Video není dostupné.
Omlouváme se.

Shambulio la risasi dhidi ya TRUMP lawatia doa kubwa Secret Service, Mshambuliaji alipenyaje?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 07. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 61

  • @JOHNINSURANCE
    @JOHNINSURANCE Před měsícem +14

    Asante kwa makala nzuri. Majeshi tu ujisifu yako tyar mda wote n.k n.k n.k lakn maswala haya ya usalama ata uwe perfect vipi mwisho wa siku huwa n TYMING TU BASI. anayekutym basi licha ya kwamba mwaweza kuw vizuri kiasi gani. MUNGU ndiye mlinzi pekee wa kweli na wa usalama vyema. MUNGU NI NI Idara ya usalama tosha.

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Před měsícem +15

    Kila siku nasema ukiona taifa linakosoa mataifa mengine ujuwe kwao ndo tatizo linapoanzia wala hakuna cha kujufunza😏🤗 ingekuwa limetokea afrika yani hani miswada yao ya kishoga wangesitisha 😢 Mungu atawaumbua mbona kwenye kiti kuna robot bado hapo hapo ulinzi kwa watu hovyo tu

    • @kalengashoppingcenter1108
      @kalengashoppingcenter1108 Před měsícem

      @@TrinaRoman345 Ccta hawa jamaa ni wajinga sana yaan wanawaona wenzao mbumbumbu so bora ilivyotokea kwao

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 Před měsícem +3

    Mungu ni mwaminifuu ..tunashukulu

  • @furahajacob9110
    @furahajacob9110 Před měsícem +6

    Hatari.,..xana

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před měsícem +6

    Walilenga kumuua Trump sio kwamba hawakujua hii ni 'potential targeting position'

  • @disanatv4485
    @disanatv4485 Před měsícem +6

    This is not a dream to say you will forget in the morning when you wake up, I think that is something that Biden should understand.

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Před měsícem +5

    Sera zake za kufukuza wahamiaji.

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Před měsícem +6

    swali ni kwamba mshambuliaji hakusogea sehemu yyt alipigwa risasi palepale na yy aliwekwa kwe target

    • @user-vf3wt3sb1h
      @user-vf3wt3sb1h Před měsícem

      Lazima wamuue kwasababu ameshindwa kutimiza alichotumwa kwaiyo lazima wapoteze ushahidi.

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před měsícem +1

    Sniper hajalenga ipasavyo kwanini kapaniki angetulia alenge kwenye paji la uso tu trump you must GO please 🙅🏾‍♀️🙅🏾‍♀️🙅🏾‍♀️🤷🏾‍♀️

  • @aminaali792
    @aminaali792 Před měsícem +4

    SNS NDIO MY NUMBER ONE CHANNEL 🙌🏾👏🏾😍🤍

  • @user-wn3zb5xv6v
    @user-wn3zb5xv6v Před měsícem +1

    Jamaa kakosea shabaha watuwake wanamlaumu sana

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Před měsícem +1

    Bora ilivyotokea Marekani kwetu Congo 🇨🇩 hali tete tumuombe Ibrahim Taore aje😢😢😢

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Před měsícem +3

    Hawa Security na system wanahusika kwa upande fulani

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 Před měsícem +2

    Alisema dj sma+255 aise kweli atakubaliwa kuingia Ikulu ya white house

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem +1

    Historia huwa inajirudia...Wana tabia ya kupigana Risasi

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 Před měsícem +2

    Had ya kifo chake bado huy

  • @jovnechrispine436
    @jovnechrispine436 Před měsícem +2

    Da atali sana 😮😮

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před měsícem

    Noma san

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj Před měsícem

    Uyo muuwaji sijui haoni au sijui ana makengezaa sasa kamkosajee,?

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 Před měsícem

    Haya maisha uwez kuwa na akili zaid kuliko wote watu wapo na akili na mipango 🤝🫡

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Před měsícem +3

    kosa ni la mdunguaji hakua na shabaha

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před měsícem +2

    Donald Trump💪

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304 Před měsícem

    Tungekuwa kina sie hapa wangesema ulinzi ni dhaifu.Mlinzi ni Mungu tuu,Trump asingegeuza shingo kuangalia kulia risasi ingempata vizuri kichwani,Mungu apewe sifa.Binadamu akiamua kufanya ushetani ni ngumu kumzuia.

