Vita nzito! Zamaradi na Faiza Ally wajibizana na kutoleana siri nzito, Mange atia neno, chanzo Sugu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 01. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.com/store/apps/de...

Komentáře • 159

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Před 6 měsíci +19

    I stand with Faiza, she is real

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 Před 6 měsíci +18

    I think Faiza is telling the truth

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 6 měsíci +8

    Faiza huwa yuko real! Kusema kweli Zamaradi anaonekana ana roho ya korosho sana! Ingawa kanavyojiweka huwezi kukadhania

  • @dhhccfgui9400
    @dhhccfgui9400 Před 6 měsíci +13

    Zama wanamuona mtu mwema sna ila ogopa mtu anae jionyesha mwema kwa watu ila ndan n nyoka sna😂

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 6 měsíci +11

    Zama ana damu ya kinyarwanda upande wa mama yake usnitch ni jadi yao ni kanyoka flani hivi na ndo mana ali match sana na Ruge mana Ruge akikuandama utaomba ufe alikuwa mtu wa visasi kukomeshana lait Diamond angeamua kusema aliyomfanyia Ruge utabaki mdomo wazi kwa hiyo zama mdogo wangubleo Sigu ndo kawa brother? Muogope mungu zama

  • @stn4873
    @stn4873 Před 6 měsíci +11

    Faiza yuko real. Zama alitumiwa na Ruge kumuharibia Sugu.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 6 měsíci +39

    Mambo mengine ni kuomba Mungu hongera faidha uliona mbali hukutaka kumuharibia baba mtoto wako, ila najiuliza kwa nini Zamaradi anagombana na watu wengi

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před 6 měsíci +4

      Sababu wanamuonea wivu 🤪

    • @fbr5113
      @fbr5113 Před 6 měsíci

      ANA ROHO YA KINYARWANDA MAANA ANA DAMU HIYO KUTOKA KWA MAMA YAKE NA PIA KAIGA TABIA ZA MAREHEMU BWANA AKE NA PIA KAATHIRIWA NA MATESO YA HUYO MAREHEMU. NA PIA ANA MAUMIVU YA KUPOTEZA WAZAZI MAPEMA KWAHIYO HAYUKO SAWA ANAJARIBU KULIPIZA ILA HATOPONA BALI KAMA KWELI KUNA SIKU ATAHARIBU SANA ASIPOBADILIKA. AJITAHIDI KUWA MWEMA WA KWELI. SIO KISNEMA

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 Před 6 měsíci +3

      Mtu mwenye maendeleo lazima apigwe mawe

    • @user-xz8xu1is3f
      @user-xz8xu1is3f Před 6 měsíci +2

      Wanawake acheni wivu

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 6 měsíci +2

      Mm kwa hili siamin kama zama alitaka kumuharibia sug uchaguz kwakwel bado sijaamin

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 6 měsíci +12

    Zamaradi anaroho mbaya sana sema tukimuona social media mnamuona mtu mwema ...nilimchukia kipind kile cha dinnar Mario's alivyoondolewa clouds fm zama hafai hata kidogo

  • @Adje244
    @Adje244 Před 6 měsíci +23

    Zamarandi ni yuda sana yani ni anakuua huku anacheka

  • @citymwacheo4497
    @citymwacheo4497 Před 6 měsíci +13

    Kiukweli zama huwa ni nyoka sema upole na face yke ndio inamficha

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před 6 měsíci +3

    Faiza Queen herself I love you sister ❤

  • @thaniakassim7687
    @thaniakassim7687 Před 6 měsíci +4

    Sikuzote ubaya haujifichi utafhihirika tuu...Sugu anabaki anashangaaa😂😂😂...nyie khaaaaah

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 Před 6 měsíci +5

    Zama ni mbaya mnoooooooooo nyokaaaaa

  • @hallykanze6693
    @hallykanze6693 Před 6 měsíci +34

    Zamaridi Ni narcissist she knows how to pretend 😂

    • @sheilaally9490
      @sheilaally9490 Před 6 měsíci +2

      siyo narcisst,

    • @BossLady-cq2xp
      @BossLady-cq2xp Před 6 měsíci +2

      Big narcissist

    • @eben_ezer8853
      @eben_ezer8853 Před 6 měsíci +1

      A very Huge narcissist I've seen

    • @antipascann2797
      @antipascann2797 Před 6 měsíci

      ​@@eben_ezer8853PhD holder😂

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Před 6 měsíci +1

      The girl screems Narc so loud,yaani huhitaji tochi. Very self centered ,with ego na anawaburuza wengi especially Bongo movies artists. And it seems that,If you refused to be used for her gaining au ukimchalenge kimawazo ,things go sour😂

