Video není dostupné.
Omlouváme se.

Fix You: 'Kujichua kunaivunja ndoa yangu, kila siku nagombana na mke wangu' Dr Isaac Maro anamshauri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 02. 2023
  • Sasa unaweza kujiunga na SnS VIP Family ili kupata mambo mengi exclusive kwaajili yako tu. Bonyeza link hii ili kujiunga na kufahamu zaidi kuhusiana na SnS VIP Family membership
    / @simulizinasauti

Komentáře • 169

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 Před rokem +21

    Jambo hili ni baya sana mbele za Mungu linda moyo wako kuliko yote ulindayo maana ndiko zitokako chemichemi za uzima mithali 4:23

  • @timothymikola2317
    @timothymikola2317 Před rokem +4

    Maro we genius nimekuelewa sana

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před rokem +7

    Hii kwa mambo ya kiroho ni mapepo.mapepo hata ni addiction kama kwa madawa ya kulevya.pia ni uzinifu sawa na uzidifu mwingine.kimbia hilo people saana when you fill like to do it fikiria mambo mengine kwa kichwa kama kusoma neno la Mungu etc.

  • @ChrissBou-k8j
    @ChrissBou-k8j Před 28 dny

    Nimeipenda swal

  • @Balogetv
    @Balogetv Před rokem +6

    Hongera sana Kaka umetupa ushauli wa maana nahis utatusaidia sana kama wahanga wa hili

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci

    Yaan Dr. Nimekuelewa na nimekupenda bure❤❤❤🙏🙏👍👍🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DenisDonat-lg4gh
    @DenisDonat-lg4gh Před rokem +1

    Ubarikiw dr isaac somo zuri

  • @bettyadhiambo9557
    @bettyadhiambo9557 Před rokem +4

    Mafundisho mazuri kweli Asanteni

  • @rpynoel566
    @rpynoel566 Před rokem +10

    Wenye Hela hawan nguvu za kiume, weny nguvu za kiume hawana Hela! Tutafte watoto tu maana ukiwa huna Hela ndani hata kusimamisha huwez

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 Před rokem +9

    Shukran sana kaka,hakika nimejifunza mengi

  • @user-ox9uq9ed2c
    @user-ox9uq9ed2c Před 3 měsíci

    Asante Dr naomba no zako Asante

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem +6

    Ooooffffff Mungu tusaidie jmn

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem

    Elimu Nzuri SANA Ila Tuwe Na Tabia Nzuri Mungu Yupo Nasi

  • @damaresi
    @damaresi Před rokem +2

    💚💚💚Hahaaa hiyo salamu...sasa
    ....
    Nilizani una sema na wewe ume bahatika kufanya ...... hahahaa🤳🤳🤳

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 Před rokem +3

    Shukurani sana

  • @joharyrajabu7056
    @joharyrajabu7056 Před rokem +1

    Dr. Issack maroo ni mgodi unaotembea ilitakiwa muutumie kweli kweli naona kama mtangazaji alikosa maswali mhimu ya kumuuliza sijajua kwa nini hii interview asingeifanya sky mwenyewe.

  • @user-gu9bk4xf3y
    @user-gu9bk4xf3y Před 3 měsíci

    Dkt kuna rafiki yangu ataki kabisa kufanya mapenzi na mke wake ila anapenda kujichua sana kiasi ndoa iko mashakani je anasaidikaje

  • @stellasimon8306
    @stellasimon8306 Před rokem +21

    Mwambieni anitafute tuongee mimi nitamsaidia ili tujue afanye nini naamini atapona bila dawa. Kama yuko tayari aweke no yake ya simu ya whatsp. Mimi niko nje ya nchi. Furaha yangu ni kuona furaha ya wana ndoa na amani yao.

  • @gadluck4362
    @gadluck4362 Před rokem +4

    Dah doctor kaongea kitaalamu sana, achana na wale waganga wakuuza dawa za nguvu za kiume

  • @eliminalevocatus2079
    @eliminalevocatus2079 Před rokem +2

    Mimi nimepita tuu nasoma comments kuna watu wanachekesha sana.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před rokem +2

    PUNYETO si mwanaume tu' hata Kwa Mwanamke ni hatari inasababisha pia Mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa..!

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla Před rokem +3

    Atumie supplement flani hv zinaitwa Maca root ni nzuri sana ziko interms of capsule after 30 days kila siku awe anatumia 2capsules ataona mabadiliko aaache kujinyonga for three months kwanza

    • @highthemetv7857
      @highthemetv7857 Před rokem +1

      Zinapatikana wapi

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 Před rokem

      @@highthemetv7857 Macca nzuri n ya powerd haijachanganywa n camicals zozote utakunywa na uji or shake or smothe yy y matunda o juice o maziwa

  • @felixkato6283
    @felixkato6283 Před rokem +4

    Mm mkewangu akitoka akasafiri shetwan ananivamia napiga masta b so kila Mara Dr si itaweza kuniletea shida mbelen