  • @user-ps5co3pc3f
    @user-ps5co3pc3f Před měsícem +1

    Pumzika Kwa amani John F. Kennedy

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc Před měsícem +2

    Dahh jamaa hana shabaha kabisa🫣🫣🫣🫣

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv Před měsícem

    Hapa mdy ingekuwa Africa sasa kiongozi mpinzani kashambuliwa ingekuwa balaa

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Před měsícem

    RUTO MUST GO

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya2605 Před měsícem

    Africa atustuke naiyo wametutesa sana

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před měsícem

    Ila ingekuwa wabongo wangekimbia 😂😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem

    👍✌️👊.

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi1247 Před měsícem

    Aliyetumwa kumpiga risasi Trump, ameuliwa na waliomtuma...sababu alilipwa pesa nzuri na ameshindwa kutekeleza wajibu wake na kuua ushahidi....tuliosoma Cuba hapo tunasema NO case😂😂😂

  • @user-bs1od1zl4m
    @user-bs1od1zl4m Před měsícem

    Taifa hilo halifai kukosoa mataifa mengine kwa mambo ya ajabu kamahayo

  • @kidyybravo5267
    @kidyybravo5267 Před měsícem

    Leteni GPS

  • @mlelwatv5831
    @mlelwatv5831 Před měsícem

    Aisee trump ni jasiri ona alivyosimama imara ningekuwa mimi hapo daa aisee mikojo na kutetemeka tii😂😂

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Před měsícem

    Yajayo yana furahisha😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Před měsícem

    Hivi kingetokea nini nchini endapo tu jamaa angefanikiwa? Asa kwenye uchaguzi

  • @leeyjr1446
    @leeyjr1446 Před měsícem

    😊😊

  • @SadamKapere
    @SadamKapere Před měsícem

    Akuna kuti brother aacha kupotesha watu wemweye umeona kama iyo kitu sio it's just a trick

  • @shamslukumay2627
    @shamslukumay2627 Před měsícem +2

    Editing

  • @Thobiaslucaskipara
    @Thobiaslucaskipara Před měsícem +2

    ndo tukuulize wewee

  • @user-js5ox2mo1j
    @user-js5ox2mo1j Před měsícem

    trap aliusurika kifo Jana

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před měsícem

    Terrorist Terrorist attack ama ni mtu alikuwa na bunduki kazi kweli kweli😮

  • @janetlamb9018
    @janetlamb9018 Před měsícem

    Halijashtua dunia 😂

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g Před měsícem

    Hii ilipangwa na ikapangika ili apate umarufu

    • @Makikokasongo
      @Makikokasongo Před měsícem

      Hapana target imeenda penyewe bahati tuu

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p Před měsícem

    Jaribio la kumuuwa Donald Trump ni aibu kubwa kwa Marekani, ingawa hii ndiyo michezo yao michafu wanayoifanya kwa viongozi wazalendo wa mataifa mengine Dunia, na Ronald Reagan Rais wa zamani wa Marekani, naye aliwai pia kukumbwa na hali hiyo kama ya Donald Trump.
    Donald Trump aliwai kusema kwamba wanataka kuniuwa, aishi Donald Trump, japo atambue wahuni wapenda vita wako ndani ya Serikali ya Marekani wanamuwinda.
    Na wakati mwingine Mungu akitaka kukupa anguko anakutia kwanza kiburi, nawaza hili tukio lingetokea Urusi ya mzalendo wa kweli Vladimir Putin, vyombo vya habari vya magharibi ungesikia wakisema CIA na FBI walikuwa wanajua na waliwatahadharisha.

    • @gosbertireneus5558
      @gosbertireneus5558 Před měsícem

      hahahaaaa...hapo ulipomalizia hapo pamenifurahisha sana,hawa jamaa kuuana ni kawaida walimuua John Kennedy na wengine kibao tu,hiyo ni fedheha kwa taifa kinalojifanya kuwa ni democratic state

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před měsícem

    Wenyewe wamemtuma huyo ,lkn sio tatizo kumuuwa kw sababu ya uzembe wake.

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 Před měsícem +1

    Hawa wametengeneza wenyewe ili kutafta namna ya tramp kumpa nguvu 😢 hahaha 😂

    • @nsusabudda2951
      @nsusabudda2951 Před měsícem +3

      Kwaiyo angepigwa yakichwa..ingekuwa ajari kaz sio....?

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 Před měsícem

      ​@@nsusabudda2951kila kitu watu wanahisi ni kiki dooo