  • @heriethkusigwa7209
    @heriethkusigwa7209 Před 6 měsíci +7

    Faiza needs a therapist,She must heal Abeeeeg😮

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před 5 měsíci +1

      That therapist should start with Zama first then he or she can go help Faiza. Humjui Zama vizuri,

  • @user-mb3xq1do3s
    @user-mb3xq1do3s Před 6 měsíci +5

    Huyu bibi faiza nae atulie alee wajukuu

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 Před 6 měsíci +12

    I stand with Faiza

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před 6 měsíci +3

    😂😂😂😂😂pole sana zama maana huna bahati wanja mzima wamekuchoka eti😂😂😂😂😂

  • @atutweve4160
    @atutweve4160 Před 6 měsíci +6

    ZAMA IS SMART AND BLESSED LAZIMA ACHUKIWE,,,, UZURI SIO MAISHA

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před 6 měsíci +2

    Faiza might be right kwa anavyo mpenda bby daddy sidhn ka anasema urongo😂😂hu ndonmutazamo wangu

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Před 6 měsíci +2

    Faiza hasemagi uongo..

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 6 měsíci +22

    Zamarad hafai niliwah sema na nitaendelea kusema,,,usoni mtu lkn moyoni bundi😂😂

    • @fbr5113
      @fbr5113 Před 6 měsíci +1

      SISHANGAI WANYARWANDA NDIVYO WALIVYO.

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Před 6 měsíci

      ​Sasa Zama ni mnyarwanda au ndo gari imewaka 😢

    • @sarahmcharo1548
      @sarahmcharo1548 Před 6 měsíci

      @@spreadlove5300 hahah

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 6 měsíci +2

    Zamaradi hawezi kumkubali faiza kwakuwa analipiza kisasi kwa ruge

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 5 měsíci

    They always say 'Still water runs deep!'

  • @user-wp2uj7wt1i
    @user-wp2uj7wt1i Před 6 měsíci +1

    Huyo Faiza nae mswahili kwann..asingepita kule angeacha..kwani ni lazima uongezee jambo.
    Zama might be a good person in one way lakn kwasababu anajulikana ana mambo meusi wanachukulia advantage.

  • @chany9950
    @chany9950 Před 6 měsíci +2

    Thx bro👍🏽

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 6 měsíci +27

    Zama ni nyoka tena nyoka mwenye sumu kali 😢😢😢😢

    • @iantussa9064
      @iantussa9064 Před 6 měsíci +3

      Mnafahamiana na zamaradi au faiza??

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před 6 měsíci +4

      Wivu jamani dada yupo smart huyo lazima watu wamchukie, ana maendeleo yake wakati wengine bado na miaka 40 wanajitafuta

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před 6 měsíci

      @@atutweve4160 wivu gani bwana weee kwann kila mtu amlalamikie yy ?!

    • @pendojeremiah1023
      @pendojeremiah1023 Před 5 měsíci

      @@atutweve4160hujawajua watu dear watu kama faidha wako real sana ndo maana wanaonekana wabaya ogopa
      Sana mtu anayejua kupretend tena public zamaradi ni mwigizaji sana

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d Před 6 měsíci +5

    😂😂😂faidha yuko km gigymoney au Rubí wakikasirika tuu siri zote nje

  • @user-yh2gy1lp7w
    @user-yh2gy1lp7w Před 6 měsíci +2

    Watuwace tuko busy na manara❤

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Před 6 měsíci +6

    Shida yetu viewers yaani wa kwanza akianza kuponda au kusifia basi wote tunafuatisha hilo hilo ediots!!! Ooh!!Zama nyoka,sijui muuaji sijui nini wakati wakielewana tulikuwepo?! Shida kuna mtu hakubali kuachika ndio maana kila siku yupo kwenye page ya ex wake 😂kujichoresha na kujidhalilisha tu...mtu aliyekua kiakili ikitokea umegombana nae wala hahangaiki kufichua siri zako hadharani huo ni utoto!!!

