Fix You: Dawa za kuongeza nguvu za kiume na madhara makubwa ya baadaye/Mahaba Tiba
Vložit
- čas přidán 2. 12. 2023
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Topic nzr san Dada Irene
🔥🔥🔥🔥
Heee!!!😳 kumbe inasaidia kupunguza upataji wa Tezi Dume??🤔 “Mama watooooo!!!!! Jitayarisheee!!! Fimbo ipo njianiii!!!🤨
Nafikiri watu tunafeli sehem hakuna tatizo la nguvu za kiume na sio ugonjwa ila kitu kinachoathiri mtu kushindwa kufanya tendo kwa ustadi ni mawili tu chakula na saikolojia huwezi kufanya tendo ikiwa huli vizuri vyakula vyenye kuchochea na akili kuwa sawa hapo ndo kuna mchawi vijana now tunamambo mengi kichwan nguvu zitatoka wapi
Kwli kabisa maneno ya busara
Kweli kabisa. Na wengi wameharibiwa na kuangalia film za ngono. Sasa anawaza kufanya aliyoona kwa uasilia kumbe yale siyo. Na kusikiliza story za hovyo vijiweni mtu anakuwa na uoga na kutokujoamini
Ulipoteaa mwee
This guy, not in a bad way please he is speaking all very fact and true but he need to treat his speeching confidence and his body language, eye contact, hand gesture, swallow his slaverand so on......
Nyoko, nyoko, nyoko, ungetuelezea wewe.
Dada vijana hawana nguvu za mapenzi wanakopa nguvu Sana unajiuliza mbeleni itakuwaje mfumo wa maisha kisasa mfano vinywaji vya energy watoto wanatumika Sana magonjwa mbeleni ni makubwa ukiwambia wanakuzarau unawambia tutaonana mbeleni
Ivi energy Zina madhara??
@@ceciliaathanas3135 mathara makubwa Nina ushaidi Mimi mwenyewe ilibaki kidogo Figo kufeli Nina miaka4 niliacha na vinywaji vingine vya bandia sivitaji kwasababu ya biashara zao
Hollo lren
Irene shyness punguza mamii🤣🤣
Watazidi kudorora kimapenzi maana wamezoea kulishana ujinga vijiweni. Mwisho wanafia guest kwakumeza madawa ya kukaza msuli.
Usafi wa mwili kwa ujumla nao kero. Wananuka vikwapwa na midomo January to December 🤣🤣🤣🤣
Mbona mme adimika!?
Kuandaa Content sio jambo dogo Wavumilieni wakati mwingine...maan inahitaji pia appointment na Watu ndio UFANYE kipindi