Nimeanza ku like kwa kuvutiwa tu na kipindi haswa dada wa black and white blouse,nasijajua wataongea nini but with Lilian M. nitapokea mafunzo mengi...
Nimejifunza mengi sana na namfatilia sana Lilian Mwasha hasa akiwa na Dr Mwaka nae wako poa sana jamani hudum yenu ya kuponya jamii ya mahusiano ya ndoa asante sana kwa sns kutuletea hich kipindi.
Lillian Mwasha...I really like this woman,I can't get enough of listening her when she is talking...nice interview! Much love and appreciation from Burundi,🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Lilian mwasha anaongelea Experience yake Binafsi nimesikiliza hayuko sawa kuwashauli kwenye masuala ya Ndoa bado kuna vitu vya msingi havijui nna Confidance kuandika hivi kwasababu ya majibu yake mepesi sana kwenye hii Interview,
@@arcofamasolutions7658 Naonekana ila sio By the way Negative Na postive juu yangu ni mtazamo wako binafsi ni Haki yako huru iko kisheria so tuishi hapo kwenye naonekana kanjanja
Yan wewe Kama huwa humsikilizi utateseka Sana iko hiv Lilian hata kwenye kipindi cha women matter na hard tok msikilize yeye akiwa na maswali ya watu pia huwa anazungumza kanakwamba yeye ndie mlengwa halafu anaeleweka Sana hulibeba swali la mtu Kwa uzito pia , ndio maana wakat wakuliwasilisha swali huzungumza Kwa hisia za ndan na Kwa uzito usikimbilie lulaum mtu kabla hujamjua
Hakuna aliyekamilika ila Kuna vitu vikubwa Sana ameongea kiasi ukivishika unaokoa ndoa yako Kam mwanamke kuwa submissive na mwanaume kupenda hii ndio misingi mikubwa sanaaa naomba nirudie ni misingi mikubwa sanaaaaa ya ndoa na pia amekili kuwa alikosea yeye kwenye ndoa yake ya Kwanza hiii kitu wanawake wengi hawana huwa wanaanza kuongelea jinsi wanaume waliwakosea na kunyanyaswa kitu ambacho wanasahawao msingi wao
Salamu zangu ziku fikie mrembo wangu L M ,nakupenda sana dada yangu wewe una Mungu mzima ndani mwako,nakusalimu kutoka hapa Colorado us,uzidi iweka familia yangu kwenye sala 👏🏾🥰
Kweli Lilian,kweli kabisa,kwakuongezea aliemizwa yupo darasani,lazima akubali darasa Ili ajifunze kwa umakini na atakapofuzu atakua ni aina nyingine ya msomi in town.kila jambo atakua makini cos tayari ni msomi bingwa kwa kipengele hicho
Wooow! Hii na mm hua nauliza wapi imeandikwa mwanamke nivumilie kwenye ndoa. There is nothing called uvumilivu Hapa kwenye submission, Mungu 🙌 nisaidie kujifunza
Na huyu mma ambaye unaishi na watto wake unawathamin unawapenda kwa dhati lakini mma yao anawapigia cm nakuwaambia mtukaneni msimuheshim huyu tumweka group gani?
My self I don't like such a name calling step mother nampenda mtoto aliyezaliwa na Mume wangu like my biological daughter and I'm proud of her we love each other thank you dada Lilian
Nimeanza ku like kwa kuvutiwa tu na kipindi haswa dada wa black and white blouse,nasijajua wataongea nini but with Lilian M. nitapokea mafunzo mengi...
Nimejifunza mengi sana na namfatilia sana Lilian Mwasha hasa akiwa na Dr Mwaka nae wako poa sana jamani hudum yenu ya kuponya jamii ya mahusiano ya ndoa asante sana kwa sns kutuletea hich kipindi.
Pokes busu langu Lilian mwasha,karibu Rubya kwetu kagera🙏🙏
Lillian Mwasha...I really like this woman,I can't get enough of listening her when she is talking...nice interview! Much love and appreciation from Burundi,🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nimechua barikiwa mtumishi wa Mungu🙏
Lilian mwasha ilove you penda unavyo tushauri sisi vijana haswa kwenye mahusiano 😍😍😍
Lilian mwasha anaongelea Experience yake Binafsi nimesikiliza hayuko sawa kuwashauli kwenye masuala ya Ndoa bado kuna vitu vya msingi havijui nna Confidance kuandika hivi kwasababu ya majibu yake mepesi sana kwenye hii Interview,
We mwenyewe unaonekana kanjanja
@@arcofamasolutions7658 Naonekana ila sio By the way Negative Na postive juu yangu ni mtazamo wako binafsi ni Haki yako huru iko kisheria so tuishi hapo kwenye naonekana kanjanja
Yan wewe Kama huwa humsikilizi utateseka Sana iko hiv Lilian hata kwenye kipindi cha women matter na hard tok msikilize yeye akiwa na maswali ya watu pia huwa anazungumza kanakwamba yeye ndie mlengwa halafu anaeleweka Sana hulibeba swali la mtu Kwa uzito pia , ndio maana wakat wakuliwasilisha swali huzungumza Kwa hisia za ndan na Kwa uzito usikimbilie lulaum mtu kabla hujamjua
Nilisahau hiki kipindi kinaama kwamba unaongelea kile ambacho umekipitia kwenye maisha hasa ndoa, na sikumuongelea mtu mwingine Kaka 👍
Hakuna aliyekamilika ila Kuna vitu vikubwa Sana ameongea kiasi ukivishika unaokoa ndoa yako Kam mwanamke kuwa submissive na mwanaume kupenda hii ndio misingi mikubwa sanaaa naomba nirudie ni misingi mikubwa sanaaaaa ya ndoa na pia amekili kuwa alikosea yeye kwenye ndoa yake ya Kwanza hiii kitu wanawake wengi hawana huwa wanaanza kuongelea jinsi wanaume waliwakosea na kunyanyaswa kitu ambacho wanasahawao msingi wao
Asante sana madam Lilian nakupenda sana Mungu akubariki sana ❤❤
Salamu zangu ziku fikie mrembo wangu L M ,nakupenda sana dada yangu wewe una Mungu mzima ndani mwako,nakusalimu kutoka hapa Colorado us,uzidi iweka familia yangu kwenye sala 👏🏾🥰
Nampenda sana huyu dada lilian mwasha
Nice topic Lilian yupo vizuri.
