Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: Ndoa za Kiislamu, Mwanaume aoe wake 4 akiwa na vigezo hivi, talaka hutolewa haya yakitokea

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 11. 2022

Komentáře • 86

  • @daudynaccer4313
    @daudynaccer4313 Před rokem +7

    namjua sheikh Malaika... anaelimu nzuri sana... amenifundisha pale LINDI... KHAIRAAT ISLAMIC SEC SCHOOL

  • @ashurakazema2462
    @ashurakazema2462 Před rokem +5

    IRENE...ahsante kwa kutusikiliza watazamaji wa hiki kipindi..sheikh ameongea lakini kuna gongano nyingi..kwanza mwanamke halazimishwi na wazazi wake katika kuolewa...dini yetu imetupa hiari ya kukubali au kukataa kuolewa na mwanaume kama hanivutii kuwa mume..sheikh alichoongea it's not true..pia tunarudi palepale..mahari kwenye ndoa ni kitu muhimu..ndio maana kama mwanaume hajalipa linabaki ni deni hadi atakapolipa...labda sheikh afafanue zaidi alichokua anamaanisha hapo...sheikh ameongea vizuri lakini kuna wakati anaongea nje ya point inaleta ukakasi kidogo..

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před rokem +4

    Kuna mambo mengine aliyoyasema Ustadhi siyo sahihi, kwa mfano mwanamke achaguliwe mume na wazazi wake na akubali kuolewa, kwanza inatakiwa mwanamke ampende huyo mume na aridhie mwenyewe na siyo alazimishwe kuolewa, na kuhusu mahari siyo ya wazazi ni ya binti mwenyewe, huyo siyo Sheikh ni Ustadhi , Ungemleta Sheikh anayojuwa dini vizuri na siyo huyo Ustadhi.

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 Před rokem

      Mmh ungealikwa wew bac lakin ujue wazaz wako hawawez kchagua kitu kibaya ni cc 2 ndo magaidi labda kama hajakpendeza but tabia ndo muhim

  • @malak-lz6kx
    @malak-lz6kx Před rokem +6

    Mtangazaji anacheka tu hpo maana kaona kiarabu tu kinashuka. Ila mashaallah kapendeza mwenyewe stara inampendeza mtu.

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem +3

    Irene shukran sana tumependa sana inshaallah aje Tena Irene ww jembe hd ushungi umenoga

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Masha Allah 🌹 🥰 Leo Alhamdulilah

  • @redmioman4371
    @redmioman4371 Před rokem +4

    MashaAllah dada Irene umependeza wallahy asante kwa somo zuri

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Před rokem +3

    Umependeza leo Mashaa'Allah

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před rokem +1

    Umependeza sana lrene hongera sana

  • @dalilaabdulkarim4458
    @dalilaabdulkarim4458 Před rokem +3

    Mashallah shukraan kwa elimu zuri sheyk

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Před rokem +3

    Asante irene jaman umeiona comment yangu na umeifanyia kaz nakupenda sana Asante kwa somo na mafunzo 🤝🤝💫🤲

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem +3

    Masha Allah

  • @jawadyrasheed6880
    @jawadyrasheed6880 Před rokem +3

    Mashallah ahsnte Dada Irene kwa kutuletea sheikh leo..

  • @nadyajaffarali7289
    @nadyajaffarali7289 Před rokem +7

    MASHAALLAH LAQUWATA ILLA BILAHI,Dada Umependeza sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    Umependeza na hijabu 😍😍 Asante sheikh

  • @mariamnshimirimana7082
    @mariamnshimirimana7082 Před rokem +5

    SNS kipenzi cha wote. I like it .

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Před rokem +3

    Huyu dada unavutiw na uislam karibuu

  • @ahmedkassim8700
    @ahmedkassim8700 Před rokem +1

    Masha Allah shukran kwa kutujuza... Ila mahari ni muhimu sana kupewa mwanamke... Tunaomba atufahamishe kwanini Mahari.... Bila mahari haiswihindoa

  • @karimniyo1909
    @karimniyo1909 Před rokem +2

    Yan tangu nimekuwa ktk jukwaa hili pendwa kwangu.... hiyi imekuwa ni episode pendwa kwangu... thanks my brother Frederic Bundala...sky walker

