Asante kwa makala nzuri. Majeshi tu ujisifu yako tyar mda wote n.k n.k n.k lakn maswala haya ya usalama ata uwe perfect vipi mwisho wa siku huwa n TYMING TU BASI. anayekutym basi licha ya kwamba mwaweza kuw vizuri kiasi gani. MUNGU ndiye mlinzi pekee wa kweli na wa usalama vyema. MUNGU NI NI Idara ya usalama tosha.
Kila siku nasema ukiona taifa linakosoa mataifa mengine ujuwe kwao ndo tatizo linapoanzia wala hakuna cha kujufunza😏🤗 ingekuwa limetokea afrika yani hani miswada yao ya kishoga wangesitisha 😢 Mungu atawaumbua mbona kwenye kiti kuna robot bado hapo hapo ulinzi kwa watu hovyo tu
Tungekuwa kina sie hapa wangesema ulinzi ni dhaifu.Mlinzi ni Mungu tuu,Trump asingegeuza shingo kuangalia kulia risasi ingempata vizuri kichwani,Mungu apewe sifa.Binadamu akiamua kufanya ushetani ni ngumu kumzuia.
Aliyetumwa kumpiga risasi Trump, ameuliwa na waliomtuma...sababu alilipwa pesa nzuri na ameshindwa kutekeleza wajibu wake na kuua ushahidi....tuliosoma Cuba hapo tunasema NO case😂😂😂
Jaribio la kumuuwa Donald Trump ni aibu kubwa kwa Marekani, ingawa hii ndiyo michezo yao michafu wanayoifanya kwa viongozi wazalendo wa mataifa mengine Dunia, na Ronald Reagan Rais wa zamani wa Marekani, naye aliwai pia kukumbwa na hali hiyo kama ya Donald Trump. Donald Trump aliwai kusema kwamba wanataka kuniuwa, aishi Donald Trump, japo atambue wahuni wapenda vita wako ndani ya Serikali ya Marekani wanamuwinda. Na wakati mwingine Mungu akitaka kukupa anguko anakutia kwanza kiburi, nawaza hili tukio lingetokea Urusi ya mzalendo wa kweli Vladimir Putin, vyombo vya habari vya magharibi ungesikia wakisema CIA na FBI walikuwa wanajua na waliwatahadharisha.
hahahaaaa...hapo ulipomalizia hapo pamenifurahisha sana,hawa jamaa kuuana ni kawaida walimuua John Kennedy na wengine kibao tu,hiyo ni fedheha kwa taifa kinalojifanya kuwa ni democratic state
Asante kwa makala nzuri. Majeshi tu ujisifu yako tyar mda wote n.k n.k n.k lakn maswala haya ya usalama ata uwe perfect vipi mwisho wa siku huwa n TYMING TU BASI. anayekutym basi licha ya kwamba mwaweza kuw vizuri kiasi gani. MUNGU ndiye mlinzi pekee wa kweli na wa usalama vyema. MUNGU NI NI Idara ya usalama tosha.
Kila siku nasema ukiona taifa linakosoa mataifa mengine ujuwe kwao ndo tatizo linapoanzia wala hakuna cha kujufunza😏🤗 ingekuwa limetokea afrika yani hani miswada yao ya kishoga wangesitisha 😢 Mungu atawaumbua mbona kwenye kiti kuna robot bado hapo hapo ulinzi kwa watu hovyo tu
@@TrinaRoman345 Ccta hawa jamaa ni wajinga sana yaan wanawaona wenzao mbumbumbu so bora ilivyotokea kwao
Mungu ni mwaminifuu ..tunashukulu
Hatari.,..xana
Walilenga kumuua Trump sio kwamba hawakujua hii ni 'potential targeting position'
This is not a dream to say you will forget in the morning when you wake up, I think that is something that Biden should understand.
Sera zake za kufukuza wahamiaji.
swali ni kwamba mshambuliaji hakusogea sehemu yyt alipigwa risasi palepale na yy aliwekwa kwe target
Lazima wamuue kwasababu ameshindwa kutimiza alichotumwa kwaiyo lazima wapoteze ushahidi.
