Video není dostupné.
Omlouváme se.
Fix You: Ndoa za Kiislamu, Mwanaume aoe wake 4 akiwa na vigezo hivi, talaka hutolewa haya yakitokea
Komentáře • 86
Další v pořadí
Automatické přehrávání
GPS: ZELENSKY alia na UK, US kumpa kisogo, PUTIN ahofiwa akichokozwa zaidi atalipua NYUKLIASimulizi Na Sauti
zhlédnutí 12K
Fix You: Haya ndio Madhara yanayotokea pale Majukumu ya Mume yanapofanywa na Mke kwenye ndoaSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 7K
Mfahamu Sheikh Kipozeo, Maisha Yake Ya Utotoni, Familia Na Elimu Yake | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT1YahStoneTown
zhlédnutí 111K
Third Wheel Problems 🥲Alan Chikin Chow
zhlédnutí 22M
Girl’s compassion turns foul dog into cute furry friend #shortsI migliori trucchetti di Fabiosa
zhlédnutí 8M
Classic Italian Pasta Dogalbert_cancook
zhlédnutí 7M
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker #shortsUntitled Joker
zhlédnutí 59M
HAKUNA MKAMILIFU BAINA YA MUME NA MKE HIVYO UVUMILIVU UNAHITAJIKA-SHEIKH QASIM MAFUTA-حفظه اللهElimu sahihi
zhlédnutí 16K
Fix You: Dawa za kuongeza nguvu za kiume na madhara makubwa ya baadaye/Mahaba TibaSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 2,9K
AUNT SADAKA: HIVI NDIO NAMNA YA KUYABEBA MAPUNGUF YA MPENZI WAKO, "ONA MAPENZI YA KWELI YANAVYOKUJAMchezakwao Startv
zhlédnutí 7K
DKT MWAKA: WAKE ZANGU HAWASALIMIANI/ MKE BORA NDIYO SIRI YA MAFANIKIO YA MWANAUMESoudy Brown
zhlédnutí 44K
Fix You: Rafiki yangu kipenzi alivyonichukulia mume wangu mtarajiwa na wakafunga ndoaSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 147K
MC LUVANDA AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA/KUHUSU USALITI/MKE WANGU NI MBISHINEWS UPDATES
zhlédnutí 23K
Fix You: Unahisi unamjua vizuri mpenzi wako? Fikiria upya, subiri hadi ufunge ndoa! Fahamu hayaSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 8K
Tary Drink stačí zalévat! 😂Tary
zhlédnutí 186K
My Bed On Different Days #ShortsLuke Davidson
zhlédnutí 17M
【斗罗大陆】坏人居然敢欺负唐舞桐? 斗罗家族可不好惹哟!#斗罗大陆#唐舞桐#唐三#小舞萌萌与舞桐
zhlédnutí 40M
The Real Process of Harvesting Honey 🐝🍯 #funnycats #funnyvideo #reaction #honeyMeowtropolis
zhlédnutí 5M
How Countries eat spaghettiLionfield
zhlédnutí 13M
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shortsWian
zhlédnutí 35M
Can This Bubble Save My Life? 😱Topper Guild
zhlédnutí 54M
Here’s why first responders are calling her a hero.KSDK News
zhlédnutí 54M
namjua sheikh Malaika... anaelimu nzuri sana... amenifundisha pale LINDI... KHAIRAAT ISLAMIC SEC SCHOOL
IRENE...ahsante kwa kutusikiliza watazamaji wa hiki kipindi..sheikh ameongea lakini kuna gongano nyingi..kwanza mwanamke halazimishwi na wazazi wake katika kuolewa...dini yetu imetupa hiari ya kukubali au kukataa kuolewa na mwanaume kama hanivutii kuwa mume..sheikh alichoongea it's not true..pia tunarudi palepale..mahari kwenye ndoa ni kitu muhimu..ndio maana kama mwanaume hajalipa linabaki ni deni hadi atakapolipa...labda sheikh afafanue zaidi alichokua anamaanisha hapo...sheikh ameongea vizuri lakini kuna wakati anaongea nje ya point inaleta ukakasi kidogo..