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 Před 6 měsíci +1

      Mbona na wewe unaonesha una chuki na faiza? Tuacheni u follower kwenye magomvi yasiyotuhusu. Wanajuana hao

    • @faridanurdin9635
      @faridanurdin9635 Před 6 měsíci

      Nakuelewa sana,nakumbuka marehemu baba yangu aliniambia chagua Rafik mwenye hekima na jizuie kugombana nae,na mkikwaruzana usiongee lolote..kila utakachoongea kitaaminiwa..kifupi ogopa ugomvi na rafiki yako.

  • @magretangel5242
    @magretangel5242 Před 6 měsíci +4

    7:33 "Suge na Rugu" 😂😂😂

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před 6 měsíci +1

    Huyu Zama aliwahi kugombana ht na Hamisa. Na akamtangaza vibaya mwenzake. Halafu anajidai kwa vile csemi nakaa kimya. Ukimta gani huo?

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 Před 6 měsíci +2

    Ugomvi wa watu wazima wataumaliza wenyewe

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 5 měsíci +1

    Mnamuonea wivu zamaradi kisa anamaendeleo

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 6 měsíci +2

    Faiza sijui yukoje

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Před 6 měsíci +2

    Safi zama ww ni mti wenye matunda🎉

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 Před 6 měsíci +3

    Ndomana kila siku Huwa nawaambia wanawake ni nyoka hatari sana hivyo umakini zaidi unahitajika kwenye baazi ya Siri zetu wanaume

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 6 měsíci

      😂 😂aya mtoto wa nyoka

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 Před 6 měsíci +1

      Km wanawake ni nyoka. Bac ht mamaako ni nyoka?

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Před 6 měsíci

    Mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před 5 měsíci

    Pole faiza binadamu marafiki wabaya mnooo

  • @edakilibika5935
    @edakilibika5935 Před 6 měsíci +2

    Siku zote walikuwa wapi zama songa mbele na yako watumie akili zao na wao zama zama

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn Před 6 měsíci

    Lazima akatae..maana watanzania wote wamejionee..zama huwa anatabia mbaya..kila rafiki lazima anamlalamikia..niko na faiza inauma saana...zama hamalizanagi vizur na marafiki lazima anawapigaga kitu kizito

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 6 měsíci +2

    Jamani mbona hivi 😢

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 6 měsíci +1

    Kwaiyo ngapi uko kati ya faiza au zama

  • @stonetown578
    @stonetown578 Před 6 měsíci +4

    Zama this, Zama than, I like it.

    • @hopechidera
      @hopechidera Před 6 měsíci

      Zama that not than🧐

    • @stonetown578
      @stonetown578 Před 6 měsíci

      @zimuzorchidera6077 typing error my friend

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Před 6 měsíci +1

    mh sugu ukute hta hajui haya yote

  • @ramadhanseleman4276
    @ramadhanseleman4276 Před 6 měsíci +11

    Hivi vibibi vinapenda kutrend

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Před 6 měsíci +1

      😂😂tena mpk kero

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 Před 6 měsíci +2

      Wanaubibi gani!? 40’s ndio kwanza wameanza maisha!❤

    • @priscajube4239
      @priscajube4239 Před 6 měsíci +2

      Wana ubibi gani. Wasichana wabichi hawajachakaa kuliko walio 30.

    • @Mariam-fm8vq
      @Mariam-fm8vq Před 6 měsíci

      😂😂😂😂

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 6 měsíci +1

      Acha zako wee unaenda juu au chini miaka 40 bibi

  • @leilamohamed950
    @leilamohamed950 Před 6 měsíci +1

    Alyesikia suge na rugu nani 😅😅😅

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 6 měsíci +2

    Wivu nenda uko anakuzidi maendeleo wivuuuuuuuu

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 6 měsíci +2

    Tafuten pesa banaaa

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před 6 měsíci +2

    Sasa jamani kama Zamaradi amekomenti vile kwa Sugu kuna shida gani?? Sioni shida labda kulikuwa bifu nzito kati yawo