Sniper hajalenga ipasavyo kwanini kapaniki angetulia alenge kwenye paji la uso tu trump you must GO please 🙅🏾♀️🙅🏾♀️🙅🏾♀️🤷🏾♀️
My be you ll go before Trump
SNS NDIO MY NUMBER ONE CHANNEL 🙌🏾👏🏾😍🤍
Jamaa kakosea shabaha watuwake wanamlaumu sana
Bora ilivyotokea Marekani kwetu Congo 🇨🇩 hali tete tumuombe Ibrahim Taore aje😢😢😢
Hawa Security na system wanahusika kwa upande fulani
Alisema dj sma+255 aise kweli atakubaliwa kuingia Ikulu ya white house
Historia huwa inajirudia...Wana tabia ya kupigana Risasi
Had ya kifo chake bado huy
Da atali sana 😮😮
Noma san
Uyo muuwaji sijui haoni au sijui ana makengezaa sasa kamkosajee,?
Haya maisha uwez kuwa na akili zaid kuliko wote watu wapo na akili na mipango 🤝🫡
kosa ni la mdunguaji hakua na shabaha
😂😂😂😂
Donald Trump💪
Tungekuwa kina sie hapa wangesema ulinzi ni dhaifu.Mlinzi ni Mungu tuu,Trump asingegeuza shingo kuangalia kulia risasi ingempata vizuri kichwani,Mungu apewe sifa.Binadamu akiamua kufanya ushetani ni ngumu kumzuia.
Pumzika Kwa amani John F. Kennedy
Dahh jamaa hana shabaha kabisa🫣🫣🫣🫣
Umeona eeeh😂😂😂😂😂😂😂😂 ingekua mm ningemdua ya jicho na kumsambaratisha ubongo
😂😂😂😂
Hapa mdy ingekuwa Africa sasa kiongozi mpinzani kashambuliwa ingekuwa balaa
RUTO MUST GO
Africa atustuke naiyo wametutesa sana
Ila ingekuwa wabongo wangekimbia 😂😂😂😂
👍✌️👊.
Aliyetumwa kumpiga risasi Trump, ameuliwa na waliomtuma...sababu alilipwa pesa nzuri na ameshindwa kutekeleza wajibu wake na kuua ushahidi....tuliosoma Cuba hapo tunasema NO case😂😂😂
Taifa hilo halifai kukosoa mataifa mengine kwa mambo ya ajabu kamahayo
Leteni GPS
Aisee trump ni jasiri ona alivyosimama imara ningekuwa mimi hapo daa aisee mikojo na kutetemeka tii😂😂
Yajayo yana furahisha😂😂😂😂😂😂😂😂
Hivi kingetokea nini nchini endapo tu jamaa angefanikiwa? Asa kwenye uchaguzi
😊😊
Akuna kuti brother aacha kupotesha watu wemweye umeona kama iyo kitu sio it's just a trick
Editing
ndo tukuulize wewee
trap aliusurika kifo Jana
Terrorist Terrorist attack ama ni mtu alikuwa na bunduki kazi kweli kweli😮
Halijashtua dunia 😂
Hii ilipangwa na ikapangika ili apate umarufu
Hapana target imeenda penyewe bahati tuu
Jaribio la kumuuwa Donald Trump ni aibu kubwa kwa Marekani, ingawa hii ndiyo michezo yao michafu wanayoifanya kwa viongozi wazalendo wa mataifa mengine Dunia, na Ronald Reagan Rais wa zamani wa Marekani, naye aliwai pia kukumbwa na hali hiyo kama ya Donald Trump.
Donald Trump aliwai kusema kwamba wanataka kuniuwa, aishi Donald Trump, japo atambue wahuni wapenda vita wako ndani ya Serikali ya Marekani wanamuwinda.
Na wakati mwingine Mungu akitaka kukupa anguko anakutia kwanza kiburi, nawaza hili tukio lingetokea Urusi ya mzalendo wa kweli Vladimir Putin, vyombo vya habari vya magharibi ungesikia wakisema CIA na FBI walikuwa wanajua na waliwatahadharisha.
hahahaaaa...hapo ulipomalizia hapo pamenifurahisha sana,hawa jamaa kuuana ni kawaida walimuua John Kennedy na wengine kibao tu,hiyo ni fedheha kwa taifa kinalojifanya kuwa ni democratic state
Wenyewe wamemtuma huyo ,lkn sio tatizo kumuuwa kw sababu ya uzembe wake.
bwege
@@PAULNYANDILE 😃😃
Hawa wametengeneza wenyewe ili kutafta namna ya tramp kumpa nguvu 😢 hahaha 😂
Kwaiyo angepigwa yakichwa..ingekuwa ajari kaz sio....?
@@nsusabudda2951kila kitu watu wanahisi ni kiki dooo