Kuna mambo mengine aliyoyasema Ustadhi siyo sahihi, kwa mfano mwanamke achaguliwe mume na wazazi wake na akubali kuolewa, kwanza inatakiwa mwanamke ampende huyo mume na aridhie mwenyewe na siyo alazimishwe kuolewa, na kuhusu mahari siyo ya wazazi ni ya binti mwenyewe, huyo siyo Sheikh ni Ustadhi , Ungemleta Sheikh anayojuwa dini vizuri na siyo huyo Ustadhi.
Mmh ungealikwa wew bac lakin ujue wazaz wako hawawez kchagua kitu kibaya ni cc 2 ndo magaidi labda kama hajakpendeza but tabia ndo muhim
Mtangazaji anacheka tu hpo maana kaona kiarabu tu kinashuka. Ila mashaallah kapendeza mwenyewe stara inampendeza mtu.
Irene shukran sana tumependa sana inshaallah aje Tena Irene ww jembe hd ushungi umenoga
Masha Allah 🌹 🥰 Leo Alhamdulilah
MashaAllah dada Irene umependeza wallahy asante kwa somo zuri
Umependeza leo Mashaa'Allah
Umependeza sana lrene hongera sana
Mashallah shukraan kwa elimu zuri sheyk
Asante irene jaman umeiona comment yangu na umeifanyia kaz nakupenda sana Asante kwa somo na mafunzo 🤝🤝💫🤲
Masha Allah
Mashallah ahsnte Dada Irene kwa kutuletea sheikh leo..
MASHAALLAH LAQUWATA ILLA BILAHI,Dada Umependeza sana
Maa shaa Allah,amependeza kwelii leo
Umependeza na hijabu 😍😍 Asante sheikh
SNS kipenzi cha wote. I like it .
Huyu dada unavutiw na uislam karibuu
Masha Allah shukran kwa kutujuza... Ila mahari ni muhimu sana kupewa mwanamke... Tunaomba atufahamishe kwanini Mahari.... Bila mahari haiswihindoa
Yan tangu nimekuwa ktk jukwaa hili pendwa kwangu.... hiyi imekuwa ni episode pendwa kwangu... thanks my brother Frederic Bundala...sky walker
Umependeza
Masha Allah shekhe wetu
Umependeza saaaaaaana Léo ni Irene
Baraka LLAH
SNS safiiiiii sanaaaaaaaaa
Umependeza nastara yako,sio diva akihoji mashekhe,wigi kama mwandawazim,alafu aka jiita mke washekhe
Hapo kwenye kubadili dini kuja uislamu na kwenda ukristo dada IRENE, Imekuchoma ila umevumilia tu sababu ndo mwanahabari hauna jins.
Shungi imekupendeza bibie
Bado hana uwezo wa kujieleza.
Anajua lakini uwezo wa kujieleza.
True
Ameacha kuelezea vizuri kuna wanaume suruali
Bonge la intro 😊
Asant kipenz kwa Leo
Mashaallwa
Mashaalah Shekhe Shukrani lakini hapo kwenye mwanamke kuchaguliwa mume n wazazi sijawahi sikia ngoja nifwatilie niendelee kujifunza...na hapo mahari siyo lazima Subhanallah nilikuwa sijui....🙄
Mtangazaji Shukrani kwa maswali ya Msingi kila kipindi chako Upo Vereeeeee👐
Kuchakuliwa mume yaani Arrange Marriage hii ilikuwa ni wazee wetu wa zamani ndio walikuwa wanachagulia wtto wao waume lkn hata ktk karne hii ya 2022 pia yapo makabila bado wanazo mila hizo
Aaa ostadh saman ruhsa y kuoa haitoki kw mke inatka kw Allah
Nimejifunz vit ving kupitia hik kipind
Huyu Bwana musituletee Tena huyu kijana , anaongea ufahamu wake na sio elimu , mambo mengi katupiga ni ubinaadam kukosea hatumlaumu ila Jaribuni kutuletea MASHEKHE WABOBEZI .
