Video není dostupné.
Omlouváme se.

Lillian Mwasha: Ukiwa kwenye ndoa haimaanishi hutompenda mwingine, nina mkataba na Luvanda| Fix You

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2022
  • Irene Kamugisha leo amemwalika Lillian Mwasha kwenye #FixYou, kuna mengi ya kujifunza

Komentáře • 89

  • @hopechidera
    @hopechidera Před 2 lety +5

    Nimeanza ku like kwa kuvutiwa tu na kipindi haswa dada wa black and white blouse,nasijajua wataongea nini but with Lilian M. nitapokea mafunzo mengi...

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Před 2 lety +9

    Nimejifunza mengi sana na namfatilia sana Lilian Mwasha hasa akiwa na Dr Mwaka nae wako poa sana jamani hudum yenu ya kuponya jamii ya mahusiano ya ndoa asante sana kwa sns kutuletea hich kipindi.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem +4

    Pokes busu langu Lilian mwasha,karibu Rubya kwetu kagera🙏🙏

  • @salamisindimwo303
    @salamisindimwo303 Před 2 lety +7

    Lillian Mwasha...I really like this woman,I can't get enough of listening her when she is talking...nice interview! Much love and appreciation from Burundi,🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @estermahenge5972
    @estermahenge5972 Před rokem +2

    Nimechua barikiwa mtumishi wa Mungu🙏

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 Před 2 lety +5

    Lilian mwasha ilove you penda unavyo tushauri sisi vijana haswa kwenye mahusiano 😍😍😍

  • @adamwapiliadamwapili5698
    @adamwapiliadamwapili5698 Před 2 lety +14

    Lilian mwasha anaongelea Experience yake Binafsi nimesikiliza hayuko sawa kuwashauli kwenye masuala ya Ndoa bado kuna vitu vya msingi havijui nna Confidance kuandika hivi kwasababu ya majibu yake mepesi sana kwenye hii Interview,

    • @arcofamasolutions7658
      @arcofamasolutions7658 Před 2 lety

      We mwenyewe unaonekana kanjanja

    • @adamwapiliadamwapili5698
      @adamwapiliadamwapili5698 Před 2 lety

      @@arcofamasolutions7658 Naonekana ila sio By the way Negative Na postive juu yangu ni mtazamo wako binafsi ni Haki yako huru iko kisheria so tuishi hapo kwenye naonekana kanjanja

    • @mariamyoyote8172
      @mariamyoyote8172 Před 2 lety +3

      Yan wewe Kama huwa humsikilizi utateseka Sana iko hiv Lilian hata kwenye kipindi cha women matter na hard tok msikilize yeye akiwa na maswali ya watu pia huwa anazungumza kanakwamba yeye ndie mlengwa halafu anaeleweka Sana hulibeba swali la mtu Kwa uzito pia , ndio maana wakat wakuliwasilisha swali huzungumza Kwa hisia za ndan na Kwa uzito usikimbilie lulaum mtu kabla hujamjua

    • @mariamyoyote8172
      @mariamyoyote8172 Před rokem +2

      Nilisahau hiki kipindi kinaama kwamba unaongelea kile ambacho umekipitia kwenye maisha hasa ndoa, na sikumuongelea mtu mwingine Kaka 👍

    • @diananindi3106
      @diananindi3106 Před rokem

      Hakuna aliyekamilika ila Kuna vitu vikubwa Sana ameongea kiasi ukivishika unaokoa ndoa yako Kam mwanamke kuwa submissive na mwanaume kupenda hii ndio misingi mikubwa sanaaa naomba nirudie ni misingi mikubwa sanaaaaa ya ndoa na pia amekili kuwa alikosea yeye kwenye ndoa yake ya Kwanza hiii kitu wanawake wengi hawana huwa wanaanza kuongelea jinsi wanaume waliwakosea na kunyanyaswa kitu ambacho wanasahawao msingi wao

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Před 2 lety +6

    Asante sana madam Lilian nakupenda sana Mungu akubariki sana ❤❤

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Před 2 lety +3

    Salamu zangu ziku fikie mrembo wangu L M ,nakupenda sana dada yangu wewe una Mungu mzima ndani mwako,nakusalimu kutoka hapa Colorado us,uzidi iweka familia yangu kwenye sala 👏🏾🥰

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 Před 2 lety +7

    Nampenda sana huyu dada lilian mwasha

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 2 lety +3

    Nice topic Lilian yupo vizuri.