    • @fatmaallyabdul1732
      @fatmaallyabdul1732 Před 6 měsíci +1

      Alikuwa anaafta saabu si unajua hakubali kuwa aliachwa na sugu

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před 6 měsíci

    Daima ukiwa mwema utachukiwa mnoooooooo

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 Před 6 měsíci

    Faiza anampenda saaaaaaaaaaanaaaaa sugu sasa quona hasimu waqe anashiriqiana na sugu anataqa quharibu 😂😂aisee faiza unataqiwa ququbali qwamba hutaqiwi

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 Před 6 měsíci +1

    Mtangazaji umetisha SUGE na RUGU 7:30

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni9610 Před 6 měsíci +1

    Taabu ya Umaruifuuu hiii

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 Před 6 měsíci +2

    SUGE NA RUGU......Chriss😂😂😂😂😂😂

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 6 měsíci +1

    Wewe huna akili faiza

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 5 měsíci

    Faizaa😂😂😂😂hakopeshiii

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d Před 6 měsíci +1

    huyu Faiza daah 🤣

  • @HappinessNess-dj6rt
    @HappinessNess-dj6rt Před 6 měsíci +1

    Dada kashindwa kumuv

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 Před 6 měsíci +11

    Mimi sijaona sababu ya kushambuliana ule mda zama alikua hajakomaa ki akili na maanisha hajajitambua sasa anajielewa vzuri..binaadamu hufika wakati akajutia makosa yako aliyoyatenda nyuma sasa ameona hakuna sababu au uhasama au uadui amejitakasa moyo na kusamehe yalopita kuelewana na kila mtu.... maisha ni mafupi samehe hapa duniani

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 Před 5 měsíci

    Ashamuharibia na kumchafua sana Sugu, hana chochote cha kueleza they're all snitches...

  • @mohamedibwatamu
    @mohamedibwatamu Před 5 měsíci

    NAN KASKIA SUGE NA RUGU MWISHONI MWISHONI 😅😅

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 6 měsíci +13

    Zamaradi mimi siku nyingi nnajua kwamba ana roho mbaya sana hiyo ina julikana

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před 6 měsíci +1

      Ili ufanikiwe lazima uwe wa pekee sana kitabia na kila kitu, ukiwa mtu wakuchekacheka sio rahisi kufika malengo, ao matajir walofanikiwa wote utaambiwa wana roho mbaya sababu wapo determined,,,,, sasa yeye ndo mjinga alifunzwa kumharibia baba mtoto ake akakubali? Ndo ujue Zama yupo smart sana kumzidi, hata hakujua nani anathamani Kati ya baba mtoto na rafiki tu 👁👀👀👀🤔

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Před 6 měsíci

      ​@@atutweve4160 its ok to be smart,ila si vema kuutumia usmart wako to manipulate people and situations for your interests. Huyu anaonekana ana mengi anafanyia watu ila wanaogopa kusema,ndio kama hivyo ukisema unaishia kawe police station.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 Před 6 měsíci

      @@neemayatosha1618 hao walikua marafiki ndugu yangu, katika urafiki watu mnasimuliana vitu vingi sana mkikosana ndo kama hivo mnatoleana Siri, mwanamke ukimkingia kifua mumeo hakuna mtu wa nje atakuja kuku manipulate yani ubaya uliaza kwa mwenye mume mwenyewe alimteta na kumsema mumewe ndomana zama akapata njia ya kuingilia,,,,, very logical mbona

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Před 5 měsíci

    Watu hugombana na kusameheana sioni shida ya Zama ya kale yamepita ila mwenye shida Ni Faizer mwenye sumu ya nyongo

  • @pulikisia7963
    @pulikisia7963 Před 6 měsíci +1

    Hahahahaaaa mtangazaji kachapia majina ya Sugu na Ruge,eti Suge na Rugu😂😂😂

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 6 měsíci +9

    Zamaradi ni mshenzi sana 💯

    • @tecratzmwakyambomwakyambo7243
      @tecratzmwakyambomwakyambo7243 Před 6 měsíci

      Na wengi wanamsema

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před 5 měsíci

      Yaani Faiza ana mapungufu kama binadamu wote tulivyo, najua sometimes Faiza mambo yake ni shida 😅 lakini Zama ni NYOKA mwenye sumu kali!​@@tecratzmwakyambomwakyambo7243