Uyu mdada ndogo ni mrembo Sana na Yuko Makini Sana,ongera binti yangu nakukubali,
Nakuelewa sanaaa Lilian
This lady is wonderful much luv from 254
Ameeeen Ameeeen my love Liliani 😍💛💛💛💚💚💚🔥🔥🔥
This was deep I really enjoyed watching it. Thanks for sharing.
Very informative content be blessed
Thanks for the advice and I have learned something between 🙏
Thank you lilian!!! I love you.
Ahsante dada lily nakupenda sana
Thanks for this be blessed
Ooooooh
Nimekuwa WAKWANZA kukoment
Nakupenda liliani unaongea kiswaili vizuri
Thanks lilian 😍😍
Masha Allah
❤️❤️❤️❤️ Amen 🙏
Love you mwasha
Nimekuelewa sana dada Lilian mwasha
huyu lilian jaman 🙌👏👏👏 ni maupako tu hapa na matilio nmekusanya
Kweli Lilian,kweli kabisa,kwakuongezea aliemizwa yupo darasani,lazima akubali darasa Ili ajifunze kwa umakini na atakapofuzu atakua ni aina nyingine ya msomi in town.kila jambo atakua makini cos tayari ni msomi bingwa kwa kipengele hicho
Great job
Nakuelewa sana dada 🙏
God bless you madam Lilian🥰🥰🙏🙏
Love mama
Hongera sana uko simple black
Napenda sana bipindi kama ibijamani🤙
Na kupata hadi nakupata sana
Madam kaongea vitu vya maana sana
Da lilian nakupenda buree
Mimi kwamtazamo wango kutoka burundi 🇧🇮 kuowa mtu mwenye unamzidi elimu na umri nakuwa namakusudiyo haswa katika ndoa.
Dada Lilian umependeza sana
wow wow, I can relate to this, don't marry your nurse.....
Jamani ninafuraishwa na kipindi hichi,
Hata mimi nilisumbuliwaga sana na ku pekuwa som ya mume wangu.
Submission ni ngumu sana labda huyo mwanaume awe mtumishi wa Mungu trust worthy kama hao wanaume wapo labda 15%
Kunyimwa ruhusa ya kwenda maharusini au wapi sio ishara mbaya kabisa, kwasababu pia wanawake wengi wanapenda kwenda kila sehemu
Wooow! Hii na mm hua nauliza wapi imeandikwa mwanamke nivumilie kwenye ndoa. There is nothing called uvumilivu
Hapa kwenye submission, Mungu 🙌 nisaidie kujifunza
Lilian show si ya mtanzania pekee🤣🤣🤣🤣 sema mwafrika ama tukasikize sns Africa
Uko sasahihi Lilian Mwasha, mwanamke ni foundation, msaada kwa mume, ukiona mume hatambui kuwa wewe ni msaada kwake ni changamoto.
Beby sky yuko wapi???😐😐 munaazishaka kipidi badaye munatuashiya jiyani??liliane kipidishenu kiko wapi.
Apo kwenye kupooza maumivu yaule mweziye nime kaziya 🪛🪛🔨🔨🔨
Liliani kwanza ni redio NZURI tu Ila mme wake inatakiwa atumie akili SAAANA sijui Kama mmenielewa
Nimejifunza lkn natamani niongee nawe private kwani naona unaweza nisaidia jambo nisaidie kuongea nawe
😅😅😅 hawa ndio wanaharibu mabinti zetu mwisho wa siku ni single maza
😍😍😍
Hapo pa kuwa Daktari badala ya mke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.
Lilian nimejua una kitu kizuri
Zamani nilikuwa nakuchukulia poa
Na huyu mma ambaye unaishi na watto wake unawathamin unawapenda kwa dhati lakini mma yao anawapigia cm nakuwaambia mtukaneni msimuheshim huyu tumweka group gani?
Kunyanyasika na kunyenyekea...??? Kweli hapa kuna kazi
God is not talkative.., nimeipend hii!!
Kuto kuchukuliana sim ni kujiepusha na bom!!
czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#.*# czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html
Mwanamke yeyote ambaye ana helmet za kushindana na mwanaume jua hapo ni shida sana, huyu lilian ni mpotoshsji kabisa pia ni mlokole fake🤥
Na ndio maana SINGLE mama mwaka wa 10 sasa niliachika tangu mwanangu ana miez 3 mpaka sasa ana miaka 10
Mambo
@@johngerald4677 👍
Upo salama zaidi
@@kreamagdfsa1697 tuyajenge nataka mke aliepitia maisha kama yako
Uko poa lkn
czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#.*# czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html
My self I don't like such a name calling step mother nampenda mtoto aliyezaliwa na Mume wangu like my biological daughter and I'm proud of her we love each other thank you dada Lilian