Shekhe ulivyosema hapo mahari sio lazima mbona sijakuelewa
Mie nimemuona huyo Ustadhi kuna baadhi ya mambo kaongea siyo sahihi Nadhani hana elmu kubwa ya dini, kwa mfano hiyo ya mahari na pia eti mwanamke achaguliwe mume na wazazi wake na akubali kuolewa bila ya ridhaa yake, na Sidhani kama ni Sheikh ila ni Ustadhi tu 😏
Hukmu y talak Ni halal yenye kuchukiaza mbele y Allah
😳😳😳😳😳 ndo jina lake
Shekhe mbn vitu vitam ten💃😂😂
SNS HAPO MMETUFURAHISHA SANAAAAAAAAAA MLETENI NA SHEKH KISHK PAMOJA NA KIPOZEO
Na ukhtyii did
Tusaidie Mawasiliano yake, pia ungependekeza eneo ambalo ungependa alipige msasa itapendeza Juma
Hapo kwenye mahari tunaambiwa mahari lazima tena bila mahari ndoa ahiswee tena mahari ni muoliwaje sio ya wazazi
Sasa shekhe anatuambia mahari sio lazima inakuwaje?
Shukran sana Sheikh
Shukran sana
Shukran sana
Ktk nyakat hizi mimba inaweza kubainika hata kwa wiki1 sasa eda hapo ipo?
Ndio EDA inakuwepo mpaka pale atakapojifungua...ila kama aliachwa akiwa katka hedh bas EDA yake inaisha paletu atapo maliza hedh yake.
Mie sijaelwa kuna mwingne anaaxhwa moja anakaa mwaka mwanaume Hana habar nae ata ya kurudiana nae au mwanamke kapewa moja lkn kashamchoka mwanaume
Japokua mm sio shekhe lkn nitakujibu kulingana na elimu yng niliyonayo...ikiwa mwanamke amepewa talaka moja na akakaa eda yke miezi 3 akamaliza na mume hana dalili yakumrudia na pia pengine hakumuacha na mimba bc Ana ruhsa ikiwa atapata mume mwengine kuolewa lkn cha zaidi uliza meshekhe wtu in shaa Allah
Mashallah mke wa pili paap!
Punguza hizo moaning za muitikio shoga angu
First
Tafuteni shrkh mwenye uwezo wa kujirlexea na kufafanua.. ameongea vitu vingi sana juu juu.. mada ya ndoa ni pana sana inahitaji mtu mwenye ufasaha wa maongezi na kuekeweka..
Kwani kujitambulisha ni nini?
Mimi najua Jina, Elimu, Cheo, na makazi mda mwingine
Lakini hii duh, mara mwalimu wa wawalimu duuuuub
Umeleweka insha allah
Hiyo shehee deleva bajaji ilala
Ktk kujitafutia ridhiki yk.
Naam
Kwaiyo🙄🤔
Mutta merried 😭 😭 😭 😭
Alafu ningepata jinsi yakumuuliza Sheikh wng hapoo ingekuwa poa saana
Ametoa no yake mwisho mtafute
Dada lrene kama upo singo nipe nafasi
Mada hh wanawke tena
Shekhe bukoba unatokea wapi? bugashani au kemondo? mke mwenye mwunwa mkubwa hatari😂
❌‼️ndoa za kiislamu zina varangati sana wewe unawezaje kuoa wanawake wa4 kanza mimi niliwahi kutembea uko Middle East nivigumu kuona anawake wengi kwetu tu ndo ni kama tumekua kama kuku ‼️❌
Bora kutoka nje ya ndoa kuwa mzinifu au kufunga ndoa kihalali? Mwnaume hajawahi ridhika na mwanamke moja.
Rekebisha kauli yako hakuna Udini wala ukabila katika valangati za ndoa
Una coment ujinga
@@OnlyRuky fact wanjivunia ndoa moja kwenye macho ya watu ila anazin na wanawake zaid ya mmoja
Varangati?????
@@OnlyRuky daah sorry sana nilikua sijaisoma vizur comment yako ila nikidhani nimemjibu huyo wa mwanzo
Saf
Muambiw nn
@@aminaalmazrui9785 😁 mguu kw mgu adi peponi inshaallh
Masha Allah
Mashalla shekh