Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: Mapenzi ni ya wawili lakini duniani hatuishi wawili - Na Counsellor Salome

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 04. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 22

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 Před 3 měsíci +3

    Irene na wewe una hekima sana siku moja na wewe uwe guest tukusikie

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 3 měsíci +1

    Hapana dada Iren kuolewa hakunibadilishi Mimi kuwa mtoto wa wazazi wangu ,Ila kuhusu chochote kitakachohitajika kimaandishi tulichozalisha na mwenza wangu kitaandikwa Kwa jina la mume wangu sababu tumepata nikiwa kwenye himaya yake lakini kuhusu jina langu jamani ni utambulisho wangu kwamba Mimi ni mtoto wa wazazi wangu ndoa imenikuta mikononi mwa wazazi wangu so ndoa ni ngeni wazazi ndo wenyeji wangu ,nami naenda kuwa mwenyeji wa watoto wangu so jina litabaki vile alivyonikuta

  • @ms_teeonly
    @ms_teeonly Před 3 měsíci +2

    Salome natural beauty ngozi zuri

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 Před 3 měsíci

    Huyo mwamba kauzu sana alieenda kulala nje ukweni akamacha mke kwao. Aisee hii ni mbaya sana.

  • @toyikudratullah1466
    @toyikudratullah1466 Před 3 měsíci +1

    Iyi mada kiufupi nikuwa : kuna nafasi kwawapenda nao inabidi kipindi uko namwenzio kila kitu fikra zako ziwe kwamwenzio na pia kuwa wabunifu nakuweka isia zenu kipindi mpo pamoja nakushirikiyana ila kwa watu wainje tuusiyane((kijinsi)) nasio kinjisiya) ayo yote tumepita huku nakule ila point nikuwa marriage nikuishi namwenza wako kwa hali ya ubinadamu na hofu y mungu iwepo.

    • @toyikudratullah1466
      @toyikudratullah1466 Před 3 měsíci +1

      From burundi kubwa zaidi hofu ya mungu kupenda kupenda kweli heshima popote utakuwepo utakapo kuwa ione ahadi yamwenzio utaishi vyema.🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @aliethmashauri8499
    @aliethmashauri8499 Před 3 měsíci

    Miss you salome hope nimefurahi kukusikia, nimemiss proud wife sana,❤ nilitoka kwa ajili ya changamoto za masomo😢😢

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 Před 3 měsíci

    Mimi sikubadilisha Jina kwa sababu za “Identity” ingawa Ninaona ni vyema kwa mwanamke kubadilisha ubini na kuwa na ubini wa ambao ni ubini wa watoto wake. Kwa Ujumla familia moja inakuwa na ubini mmoja, ili kutokuonyesha utengano kwenye familia. Ila kwa upande wangu hata ubini wa baba yangu doesn’t matter as much as my own name, nilitaka kubaki na Jina langu la kuzaliwa na sio mke wa flani au mama flani au Mrs Flani. Kwangu mimi kuwa mimi ni jambo kubwa sana, ni identity yangu, kiini cha mimi kuwa mtu. Kwahiyo sikutaka Jina langu lipotee na mume wangu hatuwa na shida ya kuchukua Jina la ubini wake, ila bado ninalifikiria pengine nitabadilisha huko baadae na kukubali kuwa Identified kwa kuanza na Mume wangu.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 3 měsíci

    Mmeongea majengo kweli ,ukweli kabisa ili kurejesha heshima ya ndoa ni tujaze kutaka kujua unapoeleweshwa elewa kuwa unapendwa na unaeeleza eleza Kwa maana ya kumjenga unaempenda hii ikiwa wote watazingatia itakaa sawa

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 3 měsíci

    Iren napenda vipindi vyako na naumia Sana nisipokuona

  • @FatmaSalum-gq1mb
    @FatmaSalum-gq1mb Před 3 měsíci

    Katika watu walio nifumbua machano ni huyu dada

  • @KichereTheDataScientist
    @KichereTheDataScientist Před 3 měsíci

    Obrigado irene and counselor

  • @omarsalum4052
    @omarsalum4052 Před 3 měsíci

  • @user-xd1zk7tq4p
    @user-xd1zk7tq4p Před 3 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @abdallasaid5593
    @abdallasaid5593 Před 3 měsíci

    Hakuna mume hupenda kutoka kutoka lkni itategemea na mke nyumbani amani ipo😂😂

  • @ayubcharles8973
    @ayubcharles8973 Před 3 měsíci