  • @user-rs1qk2hn8r
    @user-rs1qk2hn8r Před 6 měsíci

    Big up, nmeenjoy somo la leo

  • @alidyaya4512
    @alidyaya4512 Před rokem +2

    Mbona isac na irene mmefanana

  • @jescaclemency-gr4tm
    @jescaclemency-gr4tm Před rokem +2

    OK

  • @umelamedia
    @umelamedia Před rokem +1

    Aloooo noma let's learn

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 Před rokem +3

    Huyu jamaa namkubali sana kwq kweli mkweli sana nimeangalia video zake sana afya check wqkat mama watoto mjamzito amenisaidia sana

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před rokem +3

    Kumbe inafaiiiida ok

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před rokem +10

    Namlaumu sana binam yangu alinifundisha nyeto ya mafuta mpk leo sitaki kuyaona mafuta yoyote ya mgando

  • @selapionalfred9454
    @selapionalfred9454 Před rokem +2

    It's true

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +2

    Dr yuko vizuri sana💯
    But bado inaitwa addiction

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 Před rokem +5

    “Kujichukulia sheria mkononi”ni hatari sana

  • @hajihamadi4130
    @hajihamadi4130 Před 10 měsíci

    Walio athirika na Hilo Jambo tupo wengi na wengine wanahitajia msaada hebu saidia mawasiliano au namna ya kupata msaada wenu. Nivyema labda kuonana .

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před rokem

    Mm ninachojua mwanaume akiwa na UOGA anamaliza haraka, akiwa amepania sana anawahi kumaliza, akiona kitu kikam-bore pia atawahi kumaliza.... Na ukijichuwa unsjisikia kichwa kugonga au sometime sambamba na kuchoka sana..... Hivyo wahuni tujitahidi kupambana na kuepuka hii kitu japo inanadiwa kama kitu kisichoachika kirahisi.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před rokem +3

    Hatari nimejifunza kitu

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Před rokem

    “Mnachuana “ kazi kweli kweli 😂😂😂😂

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Asante sana

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před rokem

      Mimi nimeshakua mraibu wa kujichua yaani aje mwanamle yeyote lazima cha kwanza nipige self.nikimuoma dada mzuri tu lazima nimpigie nyeto.Hapa huyu mdada mtangazaji tu keshaniumiza tayari namtafutia sabuni.ila sipotezi performance yangu pia kwa mwanamke nampelekea moto kama kawaida kule kunako mpaka maji aite mma.Ila kujichua siachi

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před rokem +6

    Kumbe siyo nzuri‼️
    Ila nimesikiliza vizuri ni kama ina faida zake pia au nimeelewa vibaya.🤔🤔

    • @mwanatz5980
      @mwanatz5980 Před rokem +2

      😂

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 Před 3 měsíci

      Hakuna faida yoyote ila ni hatari na maisha yako yanaandamwa na mapepo sanaaa

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 Před 3 měsíci

      Hakuna faida yoyote ila ni hatari na maisha yako yanaandamwa na mapepo sanaaa

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 Před rokem +2

    Dah!🙂😎

  • @hobokelamikael9682
    @hobokelamikael9682 Před 2 měsíci

    Hiyo ni addiction mkuu...

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Před rokem +6

    Mwanaume anayejichua ni mzuri Sana coz anakuwa hakusumbui Sana unakuwa husumbuki kuoga asubuhi ili uswali

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před rokem +1

    Sema PUNYETO.....hicho kiingereza hatuelewi...!

  • @MigomgoMigali-ky1jl
    @MigomgoMigali-ky1jl Před 2 měsíci

    Kuna demu nimekutana nae apo namwambia vipi sasa twende geto et ananimbia nipe 30000 apo daaha na hali ivyo ngumu ivi nikaenda chapu nikajichukulia sheria mkononi nikalala zangu

  • @mcjmcheshi
    @mcjmcheshi Před rokem +3

    Vitabu vya dini haviruhisu lkn sayans inasema ni mzuri Kwa afya ... Asee Ila usifanye kupitiliza ...... Wahuni tumeelewa

    • @JoelChande
      @JoelChande Před rokem

      Na je ukijichua sana alafu ukaja kuowa unaweza mpa mwanamke mimba?

    • @mcjmcheshi
      @mcjmcheshi Před rokem +1

      @@JoelChande Sana Tu kujichua hakufanyi kupungua nguvu za kiume ,jichue Kwa afya Kwa wiki mara moja sio mbaya mzee ... Me Niko nawatoto WA tano na ulikua mchezo wangu

    • @JoelChande
      @JoelChande Před rokem

      Na je ulikuwa unajichua marangapi kwa siku

    • @mcjmcheshi
      @mcjmcheshi Před rokem +1

      Me nilikua nakumosha , nilianza kujichua nilipomaliza darasa la Saba mpaka nilipofika miaka 25 ... Na sanyingine nilikua hata mara tano Kwa siku na kuna wakati nilikua na double.... Unaijua daboling wewe Mzee . Yani unapiga afu unaona hujatosheka unapika tena Una tulia baadae tena , lkn nikaja nikaacha na inawezekana Tu