  • @OG_20
    @OG_20 Před 6 měsíci +1

    waendelee kutupa burudani

  • @augustinemainde2730
    @augustinemainde2730 Před 6 měsíci +2

    Subirini midoli ya Kichina iingie wanaume wahamie huko ugomvi utaisha😊😅😊😅

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 6 měsíci +3

    Watu mwembamba uwa WAONGO WAONGO Sana ndo havinenepi kabisaaa

    • @muzafarsharif9465
      @muzafarsharif9465 Před 6 měsíci

      vinanepa huko Chini Tu

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 Před 6 měsíci

      Kama waongo waongo mbona mnashinda gym na madayati kibao na nyie mnataka kuwa waongo!!?

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Před 6 měsíci

      ​@@fridageorge2809🤣🤣🤣 akikujibu nishtue

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 Před 6 měsíci

      @@fridageorge2809😂😂😂😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 5 měsíci

    Ww faiza ww ni mtu mzima vingine uweunanyamaza,yann kutoana siri?

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 6 měsíci +7

    Zamaradi anaakili sana ndo mana wanamchukia pole zama wangu labda usiwe unaongea chochote manake ukiongea ni sumu inakuwa yani huyu faidha kwanza niliwahi kujiuliza huyu zama inakuaje anakuwa na urafiki na faidha sababu namuonaga analopakaga tu afu yeye hivi ndi anapenda ili aongelewe

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 Před 6 měsíci +3

      Weee usiseme hivyo binadama wanamazito sana tena hawo wakimya ni balaa sana ndugu mwisho wa siku huwa hamna sili tena utajulikana tu kitabia chako yaani ni bora linaloongea ovyo huwa ndani ya roho yake ni safi

    • @chanceB98
      @chanceB98 Před 6 měsíci

      ​@@johasaeed391kweli ❤

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 Před 6 měsíci

      Ndioooooo

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 Před 6 měsíci +1

      Ana GPA ya ngapi watu wqnquza unga mnawaita wana akili😊😊😊

  • @mauakiza2295
    @mauakiza2295 Před 6 měsíci +1

    Awajapigana

  • @khadijarashidy9304
    @khadijarashidy9304 Před 6 měsíci +2

    I'm from Cuba and I don't understanding Swahili but hii imeenda 😂😂😂

  • @marynjuka
    @marynjuka Před 5 měsíci

    itakuwa zama anamatatizo

  • @faidhakikoba5399
    @faidhakikoba5399 Před 6 měsíci +2

    😅😅😅zamaaaa maji

  • @AllyJuma-zp9nw
    @AllyJuma-zp9nw Před 5 měsíci

    Nyie ni wazazi acheni kina zuchu hizo drama

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 6 měsíci

    Vile umetaja Mangi nimekuja

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 6 měsíci +3

    Zamaradi ni muuaji wa chini

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 6 měsíci +3

    Watu wazima ovyooo.

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf Před 6 měsíci +1

    Me nikajua zamaradi n mstarabu,mpole hadi nampendaga sanaaaa had wasani baadhi huwa wanasema zamaradi anajua kutuza siri anajua kushauri khaa kumbe ndivyo alivyooo 😮

    • @jescanicodemus
      @jescanicodemus Před 6 měsíci +2

      ana roho mbaya wasanii wengi huwa wanamlalamikia

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf Před 6 měsíci

      @@jescanicodemus Mmmh madogo,, khaaa uzaniae sie Kwa kwel

    • @rerisamba
      @rerisamba Před 6 měsíci

      ​@@PhyinaElias-mu4wf🤣🤣🤣waa wacha tushangae jamani

  • @yunaisamidd7587
    @yunaisamidd7587 Před 6 měsíci +2

    Yan ukisoma comment ndo unajua watu wana magonjwa ya wivu na akili pia yan mnavo muattak zama utafikir mna ujua ukwel wivu Uta wauwa mbwa nyie 😅😅😅😅😅😅😅

  • @MNHAMAOFICIAL
    @MNHAMAOFICIAL Před 6 měsíci +6

    naoba number ya faiza tafadhali

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 5 měsíci +2

    Faiza jitulize jitulize acha roho mbaya unaroho mbaya sn ww faiza ally ww kakuzidi kila kitu kwanza umekomaa ww faiza jitulize