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem +1

    Uyu mdada ndogo ni mrembo Sana na Yuko Makini Sana,ongera binti yangu nakukubali,

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Před rokem +1

    Nakuelewa sanaaa Lilian

  • @kamaurehema6763
    @kamaurehema6763 Před 2 lety +5

    This lady is wonderful much luv from 254

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Před 2 lety +2

    Ameeeen Ameeeen my love Liliani 😍💛💛💛💚💚💚🔥🔥🔥

  • @HayceFamilyKe
    @HayceFamilyKe Před 2 lety +5

    This was deep I really enjoyed watching it. Thanks for sharing.

  • @alicekadzo340
    @alicekadzo340 Před 2 lety +4

    Very informative content be blessed

  • @lovvy854
    @lovvy854 Před rokem +1

    Thanks for the advice and I have learned something between 🙏

  • @emeldanicholaus6944
    @emeldanicholaus6944 Před rokem

    Thank you lilian!!! I love you.

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 Před 2 lety +1

    Ahsante dada lily nakupenda sana

  • @beatricejeremia8808
    @beatricejeremia8808 Před 2 lety +3

    Thanks for this be blessed

  • @samsonezekiel5239
    @samsonezekiel5239 Před rokem +1

    Ooooooh

  • @beatricejeremia8808
    @beatricejeremia8808 Před 2 lety +5

    Nimekuwa WAKWANZA kukoment

  • @magrethpeter1918
    @magrethpeter1918 Před rokem +1

    Nakupenda liliani unaongea kiswaili vizuri

  • @josephinjulius6008
    @josephinjulius6008 Před 2 lety +1

    Thanks lilian 😍😍

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823

    Masha Allah

  • @gracenizigama695
    @gracenizigama695 Před 2 lety +2

    ❤️❤️❤️❤️ Amen 🙏

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 Před rokem

    Love you mwasha

  • @josephlugala3182
    @josephlugala3182 Před rokem

    Nimekuelewa sana dada Lilian mwasha

  • @sumaiyabakary2692
    @sumaiyabakary2692 Před rokem

    huyu lilian jaman 🙌👏👏👏 ni maupako tu hapa na matilio nmekusanya

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Před rokem

    Kweli Lilian,kweli kabisa,kwakuongezea aliemizwa yupo darasani,lazima akubali darasa Ili ajifunze kwa umakini na atakapofuzu atakua ni aina nyingine ya msomi in town.kila jambo atakua makini cos tayari ni msomi bingwa kwa kipengele hicho

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Před 2 lety +1

    Great job

  • @mamagkitapanda5768
    @mamagkitapanda5768 Před rokem

    Nakuelewa sana dada 🙏

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem

    God bless you madam Lilian🥰🥰🙏🙏

  • @leahwambui5608
    @leahwambui5608 Před rokem

    Love mama

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 2 lety

    Hongera sana uko simple black

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Před 2 lety +1

    Napenda sana bipindi kama ibijamani🤙

  • @shanilingenju3513
    @shanilingenju3513 Před rokem

    Na kupata hadi nakupata sana

  • @jrlamar8925
    @jrlamar8925 Před 2 lety +2

    Madam kaongea vitu vya maana sana

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 Před rokem

    Da lilian nakupenda buree

  • @user-cv9mx1uj3i
    @user-cv9mx1uj3i Před rokem

    Mimi kwamtazamo wango kutoka burundi 🇧🇮 kuowa mtu mwenye unamzidi elimu na umri nakuwa namakusudiyo haswa katika ndoa.

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Před 2 lety

    Dada Lilian umependeza sana

  • @rebeccal.nyange219
    @rebeccal.nyange219 Před rokem

    wow wow, I can relate to this, don't marry your nurse.....