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před rokem +1

    Umependeza

  • @zulufinirasheedy1843
    @zulufinirasheedy1843 Před rokem +2

    Masha Allah shekhe wetu

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před rokem +2

    Umependeza saaaaaaana Léo ni Irene

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před rokem +1

    Baraka LLAH

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před rokem +3

    SNS safiiiiii sanaaaaaaaaa

  • @lailaoman3856
    @lailaoman3856 Před rokem +2

    Umependeza nastara yako,sio diva akihoji mashekhe,wigi kama mwandawazim,alafu aka jiita mke washekhe

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 Před rokem +1

    Hapo kwenye kubadili dini kuja uislamu na kwenda ukristo dada IRENE, Imekuchoma ila umevumilia tu sababu ndo mwanahabari hauna jins.

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před rokem +3

    Shungi imekupendeza bibie

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 Před rokem +2

    Bado hana uwezo wa kujieleza.
    Anajua lakini uwezo wa kujieleza.

  • @anitamwamini2646
    @anitamwamini2646 Před rokem

    Ameacha kuelezea vizuri kuna wanaume suruali

  • @alidyaya4512
    @alidyaya4512 Před rokem +1

    Bonge la intro 😊

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Asant kipenz kwa Leo

  • @maftuhihassan3114
    @maftuhihassan3114 Před rokem

    Mashaallwa

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před rokem +1

    Mashaalah Shekhe Shukrani lakini hapo kwenye mwanamke kuchaguliwa mume n wazazi sijawahi sikia ngoja nifwatilie niendelee kujifunza...na hapo mahari siyo lazima Subhanallah nilikuwa sijui....🙄
    Mtangazaji Shukrani kwa maswali ya Msingi kila kipindi chako Upo Vereeeeee👐

    • @tallyfa05saeed67
      @tallyfa05saeed67 Před rokem +1

      Kuchakuliwa mume yaani Arrange Marriage hii ilikuwa ni wazee wetu wa zamani ndio walikuwa wanachagulia wtto wao waume lkn hata ktk karne hii ya 2022 pia yapo makabila bado wanazo mila hizo

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Před rokem +1

    Aaa ostadh saman ruhsa y kuoa haitoki kw mke inatka kw Allah

  • @mwasitiiddy1089
    @mwasitiiddy1089 Před měsícem

    Nimejifunz vit ving kupitia hik kipind

  • @nouraynaasheikhunkabir3749

    Huyu Bwana musituletee Tena huyu kijana , anaongea ufahamu wake na sio elimu , mambo mengi katupiga ni ubinaadam kukosea hatumlaumu ila Jaribuni kutuletea MASHEKHE WABOBEZI .

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 Před rokem +3

    Shekhe ulivyosema hapo mahari sio lazima mbona sijakuelewa

    • @alsam4881
      @alsam4881 Před rokem

      Mie nimemuona huyo Ustadhi kuna baadhi ya mambo kaongea siyo sahihi Nadhani hana elmu kubwa ya dini, kwa mfano hiyo ya mahari na pia eti mwanamke achaguliwe mume na wazazi wake na akubali kuolewa bila ya ridhaa yake, na Sidhani kama ni Sheikh ila ni Ustadhi tu 😏

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Před rokem +1

    Hukmu y talak Ni halal yenye kuchukiaza mbele y Allah

  • @restypeter1141
    @restypeter1141 Před rokem

    😳😳😳😳😳 ndo jina lake

  • @khadijaomary1677
    @khadijaomary1677 Před rokem

    Shekhe mbn vitu vitam ten💃😂😂

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před rokem +1

    SNS HAPO MMETUFURAHISHA SANAAAAAAAAAA MLETENI NA SHEKH KISHK PAMOJA NA KIPOZEO

    • @hadiadaoman1981
      @hadiadaoman1981 Před rokem

      Na ukhtyii did

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha Před rokem

      Tusaidie Mawasiliano yake, pia ungependekeza eneo ambalo ungependa alipige msasa itapendeza Juma

  • @mariamjuma4136
    @mariamjuma4136 Před rokem

    Hapo kwenye mahari tunaambiwa mahari lazima tena bila mahari ndoa ahiswee tena mahari ni muoliwaje sio ya wazazi
    Sasa shekhe anatuambia mahari sio lazima inakuwaje?