  • @hanihaadamuhanifaadamu4125

    Mm ndo kazi yangu kujichuwa

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Před 2 měsíci

    unajipimiaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Před rokem

    Nasomatu komet

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Před 6 měsíci

    Doctor naona hautibu tatizo naona maelezo yako kama yanawahamasisha vijana waendelee na huu upuuzi.Kumbuka hili ni tatizo la kiroho sio kisayansi unaweza kutibiwa na bado ukaendelea.Sababu mojawapo ni kuwa unapojichua unakuwa unashiriki ngono na mapepo na zile mbegu unazotoa ndio zinaenda kuzaa watoto wa kishetani kuzimu,hivyo unaweza kuacha na kutibiwa lakini bado ukarudia rudia huu huu uchafu ni ngumu kuacha ,mpaka ufanyiwe maombi makali sana na sadaka ya utengano ya kuvunja agano hilo.Bila hivyo utatapeliwa sana na waganga

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 Před 6 měsíci

      Nikuambie tu huuuchafu hauna faida yoyote Bali unahasara asilimia 500

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 Před 3 měsíci

      Nikuacha upuuzi huu aseee

  • @MigomgoMigali-ky1jl
    @MigomgoMigali-ky1jl Před 2 měsíci

    Punyeto inasaidia tusiwape watoto wa watu mimba mtaani me nikianza tu kujihususisha tu na mahusiano nampa huyo binti mimba saizi nina watoto watatu kila mtoto na mama yake mimba wadada wametoa wengi tu na mimi hii hali siipendi nimeona bora tu kupiga nyeto

  • @amiriabdul6305
    @amiriabdul6305 Před rokem

    dada apo umekazi et vijana ndio wanaelewa kwenue kumake pesa🤣🤣🥰😀😀

  • @rickyblair6233
    @rickyblair6233 Před rokem +1

    65% weee imo for men is 99%

  • @philipomaganga9746
    @philipomaganga9746 Před 4 měsíci

    Dkt samahani naomba namba yako

  • @pesatamu
    @pesatamu Před rokem +1

    Nonstop funny 😂

  • @joesimba
    @joesimba Před rokem +10

    Sasa dadangu maongezi umeyataka wewe na aibu unaona wewe.

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem

      😅🤣🤣🤣mambo mengine yataka moyo nyie...haswa kwa Africa.

    • @vanessalaizer4363
      @vanessalaizer4363 Před rokem +3

      Sasa kaka anaongea uku anamgeukia yeye ataachaje kuona soni kwa mfano. Mi mwenyewe naona aibu ingawa hamnioni🙈🙈🙈

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem +2

      @@vanessalaizer4363 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před rokem +1

      @@vanessalaizer4363 mimi nishampigia nyeto huyu dada mtangazaji aisee goli 2 tu

    • @perfectinnocent1875
      @perfectinnocent1875 Před rokem

      @@vanessalaizer4363 😀😀😀😀

  • @hasheemomary4507
    @hasheemomary4507 Před rokem +10

    🙌KAKA ISAC MIE NIMESIKIA FAIDA TU HAYO MENGINE NTAJUA MIE 😁

  • @delphiniusdeocress9798
    @delphiniusdeocress9798 Před rokem +5

    Dawa pekee ni kukata mikono

  • @ChoroTesla
    @ChoroTesla Před rokem +7

    kuna na mawazo pia perfomance Anxiety kiuoga ka kufanya lile jambo ila excessive masturbation si nzuri. kiafya manake too much is harmful....

  • @stellasimon8306
    @stellasimon8306 Před rokem +6

    Na sitamtoza gharama zozote atanishukuru baada ya kupona

  • @edwinejumanne6323
    @edwinejumanne6323 Před rokem +5

    Lakin pia unakuw unapotez kumbukumbu ukifany marakwamara..........

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Před rokem +2

    Topic ngumu kwa dada mtangazaji

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Před rokem +1

    Mbona hajazungumzia nawana wake!?

  • @LodyRich8
    @LodyRich8 Před 4 měsíci

    A

  • @dadooutfit5809
    @dadooutfit5809 Před rokem

    Prevention yake ni gani

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +1

    Irene dahhhh Irene Irene

  • @habibubinmoss72
    @habibubinmoss72 Před rokem +4

    Kwenye izo faida najiskia farajaaa😅😅😅

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 Před rokem +7

    Wakenya wanasema kunyonga

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 Před rokem +1

    Anaetaka Tiba na dawa za kujiçhua anitafute napatika Tatizo litamwisha kabisa .

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 Před rokem +5

    Sema faida zake ndo unyama🤣🤣

  • @jescaclemency-gr4tm
    @jescaclemency-gr4tm Před rokem

    OK

  • @gaddafimohd4129
    @gaddafimohd4129 Před rokem +1

    Mtangazaji Ana blush