  • @KiT.KaT.Cute.
    @KiT.KaT.Cute. Před rokem

    Jamani ninafuraishwa na kipindi hichi,
    Hata mimi nilisumbuliwaga sana na ku pekuwa som ya mume wangu.

  • @chapter2719
    @chapter2719 Před 2 lety +1

    Submission ni ngumu sana labda huyo mwanaume awe mtumishi wa Mungu trust worthy kama hao wanaume wapo labda 15%

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 Před 2 lety

    Kunyimwa ruhusa ya kwenda maharusini au wapi sio ishara mbaya kabisa, kwasababu pia wanawake wengi wanapenda kwenda kila sehemu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před rokem +2

    Wooow! Hii na mm hua nauliza wapi imeandikwa mwanamke nivumilie kwenye ndoa. There is nothing called uvumilivu
    Hapa kwenye submission, Mungu 🙌 nisaidie kujifunza

  • @JUSTWANGUI
    @JUSTWANGUI Před 2 lety +2

    Lilian show si ya mtanzania pekee🤣🤣🤣🤣 sema mwafrika ama tukasikize sns Africa

  • @ghelimafilemon9653
    @ghelimafilemon9653 Před 2 lety +3

    Uko sasahihi Lilian Mwasha, mwanamke ni foundation, msaada kwa mume, ukiona mume hatambui kuwa wewe ni msaada kwake ni changamoto.

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 2 lety +1

    Beby sky yuko wapi???😐😐 munaazishaka kipidi badaye munatuashiya jiyani??liliane kipidishenu kiko wapi.

  • @samehewaliokukoseya2605

    Apo kwenye kupooza maumivu yaule mweziye nime kaziya 🪛🪛🔨🔨🔨

  • @zeddybass6672
    @zeddybass6672 Před rokem

    Liliani kwanza ni redio NZURI tu Ila mme wake inatakiwa atumie akili SAAANA sijui Kama mmenielewa

  • @felisterjohn493
    @felisterjohn493 Před rokem

    Nimejifunza lkn natamani niongee nawe private kwani naona unaweza nisaidia jambo nisaidie kuongea nawe

  • @islandinsuranceagency8008

    😅😅😅 hawa ndio wanaharibu mabinti zetu mwisho wa siku ni single maza

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 2 lety

    😍😍😍

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 Před rokem +1

    Hapo pa kuwa Daktari badala ya mke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.

  • @WTC492
    @WTC492 Před rokem

    Lilian nimejua una kitu kizuri
    Zamani nilikuwa nakuchukulia poa

  • @aishaikoye1552
    @aishaikoye1552 Před rokem

    Na huyu mma ambaye unaishi na watto wake unawathamin unawapenda kwa dhati lakini mma yao anawapigia cm nakuwaambia mtukaneni msimuheshim huyu tumweka group gani?

  • @sarajngonyani
    @sarajngonyani Před rokem

    Kunyanyasika na kunyenyekea...??? Kweli hapa kuna kazi

  • @sarajngonyani
    @sarajngonyani Před rokem

    God is not talkative.., nimeipend hii!!

  • @KiT.KaT.Cute.
    @KiT.KaT.Cute. Před rokem

    Kuto kuchukuliana sim ni kujiepusha na bom!!

  • @naija6679
    @naija6679 Před 2 lety +1

    czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#.*# czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html

  • @emmanuelchiza7733
    @emmanuelchiza7733 Před rokem

    Mwanamke yeyote ambaye ana helmet za kushindana na mwanaume jua hapo ni shida sana, huyu lilian ni mpotoshsji kabisa pia ni mlokole fake🤥

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 Před 2 lety +2

    Na ndio maana SINGLE mama mwaka wa 10 sasa niliachika tangu mwanangu ana miez 3 mpaka sasa ana miaka 10

  • @naija6679
    @naija6679 Před 2 lety +1

    czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html
    DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI*#.*# czcams.com/video/6tia-5UH4MI/video.html

    • @ashurambuma7624
      @ashurambuma7624 Před 2 lety +1

      My self I don't like such a name calling step mother nampenda mtoto aliyezaliwa na Mume wangu like my biological daughter and I'm proud of her we love each other thank you dada Lilian