Fix You: Dawa za kuongeza nguvu za kiume na madhara makubwa ya baadaye/Mahaba Tiba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 12. 2023
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
    whatsapp.com/channel/0029Va84...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 18

  • @dericktitus1551
    @dericktitus1551 Před 7 měsíci +2

    Topic nzr san Dada Irene

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 7 měsíci +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 7 měsíci +1

    Heee!!!😳 kumbe inasaidia kupunguza upataji wa Tezi Dume??🤔 “Mama watooooo!!!!! Jitayarisheee!!! Fimbo ipo njianiii!!!🤨

  • @jeffyasin2977
    @jeffyasin2977 Před 7 měsíci +4

    Nafikiri watu tunafeli sehem hakuna tatizo la nguvu za kiume na sio ugonjwa ila kitu kinachoathiri mtu kushindwa kufanya tendo kwa ustadi ni mawili tu chakula na saikolojia huwezi kufanya tendo ikiwa huli vizuri vyakula vyenye kuchochea na akili kuwa sawa hapo ndo kuna mchawi vijana now tunamambo mengi kichwan nguvu zitatoka wapi

    • @ramagwama
      @ramagwama Před 7 měsíci

      Kwli kabisa maneno ya busara

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 7 měsíci

      Kweli kabisa. Na wengi wameharibiwa na kuangalia film za ngono. Sasa anawaza kufanya aliyoona kwa uasilia kumbe yale siyo. Na kusikiliza story za hovyo vijiweni mtu anakuwa na uoga na kutokujoamini

  • @orafaomary2605
    @orafaomary2605 Před 7 měsíci +2

    Ulipoteaa mwee

  • @verokasongo9717
    @verokasongo9717 Před 7 měsíci +1

    This guy, not in a bad way please he is speaking all very fact and true but he need to treat his speeching confidence and his body language, eye contact, hand gesture, swallow his slaverand so on......

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Před 7 měsíci +1

    Dada vijana hawana nguvu za mapenzi wanakopa nguvu Sana unajiuliza mbeleni itakuwaje mfumo wa maisha kisasa mfano vinywaji vya energy watoto wanatumika Sana magonjwa mbeleni ni makubwa ukiwambia wanakuzarau unawambia tutaonana mbeleni

    • @ceciliaathanas3135
      @ceciliaathanas3135 Před 7 měsíci

      Ivi energy Zina madhara??

    • @msangodiesel3132
      @msangodiesel3132 Před 7 měsíci

      @@ceciliaathanas3135 mathara makubwa Nina ushaidi Mimi mwenyewe ilibaki kidogo Figo kufeli Nina miaka4 niliacha na vinywaji vingine vya bandia sivitaji kwasababu ya biashara zao

  • @user-vv1rk5ll2b
    @user-vv1rk5ll2b Před 7 měsíci

    Hollo lren

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 7 měsíci

    Irene shyness punguza mamii🤣🤣

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 7 měsíci

    Watazidi kudorora kimapenzi maana wamezoea kulishana ujinga vijiweni. Mwisho wanafia guest kwakumeza madawa ya kukaza msuli.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 7 měsíci

    Usafi wa mwili kwa ujumla nao kero. Wananuka vikwapwa na midomo January to December 🤣🤣🤣🤣

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 7 měsíci +1

    Mbona mme adimika!?

    • @user-ki9wu6no3d
      @user-ki9wu6no3d Před 7 měsíci +1

      Kuandaa Content sio jambo dogo Wavumilieni wakati mwingine...maan inahitaji pia appointment na Watu ndio UFANYE kipindi