao. Wakatumia ukabila kutugawanya ili utawala uwe rahisi. Kenyatta pia alikuwa na hulka za ukoloni ukimlinganisha na Mwalimu Nyerere. Baada ya Uhuru, kukawa na Cold War, sijui tutaita Vita Baridi. Nyinyi mkawa Wakoministi, sisi tukaiga Ukabaila. Hatuwezi fanana. Si makosa yenu ama yenu Sisi kuwa na huo utafauti. Ni historia hiyo. Umewahi jiuliza mbona Waganda hawazungumzi Kiswahili hata?!

    • @bantuvoicemuchaik.k.7715
      @bantuvoicemuchaik.k.7715 Před měsícem

      Maoni yako Yana ....your opinion is so displaced,I get what you are saying....but honestly you are getting all wrong. ...tribalism and all that is a thing of the past. Fix your constitution first....that's the begining of liberty

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 26 dny

      Ni kukosa hekima ya utambuzi kwa kujidai kwamba Tz, kuna Kinga ya hayo ya Kenya. Sote wafu tunazidiana kunuka bwana. Tuombee Kenya iparaganyike tu.

    • @abdallahibrahim280
      @abdallahibrahim280 Před 20 dny

      @@GodfreyOsward ukiona nyumba yako inabomoka usiombee hasadi imkute jirani yako mwenye utulivu bali jifunze siri ya amani yake na anavyokabiliana na changamoto zake, ya ngoswe hayakuhusu

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 20 dny

      @@abdallahibrahim280 nafikiri tuko pamoja . Tunaomba Kenya isiparaganyike tu. Nilimanisha tz na Kenya tuchakujifunza.

  • @feruzyjuma
    @feruzyjuma Před měsícem +2

    Wewe sio mtanzania

  • @karyori69
    @karyori69 Před měsícem +1

    Vijana wa Kenya wana mafanikio gani?

  • @GabrielMwoya
    @GabrielMwoya Před měsícem

    Kiongozi Bora ni yule anaongea kidogo na kutenda mengi,huku Kenya wetu si kiongozi ni mwanasiasa, anaongea sana na kutenda hakuna...Mzee wa kutenda na kupanga...

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    👊👍✌️.

  • @costantinemgalle1910
    @costantinemgalle1910 Před měsícem +3

    Saa hii nasikia bado hao vijana wanania ya kuendelea na maandamano hadi Ruto atoke madarakani. Kama ni kweli basi agenda sio maamuzi specific waliyayapinga ila nia ni kumtoa madarakani. Sasa huu sio utaratibu na hili sio jambo la kujifunza kwa vijana wa Tanzania, kuna kiashiria cha uvunjifu wa katiba!

    • @hakimundabila7940
      @hakimundabila7940 Před měsícem +2

      Hata mifano mibaya ni funzo kwani kupitia kwayo unajifunza ubaya wake na kuuepuka.

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před měsícem +2

      kwani kujifunza ni kutizama mazuri tu?

    • @hakimundabila7940
      @hakimundabila7940 Před měsícem

      @@kwisa4899 ndo hapo sasa

    • @mariamhussain5667
      @mariamhussain5667 Před měsícem

      Huyu anayehojiwa ni nani? Mbona hakuna maelezo kabisa ya huyo mgeni anayehojiwa. BBC swahili kiwango chenu mnakishusha..

    • @felixmakinda7689
      @felixmakinda7689 Před měsícem

      Kuna mengi tunayotaka yabadilishwe. Lazima ashurutishwe. Katiba ya Kenya ipo mtandaoni. Unaweza isoma

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Před měsícem

    Kulinganisha si kosa ila tuelewe katiba ya jamhuri ya Kenya ina uwazi zaidi kuhusu haki ya mwananchi wa kenya kuliko ile ya JMT. Aidha kiwango cha elimu na hamasa ya mkenya kuhusu sheria na katiba iko juu na hapo ndipo tunapata pambanisha kati ya wakenya na watanzania.

  • @Afroo.x
    @Afroo.x Před měsícem

    Dungu.twa lipa ushuru kila mwaka. badu barabara ni ileile mwakunja mwaka enda .na ushuru uogezewe,hatuoni senti zaedawapi,twajali ,mabadiliko ya hali ya hewa,twa njisaidia vipi kama kazi dongo kamahi.linders that Dont Care,we dont want

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520 Před měsícem

    Empathy = hisiamwenzi.

  • @user-rw2cy9el3p
    @user-rw2cy9el3p Před měsícem

    Mama samia na serikali yake inawafinya lakini mabubu mumenyamaza hamuongei....kama kweli ni wanaume fanyeni tulichokifanya sisi GEN Z...na kwa taarifa yenu kwa mda mchache tu mambo taratibu yameanza kubadilika RUTO ameamua kutii...nyie bakieni na amani yenu muone kama mtapata haki yenu.

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 Před 27 dny

      Mlipata Nini baada ya kufanya fujo? Usiku mkarudi kulala Kwa box zenu Kibira slams, hiyo mind ya nothing to lose hatuna Tanzania tuna a lot to loose hatuwezi ujinga wenu,

  • @LiisaMaisha-is1hi
    @LiisaMaisha-is1hi Před měsícem

    Nenda india ndio nyumbani

    • @SylvesterMbonimpaye-oc9yi
      @SylvesterMbonimpaye-oc9yi Před měsícem

      jitafakari na kauli yako ya kijinga

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 26 dny

      Shida kaambiwa kufikiri. Bahati mbaya akiwa ameshiba. Tulipopata UHURU watu wote walikuwa Tanganyika walikuwa raia. Uraia sio ngozi ya Mtu. Bwana huyu ni mtanzania kuliko wengi wetu.

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před měsícem

    Mama samia amesha Sing IMF