WILL SMITH: Utata wa matukio ya FAMILIA yake, Tetesi za kuwa SHOGA zinamtafuna, Utamwonea HURUMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

Komentáře • 86

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 6 měsíci +23

    Pole willy tatizo ni kumuacha Mungu, hakika kwa adui hakuna huruma, watakurarua sana sana, Mungu akusaidie

  • @ramrod2169
    @ramrod2169 Před 6 měsíci +7

    I like Mr Smith he seems a cool guy😢....he doesn't deserve this

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 Před 6 měsíci +5

    Pole sana Will
    MUNGU asaidie huyu jamaa asije kujiua

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i Před 6 měsíci +33

    Wamarekani sio watu wa kuwaamini hapo asaivi wanamuita Will Smith bwege lakini akisema ajibu mashambulizi pia wata mgeuka na kusema mnyanyasaji wa wanawake

    • @raulmagige2698
      @raulmagige2698 Před 4 měsíci +2

      Kama mkewe amekiri mwamba shoga ww nani upinge Sio KILA serekali mengine Yana ukweli rafiki Ake amekiri mwamba shoga aliwahi mfuma analiwa

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i Před 4 měsíci

      @@raulmagige2698 usikulupuke tu kutaka kumjibu mtu nilicho sema mimi na ulicho kuja nacho wewe ni vitu viwili tofaut

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 6 měsíci +9

    Daa pole will Smith,,will Smith Bado hajamuv on hajampata mbadala wa Jada..Yan mim ilinikutaga hayo kumpenda mtu kias icho Cha will..ni hali mbaya Sana ikikukuta..nikwer will ni king'ang'anizi Kwa Jada na upendo upo upande mmoja..pole will mungu atakutoa huko

  • @cuteliciacutelicia3968

    Alafu ndio maana hazeeki huyu kaka anaimani sana❤

  • @Fgldesigns
    @Fgldesigns Před 6 měsíci +4

    Mwanaume kuoa Marekani ni sawa na kujitega mwenyewe mda wowote unanasa...
    Huko utaishi vizuri ukiwa bachelor ila ukioa maisha yako yatakuwa na misukosuko mwanamke hachelewi kukugeuka au kuomba talaka mgawane mali.

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před 6 měsíci +3

    Allah atufanyie wepesi

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 6 měsíci +6

    Ushoga ni tatizo kubwa Marekani

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 6 měsíci +8

    Yan mapenzi yanaumiza Sana na mapenzi ni uwendawazimu unaweza ukaitwa majina yote kabisa lakin ogopa Sana kitu kinachoitwa kupenda ,,kupenda jaman nikitu kibaya Sana,,,hususan kama hujamuv on kwamtu unayempenda mmmh nihatar..unaweza hata kujizuru..Mimi nakuelewa Sana will Smith..inavyonekana Jada alikuwa hampendi will Smith tokea awali..ila aliolewa tu na Smith ilimladi tu aolewe

    • @idinado-wk3lx
      @idinado-wk3lx Před 6 měsíci

      Pole sana @jamilaathumani5481 inaonekana ulisha pitia maumivu 😊😊

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 6 měsíci +3

    Really love

  • @LUHAHAJR-fj3ed
    @LUHAHAJR-fj3ed Před 2 měsíci

    Real man

  • @sammy-b6281
    @sammy-b6281 Před 6 měsíci +15

    Yamwenzako sikia
    Omba yasikukute

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 6 měsíci +5

    Kuwa makini na nani utakae muoa aitha nani atakae kuoa.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 6 měsíci +5

    👊✌️👍.

  • @Billystewart999
    @Billystewart999 Před 6 měsíci +5

    Makala ya Juice wrld pia tunahitaji.

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 6 měsíci +4

    Ashidwe Allah tulahe

  • @hannahnjoroge2641
    @hannahnjoroge2641 Před 5 měsíci +1

    The Devil comes to steal kill and destroy....