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 Před rokem +1

    Shukran sana Sheikh

  • @karimniyo1909
    @karimniyo1909 Před rokem +2

    Ktk nyakat hizi mimba inaweza kubainika hata kwa wiki1 sasa eda hapo ipo?

    • @jamilabakari1283
      @jamilabakari1283 Před rokem

      Ndio EDA inakuwepo mpaka pale atakapojifungua...ila kama aliachwa akiwa katka hedh bas EDA yake inaisha paletu atapo maliza hedh yake.

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 Před rokem +1

    Mie sijaelwa kuna mwingne anaaxhwa moja anakaa mwaka mwanaume Hana habar nae ata ya kurudiana nae au mwanamke kapewa moja lkn kashamchoka mwanaume

    • @mrszogi4475
      @mrszogi4475 Před rokem

      Japokua mm sio shekhe lkn nitakujibu kulingana na elimu yng niliyonayo...ikiwa mwanamke amepewa talaka moja na akakaa eda yke miezi 3 akamaliza na mume hana dalili yakumrudia na pia pengine hakumuacha na mimba bc Ana ruhsa ikiwa atapata mume mwengine kuolewa lkn cha zaidi uliza meshekhe wtu in shaa Allah

  • @dullabenz5343
    @dullabenz5343 Před rokem

    Mashallah mke wa pili paap!

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 Před rokem +1

    Punguza hizo moaning za muitikio shoga angu

  • @trex6661
    @trex6661 Před rokem +1

    First

  • @issamohammed3193
    @issamohammed3193 Před rokem

    Tafuteni shrkh mwenye uwezo wa kujirlexea na kufafanua.. ameongea vitu vingi sana juu juu.. mada ya ndoa ni pana sana inahitaji mtu mwenye ufasaha wa maongezi na kuekeweka..

  • @issakisalu9237
    @issakisalu9237 Před rokem +2

    Kwani kujitambulisha ni nini?
    Mimi najua Jina, Elimu, Cheo, na makazi mda mwingine
    Lakini hii duh, mara mwalimu wa wawalimu duuuuub

  • @hamzampugus4200
    @hamzampugus4200 Před rokem +1

    Hiyo shehee deleva bajaji ilala

  • @isaacelijah6516
    @isaacelijah6516 Před rokem

    Mutta merried 😭 😭 😭 😭

  • @karimniyo1909
    @karimniyo1909 Před rokem

    Alafu ningepata jinsi yakumuuliza Sheikh wng hapoo ingekuwa poa saana

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před rokem

    Dada lrene kama upo singo nipe nafasi

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Před rokem

    Mada hh wanawke tena

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Před rokem

    Shekhe bukoba unatokea wapi? bugashani au kemondo? mke mwenye mwunwa mkubwa hatari😂

  • @DAMUSAFI
    @DAMUSAFI Před rokem +2

    ❌‼️ndoa za kiislamu zina varangati sana wewe unawezaje kuoa wanawake wa4 kanza mimi niliwahi kutembea uko Middle East nivigumu kuona anawake wengi kwetu tu ndo ni kama tumekua kama kuku ‼️❌

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky Před rokem +7

      Bora kutoka nje ya ndoa kuwa mzinifu au kufunga ndoa kihalali? Mwnaume hajawahi ridhika na mwanamke moja.
      Rekebisha kauli yako hakuna Udini wala ukabila katika valangati za ndoa

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 Před rokem +1

      Una coment ujinga

    • @hadiadaoman1981
      @hadiadaoman1981 Před rokem +2

      @@OnlyRuky fact wanjivunia ndoa moja kwenye macho ya watu ila anazin na wanawake zaid ya mmoja

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 Před rokem

      Varangati?????

    • @aminaalmazrui9785
      @aminaalmazrui9785 Před rokem +1

      @@OnlyRuky daah sorry sana nilikua sijaisoma vizur comment yako ila nikidhani nimemjibu huyo wa mwanzo

  • @selerundo1522
    @selerundo1522 Před rokem

    Saf

  • @chonghoswe6255
    @chonghoswe6255 Před rokem

    Muambiw nn

    • @chonghoswe6255
      @chonghoswe6255 Před rokem

      @@aminaalmazrui9785 😁 mguu kw mgu adi peponi inshaallh

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 Před rokem +1

    Masha Allah

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k Před rokem +1

    Mashalla shekh