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 6 měsíci +2

    Anaonesha hayuko sawa sikuzot baba huwa bora huyu mam ndo hana haya wala hajavuzwa

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 Před 6 měsíci +2

    Hapa ili amani ipatikane inabidi Mungu amchukue Jada maana ndio anamuumiza mwenziee😢

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před 6 měsíci +15

    Hiyo ndio iluminati, wanakupangia maisha yako mpaka kizazi chako!! Umechagua mwenyewe willy so pambana

    • @user-hj4bc5uh2x
      @user-hj4bc5uh2x Před 6 měsíci +2

      Ndio alitakamwenyewe kashindwa mwenyewe kumtegemea muumba wake acha abebemzigowake

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e Před 6 měsíci +1

      Kbx

    • @godfreysudi7264
      @godfreysudi7264 Před 6 měsíci +2

      Eeeh wa bongo sawa wasajili wa illuminant 😅

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 Před 6 měsíci

      @@godfreysudi7264 we ni msajili wa Freemasonry

  • @user-gt6gj3oy7u
    @user-gt6gj3oy7u Před 5 měsíci

    Huyu ndie lusifa anakupa utajiri na umaarufu lakini hataki maisha yako yawe na amani hata siku1

  • @peterchalamila3422
    @peterchalamila3422 Před 6 měsíci +6

    Jadah Pinket mwenyewe havutiii

  • @user-cf8re1vm7o
    @user-cf8re1vm7o Před 4 měsíci

    Jadah mwenyewe mbaya kama kinyago wiliy mzuri sana jamani mapenzi kweli yana nguvu

  • @lazaromwambene4516
    @lazaromwambene4516 Před 6 měsíci +4

    😮

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Před 6 měsíci +10

    Yaani wenzetu hawa Hawatuthamini kama ss ni binadamu kama wao weupe. Uchafu wote tunatupiwa watu weusi. Mashoga sisi mashetani sisi, kila baya ni la ss weusi. Ukipata umaarufu hawapendi watakusingizia kila chafu. Tujuwe hstupendi hata ukijikomba vipi hawatuthamini

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před 6 měsíci +2

    Wanawake kama hawa hawafaii kabisa jamani 😢duu kwni anakuua kimyakimya walai siopoa kua maarufuu kweli ni chngamoto

  • @user-ip6iy6pm3n
    @user-ip6iy6pm3n Před 6 měsíci +3

    MUNGU amekupa kusikia majuto ya mwenzio kuwa funzo kwako kazi kwako uwe msikilizaji au usikie

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 6 měsíci +5

    Masikini

  • @JosephJackson-jv1so
    @JosephJackson-jv1so Před 6 měsíci +6

    Naomba utuletee makala ya Eminem.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 6 měsíci +3

    22:51 jada ana kichwa kibaya 😂😂

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 Před 6 měsíci +4

    Nipe like first man😅

  • @alisalim2145
    @alisalim2145 Před 6 měsíci +3

    Maskini babawawatu😢😢😢😢

  • @SaudaZigaba
    @SaudaZigaba Před 6 měsíci +4

    😢😢

  • @Goodluckcomputers_01
    @Goodluckcomputers_01 Před 6 měsíci +3

    sky🎉

  • @cuteliciacutelicia3968

    Huyo jada anazeeka anamuacha will😂😂😂 roho ya kishetani had kamuharibu mtoto

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 6 měsíci

    kwakwel mapenz uchiz, jada alivyokuwa mbovu ivyo ata mvuto hana lakin mwamba anakomaa nae kwa machungu yote, Will Smith ni handsome boy sana nilimuona live arusha mwaka juzi aisee mwamba kapanda hewan na handsome anaweza pata pisi kali ingine akala nayo raha ila yeye kukomaa na uyo bibi tu

  • @shabanibussara8454
    @shabanibussara8454 Před 6 měsíci

    Changamoto ya Afya ya Akili...

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 5 měsíci

    Atajua mwenyewe iwekweri sikwwli Kazikwake. Maana sikuhizi kawaidakwawatukama hao

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Před 4 měsíci

    Naombeni kuuliza, huu utajiri wa kishetani una uhusiano gani na ushoga?

  • @prosephinerandrew7155
    @prosephinerandrew7155 Před 6 měsíci +2

    Huyu jamaa atakuja fia usingizini😢😢😢

  • @JacqDaniels-hu5xj
    @JacqDaniels-hu5xj Před 5 měsíci

    Mwanamke ukimfanyia mateso siku akikukinai nd yanatokea haya

  • @mackamehassani201
    @mackamehassani201 Před 6 měsíci +2

    Kuna kitu cha kujifunza hapaa jmn.

  • @eminix2132
    @eminix2132 Před 6 měsíci

    Bad Boys ft Martin Lawrence

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před 6 měsíci

    Kwa hali aliyonayo Jada upendo na kujaliwa ni kitu kikubwa anachostahili

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj Před 6 měsíci

    Binafsi hatuwezi kuimaliza hata siku yenye masaa 12. Yaan siwez siwez kuwa

  • @laurenttadey1955
    @laurenttadey1955 Před 6 měsíci +1

    Mapenz ni kitu cha ajab huyo jada ana kichwa kama kokwa la embe lkn anamtesa will😅😅😅😅

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 6 měsíci +2

    Mashetani tu wote

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 Před 6 měsíci

    Hii familia ishaharibika inahitaji maombi

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official Před 6 měsíci +3

    Mtizamo wangu nikwamba kilambuzi itakula kwa urefu wa kamba yake

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 Před 6 měsíci +3

    Asikwambie mtu hakuna mzazi anayependa uhusiano wa mwanae wa jinsia moja,hata wao hiwaumiza ila baadae husema kama ana furaha yy basi
    ila hiwaumiza sana.

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 Před 6 měsíci +1

    Yaani mapenzi ni takataka kabiisaa😢

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 6 měsíci

    Choko huyu , anatumik kw maisha ya dunia na pesa na umaarufu

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 6 měsíci +2

    Yarrabiii

  • @damianminsno1317
    @damianminsno1317 Před 6 měsíci

    Utawala wa ibilisi ndio unataka awe shoga ao wote mbwa

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 Před 6 měsíci +7

    Huyu ameingiza familia yake yote kwenye ushoga,kuanzia watoto wake hadi mkewe anasagana aliyataka

    • @tinejuxfrancis729
      @tinejuxfrancis729 Před 6 měsíci +3

      Kaka we sikia tu Ila mwanamke akiamua kukuumiza na kukuchafua Ni hatari wanawake wameumbwa kuongea Sana tofauti na wanaume Kaka

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 Před 6 měsíci +1

      Haya tuambia ulimuona wapi😂😂 kha binadamu loh

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os Před 6 měsíci +1

      Sahihisho. Moja: tafadhali sana zingatia kuwa huku Tz hatuna shule za "upili" kama unavyoziita. Tunaita (na wewe unajua hilo) kuwa tunaziita shule za sekondari.
      Pili: Will na Jada hawajawahi " kuachana" bali walitengana kwa muda. Kuna tofauti hapo. Kwa Kiingereza ni "divorce au kuvunja ndoa" na "separation" au kutengana wakati bado ndoa ipo hai

    • @user-ed5xy5ce6k
      @user-ed5xy5ce6k Před 6 měsíci

      Acha ujinga wewe jaden Smith ndo alijiingiza mwenyew kweny ushog uelewi kitu wew

    • @kijokombao5345
      @kijokombao5345 Před 6 měsíci

      @@user-ed5xy5ce6k sawa msemaji wa Smith family

  • @saidmwakugomba3623
    @saidmwakugomba3623 Před 6 měsíci +1

    Jada alimpa nini uyu mwamba 😂

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 6 měsíci

    Shetani akikupa pesa mwisho wake ndio huo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    KAMA BONGO TUNGESEMA KATILIWA RIBYATA 😂😂😂